Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga[emoji2][emoji1787]
5908a94b688087af153857233fd9765d.png

Haya yote ni MATUNDA ya CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU]..😂 Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] walikuwa wana hela hadi timu ya mpira wa miguu inayoshiriki LIGI KUU YA TANZANIA inayoitwa SIMBA SC iliitwa WEKUNDU WA MSIMBAZI.

635c9e9717d1022d7f7e654603eaccb0.png

Yaani wamiliki halali wa timu ya mpira wa miguu inayoshiriki LIGI KUU YA TANZANIA inayoitwa SIMBA SC walikuwa wana hela hadi noti ya shilingi elfu kumi [10,000] iliitwa MSIMBAZI.

IMG_20231021_124300.jpg

Hili jina la "NOTI YA MSIMBAZI" limedumu kwa kipindi kirefu sana hadi kufikia wahusika wenyewe kuhamisha baadhi ya mitaji ya kibiashara kwenda nje ya nchi.
 
unataka kusema marehem bosemen ni mtz....acha uongo.
Angalia huyu MTANZANIA mwingine mwenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA aliyehamia KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].

391aaf7b4e94c78fbb6997c4aced1fba.png

Huyu anaitwa LARRY MADOWO ni MTANZANIA kwa asili na alizaliwa SHINYANGA MJINI, wazazi wake wakiwa wanaishi KATA YA NGOKOLO na alihamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].

e0fde2ef955807a8191b7a8427abad23.png

LARRY MADOWO alifanikiwa kufanya kazi katika kituo cha televisheni cha NTV, nchini KENYA na baadae alifanikiwa kufanya kazi katika kituo cha televisheni cha BBC.

c443a6f93d80d93399b9a5dafb59b962.png

LARRY MADOWO baadae alifanikiwa kupata kazi katika kituo cha televisheni cha CNN kama SENIOR CORRESPONDENT.

LARRY MADOWO ndiyo mwenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA.

db4639cb35563768174d12b54225284a(1).png

LARRY MADOWO ni NOTABLE ALUMNI wa CHUO KIKUU CHA DAYSTAR kinachopatikana NAIROBI, nchini KENYA.

CHUO KIKUU CHA DAYSTAR ni TAASISI YA KITAALUMA ambayo ni kubwa na pia inajihusisha na masuala ya kidini katika MATAIFA YA KENYA, NAIJERIA pamoja na MAREKANI.

787ecba1b9ceedc5203ca39b78ba90b7.png

Hicho CHUO KIKUU CHA DAYSTAR kinachopatikana NAIROBI, nchini KENYA kinamilikiwa na wale wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa ALLY'S STAR inayopatikana nchini TANZANIA katika MKOA WA SHINYANGA.
 
unataka kusema marehem bosemen ni mtz....acha uongo.
Hicho CHUO KIKUU CHA DAYSTAR kinachopatikana NAIROBI, nchini KENYA ni miongoni mwa VYUO VIKUU vilivyoendelezwa baada ya kuanzishwa kwa kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa ALLY'S STAR inayopatikana SHINYANGA, nchini TANZANIA.

008ad88bf30ee5be2eb4754103e9ed35.png

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] pale kwenye uwanja wa SHYCOM kulikuwa kuna kongamano kubwa la uimbaji na uinjilisti la kwaya kutoka UGANDA ambalo lilikuwa linafanyika kila mwaka.

9ee6f94e9fb776bbe15bb943243ac314.png

Wale watu waliokuwa wanakesha kwa kusifu na kuabudu pale katika uwanja wa SHYCOM kipindi cha miaka ya tisini [1990's] ndiyo walioenda kuendeleza CHUO KIKUU CHA DAYSTAR kinachopatikana NAIROBI, nchini KENYA.

963ee57d8da4ed0acd74574b17927e2d.png


ea7ea13c5686b591378cfea18b70036e.png


b6f5f56d85116c5166e974197eb79a24.png


bfdc67e82623895c2a02afa7485c1159.png

Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] kipindi kile cha TAMASHA LA UIMBAJI LA SHYCOM.

4bdf34dd786f0fe7b4d06a66a89759c3.png


550201a208a471870794d694fa336cb9.png


061dda62f6cf72d62c9f40374517b14e.png

Ukiwa pale CHUO CHA DAYSTAR ule utamaduni wa kusifu na kuabudu bado unaendelea, ikiwa kama ni sehemu ya kuenzi TAMASHA LA UIMBAJI LA SHYCOM.

_20231026_201122.JPG


_20231026_201053.JPG


_20231026_201000.JPG

Hii TAASISI YA CHUO KIKUU CHA DAYSTAR kinachopatikana NAIROBI, nchini KENYA kimejitanua hadi LAGOS, nchini NAIJERIA ambapo kuna TAASISI YA KIDINI inayoitwa DAYSTAR CHRISTIAN CENTRE.

_20231026_200923.JPG

Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini NAIJERIA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] wakitoka katika ule MKOA WA SHINYANGA.

_20231026_200851.JPG

Na mara nyingi huwa wanavaa nguo yenye sare ya "RANGI YA ORANGE" ikiwa na maana ya kampuni tanzu ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa ALLY'S STAR inayopatikana nchini TANZANIA.

f49cca2cbbc427215c940b0357b8fbd9.png

Pia kuna kituo cha televisheni kinachoitwa DAYSTAR TELEVISION NETWORK kinachopatikana TEXAS, nchini MAREKANI.

38ecb1bc3cb0dc1a47fbdef21a4659d0.png

Hiki kituo cha televisheni cha DAYSTAR TELEVISION NETWORK bado hakijaanza kupokea wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

a0e13f4e4554174b40901f1d8576abdd.png

Pia, kwa kupitia CHUO KIKUU CHA DAYSTAR kinachopatikana NAIROBI, nchini KENYA wanamiliki pia SHULE YA MSINGI YA DAYSTAR inayopatikana BOKO BASIHAYA, BUNJU, DAR ES SALAAM, nchini TANZANIA.

8c05d5bed63ef734432484fc3da9d020.png

Kwahiyo haya ni baadhi ya MATUNDA ya wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.
 
unataka kusema marehem bosemen ni mtz....acha uongo.
a994f12102869190370516ea624fe392.png

CHUO KIKUU CHA DAYSTAR kinachopatikana NAIROBI, nchini KENYA - wafanyakazi wengi pamoja na wanafunzi ni wenyeji wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].

1554a293a931c13acd591e5276394729.png

Hawa wote bado wanaendelea na ule mtindo wa kusifu na kuabudu kama ilivyokuwa inafanyika pale kwenye vile VIWANJA VYA SHYCOM.

3a7b627d5a7bdbe7e6fce358f75ca557.png


15a094e3907044de90c3fc17466b84fd.png

Hawa ndiyo wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA.

8225eee93073848e8aacd24a3de80a71.png

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wamejitahidi sana kuwekeza nchini KENYA na hawa ndiyo WATANZANIA wanaofanya kazi katika kampuni ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

9c5c3782cae73d349f9f021a90b7387c.png

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wataendelea kuwa vizuri KIUCHUMI kwa kipindi kirefu sana.
 
unataka kusema marehem bosemen ni mtz....acha uongo.
f86b90a2c85f2477b58642ade88dffef.png

Hawa ni miongoni mwa MWASHITA waliohamia KENYA wakitoka katika ule MKOA WA SHINYANGA na wamesoma katika CHUO KIKUU CHA DAYSTAR kinachopatikana NAIROBI.

92ee193924ba3cfc6765476158ccd121.png

Pia ukiwa pale KENYA kuna TAASISI YA KIDINI inayoitwa DAYSTAR CHRISTIAN FELLOWSHIP ambayo ipo chini ya CHUO KIKUU CHA DAYSTAR.

b6add0dd7b1c6aa9702b75f0b9eac557.png


08ff511db0cc85f1ecd1ee8adc7cc076.png


b4f0d41b262fb35298d3d28d4ef58eb1.png

Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ambao walihamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] kipindi kile cha TAMASHA LA UIMBAJI LA SHYCOM.

6d67a5fe022383dec5965193a0935faa.png

Hawa ndiyo wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA.
 
unataka kusema marehem bosemen ni mtz....acha uongo.
d437a4ab298d0aad44cc9ae00580c2cd.png

Huyu pia ni MTANZANIA kwa asili ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] wakitoka katika ule MKOA WA SHINYANGA.

346ef005dd6f034166b14dec71c111a4.png

Hawa pia walihama TANZANIA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] ambapo TAMASHA LA UIMBAJI LA SHYCOM lilikuwa linafanyika kila mwaka.

132c18d13814f44039f4e2d8b5982a2a.png

Hii kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa ALLY'S STAR ilianzishwa mwaka 1992 na imefanikiwa kubeba watu wengi sana wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

d6a81c33a89d948a87a70403f808122a(1).png

Mwingine ni huyu mke wa mwanasiasa wa TAIFA LA UGANDA - BOBI WINE na aliondoka TANZANIA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] akitoka MKOA WA SHINYANGA akiwa binti mkubwa.

a53edf96151d10d99c5c6dfa6bcad19d.png

Huyu pia alikuwa anahudhuria TAMASHA LA UIMBAJI LA SHYCOM, yaani kwa LUGHA nyingine tunaweza kusema ukweli uliowazi kuwa ile KWAYA kutoka TAIFA LA UGANDA walikuwa ni JESHI LA UGANDA, UPDF.

241b40b37e27bf75690379fbd4e68d96.png

Kipindi hicho, wenyeji wengi sana wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walifanikiwa kuhamia UGANDA na kujiunga na MAJESHI YA ULINZI.

53decf802711896232383b7f2c00de3d.png

RAIS MUSEVENI aliamua kufanya hivyo kutokana na hofu ya MAPINDUZI YA KISIASA kutoka kwa mahasimu wake wa kisiasa.

58efc814b1246828b40bfac6dca6f735.png


ece58701736468109c8dfc2dacb2d585.png

Wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini UGANDA walifanikiwa kujiunga na MAJESHI YA ULINZI.

039bb7a81a0451c2df33e1689c5ddf16.png

Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo wanaitwa "BAZZUKULU" ikiwa na maana halisi ya "WAJUKUU" kwa LUGHA YA KIGANDA.

3dc91f3aaa4f364bfdf063e6224e50a2.png

Hili neno la "BAZZUKULU" huwa anapenda kulitamka kwenye hotuba zake, kurasa ya Instagram pamoja na kurasa ya Twitter.

8cd9a3e59089a6991d5b719908a3f41b.png

Wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliojiunga na MAJESHI YA ULINZI YA UGANDA ndiyo wanashikilia PSU [PRESIDENTIAL SECURITY UNIT] kwa upande wa TAIFA LA UGANDA.

2448069f575111dc651e1c956ef87dd0.png


7bd31092a44220fdc1c3e8390adc14f1.png

Kwahiyo wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walihama na kusambaa sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi ya TANZANIA.
 
unataka kusema marehem bosemen ni mtz....acha uongo.
882e9118e4d9b05977784e673fa46f5f.png

Hawa wakina BOBI na wao wanajijenga kuwa ROYAL FAMILY, kwani tayari wameshaanza kumiliki ASSETS zao kama MAJENGO katika MATAIFA YA AMERIKA pamoja na ULAYA.

d4a062a442dac55e1a34174b23df0652.png

Kwahiyo, kwa kupitia wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA - kuna familia nyingine zitainuka na kujijenga kuwa ROYAL FAMILY kutokana na kuwa na uhakika wa kuegamia KIUCHUMI.
 
wajueni kuwa mara kwa mara nacheki hizi forums ili kujua watu wanajadili mada gani za kihistoria. Ningefurahi kabisa kukukumbuswha na zile stori za ikulu na Mwalimu Nyerere. ... Kumbukumbu za Joan Wicken zimechapishwa sasa na Mkuki na Nyota (zinaelelewa vizuri katika biografia ya Othman, Kamata, na Shivji) .... Kitabu cha Oscar Kambona kinakuja na James Brennan, mwanahistoria hodari...Na vile swala la Ujamaa ni gumu kabisa, lakini mnaweza kupata kitu kipya na insha mpya kuhusu utunguaji wa Azimio la Arusha: Agency and the Arusha Declaration: Nyerere, NUTA, and Political Discourse in Tanzania, 1966–7 | The Journal of African History | Cambridge Core

Salamu nyingi wenzangu, msijisababisha presha lakini
HAYATI MWALIMU alipewa tonge mdomoni na alipaswa kujijenga KIUCHUMI kama waasisi wa MATAIFA mengine walivyokuwa wanafanya .

4ca26e88b359ab5a8742b9a807f82fe1.png

Kwenye MAJESHI au SIASA huwa hakuna usaliti wa bahati mbaya, mipango ilipangwa na imefanikiwa. Kwahiyo kusamehe au kutokusamehe imebaki kuwa ni sehemu ya maisha yao.

058c653a1e23b4cdc5a2117a1c9b4825.png

Kwa upande mwingine, tunaweza kusema kuwa ndiyo imeisha hiyo!. Itabaki historia, kwamba alikuwepo RAIS WA KWANZA WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

IMG_20231102_100537.png

Lakini wenye jukumu kuhusu CHAMA TAWALA ni WAINGEREZA, kwa sababu WAINGEREZA ndiyo waliokuwa wamiliki halali wa VYAMA VYA KISIASA vilivyokuwa vinaitwa TANU na AFRO SHIRAZ PARTY [ASP] ambavyo kwa muunganiko wao, ndiyo vilizaa CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

IMG_20231102_101554.jpg

Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliyafahamu haya mambo tangu siku nyingi na walijikita katika masuala ya kutafuta UCHUMI.

0752d9eb0b05fdc28678090361a2dd22.png

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa YARA.

899def1a0bf20adee90b478e74aea2be.png

Hii kampuni ya YARA VITA CROP BOOST inahusika na mbolea inayotumika kwenye SEKTA YA KILIMO na chimbuko lake ni kutoka KIWANDA cha kuzalisha sukari kinachoitwa MTIBWA SUGAR kinachopatikana TURIANI, MOROGORO nchini TANZANIA. Pia wanamiliki VIWANDA vingine vingi..

13c3d6c3f9751fac8a0c2133056b393a.png

Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wamejitahidi kuwekeza sana kwenye VIWANDA.

d385c158737e3d00941ec318735005d1.png


e008986b84d03c2c0b98f4560fcb7f59.png


f45e0b958768f6bb043848cb397a152c.png

Kwahiyo, kwa kipindi hiki ambacho CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kinaendelea kushika hatamu - kuna WATANZANIA wamefanikiwa pakubwa sana katika kujijenga KIUCHUMI na KISIASA kupitia VYAMA VYA KISIASA ambavyo waliviasisi wao wenyewe.
 
unataka kusema marehem bosemen ni mtz....acha uongo.
_20231103_212625.JPG

Angalia MTANZANIA mwingine mwenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini UFARANSA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] ambapo wazazi wake walipata fursa wakitoka katika ule MKOA WA MWANZA.

Huyo ndiyo mwenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA na wacheza mpira weusi wa timu ya mpira wa miguu inayoshiriki LIGI KUU YA UFARANSA inayoitwa OLYMPIQUE LYONNAIS ni WATANZANIA.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.

au Ni mental case

PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga
emoji2.png
emoji1787.png
Jaribu kuangalia hii BAJETI YA MWAKA 1995/96 ambapo kima cha chini cha mishahara kwa WATUMISHI WA UMMA kilipandishwa kutoka shilingi 10,000 hadi kufikia shilingi 17,500 kwa mwezi.

_20231109_221150.JPG

Kipindi hicho kuna baadhi ya wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walikuwa tayari wamekwisha fikisha UKWASI wa zaidi ya shilingi bilioni moja [1,000,000,000].

f898363fb83c0ded7d2d83907ebbd22f.png

Kuna baadhi ya wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA, tayari walikuwa wanamiliki kampuni za usafirishaji wa abiria na mizigo.

29d7de9a146966179548827c84619652.png

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's], kwa upande wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] kuna mfanyakazi alikuwa tayari anamiliki UKWASI wa thamani ya shilingi bilioni nane [8,000,000,000].

IMG-20231109-WA0005.jpg

Ndiyo hawa wanaomiliki kampuni ya DAIKIN GROUP, watengenezaji na wasambazaji wa AIR CONDITION kutoka JAPANI.

IMG-20231109-WA0006.jpg

Hii kampuni ya DAIKIN GROUP ina wafanyakazi wengi sana ambao ni wenyeji wa asili wa BARIADI na sasa hivi BARIADI inapatikana katika MKOA WA SIMIYU.

IMG-20231109-WA0007.jpg

Pia wanamiliki kampuni inayoitwa ATKINS ambayo inapatikana katika TAIFA LA MAREKANI. Hii kampuni ni kubwa na inajishughulisha na mambo mengine mengi.

IMG-20231109-WA0010.jpg

IMG-20231109-WA0009.jpg


IMG-20231109-WA0011.jpg

Hawa pia wanajijenga kuwa ROYAL FAMILY na mwaka 2007 katika mtihani wa kidato cha nne, mmoja wa watoto wao alifanikiwa kuingia katika ile ORODHA YA WANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA NNE [2007].

IMG-20231109-WA0008.jpg

Baada ya wenyeji wa asili wa KISHAPU kufanikiwa kuwa na IDADI NA ORODHA YA KOO zote ambazo chimbuko ni KISHAPU, wale wenyeji wa asili wa BARIADI na wao hawakuwa nyuma - kwani kufikia mwaka 1996 tayari walikuwa na IDADI NA ORODHA YA KOO zote ambazo zinapatikana sehemu za NTUZU.

c28c2f39d099ebff328c6cd1eca3c91c.png

Pia katika kipindi cha miaka ya tisini [1990's] kuelekea miaka ya elfu mbili [2000's], hilo eneo linalopatikana DAR ES SALAAM ambapo pamejengwa sehemu ya kuhifadhi mafuta [OIL DEPOT] ya kampuni ya WORLD OIL ilikuwa inamilikiwa na hao wenyeji wa asili wa BARIADI na ilisemekana wamekodisha kwa kampuni ya WORLD OIL ili pajengwe tenki za kuhifadhi mafuta.

7606e670a055b3bbd5080a03be55dfc4(1).png


d3c54d5aa9a7454e83df949b70b67613.png

Hii kampuni ya WORLD OIL inasemekana na wao wamo katika sehemu ya umiliki.

IMG-20231109-WA0000.jpg

Hii kampuni ya WORLD OIL, chimbuko lake ni MAREKANI na inafanya vizuri sana kwa upande wa SOKO LA USHINDANI.

IMG-20231109-WA0002.jpg

Pia kampuni ya WORLD OIL inahusika katika masuala ya utunzaji mazingira na madhara yatokanayo na uharibifu wa mazingira.

2c366b349d749b2ed56accd1d364f581.png

Kwahiyo hawa wamiliki halali wa kampuni ya DAIKIN GROUP na ATKINS, ndiyo wanaomiliki kampuni ya usafirishaji ya mafuta inayoitwa ATKINS inayopatikana TANZANIA na kampuni ya UTAFUTAJI NA UCHIMBAJI MADINI inayoitwa [...] inayofanya shughuli zake nchini TANZANIA.

5a4a636a105f8ac436e385ac03c9d3b8.png

Hawa ndiyo wanaowabeba WANYANTUZU na WANYANTUZU wamesambaa sana, sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.

au Ni mental case

PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga
emoji2.png
emoji1787.png
261fdf6930c130f37b018bdcee3a66dd.png

Hawa wote ni miongoni mwa MWASHITA waliohamia nchini UGANDA wakitoka katika ule MKOA WA SHINYANGA, WILAYA YA BARIADI. Sasa hivi ni MKOA WA SIMIYU.

ba6b8ac83eb1b9b7ef22a925920214d1.png

Hawa ndiyo WANYANTUZU na wapo juu sana, kule BARIADI na sehemu kama MASWA na MEATU waliobaki ni WALOWEZI. Lakini wenyeji wa asili wengi walisambaa na kuhamia sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.

06b6465ef23adc705ed93ea25c713f6a.png

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] kuelekea miaka ya elfu mbili [2000's], pale SHULE YA SEKONDARI YA BULUBA katika MKOA WA SHINYANGA kulikuwa kuna mwanafunzi anaitwa NCHEYE.

Huyu NCHEYE alikuwa ni mwanafunzi mtukutu sana na BANGI alikuwa anavuta!! Baadae akaja kukutana na rafiki yake aliyekuwa anaitwa DENGENYA.

DENGENYA alikuwa ametoka DUTWA na wote walihamia DAR ES SALAAM pamoja na wakina BELENGE, mwanzoni mwa miaka ya elfu mbili [2000's].

Baadae nilikuja kusikia wanaishi NAIROBI, nchini KENYA na wanafanya kazi katika kampuni ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU].

2eb59804dae39a7f3ca6dcc16755fe0f.png

Hawa ndiyo wenyeji wa asili wa BARIADI ambao walihamia nchini MAREKANI tangu miaka ya tisini [1990's].

1dc90786c25c199bce0b4a1ddcce20c8.png

Hawa pia wanafanya vizuri katika tasnia ya michezo na wamewekeza sana katika MATAIFA YA AMERIKA, ULAYA pamoja na ASIA.

72c99814bdcfb173ef27277fc73a562e.png

Hawa wenyeji wa asili wa BARIADI ndiyo waliokuwa wanufaika wakubwa wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU], wamejijenga kiuchumi kiasi ambacho hawawezi kufirisika leo wala kesho.
 
PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga[emoji2][emoji1787]
Wale wenyeji wa asili wa BARIADI ndiyo wamiliki halali wa timu ya mpira wa miguu inayoshiriki LIGI KUU YA UJERUMANI inayoitwa WERDER BREMEN.

233c9a49a487ad61da679584105253c4.png

Hawa wenyeji wa asili wa BARIADI wanamiliki kampuni nyingi za kibiashara na ukiondoa KISHAPU, hao WANYANTUZU ndiyo jamii iliyopiga hatua kuliko jamii nyingine za MWASHITA.

b857d6df862c65d4764354988b5ac808.png


44705a163a6ee6eff4d827eafc9c91eb.png


d95a3de4c413408890522a610709c9b3.png

Baada ya WANYANTUZU kukamilisha IDADI NA ORODHA YA KOO zao mwaka 1996, waliofuata baada ya hapo ni WANYAMWEZI kutoka MKOA WA TABORA.
 
PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga[emoji2][emoji1787]
Baada ya WANYANTUZU kukamilisha IDADI NA ORODHA YA KOO zao, mwaka 1996 na waliofuata baada ya hapo walikuwa ni WANYAMWEZI.

8b9d894130f0690147903335ef79af83.png

Hawa WANYAMWEZI walikamilisha IDADI NA ORODHA YA KOO zao mwaka 1998 na wengi walihamia katika MATAIFA YA KENYA, UGANDA, RWANDA, BURUNDI na KONGO.

8cfe7581a840ae9513f21a310ec30f33.png

Ukiwa nchini UGANDA, hao WANYAMWEZI ndiyo wanaomiliki vituo vya televisheni vya SANYUKA TV na NBS pamoja na kituo cha radio kinachoitwa NEXT RADIO.

5b7a30efca5a8d2e60b9f8c6b0b8d8ca.png

Hawa wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa NBS COMPANY LIMITED ndiyo wamiliki halali wa vituo vya televisheni vya SANYUKA TV, NBS pamoja na kituo cha radio kinachoitwa NEXT RADIO vinavyopatikana katika TAIFA LA UGANDA.

cd06aa1b125380685e0534cd19b7e313.png

Wenyeji wa asili wa MKOA WA TABORA wengi walihama na waliobaki kule ni WALOWEZI waliohamia kutoka sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.
 
PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga[emoji2][emoji1787]
31d78c123e5fdfedece8058950f4ae7b.png

Hii klabu ya mpira wa miguu ambayo inashiriki LIGI KUU YA KONGO inayoitwa AS MANIEMA UNION DE KINDU inajumuisha wacheza mpira wote ambao ni WATANZANIA wenye asili ya MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.
 
PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga[emoji2][emoji1787]
Wale WANYANTUZU na WANYAMWEZI walikuwa na utamaduni au mtindo wa kuchapana viboko kama adhabu kwa mwanaukoo yoyote atakayekuwa amekosea. Hii ilikuwa inafanyika kila mwaka ambapo kunakuwa na VIKAO VYA UKOO.

Walikuwa wanafanya hivyo ili kuwekana sawa na walifanikiwa, kwa sababu hata haya matukio yanayoendelea kufanyika leo katika maeneo yao - kama NDOA ZA UTOTONI, UKATILI WA KIJINSIA, MAUAJI YA WAZEE na ULEVI KUPITA KIASI huwa inafanyika na WALOWEZI. Wale wenyeji wa asili huwa hawana hizo tabia na wametulia kama hawapo.

Shughuli iliyokuwa imebaki ilikuwa ni kwa wale wenyeji wa asili waliobaki wa MWANZA, SHINYANGA na sehemu za TABORA kama IGUNGA na NZEGA.

Wale wenyeji wa asili wa MWANZA, SHINYANGA na sehemu za TABORA kama IGUNGA na NZEGA walikuwa wengi na gharama ya kuhesabu na kupata IDADI NA ORODHA YA KOO zote ilikuwa kubwa.

Ililazimika baadhi ya watu kununua pikipiki zile HONDA na kuzambaza vijijini ili kupata idadi kamili ya KOO zao na walifanikiwa.

Kufikia mwaka 2000, wale wenyeji wa asili waliobaki wa MWANZA, SHINYANGA na sehemu za TABORA kama NZEGA na IGUNGA na wao walikuwa tayari wameshapata IDADI NA ORODHA YA KOO zao.

6a9d0e3b0731a441d17f5d44134bb053.png

Jukumu la kufanya kama walivyokuwa wanafanya wale wenyeji wa asili wa KISHAPU, NTUZU na WANYAMWEZI waliwaachia wakina KIDUDUYE na MISTER ABILITY. Kipindi hicho tayari MISTER ABILITY na yeye alikuwa na UKWASI WA KUTOSHA, zaidi ya BILIONI MOJA.
 
PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga
emoji2.png
emoji1787.png
Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walikamilisha ORODHA NA IDADI YA KOO zao mwaka 2000.

images.jpeg

Mwaka 2000 ndiyo SIMBA ilijitanua na kujitanabaisha kwa uwazi kuwa ni WAPAMBANAJI, kwa sababu walikuwa tayari wamekwisha miliki uchumi wao.

_20231109_221150.JPG

Hiki kipindi cha BAJETI YA MWAKA 1995/96 ambapo kima cha chini cha mshahara kwa TANZANIA BARA kilipandishwa kutoka shilingi 10,000 hadi kufikia shilingi 17,500 kwa mwezi - kuna wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA tayari walikuwa wanamiliki kampuni za usafirishaji za abiria na mizigo.

0fe6006ca2e1fe41892c2800ceda86b0.png

Wale wenyeji wa asili wa BARIADI - kuna mtu alikuwa na ukwasi wa thamani ya shilingi bilioni nane [8,000,000,000] na wamewekeza sana nje ya nchi. Ilifikia hatua walikuwa wanasema "MONGO LISHIBINO" maana yake ni "MTO UMEJAA" kwa lugha ya KISWAHILI kilicho fasaha.

3f2d4107dffa54ecf496fbd06a529c8d.png

Wengine waliofatia baada ya hapo, walikuwa ni wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA [WETCU]. Pale kuna mfanyakazi alikuwa na ukwasi wa thamani ya shilingi bilioni tano [5,000,000,000] na wao walifanikiwa kuwekeza nje ya nchi.

b3c234c5b2442853a934d9376c4cd03e.png

Waliofatia wengine walikuwa ni wakina MISTER ABILITY kutoka CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] na alikuwa na ukwasi wa thamani ya shilingi bilioni tatu [3,000,000,000].

7e33a44919036099e7b9ade1e2bf167f.png

Hawa wakina MISTER ABILITY na KIDUDUYE ndiyo waliokuwa nyuma ya wenyeji wa asili waliobaki wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

c3975ef52347364da192c16b6b1ce116.png

Wale wenyeji wa asili wa KISHAPU kuna mtu alikuwa na ukwasi wa thamani ya shilingi bilioni mbili [2,000,000,000] na walikuwa wanatamba kwamba wao ndiyo walioanza kuliona jua kuliko wenyeji wengine wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

2bcf662529fdec38f3cd19ab53be062b.png

Kwahiyo wale wakina MISTER ABILITY na KIDUDUYE waliokuwa nyuma ya wenyeji wa asili waliobaki wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walikuwa wanajukumu kubwa la kutafuta PESA na ndiyo ilikuwa mwanzo wa kununua na kumiliki timu za michezo kwa upande wa MATAIFA YA ULAYA na MAREKANI.

IMG_20231113_170938_436.jpg

Kuwekeza katika sekta ya michezo kuliwasaidia, kwa sababu tiketi huwa zinauzwa kwa msimu mzima. Yaani kabla ya msimu kuanza, tiketi za mechi zote zinakuwa tayari zimeshauzwa na aina hii ya uwekezaji huwa inalipa sana kwa MATAIFA YA ULAYA hasa UINGEREZA.

IMG_20231113_170843_886.jpg

Kwa upande wa TAIFA LA MAREKANI hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo wamiliki halali wa timu ya mpira wa kikapu inayoshiriki LIGI KUU YA MAREKANI [NBA] inayoitwa LOS ANGELES LAKERS.

IMG_20231113_170820_745.jpg

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA kwa pamoja wanamiliki UCHUMI MKUBWA na wamejitahidi kujijenga kupitia watu wao.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.

au Ni mental case
IMG_20231115_203831_921.jpg

Huyu ni MTANZANIA kwa asili ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini MAREKANI kipindi cha miaka ya tisini [1990's] wakitoka katika ile MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA yaani MWASHITA.

Huyu dada katika kila timu za mpira wa kikapu ambazo zinashiriki LIGI KUU YA MAREKANI [NBA] na [WNBA] na zinamilikiwa na wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA huwa yupo na anaonekana hata katika baadhi ya mechi.

Pia ni mfanyakazi wa kampuni ya AT&T ambayo inadhamini LIGI KUU YA WANAWAKE YA MAREKANI [WNBA].
PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga
emoji2.png
emoji1787.png
Kile kipindi cha miaka ya tisini [1990's] kulikuwa kuna vuguvugu la SIASA ZA KIKABILA kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI na wale waliokuwa viongozi wa MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI walikuwa wanamdharau sana HAYATI MWALIMU.

Basi wale watu waliokuwa wachache kwa idadi yao, hasa WATUTSI walikuja TANZANIA kuomba msaada wa kuweza kuleta mabadiliko ya kisiasa kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI.

Kipindi hicho cha miaka ya tisini [1990's] - SERIKALI YA TANZANIA ilikuwa inaongozwa na MZEE RUKSA na MZEE RUKSA aliwajibu WATUTSI kuwa SERIKALI YA TANZANIA haiwezi kuleta mabadiliko ya kisiasa kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI, kwa sababu RWANDA na BURUNDI ni MATAIFA yanayojitegemea. Ila aliwashauri waende kuomba msaada kwa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walikuwa wana pesa sana na tayari walikuwa wanamiliki kampuni nyingi za kibiashara.

Basi lile kundi la watu wachache hasa WATUTSI walienda kwenye ile MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA kwa nia ya kupata msaada. Kituo cha kwanza kilikuwa ni kwa wale waliokuwa wenyeji wa asili wa BARIADI [hawa ndiyo walikuwa wameshikilia SHIRECU], kwa bahati isiyokuwa nzuri waligoma kushiriki SIASA ZA RWANDA na BURUNDI.

Kituo cha pili kilikuwa ni kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA [WETCU] na wao waligoma kushiriki SIASA ZA RWANDA na BURUNDI.

Kituo cha tatu kilikuwa ni kwa wale wakina MISTER ABILITY na KIDUDUYE ambao na wao walishawahi kuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] kwa nyakati tofauti tofauti na MISTER ABILITY alikubali kwa tahadhari kubwa, kuingia kwenye masuala ya kisiasa kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI.

7afa346e760ee6dfd550c7a17f546e7e.png

Hawa ndiyo WASUKUMA wa MWANZA, SHINYANGA na sehemu za TABORA kama NZEGA na IGUNGA. Wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliokuwa wakiishi RWANDA walifanikiwa kuunda kikosi cha kujihami kilichoitwa APR.

fb24dafe08382d81b099466a88692cad.png

Aliyekuwa nyuma ya kikosi cha APR katika masuala ya mavazi, chakula na silaha alikuwa ni MISTER ABILITY.

e85fc86d6c3f1fe016e83ba7a27deaa5.png

Hiki kikosi cha kujihami kilichoitwa APR baadae kiliunda jeshi la ukombozi lililoitwa RPF na kumchukua aliyekuwa kiongozi wa INTELIJENSIA YA JESHI LA UGANDA kuwa kiongozi wa JESHI LA RPF.

65fcb3908789260d60f2b55d9fe51287.png

Hili JESHI LA RPF, baada ya MAUAJI YA KIMBARI ya mwaka 1994 lilifanikiwa kuunda SERIKALI YA MPITO iliyokuwa inaongozwa na RAIS PASTEUR BIZIMUNGU, huku PAUL KAGAME akiwa MAKAMU WA RAIS tangu mwaka 1994 hadi mwaka 2000.

b6744188dce91b2ca9f1845534333eba.png

Baada ya mwaka 2000, PAUL KAGAME alifanikiwa kuwa RAIS WA RWANDA kupitia CHAMA CHA KISIASA kilichoitwa RPF - INKOTANYI.

b2a2efd9501ef612ed39695533506947.png

RPF - INKOTANYI ni CHAMA CHA KISIASA kilichozaliwa kutoka katika JESHI LA RWANDA, RPF. Kwahiyo hauwezi kutofautisha kati ya CHAMA CHA KISIASA cha RPF - INKOTANYI na JESHI LA RWANDA, RPF.

e298247e83cb3a4de1fb3f38841be240.png

Ukitaka kuifahamu vizuri SIASA YA RPF - INKOTANYI, jaribu kuangalia BODI YA WADHAMINI wa CHAMA CHA RPF - INKOTANYI. Utagundua kuwa BODI YA WADHAMINI wa CHAMA CHA RPF - INKOTANYI ni kampuni za kibiashara ambazo asili yake ni TANZANIA.

0606d279f22ca3582934bb9e8008f3c5.png

Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walifanikiwa kuunda kikosi cha kujihami kilichoitwa APR, hatimae JESHI LA RPF na kufanikiwa kuanzisha CHAMA CHA KISIASA ambacho kiliitwa RPF - INKOTANYI.

3b63c8be627d2ee7d25e96994783f845.png

CHAMA CHA RPF - INKOTANYI ndiyo CHAMA TAWALA kwa sasa katika TAIFA LA RWANDA. Kwahiyo wale wenyeji waliobaki wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA baadae walikuja kuwa juu KIUCHUMI kuliko hata wale wengine wote.

4e141d03606f540ac905aa3e59e6490f.png

Na walio nyuma ya MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA kwa upande wa TAIFA LA RWANDA ni wamiliki halali wa SHULE YA RIVIERA HIGH SCHOOL.

IMG_20231115_220534.jpg

Kwahiyo kwa namna ama nyingine, baada ya kutulia kwa hali ya kisiasa kwa upande wa TAIFA LA RWANDA - WANYARWANDA wengi wamepiga hatua kubwa ya kiuchumi ikiwa ni pamoja na wakina MISTER ABILITY.
 
PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga[emoji2][emoji1787]
Soma hiyo posti namba 1597 kwa makini, hao walio nyuma ya hao askari wa kike waliovaa nguo za "RANGI YA ORANGE" ndiyo wenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA kwa upande wa TAIFA LA RWANDA.

bed88830ca3d9219cf6fe61db0c8e10b.png

Hii "RANGI YA ORANGE" huwa wanatumia badala ya "RANGI NYEKUNDU" na mara nyingi huwa inafanyika kama ishara, kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] walivyokuwa wanasambaa walikuwa wanatumia kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo iliyokuwa inaitwa ALLY'S.

4f508f7d1bc572452c16c845e96fa285.png

Wengi wao huwa wanaenda RWANDA kujiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA, hata ukiwa upande wa TAIFA LA KENYA - utakuta baadhi ya WANANCHI WA KAWAIDA wamevaa nguo za "RANGI YA ORANGE" ile siku zote inakuwa haimaanishi UFUASI WA CHAMA CHA ODM bali wengine wanakuwa wanamaanisha kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa ALLY'S.

2a2c8f1e15f772e2b6e443e5cdea00c6.png

Mfano mzuri, angalia huyu dada anayeitwa NANA OWITI - huyu ni MTANZANIA kwa asili ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] wakitoka katika ile MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

494ba23b8c271bfd6ed71d518adbeb3b.png

Huyu ni MTANZANIA kwa asili na anaishi nchini KENYA na wapo vijana wengi ambao wanatumia "RANGI YA ORANGE" kama mtindo wa mavazi.

40d173e52e853f45e1f418ee217a0860.png

Mwingine ni huyu MTANZANIA ambaye anaitwa IHUMURE IRMA na anaishi katika TAIFA LA NAIJERIA ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] kabla ya kuhamia nchini NAIJERIA.

ab41c7622c1c936334e337427bc8a46f.png


d51cfbbd16972588a5a714ac2e9d8bf0.png

Hawa wote ni miongoni mwa MWASHITA waliohamia KENYA wakitoka katika ile MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

93768500002733beca4ab2f8207ad307.png

Hawa ndiyo WANYARWANDA ambao kwa jitihada zao wamefanikiwa kuwa na TAIFA ambalo ni dogo kijiografia na pia kubwa kidiplomasia.

IMG_20231117_043751.jpg


IMG_20231117_043820.jpg

Hawa ndiyo wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.
 
PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga[emoji2][emoji1787]
Hiyo kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa ALLY'S STAR inayopatikana nchini TANZANIA ndiyo wamiliki halali wa timu ya mpira wa miguu inayoitwa HOUSTON DASH inayopatikana HOUSTON, TEXAS nchini MAREKANI.

9a980e7761d9be0149847ad69404ac87.png

Hii kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa ALLY'S STAR imesaidia sana kumiliki baadhi ya vitu nje ya nchi, yaani inatumika kama GATEWAY.

a402575a8e290b4961ced7c1cba328d9.png

Hii timu ya HOUSTON DASH inayopatikana HOUSTON, TEXAS nchini MAREKANI inafanya vizuri katika michuano mbalimbali na inajumuisha wacheza mpira weusi kutoka MATAIFA mbalimbali wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

0a35f26d6817b4bf8dcbce6d0a8152a0.png


e1aecbf42ff92e4ddf6dd6abc14a6549.png

Kizazi kilichofuata cha wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wamejikita katika michezo, kwa sababu wanamiliki timu za michezo nyingi katika MATAIFA mbalimbali ya ULAYA pamoja na MAREKANI.

d831d28f6c710eae27f8ffe748321d06.png


bfa9f1c741addc6ab706026f4329b6e3.png

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA hawatafirisika leo wala kesho, kwa sababu pesa zao waliwekeza kwa WATU WEUPE - I mean "WAZUNGU" kutoka MATAIFA YA MAGHARIBI.

a992e28e4cd376ab3c2a20e8dc65e163.png


9c53f4be236221f6b63db91d6d49952b.png

Tunapoelekea hizi timu za michezo pamoja na kampuni za kibiashara ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA zitaongozwa na wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

b92ec6a55efc0a7e3d2c16b432b5388f.png

Kwahiyo nafasi za UMENEJA na UKURUGENZI katika kampuni ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA zitasimamiwa na watu wao.
 
Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.
Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA baada ya kumaliza kuhesabu na kufahamu IDADI NA ORODHA YA KOO zao waliitwa GUANTANAMO.

0c4ecb022dcefd4d575bfa9ca7652503.png

Hii jina la GUANTANAMO ni jina la utani na mara nyingi linatumika ukiwa kwa upande wa TAIFA LA RWANDA, wakiwa wanamaanisha ni ngumu kwa mtu mwingine kuweza kupenya katika zile kampuni za kibiashara ambazo zinamilikiwa na wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

75b292622276ee0698091bba6ecdccf4.png

Huyu DR JANE GOODALL huwa anapenda kutembelea ARUSHA kwa ajili ya kufanya utalii katika mbuga za wanyama na kupanda MLIMA KILIMANJARO na mara nyingi huwa anatumia TOUR GUIDE ya EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED.

4617c3fa57a2edd21ef13b7c014c3221.png

DR JANE GOODALL huwa anashangaa kwa namna gani wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walivyoweza kusimamia biashara zao bila ya watu wengine kuweza kupenya? Hasa wale WACHOMA UTAMBI, siunajua mtu akisema WACHOMA UTAMBI. Hiki ni KISWAHILI cha miaka ya tisini [1990's]...

6f050c6ab489a47c7f944731fe9eed28.png

Wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa ALLY'S STAR ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED.

d5866eeeec06b82a83ef57c8561ddca2.png

Hii kampuni ya EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED inapatikana katika MKOA WA ARUSHA, WILAYA YA ARUSHA MJINI katika barabara ya BOMA ROAD.

de7860ef5c2759ddde3e73b9ad48ca70.png

Pia hii kampuni ya EASY TRAVEL AND TOURS LIMITED ndiyo kampuni mwenza wa kampuni ya EASY COACH inayopatikana katika JIJI LA NAIROBI, nchini KENYA.

020af52480505b5fd95b5acb5bb72d43.png

Hii kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa EASY COACH inafanya vizuri sana kwa upande wa TAIFA LA KENYA na wamejitahidi kuboresha huduma za wateja kwa kipindi kifupi.

eb9d8264f7cd633896277279ea215427.png

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wamedumu kwa kipindi kirefu katika biashara zao kutokana na kuwa na mtindo wa kujijenga kupitia watu wao wenyewe.
 
Back
Top Bottom