Mambo yalipangwa na yakapangika. Jaribu kuangalia baadhi ya vitabu alivyoandika HAYATI MWALIMU kipindi cha uhai wake;
- Freedom and Unity
- Freedom and Socialism
- The Arusha Declaration
- Education and Self - reliance
- The varied paths of socialism
- Socialism and Development
- Freedom and Development
- Ujamaa
- Crusade for liberation
- Education and self - reliance
- Uongozi na hatma ya TANZANIA
- Man and Development
Sasa swali linakuja, HAYATI MWALIMU alikuwa ana uwezo wa kuandika vitabu?
Je, HAYATI MWALIMU alikuwa muandishi? Kama kweli alikuwa muandishi, kuna ushahidi wowote wa kitaaluma wa kumfanya awe muandishi au ilikuwa ni propaganda? Kuna taarifa za ndani zinasema hata vitabu alikuwa anaandikiwa ππΎ
Hii ndiyo SIASA ambayo huwa inafanyika na VYUO kama RMA SANDHURST. Hayo MATAIFA MAKUBWA yana uwezo wa kuandaa kiongozi akafanana na MALAIKA au yana uwezo wa kumfanya kiongozi akafanana na SHETANI.
Hiyo ndiyo SIASA iliyokuwa inafanyika katika MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI kipindi cha UTAWALA WA WAHUTU.
Huyu alikuwa anaitwa PROFESA JOSEPH KATIHABWA, alikuwa ni mtaalamu wa KEMIA na alikuwa PROFESA tangu miaka ya sabini [1970's].
Mwaka 1978 alikuwa DEAN wa kwanza katika IDARA YA SAYANSI, CHUO KIKUU CHA BURUNDI zamani kilikuwa kinaitwa CHUO KIKUU CHA BUJUMBURA na ukijaribu kuangalia taarifa zake za awali utakuta KIDATO CHA NNE alikuwa na "DIVISON FOUR", lakini kutokana na SIASA alifanikiwa kuwa PROFESA.
Aina hii ya SIASA huwa inafanyika kupitia MAJESHI kama inavyofanyika hivi leo kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA. Unakuta mtu anamiliki PhD, lakini BACKGROUND EDUCATION is very weak na hii kasumba utaikuta CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM [UDSM]..
Ndiyo WAHUTU wa RWANDA NA BURUNDI walivyokuwa wanafanya, ilifikia hatua walikuwa wanajifananisha na TAIFA LA UGANDA katika masuala ya ELIMU wakati walikuwa hawana hata SHERIA ZA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI yaani "PRIMARY ACTS" na SHERIA ZA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI yaani "SECONDARY ACTS" walikuwa hawana. It was just like TANZANIA in nowadays, trying to compete with KENYA ππΌ
Haya mambo ndiyo yaliyokuwa yanafanyika kwa HAYATI MWALIMU na wakina OSCAR KAMBONA walikuwa na hamu ya kushika nafasi aliyokuwa nayo HAYATI MWALIMU, ndiyo ikawa chanzo cha mafarakano.
Kwahiyo viongozi waliofuata baada ya hapo walikuwa wanampaka mafuta [HAYATI MWALIMU] kwa mgongo wa chupa, ili siku ziende na mambo yao yafanikiwe.
Ilifikia hatua baadhi ya viongozi wa CHAMA TAWALA pamoja na SERIKALI walikuwa wanaipa mitaa, barabara, majengo, vituo, shule na vyuo jina la HAYATI MWALIMU ili kuwa sehemu salama.
Na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walikuwa wanafanya hivyo hivyo kumsifu HAYATI MWALIMU, huku wakiendelea kujijenga KIUCHUMI kupitia VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA.
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ilifikia hatua MISTER ABILITY alikuwa anampatia HAYATI MWALIMU pesa za CHAMA CHA USHIRIKA, hadi kupelekea MISTER ABILITY kupendekezwa nafasi ya UWAZIRI UKUU baada ya UCHAGUZI MKUU wa mwaka 1995.