Inawezekana wewe umetoka from the FUTURE 2150.
au Ni mental case
Huyu ni MTANZANIA kwa asili ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini MAREKANI kipindi cha miaka ya tisini [1990's] wakitoka katika ile MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA yaani MWASHITA.
Huyu dada katika kila timu za mpira wa kikapu ambazo zinashiriki LIGI KUU YA MAREKANI [NBA] na [WNBA] na zinamilikiwa na wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA huwa yupo na anaonekana hata katika baadhi ya mechi.
Pia ni mfanyakazi wa kampuni ya AT&T ambayo inadhamini LIGI KUU YA WANAWAKE YA MAREKANI [WNBA].
PSG kumilikiwa na watu toka shinyanga
Kile kipindi cha miaka ya tisini [1990's] kulikuwa kuna vuguvugu la SIASA ZA KIKABILA kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI na wale waliokuwa viongozi wa MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI walikuwa wanamdharau sana HAYATI MWALIMU.
Basi wale watu waliokuwa wachache kwa idadi yao, hasa WATUTSI walikuja TANZANIA kuomba msaada wa kuweza kuleta mabadiliko ya kisiasa kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI.
Kipindi hicho cha miaka ya tisini [1990's] - SERIKALI YA TANZANIA ilikuwa inaongozwa na MZEE RUKSA na MZEE RUKSA aliwajibu WATUTSI kuwa SERIKALI YA TANZANIA haiwezi kuleta mabadiliko ya kisiasa kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI, kwa sababu RWANDA na BURUNDI ni MATAIFA yanayojitegemea. Ila aliwashauri waende kuomba msaada kwa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walikuwa wana pesa sana na tayari walikuwa wanamiliki kampuni nyingi za kibiashara.
Basi lile kundi la watu wachache hasa WATUTSI walienda kwenye ile MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA kwa nia ya kupata msaada. Kituo cha kwanza kilikuwa ni kwa wale waliokuwa wenyeji wa asili wa BARIADI [hawa ndiyo walikuwa wameshikilia SHIRECU], kwa bahati isiyokuwa nzuri waligoma kushiriki SIASA ZA RWANDA na BURUNDI.
Kituo cha pili kilikuwa ni kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA [WETCU] na wao waligoma kushiriki SIASA ZA RWANDA na BURUNDI.
Kituo cha tatu kilikuwa ni kwa wale wakina MISTER ABILITY na KIDUDUYE ambao na wao walishawahi kuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] kwa nyakati tofauti tofauti na MISTER ABILITY alikubali kwa tahadhari kubwa, kuingia kwenye masuala ya kisiasa kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI.
Hawa ndiyo WASUKUMA wa MWANZA, SHINYANGA na sehemu za TABORA kama NZEGA na IGUNGA. Wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliokuwa wakiishi RWANDA walifanikiwa kuunda kikosi cha kujihami kilichoitwa APR.
Aliyekuwa nyuma ya kikosi cha APR katika masuala ya mavazi, chakula na silaha alikuwa ni MISTER ABILITY.
Hiki kikosi cha kujihami kilichoitwa APR baadae kiliunda jeshi la ukombozi lililoitwa RPF na kumchukua aliyekuwa kiongozi wa INTELIJENSIA YA JESHI LA UGANDA kuwa kiongozi wa JESHI LA RPF.
Hili JESHI LA RPF, baada ya MAUAJI YA KIMBARI ya mwaka 1994 lilifanikiwa kuunda SERIKALI YA MPITO iliyokuwa inaongozwa na RAIS PASTEUR BIZIMUNGU, huku PAUL KAGAME akiwa MAKAMU WA RAIS tangu mwaka 1994 hadi mwaka 2000.
Baada ya mwaka 2000, PAUL KAGAME alifanikiwa kuwa RAIS WA RWANDA kupitia CHAMA CHA KISIASA kilichoitwa RPF - INKOTANYI.
RPF - INKOTANYI ni CHAMA CHA KISIASA kilichozaliwa kutoka katika JESHI LA RWANDA, RPF. Kwahiyo hauwezi kutofautisha kati ya CHAMA CHA KISIASA cha RPF - INKOTANYI na JESHI LA RWANDA, RPF.
Ukitaka kuifahamu vizuri SIASA YA RPF - INKOTANYI, jaribu kuangalia BODI YA WADHAMINI wa CHAMA CHA RPF - INKOTANYI. Utagundua kuwa BODI YA WADHAMINI wa CHAMA CHA RPF - INKOTANYI ni kampuni za kibiashara ambazo asili yake ni TANZANIA.
Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walifanikiwa kuunda kikosi cha kujihami kilichoitwa APR, hatimae JESHI LA RPF na kufanikiwa kuanzisha CHAMA CHA KISIASA ambacho kiliitwa RPF - INKOTANYI.
CHAMA CHA RPF - INKOTANYI ndiyo CHAMA TAWALA kwa sasa katika TAIFA LA RWANDA. Kwahiyo wale wenyeji waliobaki wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA baadae walikuja kuwa juu KIUCHUMI kuliko hata wale wengine wote.
Na walio nyuma ya MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA kwa upande wa TAIFA LA RWANDA ni wamiliki halali wa SHULE YA RIVIERA HIGH SCHOOL.
Kwahiyo kwa namna ama nyingine, baada ya kutulia kwa hali ya kisiasa kwa upande wa TAIFA LA RWANDA - WANYARWANDA wengi wamepiga hatua kubwa ya kiuchumi ikiwa ni pamoja na wakina MISTER ABILITY.