Baada ya kuanzishwa kwa ile sera ya VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA katika kila MKOA [1984], mwanzoni mwa miaka ya tisini [1990's] zikaanza kuingia basi za ALLY'S, SABENA, NBS, NAAMAN'S pamoja na NCHAMBI'S.
Ile kampuni ya NKAMBA'S ikaanza kupotea taratibu kwenye SEKTA YA USAFIRISHAJI YA ABIRIA NA MIZIGO na kipindi kile habari ya mjini ilikuwa ni CHIFU anamiliki KIJIJI huko MAREKANI.
Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walikuwa wana kazi kubwa ya kufanya, ili na wao wasambaze watu wao kama walivyosambaza HAYATI MWALIMU na CHIFU MAKWAIA.
Baada ya kufanikiwa kuanzisha kampuni za usafirishaji wa abiria na mizigo, kilichobaki kilikuwa ni kuanzisha kampuni inayomiliki "APARTMENTS" kama BAISLEY PARK HOUSES inayopatikana NEW YORK, nchini MAREKANI.
Mwaka 1992 kuelekea 1993 [1992's - 1993's], mmoja wa aliyekuwa mfanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA alifanikiwa kumiliki kampuni ya NAKATU HOUSES ambayo inapatikana JAPANI na ilikuwa chini ya usimamizi wa JIJI LA OSAKA na kipindi kile ilikuwa inaitwa ni "PROPERTY OF OSAKA CITY HOUSING AUTHORITY".
Yaani kwa LUGHA nyingine, mmiliki halali wa kampuni ya usafirishaji ya abiria ya OSAKA BUS inayopatikana TANZANIA ndiyo mmiliki halali wa kampuni ya NAKATU HOUSES inayopatikana katika JIJI LA OSAKA, nchini JAPANI.
Hii kampuni ya OSAKA BUS inafanya shughuli zake za kibiashara katika MATAIFA YA JAPANI pamoja na TANZANIA. Sema kwa upande wa TANZANIA, hii kampuni ya OSAKA BUS imepotea kidogo lakini bado ipo.
Baada ya hapo - MATAIFA YA MAGHARIBI, hususani UINGEREZA yakaanza kuingia na kufanya biashara kwa niaba ya wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA na wao wakaanza kuhamisha watu wao ndani na nje ya mipaka ya TANZANIA.
Hii kampuni ya NAKATU HOUSES ambayo inapatikana JAPANI ilianza kupokea WATANZANIA wenye asili ya MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA tangu miaka ya tisini [1990's].
Kwa kupitia kampuni ya NAKATU HOUSES walifanikiwa kumiliki hisa kwenye baadhi ya kampuni za kutengeneza vifaa vya kieletroniki kama HITACHI, PANASONIC, CASIO pamoja na SONY.
Baada ya kufanikiwa kumiliki hisa kwenye kampuni za kieletroniki za HITACHI, PANASONIC, CASIO pamoja na SONY - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walifanikiwa kuanzisha kampuni inayoitwa OSAKA BUSINESS PARK.
Hii kampuni ya OSAKA BUSINESS PARK inafanya miradi yake kama ilivyo kwa kampuni ya BAISLEY PARK HOUSES inayopatikana katika JIJI LA NEW YORK, nchini MAREKANI.
WATANZANIA wenye asili ya MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wakaanza kuhamia JAPANI katika JIJI LA OSAKA na kuanza kuishi katika APARTMENTS ZA NAKATU HOUSES.
Pale OSAKA walianza kufungua KIWANDA CHA PAYDEN. Hiki KIWANDA kinatumika kutengeneza nguo za PAYDEN.
Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walijijenga kiuchumi kwa msaada wa MATAIFA YA MAGHARIBI, hususani UINGEREZA.