BlietzKrieg
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 2,882
- 2,263
ATLEAST tuko.sawa athletics, volleyball, cricket and rugby!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah dk ya Tisini naionaATLEAST tuko.sawa athletics, volleyball, cricket and rugby!!!
Game Over 2-0Hivi Kenya wameshiriki lini mara ya mwisho haya mashindano?
Ata Mimi ninge log out nasinge wai Rudi uku[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tungechapwa 3 Ningehama Jamii forums [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka hadi nimeliaHuu ndio ushirikiano wa Africa mashariki tukichapwa 2 na wao Kenya mbili.
Mbili za babakoHao Algeria tunawapiga 2-0 we ngoja tu.....ila kwa sasa naona mnatupa tu mateke ka punda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Algeria si Senegal mkuu...Senegal ndo mbabe Afrika...ila umenichekesha eti tumewapa za ugoko,wakakandwe na wake zao[emoji23]At least watani zetu wamejitutumua hapa mwishoni sema wamenikera hawajapiga hata shuti moja golini.... Hiv kwa nini jamani?!!, Tuache ushabiki Algeria wako fit sana!!! Sisi mmmmh tulikuwa na tension sana timu haikuwa compatible kbs. Ila tumewapa sana za ugoko wakakandwe na wake zao huko. Kikikikik!!!
Waka kandwe etii[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]At least watani zetu wamejitutumua hapa mwishoni sema wamenikera hawajapiga hata shuti moja golini.... Hiv kwa nini jamani?!!, Tuache ushabiki Algeria wako fit sana!!! Sisi mmmmh tulikuwa na tension sana timu haikuwa compatible kbs. Ila tumewapa sana za ugoko wakakandwe na wake zao huko. Kikikikik!!!
Tungechapwa 3 Ningehama Jamii forums [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah!...Afrika Mashariki tuna safari ndeeeefu!
Ata Mimi ninge log out nasinge wai Rudi uku[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mngejipa likizo tu huku huwez toka hii kitu ni addict mzaeTungechapwa 3 Ningehama Jamii forums [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]