Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Uhongo kipindi anaondoka nchi uchumi ulikuwa unaanguka ,
Hiki kipindi ambacho UCHUMI WA NCHI ulikuwa unaanguka, wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walikuwa wanayahama maeneo yao ya asili.


Kulikuwa kuna watu kama wakina REDMAN, ambaye ni MSANII WA KIMAREKANI mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA, kutoka katika wilaya ya KISHAPU.


Pia kulikuwa kuna watu kama wakina METHODMAN, ambaye ni MSANII WA KIMAREKANI mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika wilaya ya KISHAPU.

Haya yote yalikuwa yanafanyika na yaliendelea kufanyika hata baada ya HAYATI MWALIMU kung'atuka madarakani.

Sasa swali lingine la msingi ni HAYATI MWALIMU alikuwa na mahusiano gani na wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA?


Jibu la hili swali ndiyo utapata picha kamili ya hali ya kiuchumi ya HAYATI MWALIMU na utafahamu vizuri zaidi ukiwa kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA.
 
Uhongo kipindi anaondoka nchi uchumi ulikuwa unaanguka ,
Huwa mnaambiwa kinyume chake! Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na HAYATI MWALIMU bado kidogo wataanza kutoa misaada. Sio kuomba misaada.

Ukiachana na NYEHUNGE! Hawa wamiliki halali wa kituo cha televisheni cha CITIZEN, ndiyo wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji inayoitwa SATCO.


SATCO imetokana na jina la mkurungenzi wa kampuni ya HANSPAUL GROUP OF COMPANIES, anayeitwa SATBIR HANSPAUL.


Hii kampuni ya HANSPAUL ni kubwa kwa kiasi chake na inafanya vizuri kwa upande wa "CAR MODIFICATION".


Hii kampuni ya HANSPAUL ndiyo iliyozaa kampuni ya usafirishaji ya abiria inayoitwa SATCO, ikiwa na maana ya SATBIR HANSPAUL..


Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA pamoja na HAYATI MWALIMU walikuwa ni WATU WASOMI.


HAYATI MWALIMU kuna baadhi ya kampuni aliwekeza kupitia wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] na alifanikiwa.
 
Usijidanganye kwa kujipa matumaini mkuu.
Hkn kitu
 
Usijidanganye kwa kujipa matumaini mkuu.
Hkn kitu
Hawa watu hawafahamu kitu chochote! Unajua kwa upande wa UTAMADUNI WA KIINGEREZA ~ mtu ambaye hana kitu, huwa hathaminiki.

Yaani UMASIKINI huwa hauna nafasi kwa WAINGEREZA na ukihitaji kuthaminika kwa WAINGEREZA na duniani kote kwa ujumla, basi ni lazima uwe na kitu chochote cha kujivunia.

Wao, WAINGEREZA huwa wanaita DESTINATION na huwa wanapenda kuuliza hili swali ~ "What is your favorite destination?"


Kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, WAINGEREZA waliwatumia wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU katika harakati za kudai UHURU WA TANGANYIKA, hatimaye SIASA ZA CHAMA CHA TANU na sasa hivi ndiyo wasimamizi na waangalizi wa CHAMA TAWALA.


Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU ni MATAJIRI sana na walijengwa na WAINGEREZA tangu kipindi cha UKOLONI, kwa ajili ya kufanikisha malengo ya kisiasa.


Hata huyu NIA LONG, ni muigizaji wa KIMAREKANI ambaye ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.


Asilimia ishirini [20%] ya wenyeji wa asili ya KISHAPU ndiyo waliobaki TANZANIA na asilimia themanini [80%] iliyobaki walihamia nje ya nchi.


Hata huyu, DJ SPEED OF NWA ni MMAREKANI ambaye ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.


HAYATI MWALIMU alikuwa ni watatu katika ile NGAZI YA UONGOZI [GOVERNMENT HIERARCHY] ~ alikuwa anaanza MUINGEREZA ambaye ndiye mwenye SERIKALI na alikuwa anafuata UCHIFU WA BUSIA ambaye ndiye MSIMAMIZI WA SERIKALI na alikuwa anafuatia HAYATI MWALIMU ambaye ndiye aliyekuwa KIONGOZI WA KISERIKALI na HAYATI MWALIMU alikuwa na kazi moja tu, ambayo ni kuthaminika katika jamii anayoiongoza.


Kwahiyo OSCAR KAMBONA alikuwa sahihi na HAYATI MWALIMU aliona makosa yake, lakini alitumia ule msemo maarufu wa lugha ya kiswahili anaosema ~ "Tia mchuzi, pangu pakavu" au "Weka mchuzi sehemu yangu, ili na mie nipate kuonja ladha ya mboga".

HAYATI MWALIMU alifanikiwa kuwa WAZIRI MKUU WA KWANZA kwa upande wa TANGANYIKA na hatimaye kuwa RAIS WA KWANZA kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA na MWENYEKITI WA KWANZA WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na alifanikiwa kuwekeza kupitia WATU WENYE ASILI YA UJERUMANI.
 
Acha kujipa moyo hata Obama ni mmalekani mwenye asili ya Kenya.
Sasa Kenya imenufaika Nini kutoka kwake.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
 
Acha kujipa moyo hata Obama ni mmalekani mwenye asili ya Kenya.
Sasa Kenya imenufaika Nini kutoka kwake.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Ndiyo! HAYATI MWALIMU alikuwa ni "Tia mchuzi, pangu pakavu" na wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU ndiyo waliokuwa wala MBOGA.


Wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU sasa hivi wanamiliki UCHUMI MKUBWA kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA na ndiyo wamiliki halali wa kampuni ya kutengeneza nyembe inayoitwa GILLETTE.


Hii kampuni ya GILLETTE ndiyo wamiliki halali wa UWANJA WA GILLETTE unaopatikana MASSACHUSETTS, nchini MAREKANI.


Pia hawa wamiliki halali wa kampuni ya GILLETTE ndiyo waliokuwa wamiliki na wadhamini halali wa KIKUNDI CHA WAPIGANAJI CHA RPA, ambacho kwa baadae ndiyo kilitengeneza JESHI LA RPF na hatimaye CHAMA CHA RPF-INKOTANYI.

Haya yote walikuwa wanafanya kwa kudra na baraka kutoka katika TAIFA LA UINGEREZA na kuna taarifa ambazo siyo rasmi zinazoonesha kuwa hata SIASA ZA RWANDA, BURUNDI na KONGO hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU wanatumika tu, lakini wahusika wakuu ni UINGEREZA.

Kwahiyo HAYATI MWALIMU alikuwa ni "Tia mchuzi, pangu pakavu" na wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU ndiyo walikuwa wala MBOGA na UINGEREZA ndiyo JUNGU KUU LENYEWE LISILOKOSA UKOKO.
 
Hakika mkuu ...!!
Hawa WAINGEREZA wamewatumia sana wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU katika SIASA ZA TANZANIA na AFRIKA kwa ujumla.


Hata CHARLES TAYLOR ni MLAIBERIA mwenye asili ya TANZANIA kutoka katika MKOA WA SHINYANGA, hususani WILAYA YA KISHAPU.


CHARLES TAYLOR alifanikiwa kuwa RAIS WA SERIKALI YA LIBERIA, 1997 - 2003 baada ya kumuondoa SAMUEL DOE kwa njia ya MAPINDUZI YA KIJESHI.


Unaambiwa CHARLES TAYLOR ni matokeo ya KITENGO au IDARA kuhusika na MAPINDUZI YA KIJESHI nchini LIBERIA, lakini siyo kweli! CHARLES TAYLOR ni matokeo ya TAIFA LA UINGEREZA katika kuwatumia wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU.


CHARLES TAYLOR ana mtoto wa kiume katika MKOA WA SHINYANGA, hususani WILAYA YA SHINYANGA MJINI na mtoto wake huwa anacheza NDONDO kupitia timu inayoitwa [...]. Ni mtukukutu hata akiwa UWANJANI na anafanana na baba yake hata kwa kumuangalia.

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU wanamiliki UCHUMI MKUBWA kutokana na kuendelea kutumiwa na TAIFA LA UINGEREZA katika kutimiza malengo ya kisiasa.
 
Hakika mkuu ...!!

Hata huyu LEYMAH GBOWEE ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA, kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.

LEYMAH GBOWEE ni mshindi wa tuzo ya NOBEL PRICE, 2011 na ana uraia wa LAIBERIA. Hii yote ni kazi ya UINGEREZA! Hakuna IDARA wala KITENGO hapo.. 😁

Yaani UINGEREZA ilichokifanya kwa upande wa TAIFA LA LAIBERIA, wanaweza kufanya hata hapa TANZANIA. Ndiyo maana kuna kila haja ya MTANZANIA kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA.

UINGEREZA walifanya jambo ambalo ULIMWENGU mzima unashangaa hadi leo, lakini ndiyo maana halisi ya SUPERPOWER.


Baada ya kufanikiwa kumuweka CHARLES TAYLOR kuwa RAIS WA SERIKALI YA LAIBERIA, RAIS wote waliofuata baada ya CHARLES TAYLOR ni WATANZANIA kutoka katika MKOA WA SHINYANGA.
 
Afya ya akili
 
Afya ya akili
Wale WATANZANIA waliofanikiwa kuyafahamu haya mambo tangu siku nyingi, walijikita katika kujijenga KIUCHUMI akiwemo HAYATI MWALIMU mwenyewe.


Aina hii ya SIASA inayofanyika TANZANIA ni SIASA YA UINGEREZA, hata ACADEMIC GENOCIDE inayofanyika pale BARAZA LA MITIHANI [Pages | NECTA] ni SIASA YA UINGEREZA.

Zamani kipindi cha miaka ya tisini [1990's], kulikuwa kuna msemo maarufu wa lugha ya kiswahili uliokuwa ukisema ~ "Kunya anye kuku, akinya bata kaharisha". Yaani GENOCIDE afanye MUINGEREZA, akifanya mwingine ni UKIUKWAJI WA HAKI ZA BINADAMU.


Sasa wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA pamoja na HAYATI MWALIMU walifanikiwa kufahamu SIASA YA TANZANIA kwa msaada wa UJERUMANI, ndiyo maana wapo vizuri katika SIASA na UCHUMI.

Kwahiyo OSCAR KAMBONA alikuwa sahihi na HAYATI MWALIMU alikuwa ni "Tia mchuzi, pangu pakavu" hakuna cha KITENGO wala IDARA.
 
Hakika mkuu ...!!
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] kulikuwa kuna wakina BOBBY BROWN na WHITNEY HOUSTON, hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika wilaya ya KISHAPU.


Yaani asilimia themanini [80%] ya wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walihamia NJE YA NCHI na asilimia ishirini [20%] waliobaki walisambaa maeneo mbalimbali ya nchi, hasa WILAYA ZA HANANG, KATESH, HANDENI na MUHEZA.


Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walikuwa kama wenye nchi, kwa sababu walikuwa ni WASIMAMIZI WA SERIKALI na HAYATI MWALIMU alikuwa ni KIONGOZI WA KISERIKALI tu.


Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU ndiyo waliokuwa wanapata zile NAFASI ZA KIDIPLOMASIA za kwenda kusoma na kuishi katika MATAIFA mbalimbali kupitia SERIKALI YA TANZANIA.


Wengine walikuwa kama wakina BIG DADDY KANE na NAOMI CAMPBELL ambao wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.


Hii ni picha ya pamoja na MADONNA ambayo BIG DADDY KANE na NAOMI CAMPBELL walipiga kwa pamoja wakiwa katika shughuli za mitindo.


Pia kulikuwa kuna WASANII kutoka MAREKANI wenye asili ya TANZANIA kutoka katika MKOA WA SHINYANGA ambao walikuwa wanaitwa GETO BOYS.


GETO BOYS lilikuwa ni kundi la HIP HOP lililojumuisha WASANII kama SCARFACE na WILLIE D. Hawa baadae kwenye miaka ya tisini na nne [1994's] walikuja jiunga na KUNDI LA RPA, nchini RWANDA.


Yaani lile KUNDI LA RPA lilikuwa linajumuisha wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA, hasa kutoka WILAYA YA KISHAPU waliokuwa wamesambaa na kuenea sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.


Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU ndiyo waliokuwa nyuma ya MAPINDUZI YA KIJESHI YA RWANDA [1994's] na ilikuwa ni muendelezo wa kutumika na TAIFA LA UINGEREZA katika kutimiza malengo ya kisiasa. Hakuna KITENGO wala IDARA iliyohusika.
 
Duuh πŸ€”πŸ€”
 
Duuh πŸ€”πŸ€”

Hao watu ni hatari! Jaribu kuangalia hiyo NYIMBO YA SIX FEET DEEP ya GETO BOYS waliyoimba SCARFACE na WILLIE D.

Hilo KUNDI LA GETO BOYS kifupi chake ni GB au GREAT BRITAIN na kuna taarifa ambazo siyo rasmi zinazoonesha kuwa hata aliyedungua ndege iliyobeba RAIS JUVENILE HABYARIMANA na RAIS CYPRIAN NTARYAMIRA [1994] alikuwa ni MSANII WA HIP HOP kutoka MAREKANI mwenye asili ya TANZANIA.


Sasa hivi hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU wanamiliki UCHUMI MKUBWA kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.
 
Duuh πŸ€”πŸ€”
Ukiwa TANZANIA, DIASPORA wengi ni wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Na unapozungumzia WIZARA YA MAMBO YA NJE ni wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA, hasa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU.


Hawa walijengwa na wanaendelea kujengwa na UINGEREZA tangu kipindi cha UKOLONI.


Hakuna KITENGO wala IDARA! Ni UINGEREZA pekee ndiyo iliyowajenga hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA hadi kufikia kuwa viongozi kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI, KONGO, SUDANI YA KUSINI na hata LIBERIA.


Hata aliyekuwa FIRST LADY wa ZIMBABWE, GRACE MUGABE ni MTANZANIA mwenye asili MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.


Kwahiyo utaona ni kwa namna gani UINGEREZA ilivyohusika katika kuwajenga hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA na sasa hivi wanamiliki UCHUMI MKUBWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…