Tanzania ya KWANZA East Africa na ya PILI Africa kwa usambazaji umeme(eletric power).

Tanzania ya KWANZA East Africa na ya PILI Africa kwa usambazaji umeme(eletric power).

You're allergic to facts that's why you'll never use credible and reliable sources. You always use Twitter to console yourselves.
 
Usiamie kwenye kingereza...haikufanyi kuonekana wewe ni mwelevu zaidi...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116] Sio mimi na hawa. [emoji116][emoji116][emoji116]
Continue cooking your data
 
Yani huyo waziri kawalisha matango pori...yani hata hajishtukizii, imetajwa wapi kuwa ya pili africa..jamani[emoji1787][emoji1787]
Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya pili Barani Afrika kwa usambaziji huduma ya umeme kwa wananchi, ikiongozwa na Afrika kusini.

Kwa mujibu wa Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani, hadi sasa Tanzania imeshasambaza umeme katika vijiji 8102 sawa na 70%
 
Mulisaa je walichokiandika hawa jamaa ni kwel
Hivi unajua maana ya forecast[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116] Between IMF and world bank who do you trust...??[emoji23][emoji23][emoji23] Nipatie ya world bank
Screenshot_20191025-142002_Lite.jpeg
 
Leo nimewashika pabaya. Tell us who ranked you number two in Africa
Kwa hiyo unataka kubisha...??😂😂😂If you cant afford to buy electric meters can you be number one...😂😂😂Wewe ni nyani tena uliyekosa matunzo..😂😂😂👇👇👇
 
Back
Top Bottom