Tanzania ya Samia bado ni ya Magufuli: Acheni Kujitoa Ufahamu Ndugu zetu

Tanzania ya Samia bado ni ya Magufuli: Acheni Kujitoa Ufahamu Ndugu zetu

Huyu naye anataka kuanzisha kundi la "gospel" ili amuwahi mama. Sidhani kama atakubali kulewa sifa kama mtukufu. Mama amefanya kazi na mtukufu na siyo kuwa hakuonja joto ya jiwe. Aliumia na hatapenda watu waumie kama alivyoumia yeye. Mama hatapenda watu wakose haki yao na hilo amelizungumza jana. Mtukufu alifurahi kuumiza watu, ilikuwa agenda yake na haitakuwa agenda ya mama
Asante sana..
Kuna kikundi cha wahuni marehemu kakiacha ndio kinaumia na hakina uhakika wa kuendelea kuwepo katika mazingira haya ya utawala wa sheria
 

Na. M. M. Mwanakijiji

Wale ndugu zetu waliombea, waliongojea, na hata waliosubiria Magufuli afariki akiwa madarakani leo wanataka tuendelee kuamini kuwa chaguo lao limeingia madarakani sasa. Ndugu zetu hawa ndio wale huko nyuma na si mara moja wamekuwa wakisubiria kwa hamu "kitu" kitokee ili "mama" aingie madarakani. Tunawakumbuka hawa jinsi walivyosubiria kwa hamu wakati ule huku wakiposti picha za Makamu wa Rais kuwa ni suala la muda tu. Kama nitakavyoonesha katika makala yangu ya wiki hii (Gazeti la Raia Mwema) kwa baadhi ya watu kifo cha Magufuli hakikuja kwa mshtuko kivile; watu waliombea kisije kutokea lakini uwezekano wake ulikuwa mkubwa zaidi kuliko watu wengi walivyokuwa wanafikiria. Kwamba, sasa Rais Magufuli amefariki dunia basi ujio wa Mama Samia kwa ndugu zetu ni kama sala, dua, na maombi yao yamejibiwa. Katika kushangilia na kufurahia kwao ndugu zetu sasa wamekaa 'mkao wa kula' wakitegemea kuwa ndoto zao zote za Tanzania ya Samia zitatimia kwani haitokuwa ya Magufuli tena!

Yule mbaya wao, yule adui yao, yule kiongozi ambao hawakumtaka hayupo tena na sasa ameingia waliokuwa wamemtaka. Ndugu zetu hawa kwa uzuri au kwa ubaya sasa wamefikia mahali ya kutoa maelekezo, maombi, manuio, na hata matamanio yao chini ya Samia. Wanamuambia afanye nini kwanza, wanataka amtumbue nani kwanza, wanataka aanzie wapi kwanza ili waweze kuamini kuwa yuko nao. Wengine kwa wazi kabisa wanasema - tena siyo kusema wanamtaka aachane na 'mambo' ya Magufuli na akifanya hivyo basi wanaahidi kumuunga mkono na kuwa naye pamoja. Kwamba, hawatamnanga kama walivyomfanyia Magufuli na kuwa watampima Samia kwa jinsi gani anaenda mbali na siasa, mwelekeo, malengo na ajenda ya Magufuli. Ndugu zetu wanataka Samia awe "Rais" wao.

Wameacha kujipanga na uchaguzi, hawataki tena kutengeneza ajenda yao itakayowashindia uchaguzi, na hawataki kupambana kisiasa kushindana na CCM nyuma ya Samia. Wanataka kutengeneza "mgombea" wao na kudandia ajenda mpya ya Samia. Kwa kweli, inabidi tuwarudishe kwenye mstari wao ili wajipanga na kupambana na hali zao. Ajenda ya Samia bado ni ya Magufuli! Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, hana ajenda yake tofauti na ya Magufuli. Samia hajauza ajenda yake katika uchaguzi wowote na hajapigiwa kura ya peke yake nje ya Magufuli. Kwa maneno mengine ni kuwa - na yeye mwenyewe ameshaelezea wakati huu wa maombolezo - kuwa ajenda ya Magufuli ya "hapa kazi tu" ipo pale pale! Hili halijawafurahisha sana ndugu zetu kwani wanataka aikane ajenda ya mtangulizi wake, aibeze, aipangue na kuitupilia mbali kama yale mapapai yaliyoambukizwa korona! Samia achukue ajenda ya wapinzani na kutawala nayo nchi huku akitupilia mbali mambo yote ya Magufuli!

Hata hivyo, wananchi wametuma salamu zao wazi, kamili, na hadharani; wamemlilia Magufuli kwa sababu walimuelewa. Hawakujificha wala kuona haya kujitokeza kumuombolezea Rais wao na kumlilia. Walimuaga kama shujaa aagwavyo. Ndugu zetu hawakutarajia hili wala kulitegemea. Wanaamini ukosoaji wao ndio pekee umejaa ukweli, maneno yao ni ya kuaminika tu na madai yao ndiyo pekee yenye kukubalika. Hawatakiwi kupingwa wala kukataliwa kwani ukiwafanyia hivyo wewe si muumini wa demokrasia. Kwamba, demokrasia ni kukubali, kukumbatia na kutetea yote yasemwayo nayo. Kwamba njia pekee sahihi, bora na ya kukubalika ya kutawala nchi ni ile inayopendekezwa nao. Usipoifuata njia hiyo basi wewe ni hatari kwa maslahi yao.

Huu ndio mtego wanaomtegea Mama Samia; kwamba aingie kwenye anga zao vinginevyo hawatochelewa kumgeuka. Hawa hawa ambao leo wanamuita "ni mama yao" ndio hawa hawa watamgeuka na kuanza kutukumbusha "uzuri" wa Magufuli. Hawa hawa wenye kumsifia ndo hawa hawa watamshukia siku viongozi wao watakapotiwa pingu kwa makosa au watakapozuiliwa kufanya wavitakavyo. Hatokuwa tena Rais wao na walimuita Magufuli "Jiwe" hawa hawa wataanza kumuita mama huyo "Chuma" a.k.a "Iron Lady". Na Samia asipokaa nao na kuwasikiliza na kuwakubalia na kuwapa matakwa yao ndugu zetu hawa wataanza tena kuzunguka duniani kutuambia "Yule Mwanamke Hawezi Kutawala Tanzania Angalau Magufuli...".

Bahati nzuri tupo ambao bado tunaamini ajenda ya Magufuli bado ni ajenda yenye nguvu, ya uhakika, na salama zaidi kwa Tanzania kupiga hatua ya haraka ya maendeleo. Kuiacha ajenda hiyo ni kuwaacha Watanzania zaidi ya asilimia 80 pembeni. Kuiacha ajenda hiyo itakuwa ni kuirudisha nchi yetu nyuma miaka ishirini na ushee. Na ni wazi kuiacha ajenda hiyo ni kukubali kushindwa. Samia akiacha ajenda ya Magufuli wapo wenye Wana-Magufuli (Pro-Magufuli) ambao nao watamuacha. Lakini hata yeye akiamua kuiacha haina maana hakuna watu walioiona na kuikubali ajenda hiyo ambao wanaweza kuisimamia na kuifufua huko mbeleni. Aliyekufa ni Magufuli na si ajenda yake ya "Tanzania Tunaweza". Samia akilirudisha taifa katika kuombaomba na kutokujiamini tena, akilirudisha taifa katika kujishukushuku basi Tanzania itaenda kuwa katika ubaya kuliko tunaoufikiria.

Tunapozungumzia ajenda ya Magufuli tusichanganye na namna Magufuli alivyotaka kuitekeleza ajenda hiyo. Samia asiwe kama Magufuli; hatutaki azungumze kama Magufuli au afanye kila kitu kama Magufuli. Kila mtu ameumbwa tofauti na ana hulka tofauti. Mama Samia anaweza kuitekeleza na kuipeleka mbele Tanzania bila kufanya kila kitu kama Magufuli. Na hapa ni muhimu Mama Samia awaweke sawa wote; wale wanaoombea asiwe kama Magufuli na wale ambao wanataka awe zaidi ya Magufuli; ni lazima atengeneza njia yake mwenyewe bila kufunikwa na kivuli cha Magufuli wala kujaribu kuvaa viatu vyake. Ni lazima awaweke sawa wale wanaotaka achague Makamu wa Rais ambaye ataweza kufanya naye kazi, atakayeweza kumuamini, na ambaye likitokea lolote basi anaweza kuishikilia nchi. Na muhimu zaidi ni lazima awe mtu ambaye aliamini katika ajenda ya Magufuli na si NJE ya hapo. Mama Samia awe huru kumteua Makamu wa Rais anayeweza kushirikiana naye na kusimama naye; kuwa msiri wake, na afanye hivyo bila kuangalia Jinsia au Dini ya mtu huyo na kwa maoni yangu ni lazima awe mtu ASIYEUTAKA URAIS au aliyewahi kuonesha kiu na hamu ya kuwa Rais.

Kama nilivyosema hapo juu ajenda ya Magufuli ndiyo inaongoza nchi hadi 2025. Kama Mama Samia au MwanaCCM yeyote mwingine ana ajenda nyingine basi huyo ajiandae 2025. Mama Samia anaweza kuwa na ajenda yake; lakini hiyo itabidi aiandae 2025 (na wengine tayari tupo nyuma yake kwani tayari tunamuaini kwa vile tu alikuwa nyuma ya Magufuli). Kwa sasa hata hivyo, yeye na uongozi mzima wa nchi unatakiwa kuendelea na ajenda ya Magufuli. Na ili afanikiwe ni lazima ipange serikali yake kwa namna yake yeye na jinsi anavyoweza kuona inamfaa kuongoza nchi kuelekea 2025. Si lazima arithi na kuendelea na kila kiongozi aliyeteuliwa na Magufuli; wale ambao anaona wanapwaya au tayari walishaona wanapwaya ni lazima AWAPANGUE bila aibu. Sasa hivi ni lazima atume ujumbe wa haraka kuwa HAKUNA aliyesalama kwenye cheo chake; kila mtu ni lazima astahili kuwepo kwenye serikali yake. Na katika kufanya hivyo ndio anaweza KUSAHIHISHA makosa ya Magufuli, kujenga katika MAFANIKIO yake na kuongoza kuelekea MALENGO yote yaliyokuwa yanawezekana chini ya AJENDA YA MAGUFULI.

Hii ni kwa sababu AJENDA YA SAMIA ni bado AJENDA YA MAGUFULI hadi 2025.

#TukonaSamia2025.

2726859_166179082_3887089538049376_7091232774563175875_o (1).jpg
 

Na. M. M. Mwanakijiji

Wale ndugu zetu waliombea, waliongojea, na hata waliosubiria Magufuli afariki akiwa madarakani leo wanataka tuendelee kuamini kuwa chaguo lao limeingia madarakani sasa. Ndugu zetu hawa ndio wale huko nyuma na si mara moja wamekuwa wakisubiria kwa hamu "kitu" kitokee ili "mama" aingie madarakani. Tunawakumbuka hawa jinsi walivyosubiria kwa hamu wakati ule huku wakiposti picha za Makamu wa Rais kuwa ni suala la muda tu. Kama nitakavyoonesha katika makala yangu ya wiki hii (Gazeti la Raia Mwema) kwa baadhi ya watu kifo cha Magufuli hakikuja kwa mshtuko kivile; watu waliombea kisije kutokea lakini uwezekano wake ulikuwa mkubwa zaidi kuliko watu wengi walivyokuwa wanafikiria. Kwamba, sasa Rais Magufuli amefariki dunia basi ujio wa Mama Samia kwa ndugu zetu ni kama sala, dua, na maombi yao yamejibiwa. Katika kushangilia na kufurahia kwao ndugu zetu sasa wamekaa 'mkao wa kula' wakitegemea kuwa ndoto zao zote za Tanzania ya Samia zitatimia kwani haitokuwa ya Magufuli tena!

Yule mbaya wao, yule adui yao, yule kiongozi ambao hawakumtaka hayupo tena na sasa ameingia waliokuwa wamemtaka. Ndugu zetu hawa kwa uzuri au kwa ubaya sasa wamefikia mahali ya kutoa maelekezo, maombi, manuio, na hata matamanio yao chini ya Samia. Wanamuambia afanye nini kwanza, wanataka amtumbue nani kwanza, wanataka aanzie wapi kwanza ili waweze kuamini kuwa yuko nao. Wengine kwa wazi kabisa wanasema - tena siyo kusema wanamtaka aachane na 'mambo' ya Magufuli na akifanya hivyo basi wanaahidi kumuunga mkono na kuwa naye pamoja. Kwamba, hawatamnanga kama walivyomfanyia Magufuli na kuwa watampima Samia kwa jinsi gani anaenda mbali na siasa, mwelekeo, malengo na ajenda ya Magufuli. Ndugu zetu wanataka Samia awe "Rais" wao.

Wameacha kujipanga na uchaguzi, hawataki tena kutengeneza ajenda yao itakayowashindia uchaguzi, na hawataki kupambana kisiasa kushindana na CCM nyuma ya Samia. Wanataka kutengeneza "mgombea" wao na kudandia ajenda mpya ya Samia. Kwa kweli, inabidi tuwarudishe kwenye mstari wao ili wajipanga na kupambana na hali zao. Ajenda ya Samia bado ni ya Magufuli! Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, hana ajenda yake tofauti na ya Magufuli. Samia hajauza ajenda yake katika uchaguzi wowote na hajapigiwa kura ya peke yake nje ya Magufuli. Kwa maneno mengine ni kuwa - na yeye mwenyewe ameshaelezea wakati huu wa maombolezo - kuwa ajenda ya Magufuli ya "hapa kazi tu" ipo pale pale! Hili halijawafurahisha sana ndugu zetu kwani wanataka aikane ajenda ya mtangulizi wake, aibeze, aipangue na kuitupilia mbali kama yale mapapai yaliyoambukizwa korona! Samia achukue ajenda ya wapinzani na kutawala nayo nchi huku akitupilia mbali mambo yote ya Magufuli!

Hata hivyo, wananchi wametuma salamu zao wazi, kamili, na hadharani; wamemlilia Magufuli kwa sababu walimuelewa. Hawakujificha wala kuona haya kujitokeza kumuombolezea Rais wao na kumlilia. Walimuaga kama shujaa aagwavyo. Ndugu zetu hawakutarajia hili wala kulitegemea. Wanaamini ukosoaji wao ndio pekee umejaa ukweli, maneno yao ni ya kuaminika tu na madai yao ndiyo pekee yenye kukubalika. Hawatakiwi kupingwa wala kukataliwa kwani ukiwafanyia hivyo wewe si muumini wa demokrasia. Kwamba, demokrasia ni kukubali, kukumbatia na kutetea yote yasemwayo nayo. Kwamba njia pekee sahihi, bora na ya kukubalika ya kutawala nchi ni ile inayopendekezwa nao. Usipoifuata njia hiyo basi wewe ni hatari kwa maslahi yao.

Huu ndio mtego wanaomtegea Mama Samia; kwamba aingie kwenye anga zao vinginevyo hawatochelewa kumgeuka. Hawa hawa ambao leo wanamuita "ni mama yao" ndio hawa hawa watamgeuka na kuanza kutukumbusha "uzuri" wa Magufuli. Hawa hawa wenye kumsifia ndo hawa hawa watamshukia siku viongozi wao watakapotiwa pingu kwa makosa au watakapozuiliwa kufanya wavitakavyo. Hatokuwa tena Rais wao na walimuita Magufuli "Jiwe" hawa hawa wataanza kumuita mama huyo "Chuma" a.k.a "Iron Lady". Na Samia asipokaa nao na kuwasikiliza na kuwakubalia na kuwapa matakwa yao ndugu zetu hawa wataanza tena kuzunguka duniani kutuambia "Yule Mwanamke Hawezi Kutawala Tanzania Angalau Magufuli...".

Bahati nzuri tupo ambao bado tunaamini ajenda ya Magufuli bado ni ajenda yenye nguvu, ya uhakika, na salama zaidi kwa Tanzania kupiga hatua ya haraka ya maendeleo. Kuiacha ajenda hiyo ni kuwaacha Watanzania zaidi ya asilimia 80 pembeni. Kuiacha ajenda hiyo itakuwa ni kuirudisha nchi yetu nyuma miaka ishirini na ushee. Na ni wazi kuiacha ajenda hiyo ni kukubali kushindwa. Samia akiacha ajenda ya Magufuli wapo wenye Wana-Magufuli (Pro-Magufuli) ambao nao watamuacha. Lakini hata yeye akiamua kuiacha haina maana hakuna watu walioiona na kuikubali ajenda hiyo ambao wanaweza kuisimamia na kuifufua huko mbeleni. Aliyekufa ni Magufuli na si ajenda yake ya "Tanzania Tunaweza". Samia akilirudisha taifa katika kuombaomba na kutokujiamini tena, akilirudisha taifa katika kujishukushuku basi Tanzania itaenda kuwa katika ubaya kuliko tunaoufikiria.

Tunapozungumzia ajenda ya Magufuli tusichanganye na namna Magufuli alivyotaka kuitekeleza ajenda hiyo. Samia asiwe kama Magufuli; hatutaki azungumze kama Magufuli au afanye kila kitu kama Magufuli. Kila mtu ameumbwa tofauti na ana hulka tofauti. Mama Samia anaweza kuitekeleza na kuipeleka mbele Tanzania bila kufanya kila kitu kama Magufuli. Na hapa ni muhimu Mama Samia awaweke sawa wote; wale wanaoombea asiwe kama Magufuli na wale ambao wanataka awe zaidi ya Magufuli; ni lazima atengeneza njia yake mwenyewe bila kufunikwa na kivuli cha Magufuli wala kujaribu kuvaa viatu vyake. Ni lazima awaweke sawa wale wanaotaka achague Makamu wa Rais ambaye ataweza kufanya naye kazi, atakayeweza kumuamini, na ambaye likitokea lolote basi anaweza kuishikilia nchi. Na muhimu zaidi ni lazima awe mtu ambaye aliamini katika ajenda ya Magufuli na si NJE ya hapo. Mama Samia awe huru kumteua Makamu wa Rais anayeweza kushirikiana naye na kusimama naye; kuwa msiri wake, na afanye hivyo bila kuangalia Jinsia au Dini ya mtu huyo na kwa maoni yangu ni lazima awe mtu ASIYEUTAKA URAIS au aliyewahi kuonesha kiu na hamu ya kuwa Rais.

Kama nilivyosema hapo juu ajenda ya Magufuli ndiyo inaongoza nchi hadi 2025. Kama Mama Samia au MwanaCCM yeyote mwingine ana ajenda nyingine basi huyo ajiandae 2025. Mama Samia anaweza kuwa na ajenda yake; lakini hiyo itabidi aiandae 2025 (na wengine tayari tupo nyuma yake kwani tayari tunamuaini kwa vile tu alikuwa nyuma ya Magufuli). Kwa sasa hata hivyo, yeye na uongozi mzima wa nchi unatakiwa kuendelea na ajenda ya Magufuli. Na ili afanikiwe ni lazima ipange serikali yake kwa namna yake yeye na jinsi anavyoweza kuona inamfaa kuongoza nchi kuelekea 2025. Si lazima arithi na kuendelea na kila kiongozi aliyeteuliwa na Magufuli; wale ambao anaona wanapwaya au tayari walishaona wanapwaya ni lazima AWAPANGUE bila aibu. Sasa hivi ni lazima atume ujumbe wa haraka kuwa HAKUNA aliyesalama kwenye cheo chake; kila mtu ni lazima astahili kuwepo kwenye serikali yake. Na katika kufanya hivyo ndio anaweza KUSAHIHISHA makosa ya Magufuli, kujenga katika MAFANIKIO yake na kuongoza kuelekea MALENGO yote yaliyokuwa yanawezekana chini ya AJENDA YA MAGUFULI.

Hii ni kwa sababu AJENDA YA SAMIA ni bado AJENDA YA MAGUFULI hadi 2025.

#TukonaSamia2025.
Acha kumfananisha kiongozi wetu na mambo ya laana. Namshukuru Mungu ametuinua!
 
Kwa kweli ana matatizo huyu Mzee. Au wanamuonea wivu Mama. Mh Samia kaanza vizuri sana. Jana ilikuwa gumzo kila mahali kuhusu yeye, wananchi kila kona wanasema wanafurahishwa nae. Sasa wale watu wa Jiwe wanasikia wivu [emoji41]. Ndio wanataka kulazimishia Samia ni Jiwe! HAPANA. Mama ni tofauti kabisaaa. Hapa tumepata na si kupatikana kama mwanzo.
Walizoea kuishi kwa ujanjaujanja huku wakiwatengenezea wengine matatizo feki bila kuchukuliwa sheria
 

Na. M. M. Mwanakijiji

Wale ndugu zetu waliombea, waliongojea, na hata waliosubiria Magufuli afariki akiwa madarakani leo wanataka tuendelee kuamini kuwa chaguo lao limeingia madarakani sasa. Ndugu zetu hawa ndio wale huko nyuma na si mara moja wamekuwa wakisubiria kwa hamu "kitu" kitokee ili "mama" aingie madarakani. Tunawakumbuka hawa jinsi walivyosubiria kwa hamu wakati ule huku wakiposti picha za Makamu wa Rais kuwa ni suala la muda tu. Kama nitakavyoonesha katika makala yangu ya wiki hii (Gazeti la Raia Mwema) kwa baadhi ya watu kifo cha Magufuli hakikuja kwa mshtuko kivile; watu waliombea kisije kutokea lakini uwezekano wake ulikuwa mkubwa zaidi kuliko watu wengi walivyokuwa wanafikiria. Kwamba, sasa Rais Magufuli amefariki dunia basi ujio wa Mama Samia kwa ndugu zetu ni kama sala, dua, na maombi yao yamejibiwa. Katika kushangilia na kufurahia kwao ndugu zetu sasa wamekaa 'mkao wa kula' wakitegemea kuwa ndoto zao zote za Tanzania ya Samia zitatimia kwani haitokuwa ya Magufuli tena!

Yule mbaya wao, yule adui yao, yule kiongozi ambao hawakumtaka hayupo tena na sasa ameingia waliokuwa wamemtaka. Ndugu zetu hawa kwa uzuri au kwa ubaya sasa wamefikia mahali ya kutoa maelekezo, maombi, manuio, na hata matamanio yao chini ya Samia. Wanamuambia afanye nini kwanza, wanataka amtumbue nani kwanza, wanataka aanzie wapi kwanza ili waweze kuamini kuwa yuko nao. Wengine kwa wazi kabisa wanasema - tena siyo kusema wanamtaka aachane na 'mambo' ya Magufuli na akifanya hivyo basi wanaahidi kumuunga mkono na kuwa naye pamoja. Kwamba, hawatamnanga kama walivyomfanyia Magufuli na kuwa watampima Samia kwa jinsi gani anaenda mbali na siasa, mwelekeo, malengo na ajenda ya Magufuli. Ndugu zetu wanataka Samia awe "Rais" wao.

Wameacha kujipanga na uchaguzi, hawataki tena kutengeneza ajenda yao itakayowashindia uchaguzi, na hawataki kupambana kisiasa kushindana na CCM nyuma ya Samia. Wanataka kutengeneza "mgombea" wao na kudandia ajenda mpya ya Samia. Kwa kweli, inabidi tuwarudishe kwenye mstari wao ili wajipanga na kupambana na hali zao. Ajenda ya Samia bado ni ya Magufuli! Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, hana ajenda yake tofauti na ya Magufuli. Samia hajauza ajenda yake katika uchaguzi wowote na hajapigiwa kura ya peke yake nje ya Magufuli. Kwa maneno mengine ni kuwa - na yeye mwenyewe ameshaelezea wakati huu wa maombolezo - kuwa ajenda ya Magufuli ya "hapa kazi tu" ipo pale pale! Hili halijawafurahisha sana ndugu zetu kwani wanataka aikane ajenda ya mtangulizi wake, aibeze, aipangue na kuitupilia mbali kama yale mapapai yaliyoambukizwa korona! Samia achukue ajenda ya wapinzani na kutawala nayo nchi huku akitupilia mbali mambo yote ya Magufuli!

Hata hivyo, wananchi wametuma salamu zao wazi, kamili, na hadharani; wamemlilia Magufuli kwa sababu walimuelewa. Hawakujificha wala kuona haya kujitokeza kumuombolezea Rais wao na kumlilia. Walimuaga kama shujaa aagwavyo. Ndugu zetu hawakutarajia hili wala kulitegemea. Wanaamini ukosoaji wao ndio pekee umejaa ukweli, maneno yao ni ya kuaminika tu na madai yao ndiyo pekee yenye kukubalika. Hawatakiwi kupingwa wala kukataliwa kwani ukiwafanyia hivyo wewe si muumini wa demokrasia. Kwamba, demokrasia ni kukubali, kukumbatia na kutetea yote yasemwayo nayo. Kwamba njia pekee sahihi, bora na ya kukubalika ya kutawala nchi ni ile inayopendekezwa nao. Usipoifuata njia hiyo basi wewe ni hatari kwa maslahi yao.

Huu ndio mtego wanaomtegea Mama Samia; kwamba aingie kwenye anga zao vinginevyo hawatochelewa kumgeuka. Hawa hawa ambao leo wanamuita "ni mama yao" ndio hawa hawa watamgeuka na kuanza kutukumbusha "uzuri" wa Magufuli. Hawa hawa wenye kumsifia ndo hawa hawa watamshukia siku viongozi wao watakapotiwa pingu kwa makosa au watakapozuiliwa kufanya wavitakavyo. Hatokuwa tena Rais wao na walimuita Magufuli "Jiwe" hawa hawa wataanza kumuita mama huyo "Chuma" a.k.a "Iron Lady". Na Samia asipokaa nao na kuwasikiliza na kuwakubalia na kuwapa matakwa yao ndugu zetu hawa wataanza tena kuzunguka duniani kutuambia "Yule Mwanamke Hawezi Kutawala Tanzania Angalau Magufuli...".

Bahati nzuri tupo ambao bado tunaamini ajenda ya Magufuli bado ni ajenda yenye nguvu, ya uhakika, na salama zaidi kwa Tanzania kupiga hatua ya haraka ya maendeleo. Kuiacha ajenda hiyo ni kuwaacha Watanzania zaidi ya asilimia 80 pembeni. Kuiacha ajenda hiyo itakuwa ni kuirudisha nchi yetu nyuma miaka ishirini na ushee. Na ni wazi kuiacha ajenda hiyo ni kukubali kushindwa. Samia akiacha ajenda ya Magufuli wapo wenye Wana-Magufuli (Pro-Magufuli) ambao nao watamuacha. Lakini hata yeye akiamua kuiacha haina maana hakuna watu walioiona na kuikubali ajenda hiyo ambao wanaweza kuisimamia na kuifufua huko mbeleni. Aliyekufa ni Magufuli na si ajenda yake ya "Tanzania Tunaweza". Samia akilirudisha taifa katika kuombaomba na kutokujiamini tena, akilirudisha taifa katika kujishukushuku basi Tanzania itaenda kuwa katika ubaya kuliko tunaoufikiria.

Tunapozungumzia ajenda ya Magufuli tusichanganye na namna Magufuli alivyotaka kuitekeleza ajenda hiyo. Samia asiwe kama Magufuli; hatutaki azungumze kama Magufuli au afanye kila kitu kama Magufuli. Kila mtu ameumbwa tofauti na ana hulka tofauti. Mama Samia anaweza kuitekeleza na kuipeleka mbele Tanzania bila kufanya kila kitu kama Magufuli. Na hapa ni muhimu Mama Samia awaweke sawa wote; wale wanaoombea asiwe kama Magufuli na wale ambao wanataka awe zaidi ya Magufuli; ni lazima atengeneza njia yake mwenyewe bila kufunikwa na kivuli cha Magufuli wala kujaribu kuvaa viatu vyake. Ni lazima awaweke sawa wale wanaotaka achague Makamu wa Rais ambaye ataweza kufanya naye kazi, atakayeweza kumuamini, na ambaye likitokea lolote basi anaweza kuishikilia nchi. Na muhimu zaidi ni lazima awe mtu ambaye aliamini katika ajenda ya Magufuli na si NJE ya hapo. Mama Samia awe huru kumteua Makamu wa Rais anayeweza kushirikiana naye na kusimama naye; kuwa msiri wake, na afanye hivyo bila kuangalia Jinsia au Dini ya mtu huyo na kwa maoni yangu ni lazima awe mtu ASIYEUTAKA URAIS au aliyewahi kuonesha kiu na hamu ya kuwa Rais.

Kama nilivyosema hapo juu ajenda ya Magufuli ndiyo inaongoza nchi hadi 2025. Kama Mama Samia au MwanaCCM yeyote mwingine ana ajenda nyingine basi huyo ajiandae 2025. Mama Samia anaweza kuwa na ajenda yake; lakini hiyo itabidi aiandae 2025 (na wengine tayari tupo nyuma yake kwani tayari tunamuaini kwa vile tu alikuwa nyuma ya Magufuli). Kwa sasa hata hivyo, yeye na uongozi mzima wa nchi unatakiwa kuendelea na ajenda ya Magufuli. Na ili afanikiwe ni lazima ipange serikali yake kwa namna yake yeye na jinsi anavyoweza kuona inamfaa kuongoza nchi kuelekea 2025. Si lazima arithi na kuendelea na kila kiongozi aliyeteuliwa na Magufuli; wale ambao anaona wanapwaya au tayari walishaona wanapwaya ni lazima AWAPANGUE bila aibu. Sasa hivi ni lazima atume ujumbe wa haraka kuwa HAKUNA aliyesalama kwenye cheo chake; kila mtu ni lazima astahili kuwepo kwenye serikali yake. Na katika kufanya hivyo ndio anaweza KUSAHIHISHA makosa ya Magufuli, kujenga katika MAFANIKIO yake na kuongoza kuelekea MALENGO yote yaliyokuwa yanawezekana chini ya AJENDA YA MAGUFULI.

Hii ni kwa sababu AJENDA YA SAMIA ni bado AJENDA YA MAGUFULI hadi 2025.

#TukonaSamia2025.

Kwa bandiko lako umejichanganya sana mkuu. Haiyumkiniki wewe ni mmoja katika wale pichani chini au japo binamu zako.

La msingi tambua hizi sasa ni zama mpya. Zama zilizoleta faraja kwa watanzania walio wengi. Zama hizi ni zama za maridhiano. Agenda za kuuwana na kufarakanisha watu hazina nafasi tena.

Umeyasikiliza mambo hapa?


Ya Chatto Inc? Zama hizo hazipo tena!

Ni furaha iliyoje kuwa ukurasa huu unatuleta wengi zaidi pamoja?

Wachache hawa na namlie tu. Machungu ya njaa za matumbo yenu tunayajua:

IMG_20210328_223958_589.jpg


IMG_20210329_062118_700.jpg


Nyuso hizo leo ndiyo zinatambua umuhimu wa katiba na institution madhubuti. Laiti wangejua au siyo?

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 

Na. M. M. Mwanakijiji

Wale ndugu zetu waliombea, waliongojea, na hata waliosubiria Magufuli afariki akiwa madarakani leo wanataka tuendelee kuamini kuwa chaguo lao limeingia madarakani sasa. Ndugu zetu hawa ndio wale huko nyuma na si mara moja wamekuwa wakisubiria kwa hamu "kitu" kitokee ili "mama" aingie madarakani. Tunawakumbuka hawa jinsi walivyosubiria kwa hamu wakati ule huku wakiposti picha za Makamu wa Rais kuwa ni suala la muda tu. Kama nitakavyoonesha katika makala yangu ya wiki hii (Gazeti la Raia Mwema) kwa baadhi ya watu kifo cha Magufuli hakikuja kwa mshtuko kivile; watu waliombea kisije kutokea lakini uwezekano wake ulikuwa mkubwa zaidi kuliko watu wengi walivyokuwa wanafikiria. Kwamba, sasa Rais Magufuli amefariki dunia basi ujio wa Mama Samia kwa ndugu zetu ni kama sala, dua, na maombi yao yamejibiwa. Katika kushangilia na kufurahia kwao ndugu zetu sasa wamekaa 'mkao wa kula' wakitegemea kuwa ndoto zao zote za Tanzania ya Samia zitatimia kwani haitokuwa ya Magufuli tena!

Yule mbaya wao, yule adui yao, yule kiongozi ambao hawakumtaka hayupo tena na sasa ameingia waliokuwa wamemtaka. Ndugu zetu hawa kwa uzuri au kwa ubaya sasa wamefikia mahali ya kutoa maelekezo, maombi, manuio, na hata matamanio yao chini ya Samia. Wanamuambia afanye nini kwanza, wanataka amtumbue nani kwanza, wanataka aanzie wapi kwanza ili waweze kuamini kuwa yuko nao. Wengine kwa wazi kabisa wanasema - tena siyo kusema wanamtaka aachane na 'mambo' ya Magufuli na akifanya hivyo basi wanaahidi kumuunga mkono na kuwa naye pamoja. Kwamba, hawatamnanga kama walivyomfanyia Magufuli na kuwa watampima Samia kwa jinsi gani anaenda mbali na siasa, mwelekeo, malengo na ajenda ya Magufuli. Ndugu zetu wanataka Samia awe "Rais" wao.

Wameacha kujipanga na uchaguzi, hawataki tena kutengeneza ajenda yao itakayowashindia uchaguzi, na hawataki kupambana kisiasa kushindana na CCM nyuma ya Samia. Wanataka kutengeneza "mgombea" wao na kudandia ajenda mpya ya Samia. Kwa kweli, inabidi tuwarudishe kwenye mstari wao ili wajipanga na kupambana na hali zao. Ajenda ya Samia bado ni ya Magufuli! Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, hana ajenda yake tofauti na ya Magufuli. Samia hajauza ajenda yake katika uchaguzi wowote na hajapigiwa kura ya peke yake nje ya Magufuli. Kwa maneno mengine ni kuwa - na yeye mwenyewe ameshaelezea wakati huu wa maombolezo - kuwa ajenda ya Magufuli ya "hapa kazi tu" ipo pale pale! Hili halijawafurahisha sana ndugu zetu kwani wanataka aikane ajenda ya mtangulizi wake, aibeze, aipangue na kuitupilia mbali kama yale mapapai yaliyoambukizwa korona! Samia achukue ajenda ya wapinzani na kutawala nayo nchi huku akitupilia mbali mambo yote ya Magufuli!

Hata hivyo, wananchi wametuma salamu zao wazi, kamili, na hadharani; wamemlilia Magufuli kwa sababu walimuelewa. Hawakujificha wala kuona haya kujitokeza kumuombolezea Rais wao na kumlilia. Walimuaga kama shujaa aagwavyo. Ndugu zetu hawakutarajia hili wala kulitegemea. Wanaamini ukosoaji wao ndio pekee umejaa ukweli, maneno yao ni ya kuaminika tu na madai yao ndiyo pekee yenye kukubalika. Hawatakiwi kupingwa wala kukataliwa kwani ukiwafanyia hivyo wewe si muumini wa demokrasia. Kwamba, demokrasia ni kukubali, kukumbatia na kutetea yote yasemwayo nayo. Kwamba njia pekee sahihi, bora na ya kukubalika ya kutawala nchi ni ile inayopendekezwa nao. Usipoifuata njia hiyo basi wewe ni hatari kwa maslahi yao.

Huu ndio mtego wanaomtegea Mama Samia; kwamba aingie kwenye anga zao vinginevyo hawatochelewa kumgeuka. Hawa hawa ambao leo wanamuita "ni mama yao" ndio hawa hawa watamgeuka na kuanza kutukumbusha "uzuri" wa Magufuli. Hawa hawa wenye kumsifia ndo hawa hawa watamshukia siku viongozi wao watakapotiwa pingu kwa makosa au watakapozuiliwa kufanya wavitakavyo. Hatokuwa tena Rais wao na walimuita Magufuli "Jiwe" hawa hawa wataanza kumuita mama huyo "Chuma" a.k.a "Iron Lady". Na Samia asipokaa nao na kuwasikiliza na kuwakubalia na kuwapa matakwa yao ndugu zetu hawa wataanza tena kuzunguka duniani kutuambia "Yule Mwanamke Hawezi Kutawala Tanzania Angalau Magufuli...".

Bahati nzuri tupo ambao bado tunaamini ajenda ya Magufuli bado ni ajenda yenye nguvu, ya uhakika, na salama zaidi kwa Tanzania kupiga hatua ya haraka ya maendeleo. Kuiacha ajenda hiyo ni kuwaacha Watanzania zaidi ya asilimia 80 pembeni. Kuiacha ajenda hiyo itakuwa ni kuirudisha nchi yetu nyuma miaka ishirini na ushee. Na ni wazi kuiacha ajenda hiyo ni kukubali kushindwa. Samia akiacha ajenda ya Magufuli wapo wenye Wana-Magufuli (Pro-Magufuli) ambao nao watamuacha. Lakini hata yeye akiamua kuiacha haina maana hakuna watu walioiona na kuikubali ajenda hiyo ambao wanaweza kuisimamia na kuifufua huko mbeleni. Aliyekufa ni Magufuli na si ajenda yake ya "Tanzania Tunaweza". Samia akilirudisha taifa katika kuombaomba na kutokujiamini tena, akilirudisha taifa katika kujishukushuku basi Tanzania itaenda kuwa katika ubaya kuliko tunaoufikiria.

Tunapozungumzia ajenda ya Magufuli tusichanganye na namna Magufuli alivyotaka kuitekeleza ajenda hiyo. Samia asiwe kama Magufuli; hatutaki azungumze kama Magufuli au afanye kila kitu kama Magufuli. Kila mtu ameumbwa tofauti na ana hulka tofauti. Mama Samia anaweza kuitekeleza na kuipeleka mbele Tanzania bila kufanya kila kitu kama Magufuli. Na hapa ni muhimu Mama Samia awaweke sawa wote; wale wanaoombea asiwe kama Magufuli na wale ambao wanataka awe zaidi ya Magufuli; ni lazima atengeneza njia yake mwenyewe bila kufunikwa na kivuli cha Magufuli wala kujaribu kuvaa viatu vyake. Ni lazima awaweke sawa wale wanaotaka achague Makamu wa Rais ambaye ataweza kufanya naye kazi, atakayeweza kumuamini, na ambaye likitokea lolote basi anaweza kuishikilia nchi. Na muhimu zaidi ni lazima awe mtu ambaye aliamini katika ajenda ya Magufuli na si NJE ya hapo. Mama Samia awe huru kumteua Makamu wa Rais anayeweza kushirikiana naye na kusimama naye; kuwa msiri wake, na afanye hivyo bila kuangalia Jinsia au Dini ya mtu huyo na kwa maoni yangu ni lazima awe mtu ASIYEUTAKA URAIS au aliyewahi kuonesha kiu na hamu ya kuwa Rais.

Kama nilivyosema hapo juu ajenda ya Magufuli ndiyo inaongoza nchi hadi 2025. Kama Mama Samia au MwanaCCM yeyote mwingine ana ajenda nyingine basi huyo ajiandae 2025. Mama Samia anaweza kuwa na ajenda yake; lakini hiyo itabidi aiandae 2025 (na wengine tayari tupo nyuma yake kwani tayari tunamuaini kwa vile tu alikuwa nyuma ya Magufuli). Kwa sasa hata hivyo, yeye na uongozi mzima wa nchi unatakiwa kuendelea na ajenda ya Magufuli. Na ili afanikiwe ni lazima ipange serikali yake kwa namna yake yeye na jinsi anavyoweza kuona inamfaa kuongoza nchi kuelekea 2025. Si lazima arithi na kuendelea na kila kiongozi aliyeteuliwa na Magufuli; wale ambao anaona wanapwaya au tayari walishaona wanapwaya ni lazima AWAPANGUE bila aibu. Sasa hivi ni lazima atume ujumbe wa haraka kuwa HAKUNA aliyesalama kwenye cheo chake; kila mtu ni lazima astahili kuwepo kwenye serikali yake. Na katika kufanya hivyo ndio anaweza KUSAHIHISHA makosa ya Magufuli, kujenga katika MAFANIKIO yake na kuongoza kuelekea MALENGO yote yaliyokuwa yanawezekana chini ya AJENDA YA MAGUFULI.

Hii ni kwa sababu AJENDA YA SAMIA ni bado AJENDA YA MAGUFULI hadi 2025.

#TukonaSamia2025.
Unaota ndoto za mchana JIWE kashaenda na mambo yake yashakwenda,cheche tumeziona jana kwenye ripoti ya CAG kuhus madege,angekuwepo KICHERE asingethubutu kutaja hiyo hasara.
 

Na. M. M. Mwanakijiji

Wale ndugu zetu waliombea, waliongojea, na hata waliosubiria Magufuli afariki akiwa madarakani leo wanataka tuendelee kuamini kuwa chaguo lao limeingia madarakani sasa. Ndugu zetu hawa ndio wale huko nyuma na si mara moja wamekuwa wakisubiria kwa hamu "kitu" kitokee ili "mama" aingie madarakani. Tunawakumbuka hawa jinsi walivyosubiria kwa hamu wakati ule huku wakiposti picha za Makamu wa Rais kuwa ni suala la muda tu. Kama nitakavyoonesha katika makala yangu ya wiki hii (Gazeti la Raia Mwema) kwa baadhi ya watu kifo cha Magufuli hakikuja kwa mshtuko kivile; watu waliombea kisije kutokea lakini uwezekano wake ulikuwa mkubwa zaidi kuliko watu wengi walivyokuwa wanafikiria. Kwamba, sasa Rais Magufuli amefariki dunia basi ujio wa Mama Samia kwa ndugu zetu ni kama sala, dua, na maombi yao yamejibiwa. Katika kushangilia na kufurahia kwao ndugu zetu sasa wamekaa 'mkao wa kula' wakitegemea kuwa ndoto zao zote za Tanzania ya Samia zitatimia kwani haitokuwa ya Magufuli tena!

Yule mbaya wao, yule adui yao, yule kiongozi ambao hawakumtaka hayupo tena na sasa ameingia waliokuwa wamemtaka. Ndugu zetu hawa kwa uzuri au kwa ubaya sasa wamefikia mahali ya kutoa maelekezo, maombi, manuio, na hata matamanio yao chini ya Samia. Wanamuambia afanye nini kwanza, wanataka amtumbue nani kwanza, wanataka aanzie wapi kwanza ili waweze kuamini kuwa yuko nao. Wengine kwa wazi kabisa wanasema - tena siyo kusema wanamtaka aachane na 'mambo' ya Magufuli na akifanya hivyo basi wanaahidi kumuunga mkono na kuwa naye pamoja. Kwamba, hawatamnanga kama walivyomfanyia Magufuli na kuwa watampima Samia kwa jinsi gani anaenda mbali na siasa, mwelekeo, malengo na ajenda ya Magufuli. Ndugu zetu wanataka Samia awe "Rais" wao.

Wameacha kujipanga na uchaguzi, hawataki tena kutengeneza ajenda yao itakayowashindia uchaguzi, na hawataki kupambana kisiasa kushindana na CCM nyuma ya Samia. Wanataka kutengeneza "mgombea" wao na kudandia ajenda mpya ya Samia. Kwa kweli, inabidi tuwarudishe kwenye mstari wao ili wajipanga na kupambana na hali zao. Ajenda ya Samia bado ni ya Magufuli! Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, hana ajenda yake tofauti na ya Magufuli. Samia hajauza ajenda yake katika uchaguzi wowote na hajapigiwa kura ya peke yake nje ya Magufuli. Kwa maneno mengine ni kuwa - na yeye mwenyewe ameshaelezea wakati huu wa maombolezo - kuwa ajenda ya Magufuli ya "hapa kazi tu" ipo pale pale! Hili halijawafurahisha sana ndugu zetu kwani wanataka aikane ajenda ya mtangulizi wake, aibeze, aipangue na kuitupilia mbali kama yale mapapai yaliyoambukizwa korona! Samia achukue ajenda ya wapinzani na kutawala nayo nchi huku akitupilia mbali mambo yote ya Magufuli!

Hata hivyo, wananchi wametuma salamu zao wazi, kamili, na hadharani; wamemlilia Magufuli kwa sababu walimuelewa. Hawakujificha wala kuona haya kujitokeza kumuombolezea Rais wao na kumlilia. Walimuaga kama shujaa aagwavyo. Ndugu zetu hawakutarajia hili wala kulitegemea. Wanaamini ukosoaji wao ndio pekee umejaa ukweli, maneno yao ni ya kuaminika tu na madai yao ndiyo pekee yenye kukubalika. Hawatakiwi kupingwa wala kukataliwa kwani ukiwafanyia hivyo wewe si muumini wa demokrasia. Kwamba, demokrasia ni kukubali, kukumbatia na kutetea yote yasemwayo nayo. Kwamba njia pekee sahihi, bora na ya kukubalika ya kutawala nchi ni ile inayopendekezwa nao. Usipoifuata njia hiyo basi wewe ni hatari kwa maslahi yao.

Huu ndio mtego wanaomtegea Mama Samia; kwamba aingie kwenye anga zao vinginevyo hawatochelewa kumgeuka. Hawa hawa ambao leo wanamuita "ni mama yao" ndio hawa hawa watamgeuka na kuanza kutukumbusha "uzuri" wa Magufuli. Hawa hawa wenye kumsifia ndo hawa hawa watamshukia siku viongozi wao watakapotiwa pingu kwa makosa au watakapozuiliwa kufanya wavitakavyo. Hatokuwa tena Rais wao na walimuita Magufuli "Jiwe" hawa hawa wataanza kumuita mama huyo "Chuma" a.k.a "Iron Lady". Na Samia asipokaa nao na kuwasikiliza na kuwakubalia na kuwapa matakwa yao ndugu zetu hawa wataanza tena kuzunguka duniani kutuambia "Yule Mwanamke Hawezi Kutawala Tanzania Angalau Magufuli...".

Bahati nzuri tupo ambao bado tunaamini ajenda ya Magufuli bado ni ajenda yenye nguvu, ya uhakika, na salama zaidi kwa Tanzania kupiga hatua ya haraka ya maendeleo. Kuiacha ajenda hiyo ni kuwaacha Watanzania zaidi ya asilimia 80 pembeni. Kuiacha ajenda hiyo itakuwa ni kuirudisha nchi yetu nyuma miaka ishirini na ushee. Na ni wazi kuiacha ajenda hiyo ni kukubali kushindwa. Samia akiacha ajenda ya Magufuli wapo wenye Wana-Magufuli (Pro-Magufuli) ambao nao watamuacha. Lakini hata yeye akiamua kuiacha haina maana hakuna watu walioiona na kuikubali ajenda hiyo ambao wanaweza kuisimamia na kuifufua huko mbeleni. Aliyekufa ni Magufuli na si ajenda yake ya "Tanzania Tunaweza". Samia akilirudisha taifa katika kuombaomba na kutokujiamini tena, akilirudisha taifa katika kujishukushuku basi Tanzania itaenda kuwa katika ubaya kuliko tunaoufikiria.

Tunapozungumzia ajenda ya Magufuli tusichanganye na namna Magufuli alivyotaka kuitekeleza ajenda hiyo. Samia asiwe kama Magufuli; hatutaki azungumze kama Magufuli au afanye kila kitu kama Magufuli. Kila mtu ameumbwa tofauti na ana hulka tofauti. Mama Samia anaweza kuitekeleza na kuipeleka mbele Tanzania bila kufanya kila kitu kama Magufuli. Na hapa ni muhimu Mama Samia awaweke sawa wote; wale wanaoombea asiwe kama Magufuli na wale ambao wanataka awe zaidi ya Magufuli; ni lazima atengeneza njia yake mwenyewe bila kufunikwa na kivuli cha Magufuli wala kujaribu kuvaa viatu vyake. Ni lazima awaweke sawa wale wanaotaka achague Makamu wa Rais ambaye ataweza kufanya naye kazi, atakayeweza kumuamini, na ambaye likitokea lolote basi anaweza kuishikilia nchi. Na muhimu zaidi ni lazima awe mtu ambaye aliamini katika ajenda ya Magufuli na si NJE ya hapo. Mama Samia awe huru kumteua Makamu wa Rais anayeweza kushirikiana naye na kusimama naye; kuwa msiri wake, na afanye hivyo bila kuangalia Jinsia au Dini ya mtu huyo na kwa maoni yangu ni lazima awe mtu ASIYEUTAKA URAIS au aliyewahi kuonesha kiu na hamu ya kuwa Rais.

Kama nilivyosema hapo juu ajenda ya Magufuli ndiyo inaongoza nchi hadi 2025. Kama Mama Samia au MwanaCCM yeyote mwingine ana ajenda nyingine basi huyo ajiandae 2025. Mama Samia anaweza kuwa na ajenda yake; lakini hiyo itabidi aiandae 2025 (na wengine tayari tupo nyuma yake kwani tayari tunamuaini kwa vile tu alikuwa nyuma ya Magufuli). Kwa sasa hata hivyo, yeye na uongozi mzima wa nchi unatakiwa kuendelea na ajenda ya Magufuli. Na ili afanikiwe ni lazima ipange serikali yake kwa namna yake yeye na jinsi anavyoweza kuona inamfaa kuongoza nchi kuelekea 2025. Si lazima arithi na kuendelea na kila kiongozi aliyeteuliwa na Magufuli; wale ambao anaona wanapwaya au tayari walishaona wanapwaya ni lazima AWAPANGUE bila aibu. Sasa hivi ni lazima atume ujumbe wa haraka kuwa HAKUNA aliyesalama kwenye cheo chake; kila mtu ni lazima astahili kuwepo kwenye serikali yake. Na katika kufanya hivyo ndio anaweza KUSAHIHISHA makosa ya Magufuli, kujenga katika MAFANIKIO yake na kuongoza kuelekea MALENGO yote yaliyokuwa yanawezekana chini ya AJENDA YA MAGUFULI.

Hii ni kwa sababu AJENDA YA SAMIA ni bado AJENDA YA MAGUFULI hadi 2025.

#TukonaSamia2025.

Hata hawa hawakuungi mkono wewe wala bandiko lako:


Pia hawa:

IMG_20210328_223958_589.jpg


IMG_20210329_062118_700.jpg


IMG_20210329_062147_215.jpg


Sembuse wewe wakulungwa?

Si mseme tu msiotaka umoja na ustawi wa watanzania mmevurugwa!

Hizi ni zama mpya. Tanzania mpya inayohitajika na wengi ndiyo hii inayokubalika sasa.

Mama Samia anaungwa mkono na walio wengi zaidi na huo ndiyo ulio ukweli wenyewe.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Tatizo lako unadhani Magufuli alichukiwa na wapinzani pekee. Na usijitoe ufahamu kuwa Magufuli alilazimishwa tu kuwa na Mama Samia kama mgombea mwenza na hatimaye Makamu wake...
Lakini na wewe kiongozi wakati wa kampeni za 2015 si ulikuwa kwa Magufuli na ukawa unatuaminisha kwamba Magu ni bora kuliko Lowassa? Utanisamehe kama nimekuchanganya na Mzee Mwanakijiji, nakumbuka kama mlikuwa timu moja!
 
Sawasawa; na nadhani (niseme najua) kuna watu ambao walipenda ajenda ya Magufuli ili hawakupenda jinsi alivyokuwa anaiendesha maana ni kama alikuwa anajigongelea misumari miguuni huku akijaribu kukimbia...

Wacha kupotosha hajawahi kuw ana ajenda yenye maono na faida kw ataifa zaidi ya ajnda kuu ya UFISADI, n ainajulikana Duniani kote ukitaka kuiba wewe fanya Miradi ya ujenzi upige percent zako na ndicho anachokijua tokea akiwa waziri.
 

Na. M. M. Mwanakijiji

Wale ndugu zetu waliombea, waliongojea, na hata waliosubiria Magufuli afariki akiwa madarakani leo wanataka tuendelee kuamini kuwa chaguo lao limeingia madarakani sasa. Ndugu zetu hawa ndio wale huko nyuma na si mara moja wamekuwa wakisubiria kwa hamu "kitu" kitokee ili "mama" aingie madarakani.
hupendi kufikiria
 
Lakini na wewe kiongozi wakati wa kampeni za 2015 si ulikuwa kwa Magufuli na ukawa unatuaminisha kwamba Magu ni bora kuliko Lowassa? Utanisamehe kama nimekuchanganya na Mzee Mwanakijiji, nakumbuka kama mlikuwa timu moja!
Ni Kweli Magu wa 2015 kurudi nyuma alikuwa bora kuliko Lowassa.

Hata mimi nilikuwa namkubali sana.
 
FM, hii hatari wanaitengeneza wenyewe. Sasa hivi walitakiwa waanze kujipanga kudai wanachotakiwa kudai.. wanatakiwa waujaribu uvumilivu wa Rais Samia.
MM, ni mapema mno kuwashutumu kuwa hawajipangi. Hasa ukizingatia platforms za wao kufanya hivyo ni chache mno. Sijakuelewa unaposema wanatakiwa waujaribu uvumilivu wake. Unataka watangaze maandamano? Ili iwaje? Katika mazingira ambayo watu wamewekwa ndani kwa kunywa ulanzi na Mheshimiwa Rais hajasema neno nadhani tayari ujumbe umefika.

Amandla...
 
Hauwajui watanzania wewe!!! hawa jamaa wavivu, wanafiki, waongo? wasio wabunifu?

yaani mtu anakosa kutengebeza daraja, gari zinakwama siku tatu usimfokee??

wamama waja wazito wanakufa na vichanga just kwa sababu ya poor planning usiwafokee??

Nani alionewa kati ya waliofokewa???

aisee
Nitadharau hilo la kuniambia kuwa siwajui watanzania wakati mimi mwenyewe ni mtanzania.

Unamfokea kama ulikuwa unampelekea pesa za kutengeneza hilo daraja na hafanyi hivyo.

Kuna taratibu za kuwashughulikia watumishi wazembe, kufokeana hadharani si mojawapo.

Wengi tu walionewa kwa sababu viongozi wengi waliiga tabia hii. Na wengi hawakuishia kuwafokea tu bali wali wasweka ndani. Makandarasi wameswekwa ndani kwa kutokamilisha miradi wakati wanaidai serikali mabilioni!

Amandla....
 
Wazee wa Waraka mmeanza
Acheni mama atawale
 
Huyu naye anataka kuanzisha kundi la "gospel" ili amuwahi mama. Sidhani kama atakubali kulewa sifa kama mtukufu. Mama amefanya kazi na mtukufu na siyo kuwa hakuonja joto ya jiwe. Aliumia na hatapenda watu waumie kama alivyoumia yeye. Mama hatapenda watu wakose haki yao na hilo amelizungumza jana. Mtukufu alifurahi kuumiza watu, ilikuwa agenda yake na haitakuwa agenda ya mama
Ni mapema mno kumpa hizo sifa. Alikuwa sehemu ya serikali ya marehemu Rais na hakuwahi kuonyesha kuwa hapendezwi na yanayoendelea. Watu wanakumbuka matamshi yake katika kampeni kuhusu shabaha za askari wao na ushindi wa chama chake. Muda ndio utaonyesha kama kweli ni tofauti au kama alivyosema mwenyewe, ni muendelezo wa utendaji wa aliyemtangulia.

Amandla...
 
Mlikurupuka! Sisi tuliokuwa tunajua tulibaki ngangari!
Lowassa hajawahi kuwa safi. Lakini Magufuli amewahi kuwa na afadhali.

Rangi halisi ya Magu ilianza kuonekana baada ya kupewa madaraka.

Ishtoshe genge lililotaka kumweka Lowassa Ikulu baadaye likawa linakula na kunywa Ikulu.

Rushwa, ufisadi ni vibaya ila kukoswa utu na UBINADAMU ni roho ya ajabu sana iliyodhihirika wakati wa Magu
 
Back
Top Bottom