Tanzania ya Samia bado ni ya Magufuli: Acheni Kujitoa Ufahamu Ndugu zetu

Tanzania ya Samia bado ni ya Magufuli: Acheni Kujitoa Ufahamu Ndugu zetu

Hamtaki bado?
736ADF7F-ACD6-4370-858D-1963D3D6878B.png
57C99A3A-57A8-4D20-91F9-DF4B68412656.png
 
Yaani nikisoma comments za "BAVICHA" kwenye thread Kama hii yenye uchambuzi wa wazi lakini wanabisha na matusi mengi nasikitika sana jinsi uwezo wao wa kufikiria ulivyo mdogo!

Na mbaya wengi ni vijana "graduates" wa vyuo vyetu. Hili linanifanya nizidi kumuunga mkono Magu kufumua ubabaishaji kwenye vyuo vikuu vilivyomea hapa nchini. Nina mifano ya vijana wengi waliokuwa "wanasoma" kwenye vyuo hivyo bila kuhudhuria lectures au kuwa na ratiba ya kusoma! Wanaranda mitaani. Na mwisho wa siku wanafaulu vizuri, na vyuo vingine vikaona hamna hata haja ya kuwa na "lecturers" waliosoma!

Njoo kwenye mitandao ya kijamii uthibitishe umbumbumbu wa kutisha wa vijana wetu!
 
Mzee mimi nje ya mada kidogo. Kuna watu wameanza kampeni ya kumchafua Magufuli baba yetu ili waifute legacy yake wanadanganya watu mitaani eti nae alikuwa fisadi. Nisaidie awa watu tupambane nao vipi maana wanakera sana, najua wewe una thinking capacity kubwa unaweza shauri kitu. thanks
Alijichafua mwenyewe kwa kupendelea kwao kijijini chato
 
Ukimsikiliza vizuri Mama Samia akiwa anaongea, hususan baada ya kuwa Rais, ana sound kama Magufuli!

Msikilizeni tu kwa makini na mtaligundua hilo.
 
Ukimsikiliza vizuri Mama Samia akiwa anaongea, hususan baada ya kuwa Rais, ana sound kama Magufuli!

Msikilizeni tu kwa makini na mtaligundua hilo.
Mama anajielewa kuwa ajenda iliyowaingiza madarakani yeye na Magufuli ndiyo anaisimamia. Atatumia njia, uwezo, na vipaji vyake. Anaweza Kuwaondoa wote walioteuliwa na JPM na akaitekeleza bado ile ajenda.
 
Hapana.
Tanzania ni ya Ccm, Jpm ni wa Ccm na Ssh ni wa Ccm.
 
Watu wana matatizo ya usahaulifu; na wengine wanapenda sana kuisha kwa kuombea isiwe. Hivi, kuna mtu anafikiria kweli kama serikali ya upinzani ikishika madaraka kwenye taifa la watu zaidi ya milioni 60 hakutakuwa na uhalifu? Kwamba, viongozi wote watakuwa watakatifu na siyo watakavitu? Rais Samia anaendesha serikali; sasa sijui nani alidhania kuwa kwa vile Magufuli amekufa basi na serikali na vyombo vyake navyo vimekufa. Hivi, wakati wa Kikwete hakuna wapinzani waliwahi kukamatwa? Nimemsoma mtu mmoja jana anasema ati hata wakati wa "Magufuli" walikuwa hawatendewi hivi? yaani mara moja hii tayari Magufuli amekuwa bora kuliko? kha!
 
Watu wana matatizo ya usahaulifu; na wengine wanapenda sana kuisha kwa kuombea isiwe. Hivi, kuna mtu anafikiria kweli kama serikali ya upinzani ikishika madaraka kwenye taifa la watu zaidi ya milioni 60 hakutakuwa na uhalifu? Kwamba, viongozi wote watakuwa watakatifu na siyo watakavitu? Rais Samia anaendesha serikali; sasa sijui nani alidhania kuwa kwa vile Magufuli amekufa basi na serikali na vyombo vyake navyo vimekufa. Hivi, wakati wa Kikwete hakuna wapinzani waliwahi kukamatwa? Nimemsoma mtu mmoja jana anasema ati hata wakati wa "Magufuli" walikuwa hawatendewi hivi? yaani mara moja hii tayari Magufuli amekuwa bora kuliko? kha!
Vyama vyao tu vinaendeshwa nafuu SAMIA anavyoendesha nchi.

Itakuwa wao kutawala nchi!!
 
Back
Top Bottom