Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Saisa za hii nchi zilianza kuchafuka toka zamani.Waliishia kumpaka matope.
View attachment 1665493
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saisa za hii nchi zilianza kuchafuka toka zamani.Waliishia kumpaka matope.
View attachment 1665493
Ile nyumba ya Kambona alipewa Obote wa Uganda, wakati alipokuja huku baada ya kupinduliwa na Amin wa Uganda.Neema Kamb9na alikuwapi mjini.
Nyumba ya Kambona ipo pale pale Msasani anapokaa Nyerere barabarani.
Walikuwa majirani.
Waliishia kumpaka matope.
View attachment 1665493
nimekusanya dots za hapa na pale nikasoma stories zake , cha ajabu wale ambao walishuhudia haya yote kwa macho yao huwezi kuskia wakiongelea haya mambo watuambie ukwelishukran sana umetufumbua Macho japo nawewe haupo deep sana yan kama umehadithiwa au umeskia mahala then ukaja kutuambia.
peleas anayefahamu vizuri historia ya huyu mtu (Kambona) atiririke, tujue alizaliwa wapi, amesoma wapi, alikua na nyadhifa zipi , kafa mwaka gani. Pia atueleze tz ya sasa kipi kimefanyika ambacho Kambona alikiona na Nyerere alikuwa hakiamini
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Nimesoma historia ya Huyu jamaa kidogo miaka ya nyuma, nitaelezea kidogo nachojua, Oscar S. Kambona alizaliwa Songea, Kambona na Nyerere walikutana Tabora boys, Baadae Kambona alipata Scholarship ya Gavana na kwenda kusoma uingereza, Baada ya Tanu kuanzishwa, Nyerere alimuomba Kambona arudi Tanganyika ili kuongeza nguvu kwenye chama, baada ya Uhuru, Mwalimu alipendelea zaidi mfumo wa ujamaa aliiona China alipofanya ziara nchini chini ambayo kipindi hiki ilikuwa chini ya utawala wa Mao Ze Dong, Kambona hakupenda Sera ya ujamaa, Tofauti ilianzia hapo, Baadaye wakati vuguvugu la vyama vingi lilipoanza, Kambona alipendekeza vyama vingi na mwalimushukran sana umetufumbua Macho japo nawewe haupo deep sana yan kama umehadithiwa au umeskia mahala then ukaja kutuambia.
peleas anayefahamu vizuri historia ya huyu mtu (Kambona) atiririke, tujue alizaliwa wapi, amesoma wapi, alikua na nyadhifa zipi , kafa mwaka gani. Pia atueleze tz ya sasa kipi kimefanyika ambacho Kambona alikiona na Nyerere alikuwa hakiamini
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
nchi nyingi kua na changamoto nyingi kuliko TZ haimanishi tupo nafasi nzuri, Tungeweza kufanya vizuri zaidi ya hapa lakini tulifeli kwasababu ya mtu mmoja
Kambona alikuwa Katibu Mkuu wa TANU anayehubiri Ujamaa kwa muda mrefu sana.
Wanaosema alipingana na Nyerere kwa sababu ya Ujamaa inabidi waje na detail zaidi.
Kambona deserves his own book. But I did learn a lot regarding this period from Paul Bjerk's "Building A Peaceful Nation: Julius Nyerere And The Establishment of Tanzania 1960-1964".
OK. Nilijua Obote alipewa nyumba ya serikali, ila for some reason nilifikiri ilikuwa karibu na St. Peter's.Ile nyumba ya Kambona alipewa Obote wa Uganda, wakati alipokuja huku baada ya kupinduliwa na Amin wa Uganda.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
kwa hiyo ni kama tulichagua umasikini na umoja dhini ya maisha bora and it was a wrong choice! kwa nje nyerere alikua anaonekana anahubiri umoja kwa sababu alituona ni "mafala" lakini kwa undani nyerere aliwakamata kuwatesa na kuwafunga watu waliompinga na alikokua anaona ni tishio kwake kisiasa! mfano mzuri ni kaka zake na kambona ambao hata hawakua wanasiasa ila waliteswa na kufungwaKupanga ni kuchagua! Wengi wa wale walioanza na ideology ya Ubepari wakati nchi zao bado ni changa wameishia kupata matabaka either ya kikanda au kikabila! Inawezekana ukaona kuwa tumechelewa sana lkn amini kuwa misingi aliyoijenga mwalimu ndio leo tupo wamoja hivi unavyoona hatuulizani makabila wala dini. Sasa kama kujenga nchi tuanzie hapo baada ya kujenga Amani na Umoja wa Kitaifa.
OK. Nilijua Obote alipewa nyumba ya serikali, ila for some reason nilifikiri ilikuwa karibu na St. Peter's.
Ila kuna wakati familia ya Kambona walirudishiwa ile nyumba. Nafikiri ilikuwa wakati Mwinyi anarudisha baadhi ya nyumba zilizotaifishwa na serikali.
Niliwahi kwenda pale na rafiki zangu walikuwa wanakwenda kumsalimia rafiki yao Neema Kambona alikuwa anaishi pale. Ndipo nilipojua kwamba kumbe Kambona na Nyerere walikuwa majirani wa siku nyingi sana.
Nyerere alikuwa ni cold blood dictator sema ni dictator aliyekung'ata anapuliza na sio pure dictator.kwa hiyo ni kama tulichagua umasikini na umoja dhini ya maisha bora and it was a wrong choice! kwa nje nyerere alikua anaonekana anahubiri umoja kwa sababu alituona ni "mafala" lakini kwa undani nyerere aliwakamata kuwatesa na kuwafunga watu waliompinga na alikokua anaona ni tishio kwake kisiasa! mfano mzuri ni kaka zake na kambona ambao hata hawakua wanasiasa ila waliteswa na kufungwa
Kambona aliamini ubepari na siasi ya vyama vingi, Nyerere aliamini ujamaa na siasa ya chama kimojaNn ilikuwa chanzo cha ugomvi wa Hawa mabestman wawili
ok shukran kk. ukiachana na kuamini ubepari na mfumo wa vyema vingi, kipi kingine kinacho fuction now ambacho Kambona ali dream kipindi iko?nimesusanya dots za hapa na pale nkasoma stories zake , cha ajabu wale ambao walishuhudia haya yote kwa macho yao huwezi kuskia wakiongelea haya mambo watuambie ukweli