The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Na njaa ndio msingi pekee wa unafiki TanzaniaTatizo ni njaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na njaa ndio msingi pekee wa unafiki TanzaniaTatizo ni njaa
Ni imani kwamba Mh Samia kafanya tofauti na mzee wa chato?Hii ni imani tu...
Tofauti itakuwepo Mama Samia atakapoendelea kuzingatia katiba na sheria. Na ameanza na TAKUKURU, amewaambia kesi zote zisizokuwa na msingi na zile za kubambika wazifute. Najua anajua kesi za namna hiyo zipo, na TAKUKURU wanajua hivyo pia. Ni mwanzo mzuri na ni tofauti ya dhahiri na mtangulizi wake.Chama kilekile.
Ilani ileile.
Katiba ileile.
Watu ni walewale kasoro mmoja tu.
I am sober. I am managing my expectations.
Sitegemei tofauti kubwa.
Sawa.Tofauti itakuwepo Mama Samia atakapoendelea kuzingatia katiba na sheria. Na ameanza na TAKUKURU, amewaambia kesi zote zisizokuwa na msingi na zile za kubambika wazifute. Najua anajua kesi za namna hiyo zipo, na TAKUKURU wanajua hivyo pia. Ni mwanzo mzuri na ni tofauti ya dhahiri na mtangulizi wake.
Kama Magufuli aliweza kubadiri upepo kwa kiasi kikubwa na kila mtu akawa mwimba mapambio isipo kuwa baadhi mitandaoni tu.Chama kilekile.
Ilani ileile.
Katiba ileile.
Watu ni walewale kasoro mmoja tu.
I am sober. I am managing my expectations.
Sitegemei tofauti kubwa.
Hawa vijana wa bavicha ni wajinga Sana, na mbaya zaidi huu ujinga umefika Hadi kwa viongozi wao wakubwa. Wamesahau kabisa kuwa mama Samia ni CCM, na wanaonyesha kuwa ccm bado Kuna viongozi wengi wazuri na unabaki unajiuliza hivi 2025 watasimamisha mgombea?yaani, unafikiri kuna mtu anaweza kunituma kuandika kitu? yaani wiki hii tu tayari mmejua hakuna tena ubabe au kutishana maisha... ngoja awageuka mtamsemaaaa...
Ni wazi hujui tofauti ya kinachotokea kufuatia uchaguzi na hili lililotokea.. ntaacha wengine watusaidie.
Kwa mshangilio huo,inawezekana hata 2025 wasishiriki uchaguzi mkuu. Watamuacha mama Samia apiteHoney trap ...nawasoma wanavyoshangilia hadi natamani isiwe kweli! Huyu atawachinja huku akiwalambisha asali ...[emoji41] tuendelee kutunza kumbukumbu zao ...[emoji41]
Ni wazi hujui tofauti ya kinachotokea kufuatia uchaguzi na hili lililotokea.. ntaacha wengine watusaidie.
Mbona sijasema hivyo; siwezi kuthubutu kusema hivyo...nadhani tunapaswa kumheshimu na kumtambua Mama Samia Hassan kama Raisi wa Tz.
..Kusema kwamba uongozi wake bado ni uongozi wa Magufuli ni kutomtambua na kumvunjia heshima.
Ndio angalizo langu; yaani watamgeuka huyu hadi wataanza kukumbushia zama za Jiwe; kama walivyokuja kumkumbuka JK...Kwa mshangilio huo,inawezekana hata 2025 wasishiriki uchaguzi mkuu. Watamuacha mama Samia apite
Bado Wana Imani kubwa Sana na ccm
Honey trap ...nawasoma wanavyoshangilia hadi natamani isiwe kweli! Huyu atawachinja huku akiwalambisha asali ...[emoji41] tuendelee kutunza kumbukumbu zao ...[emoji41]