Papy sio kweli kwamba ndio jibu sahihi. Jibu sahihi ingekuwa wao kuwa na kama European Model.
Ambapo makazi (shelter), kazi (empoyment au unemployment), Afya kwa kila mtu (Universal Health Service of course you have to pay through insurance if you work). Lakini itakusaidia sana mbeleni.
Ukimaliza hayo (basic human neeeds) unakuja kwenye Elimu.
Elimu ya ukweli inakufumbua macho, kuiona Dunia tofauti, masoko, oppotunities, gap in the markets, you potential, your abilities to act and react to changing, fluid situation.
Sijui uelewa wako kuhusu neno ujamaa, (Socialism). Kwa kifupi ni undugu, kushirikiana kwa mambo makumbwa ambayo mtu mmoja mmoja hawezi kuyafanya.
Ujamaa is natural all human society. Mmasai akienda kuwinda anahitaji washikaji ili arudi salama. Vijiji vyote Tanzania ili ku-survive vinahitaji aina fulani ya social security (Ulinzi Shirikishi, kumsaidia mgonjwa, kupeana kazi, kuwasaidia maskini).
Sababu ziko wazi. Ukiwa tajiri pekee kijijini bila kuwasaidia wengine siku moja utavamiwa na walalahoi na hakuna atayekusaidia.
Ujamaa (Socialism) is old as human and animals. All for greater gòod of society.