Tanzania ya KWANZA East Africa na ya PILI Africa kwa usambazaji umeme(eletric power).

Tanzania ya KWANZA East Africa na ya PILI Africa kwa usambazaji umeme(eletric power).

Umeme wa vijijini (REA) hiyo program ilipitishwa wakati wa kikwete kama sijakosea na tunachangia kwenye mafuta (petrol,diesel &kerosene) kwa ajili ya kuwezesha uungwanishaji umeme vijijini.Tungekuwa makini mpka sasa tulitakiwa vijiji vyote viwe vimeshapatiwa umeme maana gharama yake tayari imechangiwa na yeyote ambaye anatumia hizo bidhaa .Tuwapongeze kwa kuendeleza kwa kazi zaidi


Jambo kubwa ni la kupongeza kwa walipofikia na waongeze bidii ili watanzania wote waweze kupata umeme na ingependeza zaidi kama ofisi zote za serikali zingewekewa kipao mbele zikiwemo ofisi za serikali za mitaa ,mashule yote na zahanati zote japokuwa kiasi cha umeme ambacho kipo kwa sasa kipo chini ya viwango vinavyotakiwa kimataifa (UNESCO report) lakini kuendelee na uunganishaji then mradi wa bwawa la mto Rufiji litasaidia pindi likikamilika

Tuache kusema mara sisi ni wa kwanza sijui East Africa sijui Africa ,hayo yote hayasaidii chochote maana hakuna sehemu ambayo tunafanya mashindano, sisi tupambane kusaidia taifa hayo mambo ya sisi ni wanganpi hayasaidii chochote
 
Hahahaha, mtaendelea kuweweseka sana tu. Sasa hivi ATCL ina jumla ya ndege 11, mpya 8 za zamani 3. KQ bado mpo na ndege tatu pekee.
Wenzako ndio wanaweweseka, Mimi nimekuwekea chanzo Cha habari na manung'uniko ya wabongo wenzako.
Halafu hebu yupe profit and loss account ya ATCL
 
Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya pili Barani Afrika kwa usambaziji huduma ya umeme kwa wananchi, ikiongozwa na Afrika kusini.

Kwa mujibu wa Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani, hadi sasa Tanzania imeshasambaza umeme katika vijiji 8102 sawa na 70%

Mh!
 
Takwimu zinaweza zisiwe sahihi ila kwa hakika kuna kazi nzuri inafanywa na shirika LA umeme. Babu na bibi huko vijijini ndani sana hawakuwai kufikiria kupata umeme, juzi nimeenda nakuta nyumba ZINA umeme
 
Hivi watu wanajua maana ya kusambaza umeme au maji vijijini? Mnahesabu idadi ya vijiji huduma ilipo pita au idadi ya kaya zinazopata huduma hiyo?

Hawa viongozi waandaji wa takwimu wamezaliwa na kukulia mijini? wanatembelea vijiji?

You are a very smart person.
 
Ili kupata wastani wa nchi nzima ya usambazaji wa umeme, unajumlisha asilimia ya vijijini na mjini na unagawa kwa mbili. Tanzania mijini ni 90%, kwahiyo jumla kuu " Tanzania electricity connectivity ni 75 -80%.

Serously, you need a Mathematics class.
 
CCM ni wapishi maarufu wa data.. AKA chief chef màgufool
Na data zao wakipika zinakuwa tamu kweli kweli.Hasa wakichanganya na nyanya, vitunguu, chumvi halafu waweke na pilipili kwa mbaaaali!!!
 
Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya pili Barani Afrika kwa usambaziji huduma ya umeme kwa wananchi, ikiongozwa na Afrika kusini.

Kwa mujibu wa Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani, hadi sasa Tanzania imeshasambaza umeme katika vijiji 8102 sawa na 70%


Mimi naamini hilo, maana nilikuwa likizo lady June, REA was a story ya mjini.
😁😂🤣
 
Hivi watu wanajua maana ya kusambaza umeme au maji vijijini? Mnahesabu idadi ya vijiji huduma ilipo pita au idadi ya kaya zinazopata huduma hiyo?

Hawa viongozi waandaji wa takwimu wamezaliwa na kukulia mijini? wanatembelea vijiji?
Hapo wanazungumzia accessibility lakini connectivity iko chini sana sababu watzn wengi ni maskini mno ko kuweza kumudu bills za kila mwezi hawawezi
 
Surely how does 1500MW translate to 70 percent connectivity for a country as big as Tanzania.....is common sense this scarce? I feel like some people are being paid to participate in this forum .... I see no other reasonable explanation!!!
 
Hapo wanazungumzia accessibility lakini connectivity iko chini sana sababu watzn wengi ni maskini mno ko kuweza kumudu bills za kila mwezi hawawezi
Mmmmh vijijini huko umeme wanaweka elfu 5 kwa miezi mitatu, kwanza ukishalipa hiyo elfu 23 ya kuunganishiwa umeme kuna units za bure unapewa, nafikiri units 100, hizo kuna watu wanakaa nazo mwaka mzima sababu matumizi yao yapo chini, kuwasha taa, kuchaji simu, TV, radio imeisha
 
Kabisa kabisa tena baada ya 2022 tutakuwa number one in Africa

REA mkombozi, vijijini 80% kote umeme umefika Tanzania yote, kiukweli ni maajabu makubwa kama kwenye vituo vya afya na hospitali za Wilaya zimejengwa kwa mamia ndani ya miaka miwili tu.
 
Umeme wa vijijini (REA) hiyo program ilipitishwa wakati wa kikwete kama sijakosea na tunachangia kwenye mafuta (petrol,diesel &kerosene) kwa ajili ya kuwezesha uungwanishaji umeme vijijini.Tungekuwa makini mpka sasa tulitakiwa vijiji vyote viwe vimeshapatiwa umeme maana gharama yake tayari imechangiwa na yeyote ambaye anatumia hizo bidhaa .Tuwapongeze kwa kuendeleza kwa kazi zaidi


Jambo kubwa ni la kupongeza kwa walipofikia na waongeze bidii ili watanzania wote waweze kupata umeme na ingependeza zaidi kama ofisi zote za serikali zingewekewa kipao mbele zikiwemo ofisi za serikali za mitaa ,mashule yote na zahanati zote japokuwa kiasi cha umeme ambacho kipo kwa sasa kipo chini ya viwango vinavyotakiwa kimataifa (UNESCO report) lakini kuendelee na uunganishaji then mradi wa bwawa la mto Rufiji litasaidia pindi likikamilika

Tuache kusema mara sisi ni wa kwanza sijui East Africa sijui Africa ,hayo yote hayasaidii chochote maana hakuna sehemu ambayo tunafanya mashindano, sisi tupambane kusaidia taifa hayo mambo ya sisi ni wanganpi hayasaidii chochote
Hata sasa ukinunua umeme 20% kuna levy ya REA, soma transcripts za LUKU vizuri wameandika

2022 Tanzania yote itakua na umeme, uzuri tunayo ziada ya umeme zaidi ya megawatts 600 zote hizi hazina matumizi na hata tukiwasha umeme kwa households zote nchini especially vijijini bado tutakuwa na megawatts nyingi ambazo hazina kazi.
 
Back
Top Bottom