Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Kiwango cha umasikini na sera ya nchi ya kumiliki ardhi na viwanja ni changamoto kubwa sana! Ukiacha watoto inaonyesha kuwa watu MILLION 40 MPAKA 45 hawana makazi, tatizo ni nini?
Sera ya nchi ya kuhakikisha wananchi wanakuwa na makazi salama inaharibiwa na utaratibu mbovu wa watu kumiliki ardhi, unakuta jitu moja limeshikilia ardhi kijiji kizima.
Sera ya nchi ya kuhakikisha wananchi wanakuwa na makazi salama inaharibiwa na utaratibu mbovu wa watu kumiliki ardhi, unakuta jitu moja limeshikilia ardhi kijiji kizima.