Tanzania vs Benin, African Qualifiers - FIFA World Cup Qatar 2022

Tanzania vs Benin, African Qualifiers - FIFA World Cup Qatar 2022

Hivi unadhani kila unayetaka kumpa uraia wa Tanzania naye anataka huo uraia? Labda tuanzie hapo, maana tunajifunga kwenye mawazo kwamba eti akina Wawa na wengine wanapenda kuwa Watanzania. Tukumbuke kuwa kuna watu kwao kucheza timu ya taifa sio kipaumbele ukilinganisha na kujitenga na jamaa zao

Unaweza ukamtaka Wawa awe Mtanzania, lakini yeye hataki kwa sababu nyingine za kijamii, maana faida ya kuichezea Taifa Stars huenda ni ndogo kuliko faida ya kuwa karibu na jamaa zake aliowaacha Ivory Coast, ukizingatia kwamba umri wa kucheza mpira sana sana ukizidi ni miaka 35
Naona unaandika sana Riwaya, ila wapeni uraia wachezaji ambao kwa namna moja ama nyingine wataleta kitu tofauti ndani Timu ya Taifa
 
Tanzania wamebaki kupambana na magaidi hewa wasiokuwepo, mpira imewashinda hawawezi.

They've been beaten well and proper, thorough and square ⬛⬜. After all, nothing to worry about, Tanzania is not a footballing country.
Afadhali nyie mko na ushindi, Kenya tunapigwa kama burukenge.,4-0 first half😂😂😂😂😂😂
 
Mwenzio amesema ameleta mafanikio na akatoa mfano. Wewe umesema ni tatizo lakini hujataja sababu wala mfano
Mfano gani huo wa kitoto...lijitu linakula njama halafu uchaguzi linasimama lenyewe halafu sisi wote linatuona wajinga...huo ndio uhuni wa kijinga...
 
We shoga utulie wakati wanaume wanajadili kitu kakae na wenzako msukane nywele
Unajadili nini malaya wewe Dada unadhani mpira ni kama unavyokatikia wanaume? Eti apige.! Anapiga hovyo tu?

Mashoga huwa siwapendi kama wewe.
 
Naona unaandika sana Riwaya, ila wapeni uraia wachezaji ambao kwa namna moja ama nyingine wataleta kitu tofauti ndani Timu ya Taifa
Sio lazima, mbona akina Nchimbi na Mauya wanatosha! 😆
 
Back
Top Bottom