warthog gun
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 1,466
- 1,260
[emoji12]Mtani yesi ovkoz hi forogot himself!!!! Dont changa if you are a ccm member because your mchango may come with a bomb to kill our next presidenti!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji12]Mtani yesi ovkoz hi forogot himself!!!! Dont changa if you are a ccm member because your mchango may come with a bomb to kill our next presidenti!!!
A witch doctor. Kilangila.Are you a Doctor or you just guessing?
Exactly! Kilangila.You never know, may be he wants to contribute more bullets!
Suits him. Kilangila.Do you think when you write nonsense in English it real meaniful? you are already contribute bullet that is enough.... anyway.
Aweke jina um-shindilie risasi? Kilangila.Hii appeal haina hata jina wala sahihi wala cheo cha aliyeandika huyu atakuwa Lisu mwenyewe kajiandikia kujiombea hela
Wamekulazimisha umchangie? Kilangila.Hizi mbinu za kinaijeria nimeshazishtukia. Machale yameshanicheza. Utapeli utaisha lini jamani?
We jamaa kenge tu. Mara uropoke eti mimi chadema; mara saa hii eti sisi ccm.
Umerogwa?
Upumbavu ni upumbavu tu, hata ukiandikwa kwa lugha ya kigeni.Is this thread written in Kiswahili or English? Aren't you a Wordsmith? Next time once you see a thread written in English please try also to respond in English okay? Hopeless!
Do you think when you write nonsense in English it real meaniful? you are already contribute bullet that is enough.... anyway.
Mtaandika mpaka kwa kilatini
Mnawatetemekeaga sana hao mambwana zenu wa kizungu huwa mnawapelekea matatizo yenu juu ya hali ya kisiasa Tanzania
Nashangaa wamewanyima hata pesa za kujikimu mnarudi kwa walalahoi wawatumie pesa wakati mpo chumbani kwa mambwana zenu kabisa
Nilifikiri ile misaada yao waliokua wanaileta Tanzania saivi wanawapa nyinyi, kumbe hata mia hampewi? Kaazi kweli kweli
Mwambie Lissu aache kiki, tumechoka na matusi yake kwa Serikali yetu. Kama akipewa pesa ni kwa ajili ya kutukana, basi hao aliokuwa anajikomba kwao wampe ili atukane zaidi. Mimi nampongeza Mh. Speaker kwa kuondoa mshahara. Nchi ikiwa na amani. Acha ajufunze adabu. Kwanza anafanya nini huko? Si arudi nyumbani? Mimi nadhani avuliwe na ubunge kabisa.
Unachanga kwa maneno mkuu!Tutachanga kama hatuna akili nzuri!