Tanzania ya Samia bado ni ya Magufuli: Acheni Kujitoa Ufahamu Ndugu zetu

Tanzania ya Samia bado ni ya Magufuli: Acheni Kujitoa Ufahamu Ndugu zetu

Msataga ni wachawi nimegundua. Hawataki watanzania wote waishi kwa fraha na amani. Ni sawa na watoto wa mama mmoja ila baadhi hawapendi kuona wegine wakipendwa na mama yao. Acheni Roho mbaya. Mwenzenu mmeona kafa na kiroho chake
Usitegemee furaha yako itoke kwa mwengine.

Kusubiri furaha yako itoke kwa mwengine ni utumwa huo.
 
Samia na Magufuli ni tofauti kubwa sana. Kama mbingu na ardhi.
Ni kweli kabisa; sijasema wanafanana au wanatakiwa wafanane. Na kusema ukweli ni hiyo tofauti yao ndio inamfanya yeye kuwa mtu sahihi kuibeba ajenda yao kuliko mtu mwingine yeyote.
 
Watashangaa sana Mwana mama atakapoanza kusimama mwenyewe bila kujiegemeza kwa yeyote.

Kwanza tayari ni kama amekwishaanza njia yake, kwa maamuzi machache anayofanya sasa hivi.

Hebu fikiria lugha yetu adhimu ya Kiswahili, yeye tayari kasema tofauti na yule aliyekuwa hataki kabisa kusikiliza kitu juu ya lugha nyingine mbali ya Kiswahili, kwa sababu zake mwenyewe.

Mwalimu Nyerere hakukataa lugha nyingine, pamoja na kwamba alikijenga sana Kiswahili.
Mbona ni kama watu wanafikiria nimesema Samia awe kama Magufuli? sijasema hivyo na siwezi kusema hivyo...
 
Huyu naye anataka kuanzisha kundi la "gospel" ili amuwahi mama. Sidhani kama atakubali kulewa sifa kama mtukufu. Mama amefanya kazi na mtukufu na siyo kuwa hakuonja joto ya jiwe. Aliumia na hatapenda watu waumie kama alivyoumia yeye. Mama hatapenda watu wakose haki yao na hilo amelizungumza jana. Mtukufu alifurahi kuumiza watu, ilikuwa agenda yake na haitakuwa agenda ya mama

Aliumiaje? makamu wa rais?

JPM was firm hakutaka kuleana, na hamkumpenda maana aliburuza vitu na we needed him sana
 
Huyu mzee ni mpuuzi sana , Jiwe kaishakufa huelewi? Katuachia hasara ya mabilioni tusiseme ?View attachment 1737230
Watu wengine hamtakiwi kuingia kwenye biashara kabisa; kwamba mtu akipata hasara basi anatakiwa afunge biashara. Ingekuwa hili ni kweli kuna watu wasingeanzisha makampuni kabisa. Hoja ya "hasara" inaangaliwa kisiasa na si kibiashara. Kweli ni mfanyabiashara gani ambaye anaingia kwenye biashara bila kutarajia hasara au hata kupata hasara? Hata mkulima anayetaka kulima bila kutarajia kupoteza mavuno atashindwa kulima mwaka wa pili.
 
Na ndio maana watu walishangaa uwekezaji mkubwa kwenye industry inayopumulia mashine. Kununua Dreamliner kabla ya kupata uhakika wa kuweza kusafiri kwenda nje na kama hata hao abiria wapo. Na hiyo hasara ya 60 bilioni ina walakin hasa ukizingatia hali ya Corona duniani na gharama za uendeshaji wa hizo ndege ambazo sio mpya tena.

Amandla...

Hali ya kiuchumi ya wakati ule wanaanza kununua hizo ndege ilikuwa tofauti sana. Kumbuka, soundness ya financial decision inapimwa katika muktadha wa information iliyokuwepo wakati wa kufanya hiyo decision. Kama tujuavyo, decisions karibu zote (kama sio zote) zinafanyika katika mazingira ya uncertainties nyingi. Chochote chaweza kutokea baada ya decision kufanyika. Haijalishi umekuwa mwangalifu kiasi. Safari hii financial risk management models zote zimeangukia pua!
 
Hata kipindi cha maombolezo hakijaisha tayari mnaombea upinzani wajitoe kwenye uchaguzi wa 2025? Mheshimiwa Rais hajasema bayana kuwa mikutano ya hadhara ya kisiasa inaruhusiwa, hajafanya mabiliko yeyote kwenye Tume ya Uchaguzi, hajazungumzia Katiba Mpya, hajazungumzia specifically watu waliokuwa na kesi za kubambikwa, hajazungumzia uhuru wa vyombo vya habari, hajazungumzia uhuru wa kupata na kutafuta taarifa, hajazungumzia wasichana wanaopata mimba wakiwa shuleni, hajazungumzia mikataba, hajazungumzia yaliyo mpata Lissu ( Kama Rais), hajazungumziwa uendeshwaji wa Bunge ikiwa pamoja na wale wabunge wakuteuliwa wa "Chadema", hajazungumzia Covid na mambo mengine mengi tu ambayo wapinzani wamekuwa wakiyahoji.

Ni kweli baadhi ya wapinzani wamepongeza baadhi ya hatua alizochukua katika upokeaji wa taarifa za CAG na TAKUKURU lakini safari bado ni ndefu.

Amandla...
FM, hii hatari wanaitengeneza wenyewe. Sasa hivi walitakiwa waanze kujipanga kudai wanachotakiwa kudai.. wanatakiwa waujaribu uvumilivu wa Rais Samia.
 
bado wasukuma mnawaza usukuma? mmeshkwa pabaya
Yaani, mnaamini kabisa kuwa kila mtu aliyemuunga mkono JPM alikuwa ni Msukuma? Sijui tuuite huo ni ukabila wa namna gani. Kwa kifupi mimi siyo Msukuma...
 
Tatizo la Magufuli haikuwa ajenda. Ni kweli Samia atatakiwa kutekeleza ilani ya CCM, lakini mategemeo ya wengi ni kuwa ataitekeleza kwa hekima, siyo kwa kuteka watu, kuua watu, kuwapoteza watu, kukiuka katiba na sheria, kuzuia uhuru wa maoni na uhuru wa vyombo vya habari, kujichoteafedha bila itaratibu, n.k.
 
tumuombe mwenyezi Mungu ampe hekima na busara mama yetu atuongoza kwa haki..

Mama akichukua mazuri ya JK na mazuri ya JPM akatuongoza basi nchi itapiga hatua haraka.. JK alikuwa na akili na mtazamo wa dunia ya sasa inavyotaka kufikia kwenye maendeleo, JPM alikuwa ni msimamizi na muangalizi mzuri kwenye rasimali na utendaji.. Mama akichukua vyote akavitumia kama silaha tutakwenda mbele...

Tatizo la CCM ni makundi, haya makundi ndio yanaweza kuwa kikwazo kwa mama, makundi yameota mizizi mpaka taasisi nyeti na kila kukicha yanaibuka makundi mapya..Ni wakati sasa wa viongozi wa haya makundi kuweka maslahi ya Taifa mbele na kuachana na minyukano yao...
 
JPM's effect kwa upinzani ni kubwa sana, akiwa kaburini anauzika kabisa unapotea!!!


Chuki zao zimeondoa weredi wa kisiasa kujua wameingia shimoni kutoka hapo kazi sana

Bunge almost lote ni CCM, power ya JPM hata katika kifo chake ni kubwa sana kwa raia wa kawaida

Strategist wa CDM likely wangeanzia how to remedy that

Kama upinzani ungewaza kuchukua nchi 2025, msiba wa JPM umesogeza hilo mpaka 2030!!!! yaani ni hata kama Samia ataongoza 2025 mpaka 2030 kuachana na ties na mlengo wa JPM itakuwa ngumu, bado wananchi watataka standard, speed na aina ile ile

kumsifia mama Samia kwa report ambayo ingesomwa hata JPM angekuwa hai....ni kipimo kikuu cha akili kwa upinzani (wanadhania report imeaandikwa baada ya JPM kufa? au eti imekuwa edited?)


Kifo cha JPM ni kaondoka kabisa na upinzani nchini

JPM hakutaka maneno, story au kudekezana ..why? kwa sababu watu wanaongea sana

Infact, upinzani wa sasa utakavyo mu handle Samia ndio utamtengeneza 2025-2030 aweje...wataongea sana sasa, watamsifia na kumsumbua brain yake, kisha wataanza kumponda muda si mrefu...then Samia atakumbuka how JPM did....no bullshit na hawa watu....vitendo tu

Likely akauzika/kuupoteza kabisa upinzani na wao wakiamka usingizini ni 2040 labda watapata wabunge 5 tu


Kingine wasisahau CCM ndio inaongoza na wana influence kila kitu, infact mpaka rais Samia lazima a bow down kwa CCM......2025 anaweza asiwe yeye pia.Inategemea kipindi hiki atafanyaje

Standard aliyoiacha JPM ni top.....she will be evaluated based on that, apende asipende

kwa hiyo idea ya kudeal na CCM bado inapaswa kuwa top ajenda ya upinzani...CCM ni kubwa, ipo na inatisha kuliko JPM mmoja ambaye kalala
 
tumuombe mwenyezi Mungu ampe hekima na busara mama yetu atuongoza kwa haki..

Mama akichukua mazuri ya JK na mazuri ya JPM akatuongoza basi nchi itapiga hatua haraka.. JK alikuwa na akili na mtazamo wa dunia ya sasa inavyotaka kufikia kwenye maendeleo, JPM alikuwa ni msimamizi na muangalizi mzuri kwenye rasimali na utendaji.. Mama akichukua vyote akavitumia kama silaha tutakwenda mbele...

Tatizo la CCM ni makundi, haya makundi ndio yanaweza kuwa kikwazo kwa mama, makundi yameota mizizi mpaka taasisi nyeti na kila kukicha yanaibuka makundi mapya..Ni wakati sasa wa viongozi wa haya makundi kuweka maslahi ya Taifa mbele na kuachana na minyukano yao...

Kwenye hayo makundi, ndio upinzani unatakiwa kugusa na kuyajua na kuyavuruga!!!
 
Ni ngumu wapinzani kuchukua nchi kwa sababu hawana ajenda wanazosimamia muda mwingi wamekuwa wakiishi kwa matukio.
Sasa hivi wameanza kumuelekeza mara waziri mkuu ajiuzulu, mara fulani atumbuliwe wanasahau mama Samia ametokana na chama kilichopo madarakani na anapaswa asimamie ilani ya chama chake.
 
Yaani hapo umekula buku saba yako freshi uki present huu ushahidi wa bandiko
Kweli una muda na hauna kazi maalumu mpaka una muda wa kuandika kwa urefu wote huu, pole sana
Tafuta kazi ya ukweli ujikomboe kiakili..........
Mkuuu, unaweza ukani pm huu ujumbe wa huyu TAGA MWANDAMIZI kwa ufupi!? Nimeshindwa kusoma mpaka mwisho!
 
Hii ni imani tu...
Yule msukuma mwenzenu alikuwa mkatili sana, furaha yake kubwa ilikuwa kuumiza wananchi,kuwapa makesi yasio na zamana kwa wale waliompinga au ambao sio wa upande wake, watu walikuwa wanatekwa ,Lakini ulikuwa wala umsikii kulizungumzia wala kufanya Chochote, so tunataka kiongozi ambae muungwana na mwenye kauli nzuri za utu, Madam President ni MTU sahihi Kutufanya watanzania tuwe na amani kwanza ya mioyo yetu, kwa kipindi chote cha Magu tumeishi kwa hofu mno jamani
 
saivi haijurikani kama komba wapya au sogi jipya au punda mpya.
Muhimu mashee wetu watolewe. Mhusika mkuu ni CCM iwe iwavyo dua za kuwaombea zinaendelea na dua za kuwaangamizawale wote waliohusika na kuwakamata kuwaweka jela kuwapeleka Tanganyika iwe mmoja mmoja au kwa jumla nazo zinazidi kushika kasi.
Mnawafunga watu miaka minane na zaidi kesi mliyowafungulia haina mashiko kila mnalowazulia linabuma,mtakwenda tu kabla ya wao na mtaadhirika tu. sasa ni kuwaombea maangamizo kila siku na zaidi siku ya Ijumaa.
 
Hulka yake haimruhusu kufokea. Kama jana amekaripia bila kufokea. Watu hawakatai kusahihishwa au kukaripiwa. Walichokuwa wanalalamikia ni kufokewa hadharani. Mheshimiwa nae akianza kufokea watu hadharani tutamshangaa na watu watamuuliza kulikoni?

Amandla...

Hauwajui watanzania wewe!!! hawa jamaa wavivu, wanafiki, waongo? wasio wabunifu?

yaani mtu anakosa kutengebeza daraja, gari zinakwama siku tatu usimfokee??

wamama waja wazito wanakufa na vichanga just kwa sababu ya poor planning usiwafokee??

Nani alionewa kati ya waliofokewa???

aisee
 
Back
Top Bottom