Walitofautiana kwa mtindo upi?Lakini Magufuli alitofautiana na Kikwete
Kejeli,dharau,ubaguzi na kujimwambafai.Walitofautiana kwa mtindo upi?
Nondo zimekuingia hizo Mzee MwanakijijiHii ni imani tu...
Plz tafuta hotuba ya mheshimiwa Kikwete ile aliyoitoa pale chato wakati wa maziko ndio utanielewa. Alafu late Dr. Magufuli hakuwa malaika kama ulivyo wewe na mim na watu wengine, alikuwa na mazuri yake na mabaya yake piaKejeli,dharau,ubaguzi na kujimwambafai.
Kikwete alikuwa na akili yule mwingine alikuwa mzee wa kukurupuka,kujivuna,kujimwambafai,mwizi,fisadi,kwa kisingizio cha mtetezi wa wanyonge.Plz tafuta hotuba ya mheshimiwa Kikwete ile aliyoitoa pale chato wakati wa maziko ndio utanielewa. Alafu late Dr. Magufuli hakuwa malaika kama ulivyo wewe na mim na watu wengine, alikuwa na mazuri yake na mabaya yake pia
Huyu atahitaji MITANO zaidi Nyani NgabuSawa.
Time will tell...
2025 hakuna kusimamisha mgombea, Madam President MITANO tena.Hawa vijana wa bavicha ni wajinga Sana, na mbaya zaidi huu ujinga umefika Hadi kwa viongozi wao wakubwa. Wamesahau kabisa kuwa mama Samia ni CCM, na wanaonyesha kuwa ccm bado Kuna viongozi wengi wazuri na unabaki unajiuliza hivi 2025 watasimamisha mgombea?
Mama MITANO tena CountrywideKwa mshangilio huo,inawezekana hata 2025 wasishiriki uchaguzi mkuu. Watamuacha mama Samia apite
Bado Wana Imani kubwa Sana na ccm
Mkuu unauthibitisho wa hayo madai yako??Kikwete alikuwa na akili yule mwingine alikuwa mzee wa kukurupuka,kujivuna,kujimwambafai,mwizi,fisadi,kwa kisingizio cha mtetezi wa wanyonge.
Umeanza sasaSamia na Magufuli ni tofauti kubwa sana. Kama mbingu na ardhi.
Wataelewa tu hawa. Rais anakua na uchama hadi anawakera hata wa chama chake!!?Upumbavu wako ni pale unalazimisha watu wampinge samia ata kama kafanya jambo jema . Upinzani upo kwajili ya kukosoa pale penye makosa na kama pana mazuri wanaunga mkono pia upumbavu wako mwingne rais ni wa wananch wote co wa chama wew ulizoea jpm alivokua mchama ukaisi ni sahihi rais hatakiwi kuwa upande wowote ktk utendaj wake na wananch tunamuona ni rais wetu wote
ni utangulizi tu; wa makala kadhaa zijazo. Lakini tatizo siyo kumsifia; ni kumfikiria. Kuna watu wanamfikiria na kutaka awe tofauti na ajenda iliyomuingiza madarakani. Ni kuwa wapo wanaotaka angeingia madarakani bila ya Magufuli na kuwa aionee aibu na kuikana ajenda "yao". Ndio lengo la kuwakumbusha watu tu.
Tumuache mama aongoze nchi kulingana na mapenzi yake. Hii habari ya chama ni kile kile sijui sera ni zile zile, hiyo ni ya wale waimba mapambio. Kila zama na kitabu chake Mzee Mwanakijijini utangulizi tu; wa makala kadhaa zijazo. Lakini tatizo siyo kumsifia; ni kumfikiria. Kuna watu wanamfikiria na kutaka awe tofauti na ajenda iliyomuingiza madarakani. Ni kuwa wapo wanaotaka angeingia madarakani bila ya Magufuli na kuwa aionee aibu na kuikana ajenda "yao". Ndio lengo la kuwakumbusha watu tu.
Kwa mshangilio huo,inawezekana hata 2025 wasishiriki uchaguzi mkuu. Watamuacha mama Samia apite
Bado Wana Imani kubwa Sana na ccm
..we ni fa.la kigeugeu mfata upepo wa tangu enzi za kina slaa...sasa inabidi ujipange uanze upya kufata upepo mpya...Yani unatia kinyaa...uliyekuwa unashoboka nae sasa hayupo...Anza upya..wewe ndie umekua proved wrong...si mlitaka aendelee kukanyaga katiba ...alafu baadae mumuongezee mda...Mungu kasema No...hataki ushetani tz ...nchi ya watu wapole wasiostahili uonevu...Good question. Uzuri toka 2015 tuna wa prove wrong. Hawa hawana muda mrefu wataanza kumkumbuka JPM. Kila utawala una agenda zake hata kama ilani ni ile ile.
Kwa nin tudanganywe Ina faida ya 28 billion,?Fanya utafiti kidogo juu ya hali ya aviation industry duniani kabla hujaihukumu ATCL. Airlines zote zinapumulia machine!