Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Hapana! CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ kipo karibu sana na nchi za ITALIA ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น na UJERUMANI ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช kuliko hata UCHINA ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ.

Sema CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ kinataka kuiga mfumo wa kiuendeshaji na kiutawala kutoka kwa CHAMA TAWALA cha UCHINA ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ. Na hii yote itafanikiwa baada ya kuua VYAMA VYA UPINZANI.

Sio siri, WAITALIANO ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น na WAJERUMANI ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช tunaishi nao humu humu mitaani, sema wao wanatumia majina yenye asili ya KIARABU, ndio maana tunawaita WAARABU, lakini hawa huwa sio WAARABU. Ni WAITALIANO ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น na WAJERUMANI ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช walioakisi majina na tamaduni za KIARABU.

Vile vile, HAYATI MWALIMU alifanikiwa pia kuwekeza viwanda katika nchi ya UCHINA ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ na baadhi ya bidhaa zake zinauzika dunia nzima.

Hii pia inafanyika kuwa ni turufu ya kisiasa na kidiplomasia kwa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ na baadhi ya bidhaa zake ni pikipiki za SANLG:


Ijapokuwa kuna baadhi ya taarifa zinasema kuwa hiki kiwanda kinachotengeneza pikipiki za SANLG kinamilikiwa na SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, lakini taarifa za awali zinasema kuwa hiki kiwanda kinamilikiwa na SERENGETI yaani CHUI.

Kwa wale wataalamu wa kutambua picha - hiyo picha hapo juu inaonesha hicho kiwanda kinamilikiwa na SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.

Yaani ni hivi, mnyama TWIGA anawakilisha SERIKALI na sifa ya mnyama TWIGA ni kuona mbali kuliko wanyama wengine wa mwituni. Na hiyo ndio sifa ya SERIKALI, ni kuona mbali. Na sehemu yoyote ukikuta picha au sanamu ya TWIGA ujue hapo ni SERIKALI inahusika.

Kwahiyo sitegemei kama utaniuliza swali lingine - Eti ni nani mmiliki halali wa kiwanda cha TWIGA CEMENT. Jibu ni SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ. [ ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ ]

Yaani sehemu yoyote ya TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ukikuta sanamu ya TWIGA au picha ya TWIGA au jina la TWIGA ujue hapo SERIKALI inahusika, iwe kwenye mahoteli au vituo vya televisheni [ SAFARI CHANNEL ๐Ÿฆ’ ] au vyombo vya usafiri.

Na kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii kama INSTAGRAM, TWITTER na FACEBOOK sasa hivi wameanza kutumia hashtags za TWIGA ๐Ÿฆ’ kama ni ishara ya SERIKALI. Unaweza kukuta sehemu imeandikwa hivi #twigatanzania au #giraffetanzania ujue hapo ni SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ au unaweza kukuta sehemu imeandikwa hivi #twigakenya ujue hapo ni SERIKALI YA KENYA ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช au unaweza kukuta sehemu nyingine imeandikwa hivi #giraffeturkey ujue hapo ni SERIKALI YA UTURUKI ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ท inahusika.

Kwahiyo hali halisi ndio iko hivyo, lakini ukiondoa ITALIA ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น na UJERUMANI ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช bado UCHINA ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ ina nafasi kubwa kwenye SIASA za CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ kwa sababu ya mahusiano ya kisiasa na kiuchumi.

Na ukizingatia kiwanda kinachotengeneza pikipiki za SANLG kinauza bidhaa zake dunia nzima, kwahiyo UCHINA ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ itaendelea kuwa ni turufu kwa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ kutokana na mahusiano ya kibiashara.

4333c1fdb3d540dcc40c9d62577755aa.png

Tofauti na kiwanda kinachotengeneza piki piki za SANLG, kuna kiwanda kingine kikubwa ambacho kinatengeneza magari kinachoitwa HIGER. Hiki ni kiwanda kinachopatikana nchini UCHINA ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ.

Hiki ni kiwanda cha magari kilichoanzishwa mwaka 1998 na bidhaa zake zilianza kuingia TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ mwanzoni mwa miaka ya 2010. Hiki ni kiwanda cha kutengeneza magari kinachomilikiwa na SERENGETI yaani CHUI kupitia HAYATI MWALIMU.

Kwahiyo utaona ni jinsi gani SERENGETI yaani CHUI walivyo vizuri kiuchumi na anayefuatia kwa mbali ni MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ kwa sababu na wao wana kiwanda cha kutengeneza magari kinachoitwa BANBROS. Hiki ni kiwanda kinachopatikana nchini KENYA ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช.

Kwahiyo, hii SERENGETI yaani CHUI kupitia kwa familia ya HAYATI MWALIMU wana mambo yao ambayo sio vyema kuyaanika hadharani kwa sababu wao wanaenda mbio ndefu, yaani kizazi hadi kizazi.

Na hawa SERENGETI yaani CHUI kupitia familia ya HAYATI MWALIMU walichagua "NAMBA TASA" yaani "PRIME NUMBER" katika vizazi vyao kuanzia kwa HAYATI MWALIMU mwenyewe.

Yaani ni hivi - alianza HAYATI MWALIMU kuwa mwenyekiti wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ na RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, atakayefuatia atakuwa ni MJUKUU yaani kizazi cha tatu [ 3 ] baada ya HAYATI MWALIMU.

Na baada ya MJUKUU yaani kizazi cha tatu baada ya HAYATI MWALIMU, kizazi kitakachofuata kitakuwa ni kizazi cha tano [ 5 ] baada ya HAYATI MWALIMU.

Kwahiyo, haya mambo ndio huwa yapo hivyo - familia kama hizi zinaweza kuchagua kuwa ni "NAMBA TASA" yaani "PRIME NUMBER" au "NAMBA SHUFWA" yaani "EVEN NUMBER" katika kurithishana vyeo vya kisiasa kama kuwa RAIS au kiutamaduni kama kuwa CHIFU.

Ukijaribu kurithisha kwa "MTAWALIO" au "MFULULIZO" yaani "CONSECUTIVELY" vyeo vya kisiasa kama kuwa RAIS au kiutamaduni kama kuwa CHIFU utakwama! Ndio maana wataalamu wa haya mambo ya kijamii na mahusiano ya watu wanashauri kupeana nafasi kizazi kimoja hadi kizazi kingine ili kupata nafasi ya kujiandaa vizuri iwe ni kujiandaa kifamilia, kiuchumi au kisiasa.

Haya mambo ndio huwa yanaenda hivyo, hasa kwenye FAMILIA ZA KISIASA na FAMILIA ZA KIJESHI. Kwenye FAMILIA ZA KISIASA huwa kuna baadhi ya vyeo, sio vyeo vyote ambavyo unashauriwa kufanya hivi. Vyeo hivyo ni URAIS, UWAZIRI MKUU na USPIKA WA BUNGE.

Kwa upande wa FAMILIA ZA KIJESHI huwa kuna baadhi ya vyeo, sio vyeo vyote ambavyo unashauriwa kufanya hivi. Vyeo hivyo ni UKUU WA MAJESHI, UNADHIMU WA MAJESHI na VIONGOZI WA KOMANDI [ kwa mfano kiongozi wa komandi ya jeshi la nchi kavu au kiongozi wa komandi ya jeshi la anga ].

Kwahiyo hawa SERENGETI yaani CHUI kupitia HAYATI MWALIMU waliamua kufuata mfumo wa "NAMBA TASA" yaani "PRIME NUMBER" katika kurithisha nafasi za kisiasa. Na sio ajabu kwa siku za mbeleni CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ kikapata MWENYEKITI ambaye ni MJUKUU WA HAYATI MWALIMU, na sio MTOTO WA HAYATI MWALIMU kama watu wengi walivyo tazamia.
 


Hii ni video inayoeleza jinsi kiwanda cha HIGER kinavyofanya kazi na kuzalisha magari yake. Na magari yake sasa hivi yanapatikana ulimwengu mzima.

Hii ni hatua kubwa sana ya kimaendeleo kwa upande wa SERENGETI yaani CHUI kupitia kwa familia ya HAYATI MWALIMU.

Na hata hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ wanamiliki kiwanda cha BANBROS kinachotengeneza magari na kinachopatikana nchini KENYA ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช na bidhaa zao zimeenea upande wa AFRIKA YA MASHARIKI NA KATI.

Na muda sio mrefu hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ wataanza kutumia magari wanayoyatengeneza wao katika shughuli zao za kila siku kama viwandani na mashuleni, kwa sababu kama umeona shule za KAIZIREGE na KEMEBOS wanatumia mabasi ya MARCO POLO SCANIA ni mabasi mazuri lakini kiuchumi ilibidi watumie bidhaa zao wenyewe kutoka BANBROS ili kutangaza soko na kukuza uchumi wa kiwanda.

42f400f02a720dbca05e7a508c1470f1.png


Kwahiyo yale mabasi ya MARCO POLO SCANIA ya KAIZIREGE na KEMEBOS yatahamia KILIMANJARO EXPRESS yakafanye biashara huko [ ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ ] halafu mabasi kutoka BANBROS ndio yatatumika kwa matumizi ya viwandani na shule za ST. MATHEWS, UJENZI, ANDERLAKE RIDGES, IMAGE VOSA, VICTORY, ST. MARKS, KAIZIREGE na KEMEBOS.
 
N
Tangu nipo shule ya msingi tulikua tunaaminishwa kwamba Mlm Nyerere ndio "icon" pekee apa nchini, tulikua tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kua kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu nyerere, au story yake ingekua "short lived". Mmoja wa hao watu ni OSCAR KAMBONA.

Nimezaliwa hapa Tanzania miaka ya 90 mpaka nimekua mtu mzima kila kitu ni Nyerere tu. Kambona nilimsikia badae sana baada ya kuskia kisa cha huyu mtu nikawa interested sana kufuatilia stories zake.

kwa mujibu wa maandiko Kambona alikua bega kwa bega na mwalimu ktk kudai uhuru yaani ilikua akitoka mwalimu anaefuata ni Kambona lakini huwezi sikia hichi kitu kinasemwa waziwazi na pengine bila mawazo na support ya kambona mwalimu "angefeli vibaya mno". Kambona ndio mtu aliezima mapinduzi yalioilenga serikali ya nyerere kutoka kwa askari waliotaka kuasi, yaani kwa ufupi ni kwamba Nyerere asinge endelea kua mtawala wa nchi hii kama sio Kambona.

Kambona aliona mbali kuliko mwalimu Tanzania ya sasa ndio aliyoiona kambona lakini mwalimu alipinga, Kambona aliona ubepari ndio utafanya kazi lakini mwalimu aliona ujamaa ndio unafaa, mwalimu "failed miserably" akatupeleka chaka mpaka leo we still pay for his "grave mistake". Mwalimu alikua mbishi na aliamini kwamba yeye ndio ana maono bora kuliko wengine ,chochote kile ambacho kilikua hakiendani na sera zake alikipinga hata kama kilikua "viable". Fikiria mtu mmoja tu kaenda urusi akafurahishwa na mfumo wa ujamaa akaja kuufanyia "experiment" hapa nchini na ukafeli kwasababu alikataa kusikiliza maoni ya watu wengine, kwa wakati huo mwalimu ndio alikua "kila kitu"

Kambona akatofautiana na mwalimu , yeye alitaka ubepari mwalimu alitaka ujamaa. Kutokana na ushawishi mwalimu alishinda japo kambona ndie aliekua sahihi lakini hawakumskiliza. Baadae mwalimu alijua amekosea akaturudisha kwenye Ubepari na bado akaonekana ni "hero" . Kitu ambacho oscar alikiona miaka kadhaa kabla wakati huo mwalimu alikua "blind" almost everyone was blind except the very few including Kambona

Haya leo 2021 TZ hii ya leo ndio kambona aliyoiona na tumechelewa sana, kwa mtazamo wangu bado tupo nyuma kwa miaka 15 kutokana na sera mbovu za mwalimu nyerere

Wote ni marehemu wapumzike kwa amani lakini, mwisho wa siku Oscar Kambona ndio AMESHINDA!!!!! Kwangu mimi shujaa wa kweli nchi hii ni OSCAR KAMBONA na sio mwalimu! Na ndio mtu muhimu sana sawa na mwalimu lakini ndio aliesahaulikia kuliko wote nchi hii, natamani watanzania wengi tuliozaliwa miaka ya 90 wajue habari za huyu shujaaa ambaye ni co-founder wa hii nchi kwangu mimi alichangia 50% ktk kutengeneza taifa hili sawa sawa na mwalimu, yaani ni kama vile "stive wozniak na stive jobs", steve jobs alitumia akili za stive wozniak na credit akajiapa yy mwenyewe

Aliyeweka Nyerere day kama public holiday alitumia vigezo gani ilihali si kweli kwamba Nyerere ndie mtu pekee aliepigania uhuru wa nchi hii

Ukiniambia nichague kati ya Nyerere na Kambona itakua ni Kambona always

UPDATE:
Watu wengi kwenye comments wanasema kwamba ujamaa ulituleta karibu, lakini ujamaa huo huo ndio uliotuletea umaskini, kwa hiyo logic yake ni kwamba mwalimu alichagua umaskini na umoja dhidi ya maendeleo ambayo hatuna uhakika kama yangetugawa, lakini kabla ya yote Kambona alimshauri kwamba kabla ya ku adopt ujamaa tuufanyie kwanza majaribio , tutengeneze vijiji vichache ambavyo vitaishi kijamaa ili tuone hii system itafanya kazi lakini mwalimu alikataa akaiingiza moja kwa moja bila kujua risks zake ni nini kitu ambacho kambona alishakiona


"Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had"
refence:

====

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!!

Christopher Makwaia

WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.10.jpeg

1. Usuli
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwร  na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo, Rev. DAVID KAMBONA na Bi. MARIAM KAMBONA, wakampa mtoto huyo jina la OSCAR SATHIEL DAVID KAMBONA. Mvua na radi hiyo, kwa mujibu wa mila za kijijini hapo, "nyumbi hii, bombi hii", ilikuwa ni baraka na ishara kuwa mtoto huyo atakujakuwa wa kipekee.

2. Elimu Chini ya Mwembe
KAMBONA, tofauti na watoto wengine, hakusomea shuleni elimu ya awali bali alifundishwa na wazazi wake pamoja na mjomba wake ambao wote walikuwa walimu. Mafunzo hayo ya awali yalikuwa yakifanyika chini ya mwembe huku chai na mihogo vikiwa pembeni.

3. Elimu ya "Middle School"
Baadae KAMBONA alipelekwa shule ya Kati ya Mt. Barnabas, Liuli. Akiwa shuleni hapo, KAMBONA alikuwa kipanga na "aliwatimulia vumbi" wanafunzi wote kwa miaka yote alipokuwa shuleni hapo.

4. Alliance Sec. School
KAMBONA alifaulu vizuri mitihani yake na akachaguliwa kujiunga na "Alliance Sec. School", Idodomia ambayo baadae ikajaitwa Mazengo Sec. School. Almanusra KAMBONA asiendelee na masomo kwani baba yake hakuwa na uwezo wa kulipa ยฃ 30 kwa mwaka. Uwezo wa KAMBONA "kutema yai" ndio uliomponya kwani alifanikiwa kumshawishi Askofu kumlipia ada hiyo baada ya kusali Sala ya Baba Yetu kwa Kiingereza!.

5. Tabora Boyz Sec. School
KAMBONA alisoma shule hii pamoja na J. Lusinde, E. Mzena, B. Ngwilulupi, A. Nsekela, A. Nyirenda na K. Chiume. Ni akiwa shuleni hapo ndipo kwa mara ya kwanza, KAMBONA alionana na NYERERE aliyekuwa akifundisha St. Marys, Tabora.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25281%2529.jpeg

6. Ualimu Alliance Sec. School
Baadae, KAMBONA alienda kufundisha shule hii na akakutana na J. Lusinde na K. Chiume na baadae akawa "Schoolmaster".

7. KAMBONA akutana na NYERERE tena
KAMBONA alikutana na NYERERE kwa mara ya 2 kwenye Mkutano wa taifa wa waalimu mwaka 1954.

8. KAMBONA Ajiunga TANU
Mwaka 1955, KAMBONA alijiunga na TANU iliyozaliwa tarehe 7.7.1954 na akaonesha bidii kubwa huku akifanya kazi kwa kujitolea kwani TANU haikuwa na fedha. Bidii yake ilipelekea kuwa Katibu Mkuu wa TANU.

9. KAMBONA Awaingiza TANU Watanganyika 100,000
KAMBONA alitembea nchi nzima kwa miezi 6 akionana na Machifu na wanavijiji na kufanikiwa kuingiza wanachama 10,000. Baadae akiendelea na harakati hizo na baada ya miezi 12 akawa ameingiza wanachama 100,000. Viongozi wenzake wa TANU walimpongeza sana kwani TANU ikawa inaenea kwa kasi sana.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25282%2529.jpeg

10. KAMBONA Afungua Akaunti ya Kwanza ya TANU
KAMBONA alikuwa na mawazo ya kimaendeleo kwani kutokana na michango ya wanachama aliweza kufungua akaunti ya kwanza ya TANU. Kwa hakika, hili lilikuwa ni jambo la kihistoria.

11. KAMBONA afuma "Governor's Scholarship" kusomea Sheria, UK
Mwaka 1957, KAMBONA alipata fursa ya kwenda UK kusomea LLB kwa miaka 3 na hivyo akaenda huko.

12. KAMBONA Awa Mtangazaji wa 1 wa Kiswahili BBC 1957
Tarehe 27.6.1957, KAMBONA aliweka historia kwa kutangaza Kiswahili BBC kwa mara ya 1 akisema-: "Hapa ni London, kwa mara ya kwanza BBC inawaletea habari kwa Kiswahili wananchi wa Afrika Mashariki. Asalaam Aleikhum".

13. KAMBONA awa Mwenyekiti wa TANU London
Kutokana na talanta yake kubwa ya uongozi, KAMBONA alichaguliwa kuwa Kiongozi wa wanafunzi chuoni na Mwenyekiti wa Tawi la TANU, London.

14. KAMBONA na NYERERE Washeachumba Chuoni London
Kati ya tarehe 26.6.1959 na 7.8.1959, NYERERE alikwenda UK kwa matayarisho ya uhuru wa Tanganyika na akalala chumba kimoja na KAMBONA ambaye walikuwa "wameshibana" sana. Katika "Press Conference" ya 1991 KAMBONA alisema- "TANU haikuwa na hela hivyo ili kubana matumizi, nikakaa na NYERERE room yangu chuoni na hii ilisaidia tuwe na muda mwingi wa majadiliano".

15. KAMBONA Amuoa MISS Tanganyika
Tarehe 19.11.1960, KAMBONA alimuoa Miss Tanganyika mrembo, Bi. FLORA MORIYO toka Kilimanjaro. Harusi hiyo ya kukata na shoka ilifanyika St. Paul Cathedral, London na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 400. NYERERE alikuwa ndiye msimamizi aliyemsindikiza Bi. FLORA altareni. Ilikuwa ni harusi ya kwanza ya watu weusi kanisani hapo na ilitoka kwenye magazeti mbalimbali ya Ulaya.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.12.jpeg

16. KAMBONA Arejea Bongo
KAMBONA alirejea Bongo kuendelea na harakati za uhuru akihudumu kama Waziri wa Elimu na Katibu Mkuu wa TANU.

17. KAMBONA Awa Waziri wa 1 wa Mambo ya Nje
Katika Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika, KAMBONA aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi.

18. KAMBONA Kipenzi cha 2 cha Wananchi baada ya NYERERE
KAMBONA alipendwa sana nchini kwani alikuwa msomi, mwanasiasa hodari, mtanashati na vijana wengi walimuiga staili yake ya nywele "KAMBONA Style". Kwa hakika, KAMBONA alipendwa sana.

19. KAMBONA- Kiongozi PEKEE Aliyewakabili Waasi, 1964
Usiku wa tarehe 19.1.1964, askari wa kambi ya Colito(Lugalo) waliasi wakidai marupurupu na nafasi za juu za vyeo kwa Waafrika. Rais NYERERE na Mh. RASHID MFAUME KAWAWA walitoroshwa na mlinzi wao, PETER BWIMBWO usiku wa manani hadi Kigamboni na kufichwa kwenye nyumbaya Mzee KIZWEZWE.

Mawaziri wote walibanisha makwao baada ya kupigiwa simu na Mh. J. LUSINDE, Waziri wa Mambo ya Ndani, kuhofia usalama wao. KAMBONA ndiye pekee aliyeingia "fronti" kwani si tu raia waliokuwa wakimpenda bali pia askari. Waasi walionekana kutulia baada ya mambo yao kuwekwa sawa lakini baada ya Rais NYERERE kuibukia Ikulu toka mafichoni baada ya siku 3, waasi "wakalianzisha" tena hivyo ikabidi maasi hayo yalizimwe kwa msaada wa Waingereza na baadae Wanaijeria.

20. KAMBONA Ashuhudia mchakato wa Muungano 1964
KAMBONA alikuwa ni mmoja wa mawaziri wachache sana waliokuwa wakijua mchakato wote wa muungano kwa undani na pia alishuhudia utiaji saini hati za muungano huko Zenji, tarehe 22.4.1964 kati ya Rais NYERERE na Rais wa Zanzibar, Mh. ABEID AMAN KARUME.

21. KAMBONA Atofautiana na NYERERE Mfumo wa Chama Kimoja
Baada ya ziara ya China 1965, NYERERE alivutiwa na "alikuwaameoza" kwa siasa za China na mfumo wao wa siasa hivyo akaunda Tume tarehe 28.1.1964 ili ipendekeze mfumo gani unaifaa nchi yetu. Tume hiyo ilikuwa chini ya Mh. KAWAWA ikapendekeza mfumo wa chama kimoja. KAMBONA, ambaye daima alikuwa hapepesi macho wala hayumbishwi, aliweka kunji na kutosaini ripoti hiyo na badala yake akatayarisha ripoti yake ya kutaka mfumo wa vyama vingi na NYERERE akahuzunishwa sana na msimamo huo wa KAMBONA.

Kipindi hiki NYERERE aliishamuondoa KAMBONA kwenye wizara zile nyeti.

22. NYERERE "Amchana" kiaina KAMBONA 77 ya 1966
Tarehe 7.7.1966, NYERERE, akihutubia Taifa katika sherehe za 77, NYERERE alitumia mafumbo "kumpa za uso" KAMBONA ambapo alisema viongozi wanaonekana kujipatia mali nyingi kiajabu hawafai hata kidogo.

23. KAMBONA Ajiuzulu u-Waziri na U-Katibu Mkuu TANU 1967
Tarehe 9.6.1967, KAMBONA alibwaga manyanga kwa kujiuzulu U-Katibu Mkuu wa TANU na Uwaziri wa Serikali za Mitaa na Maendeleo Vijijini ambapo alitaja sababu za kiafya kuwa ndizo zilipelekea achukue uamuzi huo.

24. KAMBONA Atorokea Kenya, 1967 ki-James Bond !!
Kwakuwa KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mjini, alitonywa kwamba kuna mpango wa kumkamata na kumsweka kizuizini.
Hivyo, usiku wa kuamkia tarehe 26.7.1967, KAMBONA, mkewe, watoto wake 2 na msaidizi wa kazi walifunga virago na ku-drive hadi Kenya kwa staili ya "James Bond"! Watu wengi walipigwa butwaa ni kwq vipi aliweza kutoroka bila kubambwa!.

Usiku wa siku hiyo jijini Nairobi, KAMBONA na familia yake walikwea "pipa" East African Airways Flight 720 kwenda "Kwa Mama, huku, huku nyuma ikadaiwa alitoroka na mamilioni ya fedha!.

25. NYERERE Aelezea "Kusepa" kwa KAMBONA
Siku chache baada ya KAMBONA "kula kona", NYERERE, akiongea na viongozi wa TANU Morogoro, alisema : "Itachukua muda mrefu kufahamu sababu za Bw. KAMBONA kujiuzulu, lakini jambo moja ni dhahiri; KAMBONA amenidanganya mimi, TANU, TZ na Afrika".

26. KAMBONA Ajitetea UK
Baada ya kusikia vijineno kwamba amesepa na mamilioni, tarehe 6.9.1967, KAMBONA alikanusha vikali na kuitaka serikali ya Tanzania iwasiliane na ya Kenya kupata uthibitisho kitu ambacho serikali ya TZ hakikufanyika.

27. OTTIN na MATTIYA KAMBONA "Wasukumiziwa Ndani",1967
Hawa wadogo zake KAMBONA walionja "joto ya jiwe" kwani walinyakwa usiku tarehe 30.12.1967 na kuwekwa kizuizini, Ukonga.
Familia zao zikasambaratika vibaya sana kufuatia kukamatwa kwao. OTTIN alikuwa ni "Journalist" na MATTIYA alikuwa mfanyakazi Wizara ya Kilimo. OTTIN alikuwa amemuoa raia wa Martinique na walikuwa na watoto 2 wadogo na MATTIYA alikuwa amemuoa Mgambia wakiwa na mtoto wa miezi 3 tu. Wanawake hao walifukuziliwa mbali na kurudishwa makwao pamoja na watoto wao!.

28. KAWAWA "Amchana" KAMBONA Bungeni, 1968
Jumanne ya tarehe 23.1.1968, KAWAWA, 2nd VP, alilitaarifu Bunge:
"Wote mnajua kwamba Bw. KAMBONA aliikimbia nchi mwaka jana, 1967. Kabla hajaondoka, tarehe 6.12.1966, TZS 500.000/= ziliingizwa kwenye akaunti yake toka benki moja ya Uingereza. Uchunguzi wa BOT toka KAMBONA atoroke umeonesha kuwa tangu Juni 1965 na Desemba 1966, KAMBONA aliingiza katika akaunti yake jijini Dsm TZS 896,800/=. Kambona pia alikuwa anamiliki majumba mengi (Nyumba Magomeni-Plot No. 21,39 31), (Kunduchi bichi-Plot No.28), (Msasani bichi -Plot No. 92), (Morogoro-Plot No. 89) ns (Songea-Plot No.21)".

29. KAMBONA Amchana NYERERE nchini Nigeria, 1968
Baada ya TZ kuitambua Biafra, serikali ya Rais YAKUB GOWON ilikasirishwa sana hivyo ilimwalika KAMBONA aichafue TZ . Kwahakika, "jipu likawa limepata mkunaji" Hivyo, KAMBONA akaenda na kutoa muadhara Lagos tarehe 14.6.1968 ambapo "alimchana" vilivyo Rais NYERERE na kumwita dikteta. KAMBONA akaonesha kukosa uzalendo kwa taifa lake pale alipozomoka, bila ushahidi, kwamba TZ imepeleka vifaa vya kijeshi Biafra badala ya Zimbabwe!.

30. TANU "Yamfyekelea mbali" KAMBONA
NEC ya TANU iliyokuwa ikiketi Tanga, tarehe 19.10.1968, ilimvua uanachama KAMBONA pamoja na wabunge wengine 8 "Vichwa-maji" waliohoji uhalali wa TANU kuwa juu ya Bunge. Wabunge hao ni W. Mwakitwange, M. Choga, S. Kibuga, J. Bakampenja, E. Anangisye, G. Kaneno na Dr. F. Masha.

31. NYERERE "Amchana" tena KAMBONA, 1969
Tarehe 12.1.1969 kwenye sherehe za Mapinduzi Znz, NYERERE "alimuwakia" KAMBONA na kusema- "KAMBONA ni mwizi na mhuni kisiasa.

32. KAMBONA Akejeliwa Mashuleni na Majeshini
Nyimbo nyingi za kumkejeli KAMBONA zilitungwa majeshini na mashuleni lakini zilizokuwa maarufu ni hizi 2:
1. KAOMBONA Kaolewa wapi....? Kwa Wazungu...Kisa nini?...Tamaa ya Mali!

2. Alimselema ...alija, akija KAMBONA chinja... chinjilia mbali..!!.

33. KAMBONA Adaiwa ni _"Mastermind"_wa Uhaini, 1969
Mwaka 1969, KAMBONA alidaiwa kuwa "Mastermind" wa uhaini. Mashitaka yalikuwa kwamba washtakiwa 7 wakishirikiana na KAMBONA kati ya Machi 1968 na Octoba 1969, walitaka kumuua Rais NYERERE na kuipindua serikali. Washtakiwa hao 7 ni (Bibi Titi Mohamed , Michael Kamaliza, Gray Mattaka, John na Eliya Chipaka, Capt A. Milinga na W. Chacha).

Kesi ilianza kurindima Jumatatu tarehe 6.6.1970 na ilisikilizwa na Jaji Mkuu Georges na iliendeshwa na AG Mark Bomani. Wanafunzi wa Sekondari Tambaza(F.V Arts akiwepo Othman Chande, Jaji Mkuu wa 7) walikuwa wakijongo vipindi kwenda kortin kushuhudia kesi hii iliyokuwa na mvuto wa aina yake.

Washtakiwa wote walitiwa hatiani kasoro A. Milinga na KAMBONA ambaye hakuwepo. M. Kamaliza na mwenzake walipigwa "mvua" 10 na wengine walifungwa maisha na Bibi Titi akapata msamaha 1972.

34. OTTIN MATTIYA Waachiwa 1978
Tarehe 5.2.1978, katika kusheherekea mwaka 1 wa kuzaliwa CCM, NYERERE, akitumia ibaracya 45 ya Katiba, aliwaachia huru OTTIN na MATTIYA pamoja na JOSEPH KASELABANTU( Mwasisi wa TANU).
OTTIN na MATTIYA, baada ya kugundua familia zao hazipo, wakaona Bongo hamna ishu nao wakaamua pia kusepa. Walivuka mpaka wa TZ na Kenya usiku Kininja kwani mpaka huo ulikuwa umefungwa kutokana na uhasama bainavya TZ na Kenya na wakaelekea UK.

35. NYERERE NA KAMBONA walikuwa majirani Msasani
Baada ya KAMBONA kuondoka nchini 1967, nyumba yake ikawa inakaliwa na Rais MILTON OBOTE kwa takribani miaka 10 baada ya kupinduliwa na Nduli IDD AMIN, 1971.

36. Vyama Vingi vyaanzishwa Bongo, KAMBONA ataka kurejea
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa mwaka 1992, KAMBONA akiwa London alisema, ije mvua, lije jua, anarejea kwenye Taifa lake. Serikali ikamuonya kuwa asithubutu na akijifanya fyatu au kichwa-maji akatia pua yake tu Bongo, "hakuna rangi ataacha kuiona".

37. KAMBONA Aitunishia msuli serikali, Atinga Bongo
KAMBONA aliamua kuwa kama "Mbwai, mbwai tu" hivyo akaonesha "Shoo za kibabe" na kurejea nchini akisafiria nyaraka za Umoja wa Mataifa zilizotolewa na serikali ya UK. Aliporejea hakukamatwa na badala yake, tarehe 4.9.1992, serikali ilimpa miezi 3 aweke sawa uraia wake kwakuwa ni Mmalawi! Miezi hiyo iliisha tarehe 4.12.1992 na serikali "ikaufyata" kwani haikumfanya kitu chochote!.

38. KAMBONA aeleza sababu za kutoroka, 1967:
Baada ya kurejea nchini, KAMBONA alikata kiu ya wote waliotaka kujua kilichopelekea asepe "Kwa Mama" ni nini ambapo alitiririka:
"Mimi na NYERERE tumetoka mbali. Sisi ndio tuliokuwa Viongozi wakuu wa TANU; Yeye Mwenyekiti, mimi Katibu Mkuu. NYERERE aliporudi toka China 1965 alitaka kuleta sera za China na mfumo wa chama kimoja. Nikapingana nae.."

39. KAMBONA Aeleza alichokuwa akifanya UK
Wiki 2 baada ya kurejea nchini, KAMBONA alitiririka kitu alichokuwa akifanya nchini Uingereza kwa miaka 25 aliyoishi huko ambapo alisema- "I did business. I used to go to the Arab countries but this did not last. I then depended on income support from Britain. Every Tuesday You take your book to the Post office...

40. KAMBONA atishia "Kumwaga ugali na mboga" kuhusu NYERERE
Badala ya kushugulikia uraia, KAMBONA akaendeleza bifu lake na NYERERE ambapo alisema anataka kufanya mkutano mkubwa viwanja vya Jangwani ili aeleze ufisadi wa NYERERE. Mapadri na masheikh walimsihi sana lakini akashikilia msimamo wake.

41. KAMBONA Ambwelambwela Jangwani,1992
Tarehe 21.11.1992, viwanja vya Jangwani viliweka rekodi kutokana na umati mkubwa wa "wapenda ubuyu" uliojitokeza toka mida ya mchana kulisikia Jabali hilo litaeleza nini kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu NYERERERE.

KAMBONA aliwaboa sana 90% ya waliohudhuria kwani alidai, bila ushahidi, kuwa NYERERE, AMIR JAMAL na KAWAWA wameficha mamilioni ya fedha mabenki ya Ulaya. KAMBONA akaenda mbali na kudai NYERERE ni Mtutsi, KAWAWA na MKAPA ni watu wa Msumbiji na MALECELA ni Mcongoman!. Ikaonekana ni hekaya za Abunuwasi na hadithi za Esopo tu!.

42. NYERERE Amjibu KAMBONA
NYERERE, siku chache baadaye akiwa Msasani, aling'aka- "Mimi ni lofa. I dont have a single penny abroad, I can assure you. Kama RASHID na AMIR hawawekwi kundi la watu waaminifu duniani, labda neno uaminifu ni neno tu, halina maana. Hawa ni waaminifu sana. Pia, mimi sipendi kuhusishwa na mambo ya kijingajinga. Ni makosa kushindana na kundi la wapumbavu. Kambona alete ushahidi maana "any blessed fool could stand up there" na kusema chochote".

43. MAWAKILI wamchimba Mkwara-Mbuzi KAMBONA
Baada ya KAMBONA kutoa kashfa dhidi ya viongozi hao mashuhuri nchini, mawakili wa Viongozi hao walimpa siku 14 toka tarehe 8.12.1992 kuomba radhi au kutoa ushahidi.

KAMBONA aliwajibu kuwa _"Mtu mzima hatishiwi nyau"_na akachekesha watu pale alipodai _"Nondo" zake kuhusu "bank accounts" za viongozi hao amezisahau UK!.

44. KAMBONA Aunda TADEA
KAMBONA aliunda chama cha TADEA ambacho hakikuleta upinzani wowote wa maana.

45. KAMBONA afariki London, 1997
KAMBONA alifariki jijini London mwaka 1997 na mwili wake kuletwa nchini na kupokelewa na ndugu zake na kiongozi wa serikali, Mh. J.M. KIKWETE, Waziri wa Mambo ya Nje. Rafiki yake NYERERE hawakuwahi kuonana toka atoroke mwaka 1967 na wala hakwenda kwenye mazishi yake.

46. RAIS KIKWETE Akutana na Mke wa KAMBONA, 2007
Tarehe 28.6.2007 katika hotel ya Kilimanjaro Kempisk, Rais wa awamu ya nne, Mh. JK alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 50 ya BBC KISWAHILI. Mh. JK, akiwa na mcheshi na mwenye bashasha kama kawaida yake, alikutana na kusalimiana na Bi. FLORA KAMBONA ambaye alikuwa mgeni mahsusi kwani mmewe, KAMBONA ndiye aliyekuwa Mtangazaji wa 1 wa BBC Kiswahili, 1957.

46. MWISHO:
Huyu ndiye OSCAR SATIEL DAVID KAMBONA aliyekuwa chanda na pete na Mwalimu NYERERE lakini mwisho wakawa maadui wasio na mfanowe!.

Tafakuri Tunduizi:
ATIKALI HII YA KUKATA NA SHOKA ina Tafakuri Tunduizi 100!!!

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!! - MICHUZI BLOG (issamichuzi.blogspot.com)

Oscar Kambona - Wikipedia

Nashukuru kwa story yako nzuri sana.Nilichojifunza ni kuwa ,ukitofautiana na boss,kitakachokupata ni kupoteza haki zako.Na kupoteza kabisa mwelekeo.Kinachotokea Tanzania ni kitaalam tunahita technical analysis. Lissu amekimbia nchi.Ni ngumu sana kwa Lissu kukubalika tena mpaka kushika madaraka.Tuwe makini sana na mabosi,tusijepoteza haki zetu na kupoteza uelekeo.Ambao utapoteza mpaka vizazi vyetu
 
Mkuu, Charles Mandela!

Si kwa dutu zenye thamani kiasi hiki!

Nashukuru sana mkuu.

E9u7V6eXMAAImiC.jpeg

Hiyo picha hapo juu ni makundi ya michuano ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE โšฝ kwa msimu wa mwaka 2021/22 na hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ wale waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa timu za mpira za BORUSSIA DOTMUND, SEVILLA na SHAKHTAR DONETSK.

Na hawa SERENGETI yaani CHUI ndio wamiliki halali wa timu za mpira za PSG, BAYERN MUNICH, CHELSEA, REAL MADRID, AC MILAN na ATLETICO MADRID.

Kwahiyo, ukichukua timu za mpira zinazomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ na timu za mpira zinazomilikiwa na SERENGETI yaani CHUI, utapata timu za mpira zipatazo tisa [ 9 ] kati ya timu thelathini na mbili [ 32 ] zinazoshiriki michuano ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE โšฝ.

Na kwa kuongezea tu, WATANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ndio wenye timu nyingi kwenye michuano ya mwaka huu, wanamiliki timu za mpira zipatazo tisa [ 9 ] kati ya timu thelathini na mbili [ 32 ] zinazoshiriki michuano ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE โšฝ.
 
HAYATI MWALIMU na aliyekuwa Rais wa serikali ya wanafunzi ya CoHSS, mwaka 2012/13 ni Pete na Kidole - hauwezi kuwatofautisha wala kuwatenganisha. Sema HAYATI MWALIMU ni CHUI na yule mwingine ni SIMBA.

Tuachane na hayo! Kila awamu ya kipindi cha Urais kwa nchi ya Tanzania, kiongozi wa nchi - yaani Rais analazimika kuandaa upinzani wake na hii imekuwa ni kama desturi tangu kipindi cha HAYATI MWALIMU.

Sasa kipindi cha HAYATI MWALIMU kulikuwa hakuna mfumo wa vyama vingi, kulikuwa na mfumo wa chama kimoja tu.

Na kipindi ambapo HAYATI MWALIMU anakabidhiwa uhuru kutoka kwa Mwingereza kulikuwa na mshindani wake wa kipindi hicho, alikuwa anajulikana kwa jina la MAKWAIA. Huyu MAKWAIA alikuwa ni CHIFU anayetoka maeneo ya KISHAPU, mkoa wa SHINYANGA.

Huyu CHIFU alikuwa na elimu nzuri sana [ MASTERS ], alipata elimu yake kutoka Uingereza. Familia ya huyu CHIFU ilikuwa na ukwasi wa kutisha na ilikuwa ikiongoza kwa upande wa Afrika ya Mashariki kutokana na biashara ya almasi na biashara ya zao la pamba.

Baada ya HAYATI MWALIMU kupewa nafasi ya kufuatilia uhuru na kufanikisha kupewa uhuru kutoka kwa Mwingereza, wale waliokuwa washindani wake aliwafanya kuwa marafiki na kuwapa nyadhifa mbalimbali serikalini.

Vile vile HAYATI MWALIMU alifanikiwa kuua hizi tawala za kichifu kwa upande wa Tanzania bara kwa kuwapa nafasi serikalini wale waliokuwa na elimu kutoka familia za kichifu.

Lakini ushindani hafifu uliendelea kuwepo na ushindani ulikuja kushika kasi hasa baada ya kuanzishwa kwa vyama vya ushirika.

Kulikuwa na vyama vya ushirika kwa upande wa Tanzania Bara vilivyokuwa vikisimamia mazao ya biashara kwa kila mkoa husika.

Na vyama vya ushirika vilivyokuwa na nguvu ya kiuchumi kwa kipindi hicho, vilikuwa ni vyama vya ushirika kutoka mkoa wa Mwanza [ NCU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la pamba, mkoa wa Shinyanga [ SHIRECU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la pamba na mkoa wa Tabora [ WETCU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la tumbaku.

Lakini baadae kulikuja kutokea anguko kubwa sana la hivi vyama vya ushirika kushindwa kujiendesha kutokana na kuwa na wafanyakazi wasiokuwa waaminifu - wizi na ubadhirifu wa mali ya umma ulikithiri, hivyo kupelekea vyama vya ushirika kushindwa kujiendesha.

Lakini hii yote, kulikuwa na baraka kutoka kwa HAYATI MWALIMU, kwa sababu hivi vyama vya ushirika vilikuwa vinatishia uhai wa CHAMA CHA MAPINDUZI. Kungelitokea vyama vya ushirika vimejiunga na kuunda chama kimoja cha siasa, vingeliweza kukitoa CHAMA CHA MAPINDUZI madarakani kwa sababu ya kupata uungwaji mkono mkubwa sana kutoka kwa vyama vya wafanyakazi pamoja na vyama vya wakulima.

Hivyo basi, wale watumishi wa vyama vya ushirika kutoka mikoa mingine walifikishwa mahakamani kutokana na wizi wa mali ya umma, wengine walifilisiwa na hata kufungwa lakini hawa wafanyakazi wa Chama Cha Ushirika Cha Mwanza [ NCU ], Chama Cha Ushirika Cha Shinyanga [ SHIRECU ] na Chama Cha Ushirika Cha Tabora [ WETCU ] walikuwa huru, sema kuna baadhi yao walifukuzwa kazi bila hata ya kuchukuliwa hatua yoyote. Na hii ilifanyika chini ya uangalizi wa HAYATI MWALIMU mwenyewe.

Hawa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU walikuja kuwa na ukwasi wa kutisha na wengine walikuwa na uchumi mkubwa kuliko hata aliyekuwa kiongozi wao wa kimila, yaani CHIFU MAKWAIA.

Na hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio watanzania weusi wenye uchumi mkubwa mpaka leo hii, ukiondoa wanasiasa wa CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hawa wafanyakazi waliofanya ubadhirifu kwenye vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio waliokuja kuwa washindani wakubwa wa HAYATI MWALIMU kwa miaka iliyosalia kabla ya umauti kumkuta HAYATI MWALIMU. Na hawa ndio wapinzani halali wa CHUI yaani SERENGETI iwe ni kielimu, kiuchumi, kisiasa, kimichezo na burudani.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta za usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo kwa Tanzania nzima. Narudia tena - "Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta za usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo kwa Tanzania nzima".

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya kilimo kwa kumiliki viwanda vikubwa vya sukari vya KAGERA SUGAR na MTIBWA SUGAR kwa pamoja. Vile vile hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wameshikilia mazao ya biashara kama pamba, tumbaku na alizeti kwa kumiliki viwanda vya kuchambua na kukamua mafuta ya pamba pamoja na alizeti. Kwa lugha ya Kiingereza wanaita - Ginneries.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya kilimo cha ngano kwa kumiliki viwanda vya AZANIA WHEAT FLOUR, MeTL, CAMEL WHEAT FLOUR na PEMBE WHEAT FLOUR.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa viwanda vya SAYONA INDUSTRIES.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha TANGA PHARMACEUTICAL & PLASTICS LTD kinachotengeneza HERBAL PETROLEUM JELLY na mafuta ya kutumia mwilini yanayoitwa VESTLINE.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza maziwa freshi kinachoitwa TANGA FRESH kinachopatikana mkoani Tanga.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya mafuta ya kupikia, sabuni za kuogea na kufulia kwa kumiliki viwanda vya G&B industries, MeTL pamoja na AZANIA.

Tofauti na viwanda vya G&B industries, MeTL pamoja na AZANIA. Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya MURZAH WILMAR EAST AFRICA LIMITED inayotengeneza mafuta ya kupikia ya KORIE.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya uagizaji wa mafuta ya petroli, dizeli pamoja na mafuta ya taa kwa kumiliki makampuni ya LAKE OIL, MOIL, PETRO AFRICA, MSN, SIMBA OIL, KILIMANJARO OIL, BIG BON, AFROIL, OILCOM, KOIL, MERU OIL, PRIME FUELS, UKOO PETROLEUM LTD na DALBIT PETROLEUM LTD [ Hizi ni kampuni za usafirishaji wa mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa ], OLYMPIC OIL pamoja na CAMEL OIL.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha SIMBA CEMENT na CAMEL CEMENT kwa pamoja.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha MMM STEEL na KIOO INDUSTRY kwa pamoja.

Tofauti na viwanda vya MMM STEEL na KIOO INDUSTRY, hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza rangi kinachoitwa GOLDSTAR PAINTS TANZANIA LIMITED.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya ukandarasi ya NYANZA ROAD pamoja na makampuni mengine yanayoshughulika na madini kama KILIMANJARO MINING na KASCO MINING.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya SIMBA GROUP na SIMBA TRAILERS.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa makampuni yanayotengeneza na kuunganisha mabodi ya mabasi pamoja na malori. Makampuni hayo ni DAR COACH kwa upande wa TANZANIA๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, BANBROS LTD na MASTER FABRICATORS LTD kwa upande wa KENYA๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช. Hii ndio sababu inayopelekea kushika sekta ya usafirishaji wa abiria na mizigo kwa kipindi kirefu sana.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa benki za DIAMOND TRUST BANK [ DTB ], AKIBA COMMERCIAL BANK [ ACB ] na AZANIA BANK [ AB ] kwa pamoja.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya mawasiliano ya TIGO [ Tanzania ].

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya uchapishaji ya magazeti inayoitwa Mwananchi Communications Limited [ MCL ].

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza pipi za IVORI kinachopatikana Iringa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wanaomiliki shule nyingi binafsi hapa nchini. Yaani wanamiliki shule nyingi sana kwa upande wa Tanzania bara kuliko hata taasisi za kidini yaani KANISA KATOLIKI, KKKT na ANGLIKANI.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa Hoteli ya KEMPINSKI na wana hoteli nyingi sana za kitalii kwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Mbeya, Iringa, Morogoro, Kigoma na Zanzibar.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, yaani FGBF. Pale FGBF, Askofu Zakaria Kakobe ni mfanyakazi tu kama ilivyo kwa Profesa Ibrahim Lipumba, upande wa CUF.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya michezo hususani mpira wa miguu kwa kumiliki timu kadhaa zinazoshiriki ligi kuu. Timu hizo ni SIMBA SC ya mkoa wa Dar Es Salaam, BIASHARA MARA UNITED ya mkoa wa Mara, COASTAL UNION SC ya mkoa wa Tanga, KAGERA SUGAR FC ya mkoa wa Kagera pamoja na MTIBWA SUGAR FC ya mkoa wa Morogoro. Kuna timu nyingine za daraja la kwanza, daraja la pili na timu zinazoshiriki ligi ya mikoa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kundi la wasanii la Wasafi Classic yaani WCB, kituo cha televisheni pamoja na kituo cha redio. Na ndio hao hao waliokuwa wamiliki halali wa kundi la HipHop la Nako2Nako Soldiers linalopatikana Arusha. Na kuna wasanii wengine wengi tu, ndani na nje ya nchi ya TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ kama vile UGANDA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ, KENYA ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช, KONGO ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ, ZAMBIA ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ, KAMERUNI ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ na AFRIKA YA KUSINI ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa vyama vya siasa vya CUF - Chama Cha Wananchi na ACT - Wazalendo.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa Chuo Kikuu cha ECKERNFORDE TANGA UNIVERSITY. Kwahiyo, hawa watu sio watu wa mchezo mchezo! Ni watu wanaofahamu nini wanafanya. Hakuna ujanja ujanja wala uhuni uhuni! Elimu ni kipaumbele cha kwanza kwa MWASHITA yaani SIMBA.

Hao ndio SIMBA! Hao ndio SIMBA waliokuwa na baraka zote kutoka kwa HAYATI MWALIMU tangu miaka ya 1984! Au kwa jina lingine wanaitwa MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga na Tabora ]. Wapinzani halisi wa CHUI yaani SERENGETI au kwa jina jingine wanaitwa RAMADHANI au RAMA yaani MARA.

Hawa SIMBA ni tofauti kabisa na hiki kikundi kinachojiita SUKUMA GANG. Hii SUKUMA GANG ni kikundi cha wanasiasa wahuni wahuni tu, tena walionawili kipindi cha Marehemu Rais John Pombe Magufuli. Hii SUKUMA GANG ni kikundi cha wanasiasa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI wasiokuwa hata na utashi wa kisiasa na wasiokuwa na maono ya kuona mbali. Hii SUKUMA GANG hata uchumi wa kuendesha chama cha kisiasa bado hawana.

Sasa tujiulize maswali mengine, ni kwanini CUF - Chama Cha Wananchi kimepoteza umaarufu ilhali watu walionyuma yake wana uwezo mkubwa kiuchumi? Jibu, ni kuwa hawa SIMBA waliokuwa nyuma ya CUF - Chama Cha Wananchi walipoteza muda mwingi sana kushindana na CHUI kiuchumi, yaani SIMBA na CHUI walikuwa wanashindana sana kuwekeza kiuchumi nje ya nchi.

Lakini sote yatupasa kufahamu kuwa, CHUI ndio mwenye CHAMA CHA MAPINDUZI na ndio mwenye DOLA YA TANZANIA. Kwahiyo kushindana na mwenye dola yataka moyo! Narudia tena - kushindana na mwenye dola yataka moyo! Sio kazi rahisi kama watu wengi wanavyofikiria.

SIMBA kuendelea kushindana na CHUI kuwekeza nje ya nchi kulimfanya kupoteza nafasi ya Chama Kikuu Cha Upinzani bungeni na nafasi yake kuchukuliwa na CHADEMA mwaka 2010 mpaka mwaka 2020. Hawa CHADEMA walipata uungwaji mkono mkubwa sana wa kisiasa kwa mikoa ya Manyara, Arusha, Kilimanjaro na baadhi ya sehemu za Tanzania. Vile vile wenyeji wa hii mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro wanajulikana kwa jina la NYATI au kwa jina lingine la utani wanaitwa NYUMBU [ ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ ]. Na ndivyo jinsi walivyo!

Katika kuwekeza nje ya nchi, ilifikia hatua CHUI akimiliki Esperance de Tunis ya Tunisia, hawa SIMBA wanamiliki Raja Club de Athletic ya Moroko.

Hawa CHUI wakimiliki AlAhly ya Misri, SIMBA wanamiliki Zamalek ya Misri vile vile.

CHUI akimiliki Asec Mimosas ya Ivory Coast, SIMBA wanamiliki Horoya AC ya Guinea.

CHUI akimiliki Stellenbosch FC ya Afrika ya Kusini, hawa SIMBA wanamiliki Kaizer Chiefs ya Afrika ya Kusini vile vile.

SIMBA akimiliki Tout Puissant Englebert Mazembe ya Kongo - Lubumbashi, hawa CHUI wanamiliki Wydad Club de Athletic ya Moroko.

Yaani ni tafrani! Na haya ndio makosa makubwa sana aliyoyafanya HAYATI MWALIMU kipindi yuko hai. Watangulizi wake wakina Ali Hassan Mwinyi, wakina Marehemu Benjamin Mkapa, wakina Mrisho Khalifani, wakina Marehemu John Magufuli na hatimaye Mama Samia Suluhu wote wameshindwa kuidhibiti SIMBA mpaka inakaribia kuchukua DOLA YA ZANZIBAR.

Lakini huo ndio upinzani alioutengenza na kuuacha HAYATI MWALIMU na ndio unaosumbua mamlaka za kiintelijensia mpaka leo hii, kwa sababu hao ndio wameshika uchumi wa Tanzania, mbali na wanasiasa wa CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hawa SIMBA wameenda mbali zaidi hadi kutawala SOKA LA AFRIKA KWA UPANDE WA VILABU. Hii yote inatokana na kumiliki uchumi mkubwa mpaka nje ya mipaka ya TANZANIA. Hawa SIMBA ndio wamiliki halali wa timu ya FC PLATINUM ya ZIMBABWE ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ, KAIZER CHIEFS ya AFRIKA YA KUSINI ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ, NKANA FC ya ZAMBIA ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ, BIG BULLETS ya MALAWI ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ผ, PRIMEIRO DE AGOSTO ya ANGOLA ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด, ASANTE KOTOKO ya GHANA ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ญ, AKWA UNITED ya NAIJERIA ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ, TP MAZEMBE ya KONGO ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ, TOWNSHIP ROLLERS ya BOTSWANA ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ผ, KARIOBANGI SHARKS ya KENYA ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช, EXPRESS FC ya UGANDA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ, RAYON SPORTS ya RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ, VITAL'O ya BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ, AL HILAL OMDURMAN ya SUDANI ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ, AC HOROYA ya GUINEA ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ, COTONSPORTS ya KAMERUNI ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ, RAJA CLUB DE ATHLETIC ya MOROKO ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ, ETOILE SPORTIVE DU SAHEL ya TUNISIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ, ENTENTE SPORTIVE SETIFIENNE [ ES SETIF ] ya ALGERIA ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ, ZAMALEK ya MISRI ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ pamoja na SIMBA SC ya TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.

Hii yote inatokana na kumiliki uchumi mkubwa sana hata kwa upande wa nje ya mipaka ya TANZANIA.

Kama ilivyo kwa CHUI au jina lingine SERENGETI kuwa na uchumi mkubwa kuliko hata TISS na NSA kwa pamoja. Ndivyo ilivyo kwa upande wa SIMBA au jina lingine wanaitwa MWASHITA kuwa na uchumi mkubwa kuliko hata TISS na NSA kwa pamoja.

Na haya ndio makosa makubwa sana aliyoyafanya HAYATI MWALIMU kipindi cha uhai wake, upinzani alioutengenza yeye HAYATI MWALIMU, watangulizi wake wameshindwa kuudhibiti. Na ndio wanaoligharimu taifa mpaka wanakaribia kuchukua DOLA YA ZANZIBAR. Na wakimaliza DOLA YA ZANZIBAR, hawa SIMBA wanageukia TANZANIA BARA.

3c405275e5b820c21afbe2687af0ad13.png

Kwenye zile timu za mpira wa miguu ambazo zinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ, kuna timu ya mpira inaitwa ZAMALEK. Hii ZAMALEK ndio mabingwa wa LIGI KUU YA MISRI kwa msimu wa 2020/21. Na washindani wao WAKUBWA ni AL AHLY, hii pia ni timu ambayo inamilikiwa na SERENGETI yaani CHUI.

Ngoja niweke picha za AL AHLY walizoziweka wenyewe kwenye kurasa zao za INSTAGRAM. Kwa wale wenye ujuzi wa kutambua lugha za picha wataelewa hawa AL AHLY walikuwa wanamaanisha nini:

de170a0a0ea8c3a481bab91a6ef3b285.png


9616e6cffd2f63b74d3b010b93449725.png


770e5fae83131d505844391bbb8c4532.png


3de91a0ac01cfabd9cab9632c3ec3aa8.png


731eaf6690d2d3bce54509db302c6321.png

Kwa wajuzi wa kutambua lugha za picha. Hizi picha za mchezaji wa AL AHLY zina MAANA gani au zinatoa TASWIRA gani?

images.jpeg

Hizo picha za mchezaji wa AL AHLY zinaonesha hiyo timu ya mpira wa miguu ya AL AHLY inamilikiwa na TIGER yaani SERENGETI yaani CHUI na sura ya huyo mchezaji inatoa TASWIRA ya SURA ya MADARAKA NYERERE na hao ndio wamiliki halali wa timu ya mpira ya AL AHLY. Hii ni timu bora kabisa AFRIKA na DUNIANI kwa ujumla.
 
Pale kwenye UCL huwa unanikumbusha,

"Timu mbili ambazo mashabiki na wachezaji wake hupandwa wazimu hasa wanapokuwa wamefungwa, halafu nyimbo za clubs zao zikaanza kupigwa."

Huwa ni kufa na kupona pale kunako arena.

Mmojawapo ni ule wa, "!i Hala.... !iHala.....! Ynadas Mas!"
 
Mwingine ni, "You w'll never walk alone".

Huwa ni msako na mtafutano usio wa kawaida.

wana wa Silvio Bellusconi waligongewa goma hili wakiwa mbele kwa 3 mtungi halafu ndani ya dakika 10 za mwisho goli zote zikarudishwa na ubingwa juu.

Naitamani sana 2005,2007,2014,2016,2017,2018 Kama leo zingeji-rewind.
 
Kizazi chake Kipo wapi
baadhi ya ndugu zake walibaki kenya baada ya yeye kwenda kurudi kwa malkia, huenda kuna kizazi kinaendelea huko au uk.

huku bongo aliwahi kuwa na familia miaka ya nyuma sana karibu na makazi ya aliyekuwa mkuu wa majeshi musuguri.
 
baadhi ya ndugu zake walibaki kenya baada ya yeye kwenda kurudi kwa malkia, huenda kuna kizazi kinaendelea huko au uk.

huku bongo aliwahi kuwa na familia miaka ya nyuma sana karibu na makazi ya aliyekuwa mkuu wa majeshi musuguri.
Baadhi ya familia ya KAMBONA wapo UINGEREZA ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง na baadhi wapo TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, sema wanatumia majina tofauti ya UKOO. Hilo jina la UKOO LA KAMBONA hawalitumii.
 
Mwingine ni, "You w'll never walk alone".

Huwa ni msako na mtafutano usio wa kawaida.

wana wa Silvio Bellusconi waligongewa goma hili wakiwa mbele kwa 3 mtungi halafu ndani ya dakika 10 za mwisho goli zote zikarudishwa na ubingwa juu.

Naitamani sana 2005,2007,2014,2016,2017,2018 Kama leo zingeji-rewind.

9faf89e515c8d13eafd4dd82bd9bf2b2.png


c9b486fc8d20f186b6ad881de906a09f.png

Mwaka huu nitatizama michuano ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE โšฝ kwa timu za SEVILLA na BORUSSIA DORTMUND maana hizi timu zinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ, na pesa itakayopatikana kwenye michuano ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE โšฝ itaenda kujenga VIWANDA ili kuimarisha UCHUMI wa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ.

Maana sina PRESHA sasa hivi - kule LA LIGA, REAL MALLORCA ameshaanza kukiwasha, mechi ya pili MFULULIZO yaani CONSECUTIVELY anashinda tu. Matumaini ni makubwa ya kubaki LIGI KUU kwa msimu ujao.

Sisi tuko hadi ULAYA ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡บ, hii WAINGEREZA ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง wanaita EUROPE ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡บ halafu mnataka mtufananishe na wakina ADAM SAPI MKWAWA sijui KAMBONA sijui nani nani!! Anyway, we are so far from those PEOPLE.
 
Pale kwenye UCL huwa unanikumbusha,

"Timu mbili ambazo mashabiki na wachezaji wake hupandwa wazimu hasa wanapokuwa wamefungwa, halafu nyimbo za clubs zao zikaanza kupigwa."

Huwa ni kufa na kupona pale kunako arena.

Mmojawapo ni ule wa, "!i Hala.... !iHala.....! Ynadas Mas!"
Ngoja nitembee tembee MITAA YA VIWANDANI huko maana leo nimewahi kuamka. Kwahiyo, nitakutafuta baadae kidogo ๐Ÿšถ๐Ÿฝโ€โ™‚๏ธ
 
Pale kwenye UCL huwa unanikumbusha,

"Timu mbili ambazo mashabiki na wachezaji wake hupandwa wazimu hasa wanapokuwa wamefungwa, halafu nyimbo za clubs zao zikaanza kupigwa."

Huwa ni kufa na kupona pale kunako arena.

Mmojawapo ni ule wa, "!i Hala.... !iHala.....! Ynadas Mas!"

441d777d5ea99a0c5107168b4de61f8f.png

Hiyo picha hapo juu ni makundi ya michuano ya UEFA EUROPA LEAGUE โšฝ kwa msimu wa 2021/22. Hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ wale waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wenye timu za NAPOLI, CELTIC na GENK.

Na hapo napo kuna kiasi cha FEDHA ambacho kitapatikana kwenye kushiriki michuano ya UEFA EUROPA LEAGUE โšฝ. Hii WAINGEREZA ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง wanaita ni SPORTS ECONOMY, kwahiyo hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ wamewekeza sana nje ya nchi kwenye sekta ya UCHUMI WA MICHEZO.
 
Ni mshabiki wa juzi juzi asiyeufahamu vema mchango wa REAL MALLORCA, A. BILBAO, na SEVILLA F.C.

Wakiwa katika kiwango chao cha ubora kabisa REAL MALLORCA wanakutana na REAL MADRID bora ya wachezaji GALACTICOS.

Kama sijakosea ilikuwa 2002/2003, Wananikalisha 4 moja pale Santiago B

Hakuna aliyeamini kati ya Z.Zidane, R.Carlos, D.Beckham, S.MC Manaman, Santiago Jose Maria Guti, Santiago Solari, F.Hierro, M.Salgado, F.Morientes, F.Redondo, R.De Lima, L.Figo, C.Sanchez, I.Casillas, C.Seedorf, N.K

Tulipigiwa mwingi sijawahi ona aisee!
 
Celtic ya Uskochi.

Huu ulikuwa moto mwingine hatari kipindi kile.

Wakina Mark Viduka waliinogesha sana liga hiyo ya Uskochi.

Naikumbuka vema formation ya wakina Georgio Samaras, Nakamura bila kumsahau mnyama Ginakopolos.

SCOTLAND kuliwaka moto, daah!
 
Ni mshabiki wa juzi juzi asiyeufahamu vema mchango wa REAL MALLORCA, A. BILBAO, na SEVILLA F.C.
Hizi timu zote zinamilikiwa na mtu mmoja kupitia makampuni tofauti tofauti na anayemiliki hizi timu ni MTANZANIA. Ndio anayemiliki timu ya SIMBA SC ๐Ÿฆ iliyopo jijini DAR ES SALAAM, TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.
Wakiwa katika kiwango chao cha ubora kabisa REAL MALLORCA wanakutana na REAL MADRID bora ya wachezaji GALACTICOS.
Ndio! REAL MALLORCA ndio timu pekee inayoweza kupambana na REAL MADRID kwenye uwanja wa SANTIAGO BERNABEU na akapata matokeo, tofauti na timu nyingine za LA LIGA.

Halafu kuna kitu kingine ambacho WATANZANIA wengi hawakifahamu, kwenye miaka ya 2000 hadi miaka ya 2008 kuelekea 2009. Yaani kwa kifupi, baada ya kifo cha HAYATI MWALIMU, viongozi wengi wa SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ na WAFANYABIASHARA waliamua kwenda kuwekeza nje ya nchi kwenye sekta ya michezo na mambo mengine.

Na nchi zilizopewa kipaumbele cha kuwekeza kwenye michezo ni nchi za UHISPANIA ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ, UJERUMANI ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช na ITALIA ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น. UINGEREZA ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง ilikuwa sio sana, kwa sababu ya gharama za kununua na kuendesha timu zilikuwa ni kubwa. Lakini kuna VIONGOZI WA SERIKALI walifanikiwa kununua na kuendesha timu za mpira za UINGEREZA ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง.

Kwa upande wa UINGEREZA ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง, gharama ya timu moja inayoshiriki LIGI KUU unaweza kupata timu mbili zinazoshiriki LIGI KUU nchini UHISPANIA ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ. Kwahiyo hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ waliamua kwenda kuwekeza UHISPANIA ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ kwa sababu ya gharama kuwa ni ndogo ukilinganisha na gharama za nchi nyingine za ULAYA ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡บ.

Halafu pia LIGI KUU YA UHISPANIA ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ ni LIGI BORA kuliko LIGI KUU YA UINGEREZA ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง. Sema kinachowabeba LIGI KUU YA UINGEREZA ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง ionekane ina thamani ni MATANGAZO YA KIBIASHARA.

Na ndio maana hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ wanamiliki timu nyingi sana nchini UHISPANIA ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ kuliko nchi yoyote ile ya ULAYA ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡บ, timu hizo ni SEVILLA, ATHLETIC BILBAO, REAL MALLORCA, REAL BETIS na REAL ZARAGOZA.
Kama sijakosea ilikuwa 2002/2003, Wananikalisha 4 moja pale Santiago B
REAL MALLORCA na REAL MADRID wakikutana ujue hapo wanaopambana huwa ni MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ na SERENGETI yaani CHUI. Na ndio maana mechi yao huwa inakuwa ni mechi kali sana.
Hakuna aliyeamini kati ya Z.Zidane, R.Carlos, D.Beckham, S.MC Manaman, Santiago Jose Maria Guti, Santiago Solari, F.Hierro, M.Salgado, F.Morientes, F.Redondo, R.De Lima, L.Figo, C.Sanchez, I.Casillas, C.Seedorf, N.K
Hizo FEDHA zote zinazotumika kwenye usajili wa wachezaji ghali huwa zinatoka AFRIKA, na TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ni nchi mojawapo kwenye kusafirisha FEDHA NJE YA NCHI kwa ajili ya matumizi kama haya.
Tulipigiwa mwingi sijawahi ona aisee!
Hiyo ndio TASWIRA ya MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ na SERENGETI yaani CHUI kwenye masuala ya kijamii na mahusiano ya watu. Ndio huwa inakuwa hivyo kama mechi ya REAL MALLORCA dhidi ya REAL MADRID au SIMBA SC dhidi ya YANGA SC. Yaani ni kama WATANI WA JADI.
 
Celtic ya Uskochi.

Huu ulikuwa moto mwingine hatari kipindi kile.

Wakina Mark Viduka waliinogesha sana liga hiyo ya Uskochi.

Naikumbuka vema formation ya wakina Georgio Samaras, Nakamura bila kumsahau mnyama Ginakopolos.

SCOTLAND kuliwaka moto, daah!
Sasa hivi ngoja nikatembee tembee kidogo! Ikifika mida ya jioni nitakueleza namna ya hizi timu za mpira wa miguu zinavyosadifu nguvu za kisiasa au hata mahusiano ya watu na kijamii kwenye NCHI HUSIKA au BARA na hata ULIMWENGU mzima.
 
Celtic ya Uskochi.

Huu ulikuwa moto mwingine hatari kipindi kile.

Wakina Mark Viduka waliinogesha sana liga hiyo ya Uskochi.

Naikumbuka vema formation ya wakina Georgio Samaras, Nakamura bila kumsahau mnyama Ginakopolos.

SCOTLAND kuliwaka moto, daah!
Kwa muendelezo wa posti namba 559 - kwenye sekta ya michezo hasa mpira wa miguu. Tofauti na kuwa ni mchezo wenye hamasa na ushawishi kwenye jamii, mpira wa miguu huwa unatumiwa pia kwenye kubashili mitazamo ya kisiasa na kiuchumi.

Vile vile mpira wa miguu huwa inaashiria nguvu ya jamii husika kwenye nchi fulani, inaweza kuwa hata bara au ulimwengu mzima. Na pia mechi za mpira wa miguu huwa zinatumika kupima bahati ya mtu kwenye kubashili matokeo ya timu husika baada ya mechi kuisha.

Sasa basi, kwa wale WATAALAMU WA SIASA au wale SCOUTS wanaotumika kutafuta na kuangalia VIONGOZI WA BAADAE huwa wanapima watu wanaowadahili kupitia michezo hasa KARATA, DRAFTI, MPIRA WA MIGUU au MCHEZO WOWOTE anaoupenda mhusika.

Hii michezo yote huwa wanawapima wahusika kuangalia bahati zao za USHINDI. Ukiwa unashinda sana ina maana uko vizuri kwenye kushiriki matukio ya kijamii na mahusiano ya watu kama SIASA na mambo mengine ya kijamii.
 
Reginald L. Ishala hapa kwenye hii kampuni ya BHP BILLITON, sio tena hisa za asilimia thelathini [ 30% ] bali hawa SERENGETI yaani CHUI walianza na hisa za asilimia ishirini na tano [ 25% ] na sasa hivi wana hisa za asilimia hamsini [ 50% ].

Na hii ni lugha ya picha - kwa wanaoweza kutambua hapo ni kuwa walianza na viganja vitano vyenye vidole ishirini na tano [ ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ–๏ธ ] ambavyo ni sawa na asilimia ishirini na tano [ 25% ] na sasa hivi wana SAFETY, hii wanamaanisha FIFTY yaani asilimia hamsini [ 50% ].

BHP BILLITON ndio kampuni kubwa sana duniani inayofanya Madini, Gesi na Mafuta kwa pamoja. Ndio kampuni pekee inayofanya "MINES & PETROLEUM INDUSTRY" kwa pamoja na wana mtaji mkubwa sana.
Na hapa kwa upande wa BHP BILLITON kumilikiwa na SERENGETI yaani CHUI kwa hisa za asilimia hamsini [ 50 % ] na hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ wanamiliki kampuni ya AFRICAN EXPLOSIVES LIMITED [ AEL ] au kwa jina lingine hii kampuni inaitwa AEL MINING SERVICES kwa asilimia mia moja [ 100% ].

Hii kampuni ya AEL MINING SERVICES ni kampuni inayojihusisha na baruti za migodini yaani MINING EXPLOSIVES na inafanya vizuri sana kwenye sekta ya UCHIMBAJI WA MADINI NA MAFUTA.

Hii kampuni ya AEL MINING SERVICES ni kampuni ambayo makao yake makuu yapo AFRIKA YA KUSINI ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ na inafanya shughuli zake kwenye nchi za GHANA ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ญ, MALI ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ, TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, ETHIOPIA ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡น, ZAMBIA ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ, ZIMBABWE ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ na BOTSWANA ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ผ.

Hii kampuni ya AEL MINING SERVICES ni kampuni ambayo ina wafanyakazi wapatao 6,200 na ni kampuni ambayo iko chini ya kampuni mama ya AFRICAN EXPLOSIVES AND CHEMICALS INDUSTRIES [ AECL LIMITED ].

Halafu pia hii kampuni ya AECL LIMITED ni kampuni ambayo ina jumuisha makampuni madogo madogo yapatayo sita [ 6 ]. Makampuni hayo ni AFRICAN EXPLOSIVES LIMITED [ AEL ], IMPROCHEM [ PTY ] LIMITED, CHEMICAL INITIATIVES [ PTY ] LIMITED, DETNET [ PTY ] LIMITED, ACACIA na SANS FIBRES [ PTY ] LIMITED.

Kwahiyo utaona hata hii kampuni ya ACACIA inayofanya shughuli zake za UCHIMBAJI WA MADINI hapa TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ kwenye migodi ya BUZWAGI na BULYANHULU ni kampuni ambayo inamilikiwa na WATANZANIA WEUSI ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ [ wale waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ] na wale wengine yaani WAZUNGU KUTOKA KANADA ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฆ ni wafanyakazi tu na kampuni mama ya ACACIA ipo AFRIKA YA KUSINI ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ ambayo kwa jina ni AFRICAN EXPLOSIVES AND CHEMICALS INDUSTRIES [ AECL LIMITED ].

Na hii kampuni ya AECL LIMITED inaweza kupewa tenda ya kuchimba na kuchenjua ALMASI [ ALLUVIAL DEPOSIT ] kwenye mgodi wa EL HILAL uliopo MWADUI, SHINYANGA. Huu mgodi ni mkubwa kwa sababu, ndio mgodi uliozunguka eneo lote la mgodi wa WILLIAMSON DIAMONDS LIMITED [ WDL ].

Na hawa wanaomiliki mgodi wa EL HILAL DIAMONDS LIMITED [ sio Phantom ] ni wale wale wanaomiliki kampuni ya AEL MINING SERVICES ambao ni MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ wale waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU.

Na haya mambo ndio yaliyotakiwa kujadiliwa BUNGENI kwa lugha ya staha na lugha iliyonyooka, sio POROJO.
 
Wako vizuri MWASHITA, Hata hiyo sub co yao ACACIA inafanya vema hata kwenye masuala ya kabumbu nao hawako nyuma.
 
Back
Top Bottom