Tanzania ya 8 kutoka mwisho ripoti ya furaha Duniani

Tanzania ya 8 kutoka mwisho ripoti ya furaha Duniani

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Tanzania yaendelea kuangukia pua world happiness report 2023 baada ya kuwa kundi moja na nchi za Haiti, Afghanstan, Congo, Rwanda, Malawi na Lesotho.

Vigezo vilivyotumika ni pamoja na upatikanaji wa haki, Rushwa, Matarajio ya maisha marefu, pato la mtu mmoja kitaifa, Ukarimu, Usaidizi wa Jamii pamoja na uhuru wa kufanya maamuzi katika maisha.

Nchi zinazoongoza ni pamoja na Finland, Denmark, Iceland, Switzerland, Netherlands, Norway, Luxembourg, Australia na Austria, Marekani ni ya 15.

Wazee wa kulamba asali na hili mkalitazame😂
 

Attachments

  • WHR23.pdf
    WHR23.pdf
    204.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20230325-105653_Chrome.jpg
    Screenshot_20230325-105653_Chrome.jpg
    128 KB · Views: 9
Tanzania yaendelea kuangukia pua world happiness report 2023 baada ya kuwa kundi moja na nchi za Haiti, Afghanstan, Congo, Rwanda, Malawi na Lesotho.

Vigezo vilivyotumika ni pamoja na upatikanaji wa haki, Rushwa, Matarajio ya maisha marefu, pato la mtu mmoja kitaifa, Ukarimu, Usaidizi wa Jamii pamoja na uhuru wa kufanya maamuzi katika maisha.
Nchi zinazoongoza ni pamoja na Finland, Denmark, Iceland, Switzerland, Netherlands, Norway, Luxembourg, Australia na Austria, Marekani ni ya 15.

Wazee wa kulamba asali na hili mkalitazame😂
Hata Burundi wana furaha kuliko sisi.
 
Tanzania yaendelea kuangukia pua world happiness report 2023 baada ya kuwa kundi moja na nchi za Haiti, Afghanstan, Congo, Rwanda, Malawi na Lesotho.

Vigezo vilivyotumika ni pamoja na upatikanaji wa haki, Rushwa, Matarajio ya maisha marefu, pato la mtu mmoja kitaifa, Ukarimu, Usaidizi wa Jamii pamoja na uhuru wa kufanya maamuzi katika maisha.
Nchi zinazoongoza ni pamoja na Finland, Denmark, Iceland, Switzerland, Netherlands, Norway, Luxembourg, Australia na Austria, Marekani ni ya 15.

Wazee wa kulamba asali na hili mkalitazame😂
Kipindi kile watanzania walikua hawana furaha kabisa, sasa hivi Sukuma gang nao hawana furaha mdiyo wanapelekea takwimu kubaki vilevile
 
Kwahiyo hii kauli ya kina nape ya kwamba mamayao kawafuta machozi ina maana gani?
 
Tutaendelea kupanda mpaka tume ya haki jinai imalize kazi yake ndo tutafurahi maana tulipewa ndimu sana enzi zile.
 
Tanzania yaendelea kuangukia pua world happiness report 2023 baada ya kuwa kundi moja na nchi za Haiti, Afghanstan, Congo, Rwanda, Malawi na Lesotho.

Vigezo vilivyotumika ni pamoja na upatikanaji wa haki, Rushwa, Matarajio ya maisha marefu, pato la mtu mmoja kitaifa, Ukarimu, Usaidizi wa Jamii pamoja na uhuru wa kufanya maamuzi katika maisha.

Nchi zinazoongoza ni pamoja na Finland, Denmark, Iceland, Switzerland, Netherlands, Norway, Luxembourg, Australia na Austria, Marekani ni ya 15.

Wazee wa kulamba asali na hili mkalitazame😂
Hawa wana wivu ,tz kwa sasa tunatoa mpaka misaada ,watukome

Viongozi wetu wana mav8 ya kuanzia m500, japo mfumuko wa bei upo juu, wafanyakazi wa uma hoi, wanatuonea wivu wa kiuchumi

Note Angalau sasa ni kama kumekua na utulivu wa kisiasa kwa hili napongeza kutoka moyoni kabisa ila bado kuna tatizo mahabusu kujinyonga vituo vya police
 
Furaha itoke wapi wakati mchele kilo 3500-4000

Furaha itoke wapi wakati kilo ya sembe ni kuanzia 2000

Furaha itoke wapi wakati kilo ya maharage ni kuanzia 3000-4000?

Kama staple foods tu mwananchi wa hali ya chini anakuna kichwa kufikiria atanunuaje ,je unadhani furaha itatoka wapi?

Tumefikia mahali kula ubwabwa ni anasa?
 
Hapo ndio hakuna vita wala machafuko. Kweli uhakika wa chakula na uhakika wa huduma za kijamii ni jambo la msingi mno.
 
Furaha itoke wapi wakati mchele kilo 3500-4000

Furaha itoke wapi wakati kilo ya sembe ni kuanzia 2000

Furaha itoke wapi wakati kilo ya maharage ni kuanzia 3000-4000?

Kama staple foods tu mwananchi wa hali ya chini anakuna kichwa kufikiria atanunuaje ,je unadhani furaha itatoka wapi?

Tumefikia mahali kula ubwabwa ni anasa?
Hahah Yaani Hakuna kabisa
 
😂😂😂😂😂😂😂🤗🤗🤗🤗🤣🤣🤣🤣😋

Mapambio yote haya yanayopita kila siku kusimanga sukuma gang na kusema mama ameleta tabasamu?

Hawa mabeberu dawa yao ni sisi wenyewe tujiandalie report kama hizi!
 
nilimsikia mtoto wa Nyerere akisema watanzania tunapenda kiki.
naweza pia kuwa tunapenda kulalamika kwa hiyo tutaonyeshaje furaha wakati tunalalamika
 
Back
Top Bottom