Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ndio Bado tunakopesheka😂😂Our ratio compared to the land capacity is still so low so tuko pazuri tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Bado tunakopesheka😂😂Our ratio compared to the land capacity is still so low so tuko pazuri tu
Watu ambao hawapo busy lazima wazaaneWabongo kuzaana tu hatujambo
Lakini ina nguvu sn kama IsraelKumbe Libya nchi ya Gaddafi ilikuwa na Watu chini ya 5M. Inazidiwa na Dar
Hakuna mtu ambaye anakatazwa kuzaa, nenda hospital za serikali utakuta visichana vidogo vina ujauzito ilihali havina hata mia. Wazazi wao ndio wanachukua mzigo wa kulea wajukuu pamoja na mama zao. Zaa ukiwa na uwezo wa kuwapa mahitaji muhimu sio kuleta viumbe duniani kuwatesa.Mna shida kubwa nyie. Kwa hiyo Watu wasizae?
Idadi ya watu kwa kilomita ya mraba ni ngapi? Hiyo ndiyo ya kulinganisha kati ya nchi moja na nyingine.Our ratio compared to the land capacity is still so low so tuko pazuri tu
Noooo mkuu, wewe ndio mpumbavu, hiyo number 61,741,120M,ndio waliohesabiwa rasmi, na unaelewa huwezi kuhesabu wote yaani ukawa na 100%,je unajua diaspora ina watanzania wangapi?,point hapa ni kuwa tunazaana kama simbilisiSasa na wewe hiyo 63 m imeitoa wapi? Matokeo ya sensa yanaonyesha tuko 61,741,120.
Kweli tz kuna shida kabisa kwenye kupanga na kuamua kuzaa.Hakuna mtu ambaye anakatazwa kuzaa, nenda hospital za serikali utakuta visichana vidogo vina ujauzito ilihali havina hata mia. Wazazi wao ndio wanachukua mzigo wa kulea wajukuu pamoja na mama zao. Zaa ukiwa na uwezo wa kuwapa mahitaji muhimu sio kuleta viumbe duniani kuwatesa.
HaaaHaha....Mkuu Simbilisi ni nini?Noooo mkuu, wewe ndio mpumbavu, hiyo number 61,741,120M,ndio waliohesabiwa rasmi, na unaelewa huwezi kuhesabu wote yaani ukawa na 100%,je unajua diaspora ina watanzania wangapi?,point hapa ni kuwa tunazaana kama simbilisi