Tanzania vs Guinea: Tanzania yaaga mashindani baada ya kutoka sare ya mabao 2 kwa 2 dhidi ya Guinea

Tanzania vs Guinea: Tanzania yaaga mashindani baada ya kutoka sare ya mabao 2 kwa 2 dhidi ya Guinea

Dr Kantangaze

Senior Member
Joined
Jul 3, 2014
Posts
125
Reaction score
80
Kama kawa kama dawa.... Afe kipa afe beki Tanzania inaenda robo fainali chani mwaka uhuu
Dakika ya 2' Guinea wanapata penati...Goooooool Guinea 1 Tanzania 0
Dakika ya 23' Baraka Majogoro anaisawazishia Tanzania. Tanzania 1 Guinea 1
Dakika 45' kipindi cha kwanza zimekwisha Tanzania 1 Guinea 1
Dakika 45' za kipindi cha pili zinanza, Tanzania akuna mabadiliko yoyote.
Dakika ya 47 Kante anaonyesha kadi ya njano kwa kumchezea vibaya Faridi musa
Dakika ya 55' bado 1-1.
Dakika ya 60 ngoma bado ngumu
Dakika 65' Guinea wanapata kona na mchezaji wao Kalil anakosa goli la wazi kabisa.
Dakika ya 69' Tanzania wanapata kona Farid musa anapiga kona...gooooooool Manyama anandika Tanzania goli la 2

Dakika ya 75' ngoma bado Tanzania 2 Guinea 1. Faridi Musa anafanya kanzi nzuri kuokoa

Dakika ya 80' Guinea wameweka kambi upande wa Tanzania kona kama zote.

Dakika ya 81' Guinea wanapata goli la 2.
Dakika ya 84' Tanzania wanafanya mabadiliko Faridi nje Rajabu ndani.

Dakika ya 87' Ndemla nje Adam Adam ndani

Dakika ya 90' zinaongezwa dakika 3' apa matokeo bado 2-2

Mpira umekwisha Tanzania 2 Guinea 2. Kwaiyo Tanzania wanayaga mashindano.
 
Kama kawa kama kadawa.... Afe kipa afe beki Tanzania inaenda robo fainali chani mwaka uhuu
Dah tushapigwa moja. Muamuzi kawapa penalty wakati sio. Mpira haukushikwa mkononi.
Haha karefa ndio kale kalikochezesha Simba na platinums. Kasnge kweli.
 
Kama kawa kama kadawa.... Afe kipa afe beki Tanzania inaenda robo fainali chani mwaka uhuu
Dakika ya 2 Guinea wanapata penati...Goooooool Guinea 1 Tanzania 0
Mm naona sisi Tanzania (taifa stars) tumefuzu kuingia kwenye mashindano haya kwa mihemko na sio mikakati.

Kwa hali hii tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu kila mtu atatunyoa tu.

Muhimu tuanze mikakati kwanza kabla hatujaanza kunyooshea vidole.

Naomba kuwasilisha
 
Mm naona sisi Tanzania (taifa stars) tumefuzu kuingia kwenye mashindano haya kwa mihemko na sio mikakati.
Kwa hali hii tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu kila mtu atatunyoa tu.
Muhimu tuanze mikakati kwanza kabla hatujaanza kunyooshea vidole.
Naomba kuwasilisha

Unaomba kuwasilisha kwa nani? .. mwili mkubwa akili zero kama sarpong
 
Mm naona sisi Tanzania (taifa stars) tumefuzu kuingia kwenye mashindano haya kwa mihemko na sio mikakati.
Kwa hali hii tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu kila mtu atatunyoa tu.
Muhimu tuanze mikakati kwanza kabla hatujaanza kunyooshea vidole.
Naomba kuwasilisha
Unaweza kutoa mfano wa hiyo mikakati uliyoandika?
 
Mm naona sisi Tanzania (taifa stars) tumefuzu kuingia kwenye mashindano haya kwa mihemko na sio mikakati.
Kwa hali hii tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu kila mtu atatunyoa tu.
Muhimu tuanze mikakati kwanza kabla hatujaanza kunyooshea vidole.
Naomba kuwasilisha
umeiangalia mechi lakini au unasikiliza redioni?
 
Back
Top Bottom