Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Uongo
Kada utakuwa na hoja gani zaidi ya hii...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo
Umeolewa lini madam?Wewe 🌈🌈 peleka mzigo huko
Kwa hiyo Machadema mtakuwa mnakatazwa watu wasizae au?Kada utakuwa na hoja gani zaidi ya hii...
Kwa hiyo Machadema mtakuwa mnakatazwa watu wasizae au?
naropoka tu mkuu wa kazi. nami nakuuliza Tanzania unaweza kuifananisha na Mauritius au Botswana kwa uchumi na maendeleo?Unajua Kipimo Cha Uchumi lakini au unaropoka tuu?
Uchumi wa Tanzania(GDP? ni mkubwa kuzidi hizo Nchi ila wametuzidi Ustawi wa watu.naropoka tu mkuu wa kazi. nami nakuuliza Tanzania unaweza kuifananisha na Mauritius au Botswana kwa uchumi na maendeleo?
factor ya GDP isikupambaze mkuu. by the way GDP doesn't account for changes in inequalities in distribution of income. ni lowest factor to go..kuna factor nyingi za msingi mkuu.Uchumi wa Tanzania(GDP? ni mkubwa kuzidi hizo Nchi ila wametuzidi Ustawi wa watu.
Ndio
Zanzibar buku ngapiCountries In Africa By Population:
1. Nigeria 🇳🇬 223,804,632
2. Ethiopia 🇪🇹 126,527,060
3. Egypt 🇪🇬 112,716,598
4. Democratic Republic of Congo 🇨🇩 102,262,808
5. Tanzania 🇹🇿 67,438,106
6. South Africa 🇿🇦 60,414,495
7. Kenya 🇰🇪 55,100,586
8. Sudan 🇸🇩 48,109,006
9. Uganda 🇺🇬 48,582,334
10. Algeria 🇩🇿 45,606,480
11. Morocco 🇲🇦 37,840,044
12. Angola 🇦🇴 36,684,202
13. Ghana 🇬🇭 34,121,985
14. Mozambique 🇲🇿 33,897,354
15. Madagascar 🇲🇬 30,325,732
16. Ivory Coast 🇨🇮 (Côte d'Ivoire) 28,873,034
17. Cameroon 🇨🇲 28,647,293
18. Niger 🇳🇪 27,202,843
19. Burkina Faso 🇧🇫 23,251,485
20. Mali 🇲🇱 23,293,698
21. Malawi 🇲🇼 20,931,751
22. Zambia 🇿🇲 20,569,737
23. Chad 🇹🇩 18,278,568
24. Senegal 🇸🇳 17,763,163
25. Somalia 🇸🇴 18,143,378
26. Zimbabwe 🇿🇼 16,665,409
27. Guinea 🇬🇳 14,190,612
28. Rwanda 🇷🇼 14,094,683
29. Benin 🇧🇯 13,712,828
30. Tunisia 🇹🇳 12,458,223
31. Burundi 🇧🇮 13,238,559
32. South Sudan 🇸🇸 11,088,796
33. Togo 🇹🇬 9,053,799
34. Sierra Leone 🇸🇱 8,791,092
35. Libya 🇱🇾 6,888,388
36. Congo 🇨🇬 6,106,869
37. Central African Republic 🇨🇫 5,742,315
38. Liberia 🇱🇷 5,418,377
39. Mauritania 🇲🇷 4,862,989
40. Eritrea 🇪🇷 3,748,901
41. Gambia 🇬🇲 2,773,168
42. Botswana 🇧🇼 2,675,352
43. Namibia 🇳🇦 2,604,172
44. Gabon 🇬🇦 2,436,566
45. Lesotho 🇱🇸 2,330,318
46. Guinea- Bissau 🇬🇼 2,150,842
47. Equatorial Guinea 🇬🇳 1,714,671
48. Mauritius 🇲🇺 1,300,557
49. Eswatini 🇸🇿 1,210,822
50. Djibouti 🇩🇯 1,136,455
51. Réunion 🇷🇪 981,796
52. Comoros 🇰🇲 852,075
53. Cabo Verde 🇨🇻 598,682
54. Western Sahara 🇪🇭 587,259
55. Mayotte 🇲🇫 335,995
56. Sao Tome & Principe 🇸🇹 231,856
57. Seychelles 🇸🇨 107,660
58. Saint Helena 🇦🇮 5,314
Ndio hivyo mkuu,huko Mambo bomba kabisa.Yes mkuu, ushelisheli kupo super, Mauritius, Namibia [emoji1176] (pole yao kwa kufiwa na president wao ,asubuhi ya leo),na my favorite Botswana
Source pleaseDependency ratio 80%
Unemployment ratio 70%
Umeona Eenhh?!!,Nimeshangaa sana,Yaani mtu anaona kinyaa kwa binadamu mwenzake,ajabu kweli Kweli.Huyo atakuwa hazalishi cyo bure,ndio maana anawaonea kinyaa wenzie
Hivi ni Cabo verde au Cape Verde?Madagascar lazima Wana population density kubwa hiyo idadi ni kubwa mno kwa kisiwa ,binafsi ningependa kuishi Ushelisheli au Cabo Verde hasa Cabo Verde [emoji3590]
Sasa hapo shida inakuwa ni nini?Not necessarily true. Nchi ndogo kibao tu na ni shithole countries like the rest of them in sub-Saharan Africa. Nchi zinazojielewa kidogo sub Sahara Africa zina wageni wengi.
Itakuwa ni Approximation mkuu.Kwenye sensa juzi tulikuwa 60m, mara hii tumeongezeka 7m ,tumeonewa hapo.
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
GDP ndio power ya Nchi,hizo zingine ni porojo tuu.factor ya GDP isikupambaze mkuu. by the way GDP doesn't account for changes in inequalities in distribution of income. ni lowest factor to go..kuna factor nyingi za msingi mkuu.
GDP per capita ya Mauritius na Tz unaifahamu mkuu? kama hoja ni watu. by 2022 ilikua dola 1100 dhidi ya dola 10,000. unaona gap hilo? tukubali ukwelu tuko nyuma na tuna idadi kubwa isio na tija. narudia rasilimali namba 1 ni akili=IQ. ukikosa hii hata muwe lundo au muwe wachache ni kazi bure.
NyumbuMimi sio Chadema na sio CCM...
Nina free mind na inanisaidia kujua upumbavu unaondelea kwenye siasa...
Halafu ni aibu mkuu hizi nchi, Tanzania tumetoa mchango mkubwa mpaka wa damu zetu, ila why sasa tumo kwenye page tofauti?
Mkuu umeongea facts, uchumi wetu unakua kwa less than 4%,na tunazaana kwa more than 3.6%,hii ni ukichaa wa ajabu, hizi royal families wao wameshazihakikishia generations zao stepping stones, je mtoto wa hapa lingusenguse ana equal future?,jibu it's a NONchi kama Mauritania, Libya, Namibia probably ni kubwa kuliko Tanzania na population ni ndogo mno!
Kuna namna Tanzania hatuko Sawa, itafika kipindi nchi hii itakuwa haikaliki na itakuwa too much!
Sikatai tusizaane na kuongezeka ila Twende kwa plan,
Wew niulize population ya Canada na ukubwa wake alafu compare na TZ utacheka mwenyewe.