Tanzania ya 5 kwa wingi wa watu Afrika

Tanzania ya 5 kwa wingi wa watu Afrika

Uchumi wa Tanzania(GDP? ni mkubwa kuzidi hizo Nchi ila wametuzidi Ustawi wa watu.

Ndio
factor ya GDP isikupambaze mkuu. by the way GDP doesn't account for changes in inequalities in distribution of income. ni lowest factor to go..kuna factor nyingi za msingi mkuu.

GDP per capita ya Mauritius na Tz unaifahamu mkuu? kama hoja ni watu. by 2022 ilikua dola 1100 dhidi ya dola 10,000. unaona gap hilo? tukubali ukwelu tuko nyuma na tuna idadi kubwa isio na tija. narudia rasilimali namba 1 ni akili=IQ. ukikosa hii hata muwe lundo au muwe wachache ni kazi bure.
 
Countries In Africa By Population:

1. Nigeria 🇳🇬 223,804,632

2. Ethiopia 🇪🇹 126,527,060

3. Egypt 🇪🇬 112,716,598

4. Democratic Republic of Congo 🇨🇩 102,262,808

5. Tanzania 🇹🇿 67,438,106

6. South Africa 🇿🇦 60,414,495

7. Kenya 🇰🇪 55,100,586

8. Sudan 🇸🇩 48,109,006

9. Uganda 🇺🇬 48,582,334

10. Algeria 🇩🇿 45,606,480

11. Morocco 🇲🇦 37,840,044

12. Angola 🇦🇴 36,684,202

13. Ghana 🇬🇭 34,121,985

14. Mozambique 🇲🇿 33,897,354

15. Madagascar 🇲🇬 30,325,732

16. Ivory Coast 🇨🇮 (Côte d'Ivoire) 28,873,034

17. Cameroon 🇨🇲 28,647,293

18. Niger 🇳🇪 27,202,843

19. Burkina Faso 🇧🇫 23,251,485

20. Mali 🇲🇱 23,293,698

21. Malawi 🇲🇼 20,931,751

22. Zambia 🇿🇲 20,569,737

23. Chad 🇹🇩 18,278,568

24. Senegal 🇸🇳 17,763,163

25. Somalia 🇸🇴 18,143,378

26. Zimbabwe 🇿🇼 16,665,409

27. Guinea 🇬🇳 14,190,612

28. Rwanda 🇷🇼 14,094,683

29. Benin 🇧🇯 13,712,828

30. Tunisia 🇹🇳 12,458,223

31. Burundi 🇧🇮 13,238,559

32. South Sudan 🇸🇸 11,088,796

33. Togo 🇹🇬 9,053,799

34. Sierra Leone 🇸🇱 8,791,092

35. Libya 🇱🇾 6,888,388

36. Congo 🇨🇬 6,106,869

37. Central African Republic 🇨🇫 5,742,315

38. Liberia 🇱🇷 5,418,377

39. Mauritania 🇲🇷 4,862,989

40. Eritrea 🇪🇷 3,748,901

41. Gambia 🇬🇲 2,773,168

42. Botswana 🇧🇼 2,675,352

43. Namibia 🇳🇦 2,604,172

44. Gabon 🇬🇦 2,436,566

45. Lesotho 🇱🇸 2,330,318

46. Guinea- Bissau 🇬🇼 2,150,842

47. Equatorial Guinea 🇬🇳 1,714,671

48. Mauritius 🇲🇺 1,300,557

49. Eswatini 🇸🇿 1,210,822

50. Djibouti 🇩🇯 1,136,455

51. Réunion 🇷🇪 981,796

52. Comoros 🇰🇲 852,075

53. Cabo Verde 🇨🇻 598,682

54. Western Sahara 🇪🇭 587,259

55. Mayotte 🇲🇫 335,995

56. Sao Tome & Principe 🇸🇹 231,856

57. Seychelles 🇸🇨 107,660

58. Saint Helena 🇦🇮 5,314
Zanzibar buku ngapi
 
Nchi kama Mauritania, Libya, Namibia probably ni kubwa kuliko Tanzania na population ni ndogo mno!

Kuna namna Tanzania hatuko Sawa, itafika kipindi nchi hii itakuwa haikaliki na itakuwa too much!

Sikatai tusizaane na kuongezeka ila Twende kwa plan,

Wew niulize population ya Canada na ukubwa wake alafu compare na TZ utacheka mwenyewe.
 
factor ya GDP isikupambaze mkuu. by the way GDP doesn't account for changes in inequalities in distribution of income. ni lowest factor to go..kuna factor nyingi za msingi mkuu.

GDP per capita ya Mauritius na Tz unaifahamu mkuu? kama hoja ni watu. by 2022 ilikua dola 1100 dhidi ya dola 10,000. unaona gap hilo? tukubali ukwelu tuko nyuma na tuna idadi kubwa isio na tija. narudia rasilimali namba 1 ni akili=IQ. ukikosa hii hata muwe lundo au muwe wachache ni kazi bure.
GDP ndio power ya Nchi,hizo zingine ni porojo tuu.

Bila GDP saizi USA angekuwa ameshamchalaza bakora China kitambo sana
 
Nchi kama Mauritania, Libya, Namibia probably ni kubwa kuliko Tanzania na population ni ndogo mno!

Kuna namna Tanzania hatuko Sawa, itafika kipindi nchi hii itakuwa haikaliki na itakuwa too much!

Sikatai tusizaane na kuongezeka ila Twende kwa plan,

Wew niulize population ya Canada na ukubwa wake alafu compare na TZ utacheka mwenyewe.
Mkuu umeongea facts, uchumi wetu unakua kwa less than 4%,na tunazaana kwa more than 3.6%,hii ni ukichaa wa ajabu, hizi royal families wao wameshazihakikishia generations zao stepping stones, je mtoto wa hapa lingusenguse ana equal future?,jibu it's a NO
 
Back
Top Bottom