Tanzania ya 8 kutoka mwisho ripoti ya furaha Duniani

Aaaah si walisema mama karudisha tabasamu na furaha kwa wanainchi?watu wana lamba tu, au jamaa wanataka tu kutuchafua?
Wanaopimwa furaha yao ni CHADEMA, ni kweli hawana raha. Hizi tafiti hufanywa kwa Internet, kwao kuna Internet. Ila watu wa Nzega na Tunduru na Bahi na Chunya na Sunbawanga hata tafiti haziwaguzi. Ni mani alienda Afghanistan au Kongo au Kenya au Rwanda akute watu wanachinjana huku wakiwa na furaha zaidi kuliko Micheweni na Handeni na Ibadakuli, can you believe that?
 
Kipimo cha kwanza ni ushoga na cha pili ni ndoa za jinsia moja na cha tatu ni kuiba makanikia ya thirdworld cha nne ni.kimbilio cha wasaliti kama tundulissu cha tano ni uraiapacha.
 
Zote shoga country, very happy kuiba makanikia yetu wakitetewa na raia wao mpya tundulissu.
Unaumia? Wewe usie shoga mbona hupiganii rasilimali zako zisiibiwe? Hizo manii zilokuzaa bora zingetupwa na condom!
 
Siyo sasa hivi labda wakati ule
 
Mtakuwaje na furaha wakati huduma za jamii ni hafifu na wengine wakifuja fedha ya umma?

 
Yani tabu tupu mwanzo mwenga ndio mana napambana wanangu wasihangaike kama mimi. Allah baarik 🤲
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…