Tanzania vs Benin, African Qualifiers - FIFA World Cup Qatar 2022

Hatuja perform Kama team work nategemea kuona mtu mmoja akifanya maamuzi binafsi
 
kibwana shomari in ..
 
Leo boko na msuva miguu inatetemeka na ina kigugumizi
 
Reactions: Lee
Huyu Kibu, kwanini haanzi kikosi cha kwanza kwenye club yake? Huyuhuyu boko na mwenzie Mugalu ndo wanaomnyima nafasi?
bhasi jipe mda wa kufatilia mambo mkuu
 
Una uhakika jibu alikuwepo kwenye ngao?? [emoji16]
Dah! Mlivyo nikomalia!! Kazi ninayo!! Jamani huyo mchezaji wenu Kibu! Sijui Kibuyu!! hakucheza kwenye ile mechi ya Ngao ya Jamii!!
 
Reactions: Lee
Dah! Mlivyo nikomalia!! Kazi ninayo!! Jamani huyo mchezaji wenu Kibu! Sijui Kibuyu!! hakucheza kwenye ile mechi ya Ngao ya Jamii!!
hahahahahahaha unauliza au umekubalii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…