Tanzania vs Algeria (Septemba 14, 2015): Mechi ya kufuzu Kombe la Dunia Urusi - 2018

Tanzania vs Algeria (Septemba 14, 2015): Mechi ya kufuzu Kombe la Dunia Urusi - 2018

Status
Not open for further replies.
Kuna baadhi ya Watu hawaelewi tu kuhusu soccer , goli gani lile la kwanza kwa Algeria, kwa aliecheza mpira, goli la kwanza la Algeria is clear offside.

Lakini kwa kuwa imeshapangwa Algeria lazima iingie fainali za World Cup, tutafanyaje.

Lakini itabaki kwamba Taifa Stars (TZ) wameonyesha uwezo kuliko hao waliobebwa.

...ulikuwepo kwenye hicho kikao walichokua wanapanga? walikutana watu wangapi?,
tuondolee maneno ya mkosaji hapa..
 
Kila kitu mnakiangalia kwa jicho la kisiasa.No wonder kuna kijana alimfukuza baba yake nyumbani kwake eti kwa kuwa amekataa kuwa CDM.Yaani mmepachikwa CHUKI KALII ambayo hata Mbowe mwenyewe haishi hivyo.

Sasa we ulitakaje?? Mbona baada ya kuongoza zile mbili kuna magamba humu yalianza kuleta siasa??

Kwahiyo hilo wewe hukuliona?? Hivi Makufuli alikuwepo uwanjani teh teh teh KAZI TUUUUUU
 
Kuna baadhi ya Watu hawaelewi tu kuhusu soccer , goli gani lile la kwanza kwa Algeria, kwa aliecheza mpira, goli la kwanza la Algeria is clear offside.

Lakini kwa kuwa imeshapangwa Algeria lazima iingie fainali za World Cup, tutafanyaje.

Lakini itabaki kwamba Taifa Stars (TZ) wameonyesha uwezo kuliko hao waliobebwa.
ni kawaida yenu KUJITAHIDI
 
Kuna baadhi ya Watu hawaelewi tu kuhusu soccer , goli gani lile la kwanza kwa Algeria, kwa aliecheza mpira, goli la kwanza la Algeria is clear offside.

Lakini kwa kuwa imeshapangwa Algeria lazima iingie fainali za World Cup, tutafanyaje.

Lakini itabaki kwamba Taifa Stars (TZ) wameonyesha uwezo kuliko hao waliobebwa.

Mechi irudiwe tu hakuna namna.
 
...ulikuwepo kwenye hicho kikao walichokua wanapanga? walikutana watu wangapi?,
tuondolee maneno ya mkosaji hapa..

Wewe ni mchanga sana katika kampeni za soccer ya Dunia.

Wala situmii muda wangu kujibizana na wewe.

Ninachokuambia,Tanzania kwa game ya leo, ndio iliyokuwa na uwezo wa kuifunga Algeria, na hata Algeria wanajua hivyo, kilichowaokoa ni hila tu za waamuzi.

Sidhani kama unaelewa.
 
MNAOPONDA STARS NI WAJINGA NA WAHAINI, mnatakiwa kuisapoti timu yenu, tena inapoonesha kiwa ime-improve, Stars wamecheza vizuri sana. HATUJAFUNGWA.
HONGERA STARS!

Nawashangaa watu hasa WANA UKAWA MNALETA SIASA HUMU. Kamwe kwa mentality hiyo hamtatoboa maisha, ulipofikia ndo mwisho!
MAANINA ZENU WOTE MNAOIBEZA STARS!

Tunachojua sisi ni uchakachuaji wa kura na kuwapiga mabom wapinzani!!!

Kiukweli soka kwetu bado, embu angalia michezo mashulen ilivyofutwa, viwanja mitaani vimeuzwa, hakuana academics za michezo..hakuna..hakuna...hakuna mafanikio yetu kisoka, mafanikio yataanza baada ya ccm kutoka madarakani!! Na kuanza Tz mpya.
 
Kwa sifa za waarabu, kule kwao tutapigwa hata 7, hawa jamaa ugenini wanakuwa kama wagonjwa subiri kwao sasa na wale mashabiki wao basi sijui tutaficha wapi sura zetu
 
Kilichotokea uwanja wa taifa ndiyo uhalisia wa watanzania hakuna tunachoweza chini ya haki.

Watanzania tumezoea magumashi sana, ingekuwa baada ya mechi kuna kuhesabu kura...😀😀😀😀:
 
Kwa kweli tunawapa Hongera Kocha Mkwasa na timu yote ya Taifa. Mlicheza vizuri sana. Sare ni kitu cha kawaida sana. Ongezeni ufundi, morali na Utanzania nawakikishia tutawashinda tu.
 
Sio wakati muafaka wa kuanza kulaumiana kwa matokeo ya jana lakini pia sio wakati muafaka kukaa kimya iwapo kuna lolote la kuchangia .......... mechi kati ya Stars na Algeria mabadiliko mliyoyafanya yamechangia magoli yale kurudishwa .... SABABU waarabu walipokuja walikuwa wameweka akili yao yote kwa Samatta na Ulimwengu lakini baada ya Eliaas Maguli kuwapiga bonge la bao la kujituma wao walishtushwa na Maguli yaani iliwachanganya kiasi fulani wakawa hawanabudi kupunguza mashambulizi na kumkaba Maguli pia .... sasas alipotolewa tu wao walipata mwanya wa kufunguka na kuanza kushambulia kwa maoni yangu mabadiliko yangefanyika kwa sababu maalumu la sivyo wangeachwa waendelee hadi dakika za majeruhi ndipo mabadiliko yangefanyika
 
Ulichosema ni sahihi, pia beki mvuta bangi aliyeutizama mpira ukiingia badala ya kuanua sijui kocha alimtoa wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom