Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

hiv riz1 nae ni mwashita? maana
Umenikumbusha kipindi kile cha awamu ya nne, watu wengi walikuwa wanasema kuwa LAKE OIL 🛢 inamilikiwa na RIZ-ONE. Kumbe haikuwa RIZ-ONE kama watu wengi walivyokuwa wanadhani, bali LAKE OIL 🛢 inamilikiwa na TANZANIA-ONE.
 
nifute tongotongo, tanzania oneni nani
Ifike mahala muelezane ukweli kuwa hawa WANASIASA wengine wanataka nini? Kwa sababu, kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA ni jamii tatu tu ambazo huwa zinafanya SIASA YA KWELI. Jamii hizo ni SERENGETI, MWASHITA na WATU WA PWANI.
 
nifute tongotongo, tanzania oneni nani
Kipindi cha miaka ya tisini [1990's] hizi kampuni za kigeni za MAFUTA YA PETROLI, DIZELI na MAFUTA YA TAA zilikuwa zina nguvu kubwa, maana ilikuwa wakipandisha bei ya mafuta nchi ilikuwa inayumba.

7de68c20d55efa60e229278ea2d60dfb.png

Kipindi kile kampuni ya MOIL inaanzishwa walikuwa wanatoa maneno ya KEJELI na DHARAU kuwa kampuni ya MOIL haiwezi kushindana na kampuni kama GBP, BP au PUMA.

560d6f79309a6b4f83605db2a3b9f6f7.png

Kampuni ya MOIL ilikuwa inafananishwa na kampuni ambayo inauza mafuta yatayotumika kwenye chemli na koroboi, maana tenda zote za ndani ya nchi walikuwa wameshikilia kampuni kubwa.

8325bd756ce3c92a4f19b6fa689755a7.png

Kipindi cha miaka ya tisini [1990's] kufunga KITUO CHA MAFUTA yaani PETROL STATION ilikuwa sio gharama kubwa ukilinganisha na wakati huu.

Sasa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walifanikiwa kufungua KAMPUNI ZA MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA.

7fd4518c9f40d421da8d9ae7775f818a.png

Hii kampuni ya MERU ni kampuni ambayo inamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

9f90c8d3a4a72b5bc6ca86ad9ed09ea4.png

Pia hii kampuni ya MERU ndiyo wadhamini wa CHAMA CHA KISIASA kinachoitwa [...]. Hiki CHAMA CHA KISIASA kinafanya shughuli zake za kisiasa nchini TANZANIA na baada ya hapo, kampuni nyingi zilianzishwa kwa nia na malengo ya kuhimili SOKO LA USHINDANI.

6d228bb737bf04a5d5d0f9b68657e963.png

Hii kampuni ya MERU PETROLEUM ilifanikiwa kukua na kuhimili soko la ushindani na hatimae ilifanikiwa kuwekeza nje ya mipaka ya TANZANIA.
 
Ifike mahala muelezane ukweli kuwa hawa WANASIASA wengine wanataka nini? Kwa sababu, kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA ni jamii tatu tu ambazo huwa zinafanya SIASA YA KWELI. Jamii hizo ni SERENGETI, MWASHITA na WATU WA PWANI.
who is tanzania 1?
 
Nyumba yake ya morogoro ipo forest mtaa zilizopo nyumba walizokuwa wanakaa ma-RPC na nyingine wakuu wa magereza wa mkoa
 
who is tanzania 1?
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo kampuni za kigeni zilikuwa zimeshikilia SEKTA YA MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA. Ilikuwa ni vigumu sana kwa kampuni za wazawa kuweza kumiliki kampuni za mafuta.

c1ba6584e3b51eb3a9e5a2f54570540d.png

Hata hii MOIL ni kampuni ya mzawa ambapo wakati inaanzishwa ilipewa MKATABA WA KUMILIKI IDADI YA VITUO VYA MAFUTA ili isiharibu soko kwa kampuni za kigeni.

aa1d3c2a459c762a6a0362839ba15927.png

Kipindi cha miaka ya tisini [1990's] wale wamiliki halali wa kampuni ya MOIL walifanikiwa kumiliki kampuni ya UCHIMBAJI WA MADINI YA VITO [ALMASI] inayoitwa EL HILAL, inayopatikana katika MKOA WA SHINYANGA.

IMG_20230630_145657.jpg

Hii kampuni ya EL HILAL kwa kipindi chote huwa inauza ALMASI zake kwa FAMILIA YA KIFALME YA UINGEREZA na huo mgodi ulishawahi kutoa ALMASI ya 200 [carats], mwaka 1994 na ALMASI YA RANGI YA PINKI.

IMG-20230708-WA0000.jpg

Sasa kutokana na ukaribu uliojengeka baina ya UINGEREZA na wamiliki halali wa kampuni ya EL HILAL, FAMILIA YA KIFALME YA UINGEREZA iliwasaidia kufungua kampuni nyingine ya mafuta na kampuni ya mafuta iliyoanzishwa kutokana na BIASHARA YA ALMASI ilikuwa inaitwa OILCOM.

3c3d2e1d5c034cd8fb6c0b2fc005a370.png

Kampuni ya OILCOM ilianzishwa kutokana na faida iliyokuwa inapatikana katika MGODI WA ALMASI WA EL - HILAL ambao unapatikana katika MKOA WA SHINYANGA.

c7c9320316b3b9fc56a5306b21d5bb67.png

Kampuni ya OILCOM ni miongoni mwa kampuni kubwa ambazo zinajishughulisha na BIASHARA YA MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA.

eff2d3487e64d431fac6ebc7b24f73e0.png

Kwahiyo kampuni ya OILCOM ilianzishwa baada ya kampuni za MOIL pamoja na MERU ili kuweza kuhimili soko la ushindani.
 
nifute tongotongo, tanzania oneni nani
Baada ya kuibuka kwa MIGODI YA DHAHABU yaani "MINING BOOM" nchini TANZANIA, kuna baadhi ya WATANZANIA walifanikiwa kumiliki hisa kwenye baadhi ya KAMPUNI ZA UCHIMBAJI WA MADINI YA DHAHABU.

Kampuni hizo zilikuwa ni ANGLO GOLD - ASHANTI pamoja na AFRICAN BARRICK na wale WATANZANIA wa mwanzo waliofanikiwa kumiliki hisa walinufaika sana.

6a014ed5c1812b455d196a53d6a4caf5.png

Miongini mwa kampuni iliyoanzishwa kutokana na hisa za kampuni ya ANGLO GOLD - ASHANTI pamoja na AFRICAN BARRICK GOLD ilikuwa ni AMSONS GROUP.

82ac2d8be0bfe6444823491557ddd822.png

Hii kampuni ya AMSONS GROUP inamilikiwa na mmoja wa aliyekuwa mfanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

9f98308181cd290725813c98f9c49b1a.png

Hii kampuni ya AMSONS GROUP ilifanikiwa kuingia kwenye BIASHARA YA NGANO na ilifanikiwa pakubwa sana.

19e6197282dee9ed84b7b5322cbfe13a.png

Baadae kampuni ya AMSONS GROUP ilifanikiwa kuingia kwenye SEKTA YA MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA na kuwa kampuni ya NNE [4] baada ya kampuni za MOIL, MERU OIL pamoja na OILCOM.

b85ac4ae99da390bca0734b180f661c9.png

Hii kampuni ya MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA inayoitwa CAMEL OIL na kampuni ya OILCOM ni kampuni ambazo huwa zinafananishwa na VILABU VYA SOKA VYA SIMBA SC NA YANGA SC.

5254e738d29721a8fcff459be9acea15.png


f735b2ed3a484dfcc21bc6ffed6c4bc6.png

Hadi kufikia hatua hii - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA tayari wakaanza kusema kuwa ni "NGOMA DROO" na wanaenda sawa na kampuni za kigeni.
 
nifute tongotongo, tanzania oneni nani
Baada ya hapo, zilifuata kampuni ndogo ndogo kama KTN OIL [kampuni mwenza wa KTN INDUSTRY pamoja na kituo cha televisheni cha KTN kinachopatikana nchini KENYA], SIMBA OIL, KILIMANJARO OIL, PETROCOM, BIG BON na MSN OIL, pia ilipatikana kampuni mpya ya mafuta iliyokuwa inaitwa AFROIL.

32e4692de5fb2ed6f4a143ebf3293990.png

Hii kampuni ya AFROIL ni kampuni kubwa kwa kiasi chake na inafanya vizuri kwa upande wa kibiashara.

f4389abd97b606d88321ec4197e53838.png

Baada ya kampuni ya mafuta ya AFROIL, ilifuata kampuni ya LAKE OIL na kufanya kuwa na idadi sita [6] za kampuni kubwa ambazo zinajishughulisha na MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA.

b4bed5c7e724000b8bf0380d72eaa73f.png

Kampuni hizo ni MOIL, MERU OIL, OILCOM, CAMEL OIL, AFROIL na LAKE OIL. Kampuni nyingine ni ndogo ndogo, ijapokuwa SIMBA OIL imeshavuka mipaka na sasa hivi inamiliki vituo vya mafuta nchini ZAMBIA.

37c91bbf6e30ca8e4c6730baeeb784c5.png

Pia kuna kampuni za usafirishaji wa MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA ambazo pia zipo nyingi.

d9aae8c49b64417d78a47494a9f0badd.png

Hii kampuni ya kusafirisha MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA inayoitwa BLUECOAST bado ni ngeni kwenye biashara na hauwezi kufananisha na kampuni kama PRIME FUELS au DALBIT.

b9b4ac55e287d917c22bea9d9fb3e348.png

Sasa hivi WATANZANIA wengi wamewekeza kwenye SEKTA YA MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA na kupunguza ile nguvu ya kampuni za kigeni iliyokuwepo tangu kipindi cha miaka ya sitini [1960's].

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wamejitahidi sana kuwekeza kwenye SEKTA YA MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA na hawa ndiyo walioshikilia hii sekta.

bf9bb83f44a54f4b2b2b9f40754deaf5.png


d0da135cf1b057acc8f2c9ff543e0d6e.png

Ijapokuwa kampuni kama TOTAL, BP, GBP, ESSO, ENI [AGIP] na ORYX ENERGIES wanamiliki VISIMA VYA MAFUTA na wamewekeza sehemu mbalimbali za duniani, lakini bado soko la ndani kwa upande wa TANZANIA limeshikiliwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA yaani MWASHITA.
 
nifute tongotongo, tanzania oneni nani
Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wanamiliki kampuni nyingi kwa upande wa SEKTA YA USAFIRISHAJI WA MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA.

2fb890c1faa95e0cae7cb6c387850a26.png

Hao wanaomiliki kampuni ya OILCOM ndiyo wamiliki halali wa kampuni ya GSM.

cbf4b917332b145962c5aceb6836c103.png

Hii kampuni ya GSM ni kampuni kubwa kwa kiasi chake na yenyewe inashughulika na mambo mengi, ijapokuwa kwenye SEKTA YA MASOKO bado ni kampuni ngeni.

0370834bef24338383e64f18e37b70f9.png

Pia hao hao, yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo wamiliki wa hii KAMPUNI YA USAFIRISHAJI WA MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA.

d3479314806d323842f66bbfad1397c1.png

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wamejitahidi sana kuwekeza kwenye SEKTA YA MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA.
 
duhh jamaa wanamiliki 95% ya kkampuni zote sasa,,,duuuuh
 
duhh jamaa wanamiliki 95% ya kkampuni zote sasa,,,duuuuh
Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wameishikilia sekta ya usafirishaji kwa zaidi ya asilimia hamsini [50%].

10ae085d8fe82eeac057fac2ef65fb23(1).png

Hawa MWASHITA waliingia kwenye SEKTA YA USAFIRISHAJI tangu kipindi gari aina ya FAW ilikuwa inaitwa JEIFANG [JEIFONGO]. Kipindi hicho cha miaka ya tisini [1990's], KUGI'S alikuwa anaagiza SCANIA dazani mbili au tatu na zote alikuwa analipa ushuru pale bandarini.
 
duhh jamaa wanamiliki 95% ya kkampuni zote sasa,,,duuuuh
Hiyo kampuni ya PETROCOM LIMITED ni kampuni kubwa kwa kiasi chake na inafanya vizuri kwenye SEKTA YA USAFIRISHAJI WA MAFUTA YA PETROLI, DIZELI na MAFUTA YA TAA.

933db30f52c89cce51a3c7b7b3c2bb41.png

Kampuni ya PETROCOM LIMITED ni kampuni mwenza wa kampuni ya OILCOM na ilianzishwa kwenye miaka ya elfu mbili [2000's]. Sasa hivi inapatikana hadi nchini RWANDA.

54dce79947a5107ef48dd524a6ad9f13.png


35c8333f6aabe2a3e98af26c0720c7ea.png


d683fe6f7e9772507668c905d3399bcd.png

Hii kampuni ya PETROCOM LIMITED inafanya shughuli zake ndani na nje ya mipaka ya TANZANIA.

c26f23dde4ed813ad8f5ef3b42fab6ed.png


32343ada712d427e1c53564430246ac9.png

Hii kampuni ya PETROCOM LIMITED imefanikiwa kuanzisha kampuni ya ujenzi iliyotokana na faida, kampuni hiyo inaitwa PETROCOM CONSTRUCTION LIMITED.

e2912b9e5fb6f6d89f4cbd992fa26b19.png

Hii kampuni ya PETROCOM CONSTRUCTION LIMITED inapatikana nchini KANADA na wana tenda za kujenga miradi mingi ya ujenzi kwa upande wa TAIFA LA KANADA.

8dc7233860e2c2a577b1c7063915e2e4.png

Kwahiyo ukiwa pale KANADA, wale wamiliki halali wa kampuni ya USAFIRISHAJI YA MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA YA PETROCOM LIMITED wamefanikiwa kuwekeza MITAJI MIKUBWA YA KIBIASHARA. Kwani wao pia, ndiyo wamiliki halali wa kampuni ya LIBERTY ENTERTAINMENT GROUP na bado hawajaanza kuchukua wale WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

f5cc41a28866f7db41016c2ed1698743.png

Hiyo kampuni ya LIBERTY GROUP ndiyo wamiliki halali wa KIWANDA cha kutengeneza MAJI YA KUNYWA yanayoitwa CANADIAN WATER.

_20230712_192118.JPG

Pia kwa upande wa TANZANIA, kuna KIWANDA kinachotengeneza MAJI YA KUNYWA yanayoitwa CANADIAN WATER kinachopatikana maeneo ya KIPAWA, DAR ES SALAAM. Hiki KIWANDA kipo chini ya kampuni ya LIBERTY GROUP inayopatikana TANZANIA.
 
sasa jeuri ya kagame anaitoa wap.ya kutaka kupigana na sis au uganda?

Sent using Jamii Forums mobile app
SIASA YA MAZIWA MAKUU ni ngumu sana, tena sana na inabidi uwe na AKILI TIMAMU ndiyo utaweza kuelewa SIASA YA MAZIWA MAKUU.

09a8683bd97fb6b28dc5172b6e646fc7.png

Sasa hivi kuna mtu tu mmoja aliyehai na ambaye ataweza kukueleza kinagaubaga bila ya kuegemea upande wowote kuhusu SIASA YA MAZIWA MAKUU, ambaye ni PRINCESS ROSA PAULA IRIBAGIZA MWAMBUTSA.

PRINCESS ROSA PAULA IRIBAGIZA MWAMBUTSA ni dada wa PRINCESS REGINA KANYANGE na PRINCE LOUIS RWAGASORE [KING NTARE V] ambaye alishawahi kuwa RAIS WA BURUNDI kwa kipindi fulani.

PRINCESS ROSA PAULA IRIBAGIZA MWAMBUTSA alizaliwa mwaka 1934 na amefanikiwa kushuhudia matukio mengi ya kisiasa ambayo yalikuwa yanafanyika katika ukanda huu wa MAZIWA MAKUU.

Kwahiyo baada ya kuondoka kwa ROSALIE GICANDA wa RWANDA, bado kuna mtu muhimu sana ambaye anaitwa PRINCESS ROSA PAULA IRIBAGIZA MWAMBUTSA wa BURUNDI.
 
nifute tongotongo, tanzania oneni nani
Hii kampuni ya PETROCOM LIMITED ambayo inatumika kusafirisha MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA kwa MATAIFA LA RWANDA NA BURUNDI ni kampuni ambayo iliasisiwa kutoka kwa kampuni ya OILCOM.

c4232eb99fdfb4f5442bbf3e264039d4.png

Hii kampuni ya PETROCOM LIMITED pamoja na kampuni zote za mafuta za wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA huwa wanachukua MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA kutoka GBP.

IMG-20230714-WA0009.jpg

GBP ni kampuni ambayo inamilikiwa na FAMILIA YA KIFALME YA UINGEREZA na waliingia makubaliano na JAMII YA MWASHITA ili kununua MAFUTA YA PETROLI, DIZELI NA MAFUTA YA TAA kutoka kwenye KAMPUNI ZA KIINGEREZA ambazo zinamiliki VISIMA VYA MAFUTA.

IMG-20230714-WA0010.jpg

Mahusiano ya UINGEREZA na JAMII YA MWASHITA yamejengeka katika NGUZO ZA KIUCHUMI na KIFAMILIA, yaani kuna muingiliano mkubwa wa kifamilia na watu wakazaliana na wakapatikana CHOTARA.

8578fd4da0db9ef1cebd7d33e0a4a622.png

Kwahiyo MAFANIKIO na MATUNDA ya wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA yamechagizwa na uwepo wa FAMILIA YA KIFALME YA UINGEREZA.

IMG-20230714-WA0006.jpg

Ilifikia hatua wale wenyeji wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walipewa zawadi ya kumiliki timu ya mpira wa miguu inayoshiriki LIGI KUU YA UINGEREZA inayoitwa TOTTENHAM HOTSPURS.

48a41e8a6ef8980fb1d2e0390ff2c99b.png

Timu ya mpira wa miguu ya TOTTENHAM HOTSPURS inamilikiwa na KIWANDA CHA SUKARI CHA MTIBWA, kinachopatikana TURIANI, MOROGORO nchini TANZANIA.

Kwahiyo, kwa ujumla wake - wale wenyeji wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wamefanikiwa kuakisi UTAMADUNI NA MTINDO WA MAISHA YA KIINGEREZA ikiwa pamoja na POLYGAMOUS. Baadhi ya KEY FAMILIES na KEY PEOPLE huwa wana-practice POLYGAMOUS kutokana na kuwa na uwezo wa KIUCHUMI.
 
nifute tongotongo, tanzania oneni nani
Kipindi hicho cha miaka ya tisini [1990's] ulikuwa ukisikiliza BBC IDHAA YA KISWAHILI ile habari ya saa moja jioni, kulikuwa kuna USHAIRI uliotungwa na kuimbwa na BI KIDUDE.

Ule USHAIRI ulikuwa unasema hivi - "Ni lugha gani nzuri iliyopasi duniani, inayokupa fahari kutamka ulimini. Ya kale tangu dahari.. 🎶"

d05c617634f54fcd259fab2bbcde7ccb.png

Pale KIEMBE SAMAKI katika MKOA WA MJINI MAGHARIBI, UNGUJA kulikuwa kuna watu wengi sana wa kutoka TANZANIA BARA, hususani katika MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

6bd67daf01e4eb8b3ae9716f11bf10eb.png

Ilikuwa ikifika mida ya jioni baada ya ADHANA YA SWALA YA SAA MOJA, wale waliokuwa wenyeji wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walikuwa wanakutana hapo ili kufahamu hatima yao itakuaje. Watu wengi sana walisambaa na kwenda kuishi MATAIFA YA UGHAIBUNI na wachache waliobaki walifanyika kuwa WAZANZIBARI.

926f378add03685ccbc5d03ed235d635.png

Sasa hivi wale wenyeji wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wameenea hadi JAMAIKA 🇯🇲.

af93d0183f3a16f067e7bde393882bbd.png


Hapo ni MJI MKUU WA JAMAIKA unaoitwa KINGSTON na kuna WATANZANIA wenye asili ya MWASHITA waliohamia huko.

Sasa hivi wale wenyeji wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wamesambaa sana ndani na nje ya mipaka ya TANZANIA.

10bf8c32b4a5537717c2910f402ec1ee.png

Kwahiyo hiyo ndiyo SOCIAL DIVERSITY ambayo MATAIFA yaliyoendelea huwa wanafanya, unakuta WATU wao wameenea ULIMWENGU mzima.
 
nifute tongotongo, tanzania oneni nani
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] kuna watu walitoka "FROM ZERO TO HERO", yaani walikuwa wanaishi SHINYANGA na hatima ya maisha yao yalikuwa ni pale pale SHINYANGA.

c49ecedc696d56a380533a9afae0cc5d.png

Lakini sasa hivi wapo nchini MAREKANI katika JIMBO LA NEW JERSEY, kwenye KAUNTI YA BURLINGTON na wanafanya kazi katika maktaba inayoitwa BURLINGTON COUNTY LIBRARY.

7872135e442aea5fbf421e75509093d1.png

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] kwa upande wa TAIFA LA MAREKANI ambapo MUWEKEZAJI WA KIGENI atakayefanikiwa kuwekeza nchini MAREKANI kiasi cha USD 10,000,000 [TEN MILLION DOLLARS] alikuwa ana uwezo wa kupeleka watu wake, yaani WAAHAMIAJI ambao ni wafanyakazi kutokana na uwekezaji uliokwisha fanyika. Yaani inakuwa kama wafanyakazi wenye asili ya kigeni.

ad27f7599ded579da9e6c9c680f9e034.png

Baadae ile CAPITAL INVESTMENT ilikuja kupanda kutoka USD 10,000,000 [TEN MILLION DOLLARS] hadi USD 20,000,000 [TWENTY MILLION DOLLARS].

a79626df2e813a6b7bcc84dcd2e4dc24.png

Kwenye miaka ya elfu mbili [2000's] ile CAPITAL INVESTMENT ilipanda hadi kufika USD 50,000,000 [FIFTY MILLION DOLLARS] na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walikuwa tayari wamekwisha wekeza nchini MAREKANI tangu miaka ya tisini [1990's].

715db0e58f07346cdd0d59413faa7fcb.png

Sasa hivi CAPITAL INVESTMENT imepanda hadi USD 100,000,000 [HUNDRED MILLION DOLLARS] na inaelekea USD 200,000,000 [TWO HUNDRED MILLION DOLLARS] yaani MUWEKEZAJI WA KIGENI ambaye atafanikiwa kuwekeza nchini MAREKANI kiasi cha mtaji wa USD 100,000,000 atakuwa na uwezo wa kupeleka watu wake kwenda kufanya kazi nchini MAREKANI.

Hii inakuwa ni tofauti kabisa na "GREEN CARD LOTTERY", kwani ukishakuwa na uwekezaji uliokwishafanyika nchini MAREKANI kinachohitajika ni HATI YA KUSAFIRIA pamoja na VISA.

2f02a2bcd129d3140a36414df51eafea.png

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wanaendelea kupeleka watu wao nchini MAREKANI na MATAIFA MENGINE YA ULAYA kutokana na uwekezaji uliokwishafanyika.
 
unalakusema kwenye sakata la DP world, mwashita hawapo nuyma yake?
 
unalakusema kwenye sakata la DP world, mwashita hawapo nuyma yake?
Hivi unajuwa vizuri hawa JAMII YA MWASHITA? JAMII YA MWASHITA wanaenda kama JAMII YA WAINGEREZA, yaani JAMII YA MWASHITA wamefanikiwa kuakisi tamaduni na mtindo wa maisha ya KIINGEREZA.

IMG-20230716-WA0005.jpg

JAMII YA WAINGEREZA huwa wanajiona kuwa ni SUPERIOR kuliko JAMII ZA MATAIFA mengine na huwa hawana SCANDAL chafu chafu, ijapokuwa huwa kuna mambo ambayo wanafanya kwa siri kubwa na JAMII YA MWASHITA inaenda hivyo hivyo.

DP WORLD ni SERIKALI inahusika, hakuna yoyote anayehusika zaidi ya SERIKALI YA TANZANIA na WAWEKEZAJI. Ngoja kesho nikipata muda nitakuelezeni kitu fulani ambacho ulikuwa hukifahamu.
 
Back
Top Bottom