Tanzania ya Rais Samia yaipiku Kenya Kiuchumi kama kinara wa Afrika Mashariki

Nilijua ntakuta numbers and statistics humu kumbe blahblahblah,kijana unapoongelea uchumi hutakiwi kuongelea blahblah weka namba za uthibitisho hili tukubaliane na wewe
 
Nilijua ntakuta numbers and statistics humu kumbe blahblahblah,kijana unapoongelea uchumi hutakiwi kuongelea blahblah weka namba za uthibitisho hili tukubaliane na wewe
Namba ziko kama zote,huwezi jua kama unashinda kuangalia na kueikiliza ujinga wa kina Lisu,Heche na wapuuzi wengine ambao hautakaa tukusaidie zaidi ya wewe kutumika kuwapandisha Juu.

Kazi Iendelee 👇 👇

View: https://x.com/kafulila_david/status/1870339603254694090?t=CJywEPtuARgUdCpYZmkl8Q&s=19
 
Hebu punguza literature weka figures, kama ni kweli
Figures ziko nyingi sana
 
Acheni propaganda haisaidii kitu
 
Blah blah blah bla, uchawa unawasumbua sana. Danganyaneni wenyewe huko kwenye kamati zenu. Kenya GDP zaidi ya $100b wakati Tanzania ni $85b.
 
Bado hunaonesha namba zozote zinaonesha kuwa Tanzania imeizidi Kenya kiucbumi. Lugha za kihuni hazijibu swali
 
Uchumi huu wa kumilikiwa na waarabu na wahindi aisee Tanzania bado sana.
 
Bado hunaonesha namba zozote zinaonesha kuwa Tanzania imeizidi Kenya kiucbumi. Lugha za kihuni hazijibu swali
Kwani hujasoma hiyo ripoti uone namba? Mnadhani ni ccm wanatoa hizo taarifa? 😆😆
 
Mkuu maelezo marefu but no convincing fact.

Kukua kwa uchumi sio propaganda ulizo tupa apa.
mm ninge penda sana utupe mchanganuo wa mambo kama haya ndani ya uongozi huuu unao usifia.

  • income inequality
  • Poverty
  • Per capital income/disposable income.
  • Employment and Unemployment rate.
Na mengineyo,haya ndo majanga inayokabiliwa nchi hii.

Ebu sasa jaribu ku make comparison na majirani zetu kupitia ayo majanga ndo uta ona sasa kuwa una uchumi gani.

Tuache kuwa na mihemko ambayo haina uhalisia.
 
Mbona chenga nyingi. Hakuna no hapo. Kama ww umeziona ziweke hapa mambo yasiwe mengi
Kama hutaki ishia hivyo hivyo maana nimeshaweka ripoti rundo humu plus link ila hutaki Kwa sababu unaona wivu kisa ni Samia 😆😆
 
Ccm daima
Ccm daima Samia mitano tena
 
Nilijua ntakuta numbers and statistics humu kumbe blahblahblah,kijana unapoongelea uchumi hutakiwi kuongelea blahblah weka namba za uthibitisho hili tukubaliane na wewe
Namba zipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…