mbona hawa "hawakuanza" wakati wa Magufuli; na sidhani kama kuna serikali duniani imefanikiwa kuwaondoa hawa... wengine imechukua miongo kadhaa kuwafikia (rejea mfano wa Cambodia na Chile)...
..Tatizo ktk Tanzania ya Magufuli " wasiojulikana " walikuwa wanaenenda utadhani wametumwa na kupewa upako toka magogoni au lumumba.