Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 2,025
- 1,270
Nini uko keshaumizwa mtu?dk ya 21 ; 0-0
Anamgeza chizi Mugalu.unakosa goli la wazi halafu unacheka kamchekee mama yako
hahahahahahah mkuuunakosa goli la wazi halafu unacheka kamchekee mama yako
wanawakomoa benin
mbona mechi na jua kali hivi kwa nn hawakupanga angalau saa 11