Hivi MAKONGORO ni mkuu wa mkoa gani vilee?Hiyo familia yenyewe tu ya mwalimu imesahualika sembuse waliomsaport mwalimu, Watoto wa mwalimu hakuna hata mmoja alie kwenye mamlaka za juu za serikali hii yaani hata UDC tu hakuna wapeana wao.
Halafu watoto wa mtu ambae tunaamini alitengeneza njia ya Taifa lote hili wanaishi kwa juhudi zao na kazi zao hii sio sawa kabisa. Mwingine hadi kafariki jana tu sasa wapo wengi walio msaport mwalimu kipindi hicho lakini hawatajwi popote wala hawana saport yoyote ndugu
Hawa ndio wenye KARIAKOO! Yaani hawa wakina MAKONGORO ndio wanamiliki MAJENGO mengi sana KARIAKOO na ILALA kwa ujumla ππ½πΉπΏππ½Hivi MAKONGORO ni mkuu wa mkoa gani vilee?
sasa ndo ujue kuwa hujui kitu.
Shukrani sana, Mkuu Charles Mandela!
Shukrani sana, Mkuu Charles Mandela!
Charles mandela ubongo wako una mambo meng sana sana.nazan mambo uliyoyasema ni robo tu.binafsi naona bado mambo meng sana yakujifunza.Huyu ni MALKIA ELIZABETH πΈ wa familia ya KIFALME YA UINGEREZA π¬π§ na hawa MWASHITA yaani SIMBA π¦ wanatambulika na UFALME WA UINGEREZA π¬π§ kutokana na UWEKEZAJI waliowekeza nchini UINGEREZA π¬π§ na miaka ya nyuma hawa MWASHITA yaani SIMBA π¦ walitakiwa kuwa na MUWAKILISHI wao kwenye JUMBA LA KIFALME LA BUCKINGHAM kama ni sehemu ya heshima na ushirikiano waliouonesha kwa TAIFA LA UINGEREZA π¬π§ katika SEKTA YA UWEKEZAJI.
Lakini kwa miaka ya baadae, hawa MWASHITA yaani SIMBA π¦ wataweka MUWAKILISHI au BALOZI wao kwenye JUMBA LA KIFALME LA BUCKINGHAM.
Hii yote inafanyika kama HESHIMA inayotolewa na UFALME WA UINGEREZA π¬π§ kwa wale wote waliowekeza nchini UINGEREZA π¬π§.
Na muda unavyozidi kusogea, hawa MWASHITA yaani SIMBA π¦ wataanza kupokea wafanyakazi kutoka UINGEREZA π¬π§ na MATAIFA YA UMOJA WA ULAYA πͺπΊ kwenye kampuni ambazo wanamiliki wao wenyewe na mfano mzuri ni KIWANDA CHA KIOO INDUSTRY.
Hiki KIWANDA CHA KIOO INDUSTRY ni KIWANDA ambacho kinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA π¦ na kimeshaanza kupokea baadhi ya wafanyakazi kutoka UINGEREZA π¬π§.
Kwahiyo kwenye mambo ya UTAWALA NA MENEJIMENTI tuna wafanyakazi mchanganyiko ambao baadhi wanatoka nchi za MATAIFA YA UMOJA WA ULAYA πͺπΊ na ilitakiwa tuwe METALLURGISTS au kwa jina lingine ni MINERAL PROCESSING ENGINEERS kutoka baadhi ya MATAIFA YA UMOJA WA NCHI ZA ULAYA πͺπΊ.
Kwahiyo kwa upande wa MWASHITA yaani SIMBA π¦, HALI HALISI ndio iko hivyo na tupo MAKINI na JAMII inayotuzunguka kwa masilahi mapana ya JAMII ya MWASHITA yaani SIMBA π¦.
Wala hatuhusiki na VUGUVUGU LOLOTE LA KISIASA linaloendelea nchini TANZANIA πΉπΏ na wala hatuchangii wala hatutachangia hata SENTI TANO kutoka kwenye kampuni yoyote inayomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA π¦ na mfanyakazi yoyote atakayehusika na VUGUVUGU LA MABADILIKO YA KISIASA atafukuzwa KAZI ndani ya masaa ishirini na nne [ 24 ], yaani WAINGEREZA π¬π§ wanasema ya kwamba - he or she will be fired within twenty four hours [ 24 ] ππ½πΉπΏππ½
Mambo ni mengi sana ya kujifunza lakini inabidi tuishie hapa.Charles mandela ubongo wako una mambo meng sana sana.
Wale CCM βοΈ kindaki ndaki huwa wanasema hivi - "DUNIA ina mambo na TANZANIA πΉπΏ ina maajabu yake."nazan mambo uliyoyasema ni robo tu.binafsi naona bado mambo meng sana yakujifunza.
Kuna MAMBO mengine ukiyafahamu yatakuumiza kichwa, hivyo unapaswa kuyaacha kama yalivyo.Ila mandela haya mambo mbona hakuna mtanzania anayeweza kuamin kabisa zaid sana atakudharau na kukuona mjinga wa mwisho.sijui hii imekaaje.
Watakuwa ni RAIA wa kutoka UINGEREZA π¬π§ pamoja na UMOJA WA MATAIFA YA NCHI ZA ULAYA πͺπΊ, haijalishi watakuwa ni RANGI gani lakini watakuwa ni RAIA wanaotambulika na MATAIFA yao.Hao Metallurgists wanaotoka au watakaotoka UK na EU ni raia wa Kizungu na ni wazawa wa huko?
Watafanya kazi kama WATAALAMU wengine na mikaba ya KAZI itakuwa kulingana na makubaliano baina ya MUAJIRI na WAAJIRIWA.Ikiwa ni WAZUNGU by nature, Je watapewa mkataba wa jumla jumla wa kudumu au wakishatenda kazi na kuwaambukiza LEO ujuzi wataondolewa kwa mkataba ili wawekwe wazawa?
Halafu sasa, kitu kingine ambacho huwa hakisemwi na WANASIASA wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM βοΈ kuhusu OSCAR KAMBONA na ADAM SAPI MKWAWA ni kuwa baada ya kugundulika kuwa OSCAR KAMBONA na ADAM SAPI MKWAWA walikuwa wanawasiliana kwa njia ya FAKSI.binafsi naona bado mambo meng sana yakujifunza.
Nimekupata, Shukrani sana mkuu!.
Hawa ni WATANZANIA [emoji1241] wamepiga picha ya pamoja, hao waliovaa nguo za RANGI NYEKUNDU ni MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] na hao wengine waliovaa nguo za RANGI NYEUSI ni WATANZANIA [emoji1241] waliohamia UGANDA [emoji1254] kwa sababu mbali mbali ikiwemo sababu za KIDIPLOMASIA, KISIASA na KIBIASHARA.
Hawa ni MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] waliohamia UGANDA [emoji1254] wakiwa wamepiga picha ya pamoja na kwa siku za usoni, hawa ndio watakuja kuwa WAFANYAKAZI NA WAKURUNGENZI wa kampuni za kibiashara zinazomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] ikiwemo TIGO TANZANIA.
Hiyo hapo juu ni KWAYA YA WASABATO kutoka KANISA LA KISABATO - KIGALI, RWANDA [emoji1206] na mara nyingi WANYARWANDA huwa wanatumia nyimbo za kiinjili kufikisha ujumbe kwa WATU WOTE ambao kwa namna moja ama nyingine watashawishika kusikiliza nyimbo zilizoambatana na ujumbe kwa njia ya PICHA na SAUTI.
Kwahiyo hawa nao, yaani WANYARWANDA [emoji1206] ukiongeza na WARUNDI [emoji1060] walifanyika kuwa ni sehemu ya MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] tangu mwaka 1994 mpaka leo na miaka ijayo..
Hii kampuni ya AZAM, pia ni kampuni ambayo haina tofauti na kampuni ya JAMBO GROUP OF COMPANIES katika umiliki wake [emoji1431][emoji1241][emoji1241][emoji1431].
Yaani kwa miaka ya hivi karibuni SERIKALI YA TANZANIA [emoji1241] imeimarisha sana SEKTA YA ULINZI kupitia SEKTA YA UWEKEZAJI na malengo ni kushikilia UCHUMI WA TANZANIA [emoji1241] kwa asilimia kubwa kama sio zote.
Hii pia ilikuwa ni mechi kati ya JWANENG GALAXY FC ya BOTSWANA [emoji1052] na SIMBA SC ya TANZANIA [emoji1241], lakini timu ya mpira wa miguu ya JWANENG GALAXY FC ya BOTSWANA [emoji1052] ni timu ambayo inamilikiwa na SERIKALI YA TANZANIA [emoji1241] na timu ya mpira wa miguu ya SIMBA SC ni timu ambayo inamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA [emoji881].
Kwahiyo, hizo timu zilizokutana - timu moja inamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] na timu nyingine inamilikiwa na SERIKALI YA TANZANIA [emoji1241].
Ndio maana, wale JWANENG GALAXY FC ya BOTSWANA [emoji1052] walivyokuja TANZANIA [emoji1241] walikuwa na nguvu pamoja na morali ya mchezo kwa sababu walikuwa wamekuja nyumbani, ambapo ni TANZANIA [emoji1241].
Hii hali, hata wachezaji wa SIMBA SC wenyewe hawakutegemea na inawezekana kuwa hawafahamu mpaka leo, lakini wale JWANENG GALAXY FC ya BOTSWANA [emoji1052] ni timu ambayo inamilikiwa na SERIKALI YA TANZANIA [emoji1241].
Vile vile kwa upande wa BOTSWANA [emoji1052], hawa MWASHITA yaani SIMBA [emoji881] wanamiliki timu ya mpira wa miguu ambayo inashiriki LIGI KUU nchini BOTSWANA [emoji1052] ambayo inaitwa TOWNSHIP ROLLERS FC na ndio washindani wakubwa wa JWANENG GALAXY FC.
Hii yote ni SIASA kupitia upande wa sekta ya MICHEZO [emoji1431].
Nimekupata, Shukrani sana mkuu!.
Mod wenyewe wana enjoy ndo maana mwamba bado yupo π
Sisi ndio WADAU WA SIASA ZA TANZANIA πΉπΏ! Ngoja basi nikae KIMYA πππMod wenyewe wana enjoy ndo maana mwamba bado yupo π
Usikae kimya ,mkuu huu uzi miaka 10+ijayo itakua n funzo kubwa kwa watu wengi.hapa ndo umuhimu wa mitandao unaonekana.Sisi ndio WADAU WA SIASA ZA TANZANIA πΉπΏ! Ngoja basi nikae KIMYA πππ
Huyo Yoda anataka mimi nipigwe BAN kwa sababu gani? Isitoshe mimi nilikuwa RAIS WA AWAMU YA TANO [ 5 ] WA SERIKALI YA WANAFUNZI YA CoHSS pale UDOM, mwaka 2012/13.Usikae kimya ,mkuu huu uzi miaka 10+ijayo itakua n funzo kubwa kwa watu wengi.hapa ndo umuhimu wa mitandao unaonekana.