Tanzania wananchi tunawaogopa viongozi badala ya Sheria? Je, viongozi hawawaheshimu waajiri wao ambao ni wananchi?

Tanzania wananchi tunawaogopa viongozi badala ya Sheria? Je, viongozi hawawaheshimu waajiri wao ambao ni wananchi?

nguruka wa kig0ma

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2020
Posts
2,946
Reaction score
2,932
Nimekuwa nikijiuliza mawaswali mengi pamoja na hayo ya utanguzi.

Je, hii inatokana na Katiba mbovu? Au wananchi hatuzijui haki zetu ndani ya Katiba? Viongozi Wana kiburi Cha madaraka?

Maana tunatofauti na majirani zetu hata waganda wanatuidi japokuwa mu7 ana watawala kwa mkono was chuma. Lakini linapokuja suala la kudai haki zao hawana mchezo.

Viongozi wanaheshima kwa wananchi. Hapa kwetu, kutokana na teuzi zilizopita tutazamie kuvunjiwa heshima na ma DC vijana.

Mungu atusaidie
 
Huku shida viongozi wote wanateuliwa na Rais, iwe mahakama au bunge lazima awe chini ya Mwenyekiti wake ambaye ni Rais. Katiba ya hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom