Tanzania ya KWANZA East Africa na ya PILI Africa kwa usambazaji umeme(eletric power).

Tanzania ya KWANZA East Africa na ya PILI Africa kwa usambazaji umeme(eletric power).

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya pili Barani Afrika kwa usambaziji huduma ya umeme kwa wananchi, ikiongozwa na Afrika kusini.

Kwa mujibu wa Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani, hadi sasa Tanzania imeshasambaza umeme katika vijiji 8102 sawa na 70%
 
Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya pili Barani Afrika kwa usambaziji huduma ya umeme kwa wananchi, ikiongozwa na Afrika kusini.

Kwa mujibu wa Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani, hadi sasa Tanzania imeshasambaza umeme katika vijiji 8102 sawa na 70%
Ili kupata wastani wa nchi nzima ya usambazaji wa umeme, unajumlisha asilimia ya vijijini na mjini na unagawa kwa mbili. Tanzania mijini ni 90%, kwahiyo jumla kuu " Tanzania electricity connectivity ni 75 -80%.
 
CCM ni wapishi maarufu wa data.. AKA chief chef màgufool
 
Nani kaitaja?
Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya pili Barani Afrika kwa usambaziji huduma ya umeme kwa wananchi, ikiongozwa na Afrika kusini.

Kwa mujibu wa Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani, hadi sasa Tanzania imeshasambaza umeme katika vijiji 8102 sawa na 70%

[/QUOT
 
Tanzania power connection stands at 32% as at July 2019 with an installed capacity of 1500MW. Dar es salaam is the leading region with 70% electricity connection. Hizo zingine ni zenyu[emoji23][emoji23]
Screenshot_20191025-145811.jpeg
 
Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya pili Barani Afrika kwa usambaziji huduma ya umeme kwa wananchi, ikiongozwa na Afrika kusini.

Kwa mujibu wa Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani, hadi sasa Tanzania imeshasambaza umeme katika vijiji 8102 sawa na 70%
My first question, nani kaitaja Tanzania?
We all know how your ministers and President cheated you that Tz is growing at an average of 7% kumbe ni 4%. So I want to know that person or organization that has done the ranking. I dare anybody brave enough to answer my question.
 
CCM kasema [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbavu zangu
 
Back
Top Bottom