Tanzania ya 5 kwa wingi wa watu Afrika

Tanzania ya 5 kwa wingi wa watu Afrika

Madagascar lazima Wana population density kubwa hiyo idadi ni kubwa mno kwa kisiwa ,binafsi ningependa kuishi Ushelisheli au Cabo Verde hasa Cabo Verde [emoji3590]
 
Countries In Africa By Population:

1. Nigeria 🇳🇬 223,804,632

2. Ethiopia 🇪🇹 126,527,060

3. Egypt 🇪🇬 112,716,598

4. Democratic Republic of Congo 🇨🇩 102,262,808

5. Tanzania 🇹🇿 67,438,106

6. South Africa 🇿🇦 60,414,495

7. Kenya 🇰🇪 55,100,586

8. Sudan 🇸🇩 48,109,006

9. Uganda 🇺🇬 48,582,334

10. Algeria 🇩🇿 45,606,480

11. Morocco 🇲🇦 37,840,044

12. Angola 🇦🇴 36,684,202

13. Ghana 🇬🇭 34,121,985

14. Mozambique 🇲🇿 33,897,354

15. Madagascar 🇲🇬 30,325,732

16. Ivory Coast 🇨🇮 (Côte d'Ivoire) 28,873,034

17. Cameroon 🇨🇲 28,647,293

18. Niger 🇳🇪 27,202,843

19. Burkina Faso 🇧🇫 23,251,485

20. Mali 🇲🇱 23,293,698

21. Malawi 🇲🇼 20,931,751

22. Zambia 🇿🇲 20,569,737

23. Chad 🇹🇩 18,278,568

24. Senegal 🇸🇳 17,763,163

25. Somalia 🇸🇴 18,143,378

26. Zimbabwe 🇿🇼 16,665,409

27. Guinea 🇬🇳 14,190,612

28. Rwanda 🇷🇼 14,094,683

29. Benin 🇧🇯 13,712,828

30. Tunisia 🇹🇳 12,458,223

31. Burundi 🇧🇮 13,238,559

32. South Sudan 🇸🇸 11,088,796

33. Togo 🇹🇬 9,053,799

34. Sierra Leone 🇸🇱 8,791,092

35. Libya 🇱🇾 6,888,388

36. Congo 🇨🇬 6,106,869

37. Central African Republic 🇨🇫 5,742,315

38. Liberia 🇱🇷 5,418,377

39. Mauritania 🇲🇷 4,862,989

40. Eritrea 🇪🇷 3,748,901

41. Gambia 🇬🇲 2,773,168

42. Botswana 🇧🇼 2,675,352

43. Namibia 🇳🇦 2,604,172

44. Gabon 🇬🇦 2,436,566

45. Lesotho 🇱🇸 2,330,318

46. Guinea- Bissau 🇬🇼 2,150,842

47. Equatorial Guinea 🇬🇳 1,714,671

48. Mauritius 🇲🇺 1,300,557

49. Eswatini 🇸🇿 1,210,822

50. Djibouti 🇩🇯 1,136,455

51. Réunion 🇷🇪 981,796

52. Comoros 🇰🇲 852,075

53. Cabo Verde 🇨🇻 598,682

54. Western Sahara 🇪🇭 587,259

55. Mayotte 🇲🇫 335,995

56. Sao Tome & Principe 🇸🇹 231,856

57. Seychelles 🇸🇨 107,660

58. Saint Helena 🇦🇮 5,314
Saint Helena Iko Africa?
 
Countries In Africa By Population:

1. Nigeria 🇳🇬 223,804,632

2. Ethiopia 🇪🇹 126,527,060

3. Egypt 🇪🇬 112,716,598

4. Democratic Republic of Congo 🇨🇩 102,262,808

5. Tanzania 🇹🇿 67,438,106

6. South Africa 🇿🇦 60,414,495

7. Kenya 🇰🇪 55,100,586

8. Sudan 🇸🇩 48,109,006

9. Uganda 🇺🇬 48,582,334

10. Algeria 🇩🇿 45,606,480

11. Morocco 🇲🇦 37,840,044

12. Angola 🇦🇴 36,684,202

13. Ghana 🇬🇭 34,121,985

14. Mozambique 🇲🇿 33,897,354

15. Madagascar 🇲🇬 30,325,732

16. Ivory Coast 🇨🇮 (Côte d'Ivoire) 28,873,034

17. Cameroon 🇨🇲 28,647,293

18. Niger 🇳🇪 27,202,843

19. Burkina Faso 🇧🇫 23,251,485

20. Mali 🇲🇱 23,293,698

21. Malawi 🇲🇼 20,931,751

22. Zambia 🇿🇲 20,569,737

23. Chad 🇹🇩 18,278,568

24. Senegal 🇸🇳 17,763,163

25. Somalia 🇸🇴 18,143,378

26. Zimbabwe 🇿🇼 16,665,409

27. Guinea 🇬🇳 14,190,612

28. Rwanda 🇷🇼 14,094,683

29. Benin 🇧🇯 13,712,828

30. Tunisia 🇹🇳 12,458,223

31. Burundi 🇧🇮 13,238,559

32. South Sudan 🇸🇸 11,088,796

33. Togo 🇹🇬 9,053,799

34. Sierra Leone 🇸🇱 8,791,092

35. Libya 🇱🇾 6,888,388

36. Congo 🇨🇬 6,106,869

37. Central African Republic 🇨🇫 5,742,315

38. Liberia 🇱🇷 5,418,377

39. Mauritania 🇲🇷 4,862,989

40. Eritrea 🇪🇷 3,748,901

41. Gambia 🇬🇲 2,773,168

42. Botswana 🇧🇼 2,675,352

43. Namibia 🇳🇦 2,604,172

44. Gabon 🇬🇦 2,436,566

45. Lesotho 🇱🇸 2,330,318

46. Guinea- Bissau 🇬🇼 2,150,842

47. Equatorial Guinea 🇬🇳 1,714,671

48. Mauritius 🇲🇺 1,300,557

49. Eswatini 🇸🇿 1,210,822

50. Djibouti 🇩🇯 1,136,455

51. Réunion 🇷🇪 981,796

52. Comoros 🇰🇲 852,075

53. Cabo Verde 🇨🇻 598,682

54. Western Sahara 🇪🇭 587,259

55. Mayotte 🇲🇫 335,995

56. Sao Tome & Principe 🇸🇹 231,856

57. Seychelles 🇸🇨 107,660

58. Saint Helena 🇦🇮 5,314

Pamoja na kuwa na watu wengi hivyo, karibia 99% ya population ni vilaza...

Mataifa mengine yanatumia vizuri wingi wa watu wake kuleta maendeleo, Tanzania ni kinyume kwa sababu kadiri watu wanavyoongezeka ndivyo umaskini na vilaza wanavyozidi kuwa wengi...
 
Katika hao 67m, huenda kundi la wazalishaji ni 15m tu. Na hao wengi wapo kwenye "fremconomics", yaani sio wazalishaji bali wananunua bidhaa na kuuza.
Naamini waliopo kwenye production na manufacturing sector kwa nchi hii hata milioni hawafiki.
 
katiza mbeya na usukumani watoto wamezaa watoto
hapo hujamgusa mpemba na ukanda wa pwani kazi kazi [emoji23]
kwenye kuzaana hovyo ukiondoa wasukuma nadhani wapemba wanashika namba moja nchi hii.

kuna siku nikiwa mitaa ya buguruni nilishudia familia moja ya kipemba ikishuka kwenye daladala mpaka nikapigwa na butwaa.

mdada na vitoto vyake nane vyote vimepishana umri wa mwaka mmoja, kibaya zaidi vitoto vingine vilikuwa na muonekano dhaifu kiafya.

kwa harakaharaka umri wa yule dada ni 29 au 30.
 
Ila kuna Vinchi vina watu wachache sana utadhani ni kijiji.Ndio Maana zinatawalika kirahisi,Maana ni rahisi kusambaza huduma za kijamii km vile barabara,Maji,hospitali,shule,Umeme ,nk.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app

Not necessarily true. Nchi ndogo kibao tu na ni shithole countries like the rest of them in sub-Saharan Africa. Nchi zinazojielewa kidogo sub Sahara Africa zina wageni wengi.
 
Katika hao 67m, huenda kundi la wazalishaji ni 15m tu. Na hao wengi wapo kwenye "fremconomics", yaani sio wazalishaji bali wananunua bidhaa na kuuza.
Naamini waliopo kwenye production na manufacturing sector kwa nchi hii hata milioni hawafiki.

Nchi ya wachuuzi hii na uchumi wa frames hadi jeshi linashindana kufungua frames.
 
hapo kuna nchi zina watu mil 1 na bado zimeizidi tanzania uchumi. nchi hii ni kituko. tuko na wingi usio na faida. wazungu wanipe tenda ya kuanzisha kiwanda cha kuwauzia kinywaj pendwa cha watanzania energy drink 300 tuweke dawa za kupunguza watu.

Kama Ipi?
 
Kuna nadharia Mlezi wangu alikua ananiambia mara nyingi; yeye anaamini maendeleo ni Directly proportional with population growth.

Mifano yake ilikua ni China, India, na Nigeria. Anasema Tanzania itapiga hatua karibuni kwa sababu ya population growth.

Anao marafiki zake wazawa na wakaazi wa Scandinavian countries nadhani ndio waliompa hiyo nadharia.

Nakumbuka aliniambia wao Scandinavian wanataka wafanye population growth haiwezekani tena kwao, wanawake hawako tayari tena kuzaa na kulea, kuna baadhi ya nchi zimeanza kuwalipa wanawake ili wazae watoto wengi na wawanyonyeshe (maternal leave allowance, new parents grants, along with child allowances and other family benefits) imeishia kuwa wanaolipwa ni Raia waliohamia hasa kutoka Palestina.

Kwa mfano Norway kuna Norwegian Labour and Welfare Administration (NAV) inahusika na hayo malipo, ila once wanawake wakiamini kwamba ni haki yao kutokuzaa, ni ngumu sana kuwaaminisha otherwise.
 
Countries In Africa By Population:

1. Nigeria [emoji1184] 223,804,632

2. Ethiopia [emoji1098] 126,527,060

3. Egypt [emoji1093] 112,716,598

4. Democratic Republic of Congo [emoji1078] 102,262,808

5. Tanzania [emoji1241] 67,438,106

6. South Africa [emoji1221] 60,414,495

7. Kenya [emoji1139] 55,100,586

8. Sudan [emoji1232] 48,109,006

9. Uganda [emoji1254] 48,582,334

10. Algeria [emoji1026] 45,606,480

11. Morocco [emoji1173] 37,840,044

12. Angola [emoji1029] 36,684,202

13. Ghana [emoji1110] 34,121,985

14. Mozambique [emoji1174] 33,897,354

15. Madagascar [emoji1155] 30,325,732

16. Ivory Coast [emoji1081] (Côte d'Ivoire) 28,873,034

17. Cameroon [emoji1062] 28,647,293

18. Niger [emoji1183] 27,202,843

19. Burkina Faso [emoji1059] 23,251,485

20. Mali [emoji1159] 23,293,698

21. Malawi [emoji1156] 20,931,751

22. Zambia [emoji1268] 20,569,737

23. Chad [emoji1070] 18,278,568

24. Senegal [emoji1211] 17,763,163

25. Somalia [emoji1220] 18,143,378

26. Zimbabwe [emoji1269] 16,665,409

27. Guinea [emoji1119] 14,190,612

28. Rwanda [emoji1206] 14,094,683

29. Benin [emoji1047] 13,712,828

30. Tunisia [emoji1249] 12,458,223

31. Burundi [emoji1060] 13,238,559

32. South Sudan [emoji1223] 11,088,796

33. Togo [emoji1244] 9,053,799

34. Sierra Leone [emoji1214] 8,791,092

35. Libya [emoji1149] 6,888,388

36. Congo [emoji1077] 6,106,869

37. Central African Republic [emoji1068] 5,742,315

38. Liberia [emoji1148] 5,418,377

39. Mauritania [emoji1163] 4,862,989

40. Eritrea [emoji1096] 3,748,901

41. Gambia [emoji1108] 2,773,168

42. Botswana [emoji1052] 2,675,352

43. Namibia [emoji1176] 2,604,172

44. Gabon [emoji1107] 2,436,566

45. Lesotho [emoji1147] 2,330,318

46. Guinea- Bissau [emoji1120] 2,150,842

47. Equatorial Guinea [emoji1119] 1,714,671

48. Mauritius [emoji1164] 1,300,557

49. Eswatini [emoji1235] 1,210,822

50. Djibouti [emoji1089] 1,136,455

51. Réunion [emoji1204] 981,796

52. Comoros [emoji1076] 852,075

53. Cabo Verde [emoji1065] 598,682

54. Western Sahara [emoji1266] 587,259

55. Mayotte [emoji1229] 335,995

56. Sao Tome & Principe [emoji1209] 231,856

57. Seychelles [emoji1213] 107,660

58. Saint Helena [emoji1030] 5,314
Sensa yetu ilisema yuko wangapi vile? Naona kama haiendani na iliyotolewa hapa.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
kwenye kuzaana hovyo ukiondoa wasukuma nadhani wapemba wanashika namba moja nchi hii.

kuna siku nikiwa mitaa ya buguruni nilishudia familia moja ya kipemba ikishuka kwenye daladala mpaka nikapigwa na butwaa.

mdada na vitoto vyake nane vyote vimepishana umri wa mwaka mmoja, kibaya zaidi vitoto vingine vilikuwa na muonekano dhaifu kiafya.

kwa harakaharaka umri wa yule dada ni 29 au 30.
Uzuri wao hakuna Mpemba ombaomba unless awe anaugua akili. Wanabebana wenyewe kwa wenyewe.
 
Kuna nadharia Mlezi wangu alikua ananiambia mara nyingi; yeye anaamini maendeleo ni Directly proportional with population growth.

Mifano yake ilikua ni China, India, na Nigeria. Anasema Tanzania itapiga hatua karibuni kwa sababu ya population growth.

Anao marafiki zake wazawa na wakaazi wa Scandinavian countries nadhani ndio waliompa hiyo nadharia.

Nakumbuka aliniambia wao Scandinavian wanataka wafanye population growth haiwezekani tena kwao, wanawake hawako tayari tena kuzaa na kulea, kuna baadhi ya nchi zimeanza kuwalipa wanawake ili wazae watoto wengi na wawanyonyeshe (maternal leave allowance, new parents grants, along with child allowances and other family benefits) imeishia kuwa wanaolipwa ni Raia waliohamia hasa kutoka Palestina.

Kwa mfano Norway kuna Norwegian Labour and Welfare Administration (NAV) inahusika na hayo malipo, ila once wanawake wakiamini kwamba ni haki yao kutokuzaa, ni ngumu sana kuwaaminisha otherwise.
hizo nchi watu wana IQ. usifananishe na nchi hii yenye watu wehu akili kisoda.
 
Back
Top Bottom