Narumu kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,888
- 4,489
Kwenye hili paskal huwez mwonapascal mayala unasemaje juu ya hii speed ya maambukizi? Tuendelee kumsifia Mtu au tuunganishe nguvu tupambane? Mwenyewe niko ndani nimelala naumwa but sio Corona