Siasa ni mchezo mchafu kupindukia,mtu morally sound, hawezi kuwa mwanasiasa.Ukweli kuhusu siasa ni huu👇
Kuna mtu alisha wah kusema historia ya Africa inahitaj kuandikwa upya..Yapo mengi kuhusu Historia ambayo hutakuja kuyajua na yamefichwa kwa makusudi ili usijitambue,hilo la Kambona ni dogo sana.Na mengine ukiambiwa hata hutakubali, kwa kuwa umeonyeshwa upande mwingine wa shillingi ambao ni uongo.Very sad.
Haya tuambie ni mambo gani yamefichwa???Yapo mengi kuhusu Historia ambayo hutakuja kuyajua na yamefichwa kwa makusudi ili usijitambue,hilo la Kambona ni dogo sana.Na mengine ukiambiwa hata hutakubali, kwa kuwa umeonyeshwa upande mwingine wa shillingi ambao ni uongo.Very sad.
Kiaje kiongozKuna mtu alisha wah kusema historia ya Africa inahitaj kuandikwa upya..
Ningekuambia, ila hilo neno "Haya" limeni "put off." Najua kinachofuata,utasema ni conspiracy theory,so I keep it to myself.Kwa ujinga wenu mtakosa mengi.Haya tuambie ni mambo gani yamefichwa???
Stop your nonsense, alafu usipende kujaji watu kiongozi, kama unamadini weka kama hauna tulia.Ningekuambia, ila hilo neno "Haya" limeni "put off." Najua kinachofuata,utasema ni conspiracy theory,so I keep it to myself.Kwa ujinga wenu mtakosa mengi.
🙏🙏🙏🙏🙏Stop your nonsense, alafu usipende kujaji watu kiongozi, kama unamadini weka kama hauna tulia.
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🙏🙏🙏🙏🙏
BORUSSIA DORTMUND
Ukiwa pale NAIROBI, nchini KENYA kuna LOUNGE inaitwa BVB LOUNGE na wateja wengi huwa ni WATANZANIA waliohamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].
Wanaomiliki BVB LOUNGE ni WATANZANIA na kuna uhusiano wa moja kwa moja na umiliki wa timu ya mpira wa miguu inayoshiriki LIGI KUU YA UJERUMANI inayoitwa BORUSSIA DORTMUND.
Msimu huu timu ya mpira wa miguu inayoshiriki LIGI KUU YA UJERUMANI inayoitwa BORUSSIA DORTMUND imeingia fainali ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE.
Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!
Askari wa JWTZ mwenye asili ya Rwanda adaiwa kutoroka Tanzania! Jeshi limesema litatoa taarifa zaidi kuhusu mwanajeshi huyo anayedaiwa kutoroka na nyaraka muhimu za jeshi!! Source: Mtanzania Jumapili ====== OFISA wa cheo cha juu katika Jeshi la Wananchi (JWTZ), anayeaminika kuwa na asili...www.jamiiforums.com
"SOBER HOUSE" ni sehemu salama kwa waathirika wa AFYA YA AKILI, ambapo wahusika huwa wanapata fursa ya matibabu na kuweza kurudi katika hali yao ya kawaida.Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!
Askari wa JWTZ mwenye asili ya Rwanda adaiwa kutoroka Tanzania! Jeshi limesema litatoa taarifa zaidi kuhusu mwanajeshi huyo anayedaiwa kutoroka na nyaraka muhimu za jeshi!! Source: Mtanzania Jumapili ====== OFISA wa cheo cha juu katika Jeshi la Wananchi (JWTZ), anayeaminika kuwa na asili...www.jamiiforums.com
"SOBER HOUSE" ni sehemu salama kwa waathirika wa AFYA YA AKILI, ambapo huwa wanapata fursa ya matibabu na kuweza kurudi katika hali ya kawaida.
MATATIZO YA AFYA YA AKILI yanaweza kusababishwa na msongo wa mawazo, matumizi ya vilevi kama madawa ya kulevya na unywaji wa pombe kupita kiasi, waathirika wa vitendo vya ukatili wa kijinsia, waathirika wa VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE yaani "CIVIL WAR" na n.k.
Kulingana na SHIRIKA LA AFYA DUNIANI [WHO], AFYA YA AKILI inabakia kuwa ni sehemu muhimu ya AFYA na USTAWI WA MAENDELEO wa kila MWANANCHI mmoja mmoja.
Yaani kila MWANANCHI ana haki na wajibu wa kupata AFYA YA AKILI sehemu yoyote na mahala popote panapostahili kupatikana kwa matibabu yatakayopelekea kuwa na AFYA YA AKILI.
Sasa kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO pamoja na kuwa na UTAJIRI waliofanikiwa kuwekeza katika MATAIFA mbalimbali duniani, bado wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wameendelea kuwa katika DHIKI kutokana na HALI YA KISIASA iliyokuwa ikiendelea katika MATAIFA yao.
Na TAIFA LA TANZANIA lilifanyika kama "SOBER HOUSE" kwa waathirika wa VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE, yaani "CIVIL WAR" iliyotokea katika MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO.
Kwahiyo, hili swali linalohusu "Explain how TANZANIA was officially becoming a SOBER HOUSE in 1994." utakuwa umefahamu namna ya kulijibu na mara nyingi huwa wanauliza kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA pamoja na TAASISI ZA KISERIKALI na ASASI YA KIRAIA zinazohusika na masuala ya AFYA YA AKILI.
Sijafahamu ni lini VITA itaisha! Lakini kila jambo lina wakati wake, tuwe na subra!. CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] ni CHAMA CHA KISIASA ambacho ni mfano wa kuigwa katika BARA LA AFRIKA.Achana na sober, lini vita inaisha
Kina mfano gani wa kuigwa???Sijafahamu ni lini VITA itaisha! Lakini kila jambo lina wakati wake, tuwe na subra!. CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] ni CHAMA CHA KISIASA ambacho ni mfano wa kuigwa katika BARA LA AFRIKA.
Kwanza, CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kimefanikiwa kuhimili vishindo na migongano mingi ya ndani ya CHAMA. Misukosuko ni mingi ambayo CHAMA kimepitia.Kina mfano gani wa kuigwa???
AiseehhhKwanza, CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kimefanikiwa kuhimili vishindo na migongano mingi ya ndani ya CHAMA. Misukosuko ni mingi ambayo CHAMA kimepitia.
Pili, ukijaribu kuangalia nafasi ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] katika TAIFA LA TANZANIA ni CHAMA TAWALA chenye kurasa safi kuliko VYAMA VINGINE VYA KISIASA.
Ukitaka kuamini hili, jaribu kuanzisha uzi wa MFUMO WA VYAMA VINGI halafu tuanze kuangalia BODI YA WADHAMINI ya kila CHAMA CHA SIASA. Ndugu yangu, kuna VYAMA VYA KISIASA utaomba vifutwe..😂
Sasa baada ya TAIFA LA TANZANIA kuwa "SOBER HOUSE" kwa wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!
Askari wa JWTZ mwenye asili ya Rwanda adaiwa kutoroka Tanzania! Jeshi limesema litatoa taarifa zaidi kuhusu mwanajeshi huyo anayedaiwa kutoroka na nyaraka muhimu za jeshi!! Source: Mtanzania Jumapili ====== OFISA wa cheo cha juu katika Jeshi la Wananchi (JWTZ), anayeaminika kuwa na asili...www.jamiiforums.com
NI KAMPUNI GANI HIZO, NI ZA BSC ZIPO TZ.Sasa baada ya TAIFA LA TANZANIA kuwa "SOBER HOUSE" kwa wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's], upande wa SEKTA YA USAFIRISHAJI walipiga marufuku kwa SEKTA BINAFSI na SEKTA ZA UMMA kuajiri MADEREVA ambao ni wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].
Kutokana na kuwa na MATATIZO YA AFYA YA AKILI yaliyosababishwa na MSONGO WA MAWAZO uliotokana na athari za VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE, yaani "CIVIL WAR" - ilikuwa siyo salama kwao kuendesha VYOMBO VYA MOTO hasa USAFIRI WA ABIRIA NA MIZIGO.
Kwa sababu wao [VEHICLE INSPECTORS] wanaamini MTU anatakiwa awe na utimamu wa mwili na akili ili aweze kuwa DEREVA mzuri. Sasa wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] hawakutakiwa kuwa MADEREVA kwa sababu ya kuwa na MSONGO WA MAWAZO uliosababishwa na athari za VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE, yaani "CIVIL WAR".
Kwahiyo kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walikuwa hawaajiriwi kwenye SEKTA YA USAFIRISHAJI WA MIZIGO NA ABIRIA.
Lakini sasa hivi [miaka ya hivi karibuni] wameanza kuajiriwa kwenye kampuni ambazo zinamilikiwa na wao wenyewe! Yaani kampuni za wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] ambazo zinapatikana TANZANIA.
Unajua kipindi fulani hapa JamiiForums tulikuwa tunasema SERIKALI YA TANZANIA inatakiwa iwe na utaratibu wa kuonana na WALIPA KODI [I mean wamiliki halali wa kampuni] kuanzia ngazi ya WILAYA.NI KAMPUNI GANI HIZO, NI ZA BSC ZIPO TZ.