Dr Kantangaze
Senior Member
- Jul 3, 2014
- 125
- 80
Kama kawa kama dawa.... Afe kipa afe beki Tanzania inaenda robo fainali chani mwaka uhuu
Dakika ya 2' Guinea wanapata penati...Goooooool Guinea 1 Tanzania 0
Dakika ya 23' Baraka Majogoro anaisawazishia Tanzania. Tanzania 1 Guinea 1
Dakika 45' kipindi cha kwanza zimekwisha Tanzania 1 Guinea 1
Dakika 45' za kipindi cha pili zinanza, Tanzania akuna mabadiliko yoyote.
Dakika ya 47 Kante anaonyesha kadi ya njano kwa kumchezea vibaya Faridi musa
Dakika ya 55' bado 1-1.
Dakika ya 60 ngoma bado ngumu
Dakika 65' Guinea wanapata kona na mchezaji wao Kalil anakosa goli la wazi kabisa.
Dakika ya 69' Tanzania wanapata kona Farid musa anapiga kona...gooooooool Manyama anandika Tanzania goli la 2
Dakika ya 75' ngoma bado Tanzania 2 Guinea 1. Faridi Musa anafanya kanzi nzuri kuokoa
Dakika ya 80' Guinea wameweka kambi upande wa Tanzania kona kama zote.
Dakika ya 81' Guinea wanapata goli la 2.
Dakika ya 84' Tanzania wanafanya mabadiliko Faridi nje Rajabu ndani.
Dakika ya 87' Ndemla nje Adam Adam ndani
Dakika ya 90' zinaongezwa dakika 3' apa matokeo bado 2-2
Mpira umekwisha Tanzania 2 Guinea 2. Kwaiyo Tanzania wanayaga mashindano.
Dakika ya 2' Guinea wanapata penati...Goooooool Guinea 1 Tanzania 0
Dakika ya 23' Baraka Majogoro anaisawazishia Tanzania. Tanzania 1 Guinea 1
Dakika 45' kipindi cha kwanza zimekwisha Tanzania 1 Guinea 1
Dakika 45' za kipindi cha pili zinanza, Tanzania akuna mabadiliko yoyote.
Dakika ya 47 Kante anaonyesha kadi ya njano kwa kumchezea vibaya Faridi musa
Dakika ya 55' bado 1-1.
Dakika ya 60 ngoma bado ngumu
Dakika 65' Guinea wanapata kona na mchezaji wao Kalil anakosa goli la wazi kabisa.
Dakika ya 69' Tanzania wanapata kona Farid musa anapiga kona...gooooooool Manyama anandika Tanzania goli la 2
Dakika ya 75' ngoma bado Tanzania 2 Guinea 1. Faridi Musa anafanya kanzi nzuri kuokoa
Dakika ya 80' Guinea wameweka kambi upande wa Tanzania kona kama zote.
Dakika ya 81' Guinea wanapata goli la 2.
Dakika ya 84' Tanzania wanafanya mabadiliko Faridi nje Rajabu ndani.
Dakika ya 87' Ndemla nje Adam Adam ndani
Dakika ya 90' zinaongezwa dakika 3' apa matokeo bado 2-2
Mpira umekwisha Tanzania 2 Guinea 2. Kwaiyo Tanzania wanayaga mashindano.