Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Unajua unapotumia MITANDAO YA KIJAMII lazima kuwe kuna mipaka ili kulinda USALAMA WA MTUMIAJI au WATUMIAJI WA MITANDAO YA KIJAMII dhidi ya madhara yatokanayo na MITANDAO YA KIJAMII.

Na wengine huwa wanadiriki kutumia UJUMBE WA PICHA. Sasa jaribu kusoma posti namba 1202, natumaini hicho ndio kiwango cha juu cha matumizi ya MITANDAO YA KIJAMII.

Zitakuwa sio kweli! Halafu pia umegusia kitu cha muhimu sana kuhusu timu ya BAYERN MUNICH.

Ukijaribu kuangalia ile jezi ya BAYERN MUNICH FC imeandikwa T-MOBILE. T-MOBILE ni kampuni wadhamini wa timu ya BAYERN MUNICH FC, lakini ina maana yake kwa upande wa TANZANIA na UJERUMANI kuhusu ile taasisi yetu pendwa ya TANZANIA.

Kupata NYARAKA ZA KISHERIA kwenye MITANDAO YA KIJAMII sio sahihi na wala sio salama, kwa sababu pia inahatarisha WATUMIAJI WA MITANDAO YA KIJAMII.

HESHIMA lazima iwepo kwa HAYATI MWALIMU, yule ana HESHIMA yake. Kwahiyo STAHA inahitajika, sio PICHA za WAARABU-ARABU [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwani hizi ni SHUTUMA? Mimi najaribu kukazia na kujazia nyama yale aliyoyaleta HUNIJUI SIKUJUI.

MAMBO mengine ni BINAFSI na sio sahihi kujadili kila kitu kwenye MITANDAO YA KIJAMII.

Mimi siwezi kuthibitisha madai, kwa sababu hapa hutupo MAHAKAMANI. Lakini unaweza kuutambua UWEZO BINAFSI WA KIUCHUMI wa HAYATI MWALIMU kwa kuangalia wale waliokuwa wanamzunguka kwa kipindi kile, lile KUNDI LA UGANDA LINE.

Wale waliokuwa KUNDI LA UGANDA LINE - biashara zao zinaendelea mpaka leo na wapo mbali sana KIUCHUMI. Kwahiyo unaweza ukaona ni kiasi gani HAYATI MWALIMU atakavyokuwa KIUCHUMI, kwa sababu HAYATI MWALIMU pamoja na MISTER ABILITY ndio walikuwa VINARA WA KUNDI LA UGANDA LINE.
Una maanisha nini kuhusu kampuni ya T-MOBILE na mahusiano ya pande mbili za nchi kati ya Tanzania na Ujerumani?
Any way tunashukuru kwa mchango wako binafsi nautambua na hongera kwa maoni yako uliyoyaandika.
 
Una maanisha nini kuhusu kampuni ya T-MOBILE na mahusiano ya pande mbili za nchi kati ya Tanzania na Ujerumani?

7b5622b9ca9cf0e4ebbca3f4e3ee4961.png

Hii kampuni ya T-MOBILE ni wadhamini wakuu wa TIMU ya BAYERN MUNCHEN FC inayoshiriki LIGI KUU nchini UJERUMANI.

Kuna MAELEZO [...] ambayo hayajawekwa wazi kwa uthibitisho kuhusu hiyo ALAMA ya T-MOBILE kwenye jezi ya BAYERN MUNCHEN FC.

Lakini kuna uhusiano ambao bado haujawekwa wazi wa TAIFA LA UJERUMANI na TAIFA LA TANZANIA kuhusu msaada wa kuendesha ile TAASISI PENDWA ya TANZANIA.
Any way tunashukuru kwa mchango wako binafsi nautambua na hongera kwa maoni yako uliyoyaandika.
Tupo pamoja! Ngoja nitaendelea na Wakudadavuwa kwa siku nyingine.
 
Any way tunashukuru kwa mchango wako binafsi nautambua na hongera kwa maoni yako uliyoyaandika.
Ngoja nikuoneshe kitu kingine ambacho nimetumiwa na rafiki zangu. Jaribu kuangalia na kusoma posti namba 1215 na 1216 kuhusu ile DRESS CODE ya UGORO inayotumiwa na PUISSANTS.

801a122620a5ff3eddaf99eb24f050a4.png

Hiyo ndio LUGHA YA PICHA inavyotumika kwenye MITANDAO YA KIJAMII. Nadhani tayari utakuwa umeelewa kuwa hao PUISSANTS ndio wenye RAMBA RAMBA.

6283e1388c441af1301a59688926afc4(1).png

Hizi PICHA zinapatikana kwenye moja ya INSTAGRAM ACCOUNT inayomilikiwa na kampuni kubwa ya USAFIRI WA ANGA na MTU MWEUPE ni kama MBWA MKALI - siku zote anamsikiliza MTU anayempatia CHAKULA.

4ea4be49ff1959fa331896c3f6120880.png

PUISSANTS ni wale waliokuwa MARAIS WATATU WA RWANDA, BURUNDI na KONGO na wanamiliki HISA kwenye hiyo kampuni kubwa ya USAFIRI WA ANGA. Kwahiyo PUISSANTS bado wapo vizuri sana KIUCHUMI, sema hali ingelikuwa tofauti kama wangelikuwa hai.
 
Wakudadavuwa wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS au kwa jina lingine wanaitwa ALMIGHTIES bado wapo na wanafanya MAMBO yao kama kawaida kupitia WATU wao waliowaacha.

Hao PUISSANTS yaani ALMIGHTIES ndio WATU waliokuwa nyuma ya KAMPUNI iliyotaka kununua TIMU YA MPIRA WA MIGUU inayoitwa SIMBA SC inayomilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

Hao PUISSANTS yaani ALMIGHTIES wanamiliki KAMPUNI nyingi kwa hapa TANZANIA kupitia WATU wenye ASILI YA ASIA hasa WAHINDI.

Na ni suala la muda tu, watalipa KISASI. Ndio maana kuna baadhi ya WATU wameaanza kujihami mapema kwa kutojihusisha na MAMBO yasiyowahusu.

Hayo ndio madhara ya GHARAMA ZA UONGOZI au THE COST OF LEADERSHIP au kwa jina lingine wanaita ni THE PRICE OF LEADERSHIP - kutengeneza UADUI na matokeo yake huzaa UASI yaani REBELLION.
Wakudadavuwa wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS au kwa jina lingine walikuwa wanaitwa ALMIGHTIES walikuwa ni WATU wamoja sana.

HAYATI MOBOTU alikuwa ni MWANASIASA HODARI na wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA na BURUNDI walikuwa ni kama WATOTO wake, yaani MAPACHA.



Na hata kipindi ambapo umauti ulivyowakuta, wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA na BURUNDI, HAYATI MOBUTU aliambiwa akachukue miili ya MAPACHA wake.



Baada ya MAUJI ya mwaka 1994, HAYATI MOBUTU alianza kuwatumia wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] kuwekeza TANZANIA na alifanikiwa pakubwa sana.



Na hata baada ya MAPINDUZI YA KIJESHI YA MWAKA 1997, HAYATI MOBOTU alikabidhi FAMILIA yake kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] kwa sababu wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA walikuwa tayari na mahusiano ya damu na JAMII YA MLIMA KENYA, yaani KIAMBU kutoka KENYA.



Kwahiyo habari yao ikawa imeishia hapo, lakini VYAMA VYA KISIASA walivyokuwa wamevianzisha kwa upande wa TANZANIA vilikuwa tayari ni VYAMA VYA KISIASA vyenye UWAKILISHI BUNGENI na WATU waliowaacha bado wanaendelea kuvisimamia mpaka leo na hao WATU ndio wale waliosema ile KAULI maarufu kuwa - "iwe kwa msaada wa MUNGU au kwa msaada wa SHETANI, lazima CCM ing'oke madarakani". Sio UTANI, hao WATU ni HATARI sana.
 
Wakudadavuwa wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS au kwa jina lingine walikuwa wanaitwa ALMIGHTIES walikuwa ni WATU wamoja sana.

HAYATI MOBOTU alikuwa ni MWANASIASA HODARI na wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA na BURUNDI walikuwa ni kama WATOTO wake, yaani MAPACHA.



Na hata kipindi ambapo umauti ulivyowakuta, wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA na BURUNDI, HAYATI MOBUTU aliambiwa akachukue miili ya MAPACHA wake.



Baada ya MAUJI ya mwaka 1994, HAYATI MOBUTU alianza kuwatumia wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] kuwekeza TANZANIA na alifanikiwa pakubwa sana.



Na hata baada ya MAPINDUZI YA KIJESHI YA MWAKA 1997, HAYATI MOBOTU alikabidhi FAMILIA yake kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] kwa sababu wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA walikuwa tayari na mahusiano ya damu na JAMII YA MLIMA KENYA, yaani KIAMBU kutoka KENYA.



Kwahiyo habari yao ikawa imeishia hapo, lakini VYAMA VYA KISIASA walivyokuwa wamevianzisha kwa upande wa TANZANIA vilikuwa tayari ni VYAMA VYA KISIASA vyenye UWAKILISHI BUNGENI na WATU waliowaacha bado wanaendelea kuvisimamia mpaka leo na hao WATU ndio wale waliosema ile KAULI maarufu kuwa - "iwe kwa msaada wa MUNGU au kwa msaada wa SHETANI, lazima CCM ing'oke madarakani". Sio UTANI, hao WATU ni HATARI sana.

Wakudadavuwa wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI na KONGO walijitahidi sana kuwekeza TANZANIA na vile VYAMA VYA KISIASA walivyovianzisha bado vipo na vina ushawishi mkubwa kwa WANANCHI.

Hivyo VYAMA VYA KISIASA vina uwakilishi kwa ngazi ya UDIWANI na UBUNGE. Sema VIONGOZI waliopo hawavitendei haki, kwa sababu hawafanyi SIASA kwa MASILAHI ya WANANCHI WA KAWAIDA, wao wanafanya SIASA kwa MASILAHI yao.

Ndio maana hivyo VYAMA VYA KISIASA ni maarufu sana pasipo kuwa na misingi yoyote ya KISIASA. Yaani wao wanataka VYEO VYA KISIASA pamoja na MADARAKA, lakini mambo mengine hayawahusu.

Hali hii imetokea pia kwenye CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️, wao wanafanya SIASA kwa nia ya kutafuta nafasi za UDIWANI, UBUNGE na URAIS. Lakini MAMBO mengine hayawahusu. Kwahiyo CHAMA kinaonekana hai kipindi cha UCHAGUZI na kipindi ambapo hakuna UCHAGUZI, shughuli za KISIASA zinakuwa hamna.

Na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kitaendelea kuwepo madarakani kutokana na GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP kuwa juu sana na hii inapelekea kuwa na uvunjifu wa HAKI ZA BINADAMU.

Sasa hali hii ni tofauti na majirani zetu, KENYA - wao GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP zipo chini ukilinganisha na TANZANIA na wamejitahidi sana kuimarisha ULINZI pamoja na kuboresha HUDUMA ZA KIJAMII.

IMG_20220815_153240.jpg

Hata UCHAGUZI MKUU WA KENYA uliomalizika hivi majuzi ni kielelezo tosha cha DEMOKRASIA, ijapokuwa kulikuwa kuna matatizo mbalimbali kwenye TUME YA UCHAGUZI - IEBC, lakini walipokea kama changamoto na kujipanga na UCHAGUZI MKUU ujao.

IMG_20220815_153250.jpg

Kwahiyo kwa upande wa TANZANIA, CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kitaendelea kuwepo madarakani kutokana na GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP kuwa juu sana na GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP zipo na huwa zinafanyika katika kila WIZARA na kila IDARA iliyo chini ya SERIKALI husika.
 
Wakudadavuwa wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI na KONGO walijitahidi sana kuwekeza TANZANIA na vile VYAMA VYA KISIASA walivyovianzisha bado vipo na vina ushawishi mkubwa kwa WANANCHI.

Hivyo VYAMA VYA KISIASA vina uwakilishi kwa ngazi ya UDIWANI na UBUNGE. Sema VIONGOZI waliopo hawavitendei haki, kwa sababu hawafanyi SIASA kwa MASILAHI ya WANANCHI WA KAWAIDA, wao wanafanya SIASA kwa MASILAHI yao.

Ndio maana hivyo VYAMA VYA KISIASA ni maarufu sana pasipo kuwa na misingi yoyote ya KISIASA. Yaani wao wanataka VYEO VYA KISIASA pamoja na MADARAKA, lakini mambo mengine hayawahusu.

Hali hii imetokea pia kwenye CHAMA CHA WANANCHI - CUF [emoji3508], wao wanafanya SIASA kwa nia ya kutafuta nafasi za UDIWANI, UBUNGE na URAIS. Lakini MAMBO mengine hayawahusu. Kwahiyo CHAMA kinaonekana hai kipindi cha UCHAGUZI na kipindi ambapo hakuna UCHAGUZI, shughuli za KISIASA zinakuwa hamna.

Na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kitaendelea kuwepo madarakani kutokana na GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP kuwa juu sana na hii inapelekea kuwa na uvunjifu wa HAKI ZA BINADAMU.

Sasa hali hii ni tofauti na majirani zetu, KENYA - wao GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP zipo chini ukilinganisha na TANZANIA na wamejitahidi sana kuimarisha ULINZI pamoja na kuboresha HUDUMA ZA KIJAMII.

Hata UCHAGUZI MKUU WA KENYA uliomalizika hivi majuzi ni kielelezo tosha cha DEMOKRASIA, ijapokuwa kulikuwa kuna matatizo mbalimbali kwenye TUME YA UCHAGUZI - IEBC, lakini walipokea kama changamoto na kujipanga na UCHAGUZI MKUU ujao.

Kwahiyo kwa upande wa TANZANIA, CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kitaendelea kuwepo madarakani kutokana na GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP kuwa juu sana na GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP zipo na huwa zinafanyika katika kila WIZARA na kila IDARA iliyo chini ya SERIKALI husika.
Moja ya kitu ninachokupendea ni consistency ya mambo yako. Ingekuwa wengine wangeacha mda mrefu tu kutuma posti. Ila wewe unashuka taratibu tu hongera mkuu
 
Moja ya kitu ninachokupendea ni consistency ya mambo yako. Ingekuwa wengine wangeacha mda mrefu tu kutuma posti. Ila wewe unashuka taratibu tu hongera mkuu
Unajua nilikuwa najaribu kumuelewesha Wakudadavuwa kuhusu MAMBO fulani, lakini sasa hivi natumaini atakuwa amepata mwanga.

Ngoja nikipata muda mzuri jioni nitaendelea pale nilipoishia, lakini WATANZANIA WA KWELI watakaoleta mabadiliko ya KISIASA ni wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU], wengine ni WAHUNI.

Kwa sababu wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA ndio SIMBA na wanamiliki VYAMA VYA KISIASA pamoja na UCHUMI MKUBWA.

IMG_20220827_183313.jpg

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio walio nyuma ya SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA kwa upande wa TANZANIA VISIWANI yaani ZANZIBAR kupitia CHAMA CHA ACT - WAZALENDO.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio WATU walio nyuma ya UPINZANI wa TANZANIA VISIWANI yaani ZANZIBAR tangu mwaka 1995 mpaka leo.

Vile vile wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio waliounda KAMBI KUU YA UPINZANI kwa upande wa TANZANIA BARA kupitia CHAMA CHA WANANCHI - CUF, tangu mwaka 2000 mpaka 2010.

0ba750c9b96176a324c809920e1b0b88.png

Kwahiyo ACT - WAZALENDO ni VAZI JIPYA la CHAMA CHA WANANCHI - CUF. Sasa utaona ni kwa jinsi gani walivyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] kwa upande wa KISIASA.
 
Wakudadavuwa wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI na KONGO walijitahidi sana kuwekeza TANZANIA na vile VYAMA VYA KISIASA walivyovianzisha bado vipo na vina ushawishi mkubwa kwa WANANCHI.

Hivyo VYAMA VYA KISIASA vina uwakilishi kwa ngazi ya UDIWANI na UBUNGE. Sema VIONGOZI waliopo hawavitendei haki, kwa sababu hawafanyi SIASA kwa MASILAHI ya WANANCHI WA KAWAIDA, wao wanafanya SIASA kwa MASILAHI yao.

Ndio maana hivyo VYAMA VYA KISIASA ni maarufu sana pasipo kuwa na misingi yoyote ya KISIASA. Yaani wao wanataka VYEO VYA KISIASA pamoja na MADARAKA, lakini mambo mengine hayawahusu.

Hali hii imetokea pia kwenye CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️, wao wanafanya SIASA kwa nia ya kutafuta nafasi za UDIWANI, UBUNGE na URAIS. Lakini MAMBO mengine hayawahusu. Kwahiyo CHAMA kinaonekana hai kipindi cha UCHAGUZI na kipindi ambapo hakuna UCHAGUZI, shughuli za KISIASA zinakuwa hamna.

Na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kitaendelea kuwepo madarakani kutokana na GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP kuwa juu sana na hii inapelekea kuwa na uvunjifu wa HAKI ZA BINADAMU.

Sasa hali hii ni tofauti na majirani zetu, KENYA - wao GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP zipo chini ukilinganisha na TANZANIA na wamejitahidi sana kuimarisha ULINZI pamoja na kuboresha HUDUMA ZA KIJAMII.

Hata UCHAGUZI MKUU WA KENYA uliomalizika hivi majuzi ni kielelezo tosha cha DEMOKRASIA, ijapokuwa kulikuwa kuna matatizo mbalimbali kwenye TUME YA UCHAGUZI - IEBC, lakini walipokea kama changamoto na kujipanga na UCHAGUZI MKUU ujao.

Kwahiyo kwa upande wa TANZANIA, CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kitaendelea kuwepo madarakani kutokana na GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP kuwa juu sana na GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP zipo na huwa zinafanyika katika kila WIZARA na kila IDARA iliyo chini ya SERIKALI husika.
Wakudadavuwa kwa upande wa TANZANIA, GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP au kwa jina lingine wanaita ni THE PRICE OF LEADERSHIP huwa zinafanyika kwenye WIZARA zote ambazo huwa zipo chini ya SERIKALI YA TANZANIA. WIZARA hizo ni:
  1. OFISI YA RAIS, UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA
  2. OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
  3. OFISI YA MAKAMU WA RAIS
  4. OFISI YA WAZIRI MKUU
  5. WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO
  6. WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
  7. WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  8. WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO
  9. WIZARA YA UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
  10. WIZARA YA KILIMO
  11. WIZARA YA MAJI
  12. WIZARA YA MALIASILI NA UTALII
  13. WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
  14. WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI
  15. WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI
  16. WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  17. WIZARA YA NISHATI NA MADINI
  18. WIZARA YA SHERIA NA KATI A
  19. WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA
Kila WIZARA na kila IDARA ina GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP ambazo zinatumika kama nyenzo ya kuongoza SERIKALI YA TANZANIA iliyo chini ya mwavuli wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Tangu TANGANYIKA imepata UHURU wake kutoka kwa UINGEREZA, mwaka 1961 na hatimae kuungana na ZANZIBAR na kufanya SERIKALI YA MUUNGANO YA TANZANIA, mwaka 1964 ilitambulika kwa ujumla wake na WAAFRIKA wote pamoja na wataalamu walioletwa kushauri kipindi kile - kwamba hitaji kuu la kusonga mbele katika ULIMWENGU WA KISASA ni ELIMU.

Kila SERIKALI MPYA ya KIAFRIKA iliyojitegemea ilikusudia na ilipanga kutoa mafunzo zaidi ya SHULE na UFUNDI katika kila ngazi ya ELIMU.

wizara-ya-elimu-750x375.jpg

Kwa upande wa TANZANIA, takribani kila MTANZANIA na hasa wale waliokuwa wametoka FAMILIA DUNI inadaiwa kuwa walikuwa na SHAUKU KUBWA ya kusoma na kupata ELIMU YA DARASANI ambayo kwa kipindi kile ilikuwa inapatikana sehemu mbalimbali za MIKOA YA TANZANIA na ELIMU YA TANZANIA ilikuwa imegawanywa katika sehemu kuu SITA kwa idadi yake. Sehemu hizo ni:
  1. MORE EDUCATION AS A PRIME REQUIREMENT.​
  2. ADVANCES ALMOST ENTIRELY DUE TO COLONIAL PRESENCE.​
  3. THREE SOURCES OF INSTRUCTION: missionaries, commercial enterprises and governments.​
  4. BRITISH AND BELGIAN SYSTEMS - solid basis of primary education.​
  5. NARROWER FRENCH SYSTEM OF PRODUCING EDUCATED ELITE.​
  6. RESULTS OF EDUCATION: the elite - divorce from masses and resolve to stay in power but probably not a new ruling class.​
Hizo sehemu kuu SITA zote zimeelezwa kwa kirefu kwa kutumia LUGHA YA KIINGEREZA inayopatikana kwenye kitabu kinachoitwa EMERGENT AFRICA.

IMG_20220829_111449_2.jpg

Hizo sehemu kuu SITA zimeelezwa kwa kirefu sana kwenye TOPIKI YA SITA inayoitwa EDUCATION AND THE ELITE , yaani ni MFUMO WA ELIMU ambao unalenga WATAWALA kuendelea KUTAWALA bila ya kuathiri moja kwa moja shughuli za MWANANCHI WA KAWAIDA.

Ile DHIMA KUU ya MFUMO WA ELIMU YA TANZANIA iliyokuwepo tangu TANGANYIKA inapata UHURU wake kutoka kwa UINGEREZA na hatimae MUUNGANO WA TANGANYIKA na ZANZIBAR na kuunda SERIKALI iliyo moja ya TANZANIA, bado ipo mpaka leo.

DHIMA KUU ya MFUMO WA ELIMU YA TANZANIA ni kujiokoa katika lindi la KURUDI NYUMA, UMASIKINI na MAGONJWA. Sio tu kwa WATU BINAFSI bali kwa JAMII NZIMA.

Faida za ELIMU ni MAENDELEO yaliyoletwa, ni wazi pia kwa WATU wasiokuwa na ELIMU. VIJANA wa KIUME na wa KIKE walifundishwa na kufundishwa jinsi ya KUTAWALA mazingira ya uhasama na jinsi ya kuishi katika JAMII YA WATU wazima, mara nyingi katika hali ya uvumilivu na ugumu wa kibinafsi.

images.png

Lakini WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI kupitia BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA , NECTA wanapanga UFAULU wa WANAFUNZI kwa kutumia VIGEZO VYA KIJAMII yaani SOCIAL CONSTRAINTS .

Yaani kwa LUGHA nyepesi huwa WANAPIKA MATOKEO YA WANAFUNZI kwa ngazi zote - DARASA LA SABA, KIDATO CHA NNE na KIDATO CHA SITA na kwa LUGHA YA KIINGEREZA huwa wanaita ni REPRESSION AND FALSIFICATION OF PUPILS AND STUDENTS ACADEMIC RESULTS. Lakini MATOKEO HALISI YA WANAFUNZI yanakuwa yanapatikana sehemu husika kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya kiofisi.

Hivi VIGEZO VYA KIJAMII yaani SOCIAL CONSTRAINTS huwa zinajazwa na mwanafunzi husika akiwa DARASA LA TANO au DARASA LA SITA kwa kutumia FOMU YA TSM9.

Hii FOMU YA TSM9 huwa ni kwa SHULE ZA MSINGI na huwa inaendelea mpaka SHULE ZA SEKONDARI na huwa inaitwa SELECTION FORM [ SELFORM ] na vile vile huwa inaendelea mpaka VYUO VIKUU na huwa inaitwa COURSEWORK ASSESSMENT [CA].

Yaani kwa LUGHA nyepesi huwa wanaita ni FAILI LA MUHITIMU na huwa linaendelea mpaka sehemu ya AJIRA. Yaani ni KIVULI cha MTUMISHI au MUAJIRIWA yoyote.

d9a9acb6218cda4b64be2cd71f375e00.png

Sasa GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP au THE PRICE OF LEADERSHIP huwa zinaanzia kwenye WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI kupitia IDARA ya BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA, NECTA.
 
Wakudadavuwa kwa upande wa TANZANIA, GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP au kwa jina lingine wanaita ni THE PRICE OF LEADERSHIP huwa zinafanyika kwenye WIZARA zote ambazo huwa zipo chini ya SERIKALI YA TANZANIA. WIZARA hizo ni:
  1. OFISI YA RAIS, UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA
  2. OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
  3. OFISI YA MAKAMU WA RAIS
  4. OFISI YA WAZIRI MKUU
  5. WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO
  6. WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
  7. WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
  8. WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO
  9. WIZARA YA UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO
  10. WIZARA YA KILIMO
  11. WIZARA YA MAJI
  12. WIZARA YA MALIASILI NA UTALII
  13. WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
  14. WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI
  15. WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI
  16. WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  17. WIZARA YA NISHATI NA MADINI
  18. WIZARA YA SHERIA NA KATI A
  19. WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA
Kila WIZARA na kila IDARA ina GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP ambazo zinatumika kama nyenzo ya kuongoza SERIKALI YA TANZANIA iliyo chini ya mwavuli wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Tangu TANGANYIKA imepata UHURU wake kutoka kwa UINGEREZA, mwaka 1961 na hatimae kuungana na ZANZIBAR na kufanya SERIKALI YA MUUNGANO YA TANZANIA, mwaka 1964 ilitambulika kwa ujumla wake na WAAFRIKA wote pamoja na wataalamu walioletwa kushauri kipindi kile - kwamba hitaji kuu la kusonga mbele katika ULIMWENGU WA KISASA ni ELIMU.

Kila SERIKALI MPYA ya KIAFRIKA iliyojitegemea ilikusudia na ilipanga kutoa mafunzo zaidi ya SHULE na UFUNDI katika kila ngazi ya ELIMU.

Kwa upande wa TANZANIA, takribani kila MTANZANIA na hasa wale waliokuwa wametoka FAMILIA DUNI inadaiwa kuwa walikuwa na SHAUKU KUBWA ya kusoma na kupata ELIMU YA DARASANI ambayo kwa kipindi kile ilikuwa inapatikana sehemu mbalimbali za MIKOA YA TANZANIA na ELIMU YA TANZANIA ilikuwa imegawanywa katika sehemu kuu SITA kwa idadi yake. Sehemu hizo ni:
  1. MORE EDUCATION AS A PRIME REQUIREMENT.​
  2. ADVANCES ALMOST ENTIRELY DUE TO COLONIAL PRESENCE.​
  3. THREE SOURCES OF INSTRUCTION: missionaries, commercial enterprises and governments.​
  4. BRITISH AND BELGIAN SYSTEMS - solid basis of primary education.​
  5. NARROWER FRENCH SYSTEM OF PRODUCING EDUCATED ELITE.​
  6. RESULTS OF EDUCATION: the elite - divorce from masses and resolve to stay in power but probably not a new ruling class.​
Hizo sehemu kuu SITA zote zimeelezwa kwa kirefu kwa kutumia LUGHA YA KIINGEREZA inayopatikana kwenye kitabu kinachoitwa EMERGENT AFRICA.

Hizo sehemu kuu SITA zimeelezwa kwa kirefu sana kwenye TOPIKI YA SITA inayoitwa EDUCATION AND THE ELITE , yaani ni MFUMO WA ELIMU ambao unalenga WATAWALA kuendelea KUTAWALA bila ya kuathiri moja kwa moja shughuli za MWANANCHI WA KAWAIDA.

Ile DHIMA KUU ya MFUMO WA ELIMU YA TANZANIA iliyokuwepo tangu TANGANYIKA inapata UHURU wake kutoka kwa UINGEREZA na hatimae MUUNGANO WA TANGANYIKA na ZANZIBAR na kuunda SERIKALI iliyo moja ya TANZANIA, bado ipo mpaka leo.

DHIMA KUU ya MFUMO WA ELIMU YA TANZANIA ni kujiokoa katika lindi la KURUDI NYUMA, UMASIKINI na MAGONJWA. Sio tu kwa WATU BINAFSI bali kwa JAMII NZIMA.

Faida za ELIMU ni MAENDELEO yaliyoletwa, ni wazi pia kwa WATU wasiokuwa na ELIMU. VIJANA wa KIUME na wa KIKE walifundishwa na kufundishwa jinsi ya KUTAWALA mazingira ya uhasama na jinsi ya kuishi katika JAMII YA WATU wazima, mara nyingi katika hali ya uvumilivu na ugumu wa kibinafsi.

Lakini WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI kupitia BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA , NECTA wanapanga UFAULU wa WANAFUNZI kwa kutumia VIGEZO VYA KIJAMII yaani SOCIAL CONSTRAINTS .

Yaani kwa LUGHA nyepesi huwa WANAPIKA MATOKEO YA WANAFUNZI kwa ngazi zote - DARASA LA SABA, KIDATO CHA NNE na KIDATO CHA SITA na kwa LUGHA YA KIINGEREZA huwa wanaita ni REPRESSION AND FALSIFICATION OF PUPILS AND STUDENTS ACADEMIC RESULTS. Lakini MATOKEO HALISI YA WANAFUNZI yanakuwa yanapatikana sehemu husika kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya kiofisi.

Hivi VIGEZO VYA KIJAMII yaani SOCIAL CONSTRAINTS huwa zinajazwa na mwanafunzi husika akiwa DARASA LA TANO au DARASA LA SITA kwa kutumia FOMU YA TSM9.

Hii FOMU YA TSM9 huwa ni kwa SHULE ZA MSINGI na huwa inaendelea mpaka SHULE ZA SEKONDARI na huwa inaitwa SELECTION FORM [ SELFORM ] na vile vile huwa inaendelea mpaka VYUO VIKUU na huwa inaitwa COURSEWORK ASSESSMENT [CA].

Yaani kwa LUGHA nyepesi huwa wanaita ni FAILI LA MUHITIMU na huwa linaendelea mpaka sehemu ya AJIRA. Yaani ni KIVULI cha MTUMISHI au MUAJIRIWA yoyote.

Sasa GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP au THE PRICE OF LEADERSHIP huwa zinaanzia kwenye WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI kupitia IDARA ya BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA, NECTA.
Wakudadavuwa huu MFUMO WA ELIMU kwa upande wa TANZANIA waliakisi kutoka kwa TAIFA lililokuwa linajulikana kwa jina la JUMUIYA YA NCHI ZA KISOVIETI, sasa hivi TAIFA hilo linaitwa URUSI.

Hili TAIFA la TANZANIA baada ya kupata UHURU na hata baada ya MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR, TAIFA LA TANZANIA liliakisi MIFUMO MINGI ya KIJAMII kutoka kwa TAIFA lililojulikana kipindi hicho kama JUMUIYA YA NCHI ZA KISOVIETI na sio CHINA, kama WATU wengi wanavyofahamu.

SERIKALI YA TANZANIA kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM iliakisi kwa kiasi kikubwa MTINDO WA KUONGOZA kutoka kwa iliyokuwa MUUNGANO WA NCHI ZA KISOVIETI.

3d2574666f4a937cc5984c064d53f089.png

Na MFUMO WA ELIMU kwa iliyokuwa URUSI YA ZAMANI ulizingatia sana UWEZO WA KIJAMII kuliko UWEZO WA MWANAFUNZI MMOJA MMOJA.

Yaani WANAFUNZI waliokuwa wanafanya vizuri kwenye MITIHANI yao, taarifa zao za KITAALUMA zilikuwa zinabaki SERIKALI KUU na wao kupewa MATOKEO tofauti na UFAULU wao ili kuzuia NCHI ZA ULAYA YA MAGHARIBI kuchukua WANASAYANSI WA KISOVIETI kwenda kufanya kazi kwenye VIWANDA vya MATAIFA ya MAREKANI, UJERUMANI, UFARANSA na UINGEREZA.

Kwa upande wa URUSI YA ZAMANI, WANAFUNZI BORA waliokuwa wakifanya vizuri kwenye MITIHANI yao ya SHULE na VYUO VIKUU ilikuwa ni AMRI kujiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA.

Hali hiyo ilipelekea iliyokuwa URUSI YA ZAMANI kuwa na JESHI imara na lililosheheni WANASAYANSI wa kila aina na WANASAYANSI hao ndio waliovumbua SILAHA hatari zinazotumika duniani kote.

762c1240081ec78242f39674e6caffa7.png

WANAFUNZI BORA waliokuwa wanagoma kujiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA walikuwa wanapata SHIDA sana na wengine walikuwa wanakimbia NCHI na kwenda kuishi MATAIFA YA ULAYA MAGHARIBI ikiwa ni pamoja na AMERIKA.

Lakini hali hiyo ni tofauti kabisa na TANZANIA, kwani kwa upande wa TANZANIA wanafanya kupika MATOKEO YA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI NA SEKONDARI yaani REPRESSION AND FALSIFICATION OF PUPILS AND STUDENTS ACADEMIC RESULTS na matokeo yake kunakuwa na utoaji wa ELIMU ya KIHOLELA HOLELA.

Kwahiyo huu MFUMO WA ELIMU kwa upande wa TANZANIA unazalisha WAHITIMU ambao wanakuwa hawana SIFA za kuajiriwa wala kukidhi matakwa ya SOKO LA USHINDANI kwa upande wa KITAIFA na KIMATAIFA.

1659502809.jpeg

Na kumekuwa kuna JITIHADA nyingi za kuweza kunusuru hili JANGA LA KITAIFA la kupunguza au kuondoa idadi ya WAHITIMU ambao wengi wao wanakuwa hawana SIFA, lakini tatizo ni MFUMO WA KIUTAWALA ambao WAFANYAKAZI WA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI pamoja na WALIMU wanakuwa hawana UWEZO WA KUTATUA pasipo kuwa na RUKSA ya WATAWALA ambao ni CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Sasa huu MFUMO WA ELIMU kwa upande wa TANZANIA unakuwa hauna tofauti na MAUAJI YA KIMBARI yaliyotokea RWANDA [1994], sema tofauti ni LUGHA na SILAHA iliyotumika - kule RWANDA waliita ni MASS GENOCIDE na walitumia BUNDUKI kuua HARAIKI YA WATU na TANZANIA wanaita ni ACADEMIC GENOCIDE na wanatumia KALAMU kuua TAALUMA ZA WATU.

images.jpeg

Ndio! WAINGEREZA huwa wana msemo unaosema hivi - "PEN IS THE BEST WEAPON, IF YOU USE IT PROPERLY" na hicho ndicho kinachofanyika TANZANIA kwa upande wa WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI.

images (1).jpeg

Yaani hii huwa ni mbinu ya KISIASA na KIUTAWALA ambayo mara nyingi hutumika ili kudhoofisha SEKTA YA ELIMU kwa MASILAHI mapana ya WATAWALA.

Kwahiyo wale WATANZANIA waliofahamu haya MAMBO mapema walipeleka WATOTO kwenda kusoma NJE YA NCHI na wengine waliajiriwa SEKTA BINAFSI na wengine walijiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA kama ni sehemu salama kwao, lakini kwa upande wa MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA kuna TAMU NA SHUBIRI yake.
 
Wakudadavuwa huu MFUMO WA ELIMU kwa upande wa TANZANIA waliakisi kutoka kwa TAIFA lililokuwa linajulikana kwa jina la JUMUIYA YA NCHI ZA KISOVIETI, sasa hivi TAIFA hilo linaitwa URUSI.

Hili TAIFA la TANZANIA baada ya kupata UHURU na hata baada ya MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR, TAIFA LA TANZANIA liliakisi MIFUMO MINGI ya KIJAMII kutoka kwa TAIFA lililojulikana kipindi hicho kama JUMUIYA YA NCHI ZA KISOVIETI na sio CHINA, kama WATU wengi wanavyofahamu.

SERIKALI YA TANZANIA kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM iliakisi kwa kiasi kikubwa MTINDO WA KUONGOZA kutoka kwa iliyokuwa MUUNGANO WA NCHI ZA KISOVIETI.

Na MFUMO WA ELIMU kwa iliyokuwa URUSI YA ZAMANI ulizingatia sana UWEZO WA KIJAMII kuliko UWEZO WA MWANAFUNZI MMOJA MMOJA.

Yaani WANAFUNZI waliokuwa wanafanya vizuri kwenye MITIHANI yao, taarifa zao za KITAALUMA zilikuwa zinabaki SERIKALI KUU na wao kupewa MATOKEO tofauti na UFAULU wao ili kuzuia NCHI ZA ULAYA YA MAGHARIBI kuchukua WANASAYANSI WA KISOVIETI kwenda kufanya kazi kwenye VIWANDA vya MATAIFA ya MAREKANI, UJERUMANI, UFARANSA na UINGEREZA.

Kwa upande wa URUSI YA ZAMANI, WANAFUNZI BORA waliokuwa wakifanya vizuri kwenye MITIHANI yao ya SHULE na VYUO VIKUU ilikuwa ni AMRI kujiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA.

Hali hiyo ilipelekea iliyokuwa URUSI YA ZAMANI kuwa na JESHI imara na lililosheheni WANASAYANSI wa kila aina na WANASAYANSI hao ndio waliovumbua SILAHA hatari zinazotumika duniani kote.


WANAFUNZI BORA waliokuwa wanagoma kujiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA walikuwa wanapata SHIDA sana na wengine walikuwa wanakimbia NCHI na kwenda kuishi MATAIFA YA ULAYA MAGHARIBI ikiwa ni pamoja na AMERIKA.

Lakini hali hiyo ni tofauti kabisa na TANZANIA, kwani kwa upande wa TANZANIA wanafanya kupika MATOKEO YA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI NA SEKONDARI yaani REPRESSION AND FALSIFICATION OF PUPILS AND STUDENTS ACADEMIC RESULTS na matokeo yake kunakuwa na utoaji wa ELIMU ya KIHOLELA HOLELA.

Kwahiyo huu MFUMO WA ELIMU kwa upande wa TANZANIA unazalisha WAHITIMU ambao wanakuwa hawana SIFA za kuajiriwa wala kukidhi matakwa ya SOKO LA USHINDANI kwa upande wa KITAIFA na KIMATAIFA.

Na kumekuwa kuna JITIHADA nyingi za kuweza kunusuru hili JANGA LA KITAIFA la kupunguza au kuondoa idadi ya WAHITIMU ambao wengi wao wanakuwa hawana SIFA, lakini tatizo ni MFUMO WA KIUTAWALA ambao WAFANYAKAZI WA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI pamoja na WALIMU wanakuwa hawana UWEZO WA KUTATUA pasipo kuwa na RUKSA ya WATAWALA ambao ni CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Sasa huu MFUMO WA ELIMU kwa upande wa TANZANIA unakuwa hauna tofauti na MAUAJI YA KIMBARI yaliyotokea RWANDA [1994], sema tofauti ni LUGHA na SILAHA iliyotumika - kule RWANDA waliita ni MASS GENOCIDE na walitumia BUNDUKI kuua HARAIKI YA WATU na TANZANIA wanaita ni ACADEMIC GENOCIDE na wanatumia KALAMU kuua TAALUMA ZA WATU.

Ndio! WAINGEREZA huwa wana msemo unaosema hivi - "PEN IS THE BEST WEAPON, IF YOU USE IT PROPERLY" na hicho ndicho kinachofanyika TANZANIA kwa upande wa WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI.

Yaani hii huwa ni mbinu ya KISIASA na KIUTAWALA ambayo mara nyingi hutumika ili kudhoofisha SEKTA YA ELIMU kwa MASILAHI mapana ya WATAWALA.

Kwahiyo wale WATANZANIA waliofahamu haya MAMBO mapema walipeleka WATOTO kwenda kusoma NJE YA NCHI na wengine waliajiriwa SEKTA BINAFSI na wengine walijiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA kama ni sehemu salama kwao, lakini kwa upande wa MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA kuna TAMU NA SHUBIRI yake.
Wakudadavuwa MFUMO WA ELIMU kwa upande wa TANZANIA haufanyi vizuri kwenye SOKO LA USHINDANI iwe ni KITAIFA au KIMATAIFA, kwa sababu huu MFUMO WA ELIMU unazalisha WAHITIMU ambao wengi wao wanakuwa hawana SIFA na UWEZO.

Hali hii inasababishwa na WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI kupitia IDARA ya BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani NECTA na wamekuwa wakitoa TAARIFA ZA UONGO kipindi cha kutangaza MATOKEO ya WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI.

Ngoja nikupe MIFANO HALISI, hili ni PAMPHLET LA PHYSICS lililoandaliwa na aliyekuwa anajiita TANZANIA ONE kwa KIDATO CHA SITA [2006].

IMG_20220904_141746_7.jpg

Alikuwa anaitwa ELIAS KIHOMBO [marehemu] na kwenye UTAMBULISHO WA CHAPISHO lake ni kama unavyoona kwenye picha hapo juu, aliandika hivi - "Elias Kihombo was born at Njombe district in Iringa region, he attended different schools in his O-level studies, finally he completed his O-level studies at Tosamaganga secondary school, he joined his A-level studies taking PCM and again he completed his A-level studies at Tosamaganga secondary school and he achieved to be a best student in the country (2006). Now he is pursuing Bsc of science in TELECOMMUNICATION Engineering at University of Dar-es-salaam". Kwahiyo alikuwa anapita kwenye SHULE ZA SEKONDARI na kufundisha MASOMO YA CHEMISTRY, PHYSICS NA MATHEMATICS kwa madai ya kwamba yeye alikuwa ni TANZANIA ONE wa KIDATO CHA SITA [2006].

Lakini ukisoma ORODHA YA WANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA SITA [2006], jina lake halipo! Na alikuwa anaandaa MACHAPISHO YA MASOMO YA PHYSICS, CHEMISTRY NA MATHEMATICS kwa KIDATO CHA TANO NA SITA kwa kujinasibu kuwa yeye ni TANZANIA ONE [2006].

MFANO mwingine ni MARTIN JULIUS CHEGERE, huyu anajinasibu kuwa yeye ni MWANAFUNZI aliyeongoza DARASA LA SABA [2001], KIDATO CHA NNE [2005] na KIDATO CHA SITA [2007].

Jaribu kusikiliza MAHOJIANO yake akiwa anahojiwa na KITUO CHA TELEVISHENI CHA CHANNEL 5.



Jaribu kusikiliza tena MAHOJIANO yake kwa mara ya pili.



Hii ni MIFANO ya WANAFUNZI ambao walijinasibu kuwa ni VINARA kwa upande wa SHULE YA MSINGI na SHULE YA SEKONDARI kwa nyakati tofauti tofauti.

Sasa maswali yanakuja! Haya MAMBO yote yalikuwa yanafanyika kwa ruhusa ya nani? Kwanini mamlaka husika haikuwahi kuchukua hatua yoyote kwa WANAFUNZI wa aina hii?

Kwa LUGHA nyingine ina maana WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI kupitia IDARA ya BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani NECTA wanahusika.

Na hii ni kwa wale WANAFUNZI wachache waliojinasibu kwa nyakati tofauti tofauti kuwa ni VINARA, wakati sio kweli! Bado kuna maelfu ya WANAFUNZI wanaopata madaraja tofauti na UFAULU wao.

Sasa kwa kutumia ORODHA YA WANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA NNE, jaribu kuangalia na kupitia TAARIFA ZA KITAALUMA kwa SHULE YA SEKONDARI YA UHURU kwa mwaka 2005, 2006, 2007, 2008, 2012, 2014 na 2015.

IMG_20220901_182813_8.jpg

Hii SHULE huwa inafanya vizuri sana kwenye MITIHANI YA KITAIFA YA KIDATO CHA NNE na kwa umakini zaidi mwaka 2007 ilifanikiwa kutoa MWANAFUNZI BORA KITAIFA.

uhuru.jpg

Aliyeongoza KIDATO CHA NNE kwa mwaka 2007, ni yule mwanafunzi aliyesimama wa pili kutoka kushoto kama unavyoona kwenye picha hapo juu.

Lakini ukijaribu kuangalia MATOKEO YA 2007 yaliyotumwa SHULENI kwa kutumia ANUANI YA WIZARA NECTA | Home ni tofauti kabisa na UHALISIA. Hiyo ndio GHARAMA YA UONGOZI au kwa jina lingine wanaita ni THE COST OF LEADERSHIP.

QJab-ook_400x400.jpg

Na WAALIMU wanafahamu kabisa kinachofanyika BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani NECTA, kwa sababu wao wanaandaa MITAALA YA ELIMU, wao wanafundisha WANAFUNZI, wao wanaandaa MITIHANI na wao wanasahihisha na kupanga MATOKEO YA WANAFUNZI. Kwahiyo WAALIMU wanafahamu kabisa kinachofanyika pale BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani NECTA.

Sasa hiyo ndio SIASA invyofanyika kwa upande wa WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI kupitia IDARA ya BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani NECTA.

5c78a7884eb926a7cf803d4086ae787f(1).png

Kufuatia yale yaliyokuwa yanafanyika kwa miaka ya nyuma na jinsi mambo yanavyoendelea, hao WANAFUNZI WA SHULE YA UHURU ndio SIMBA na hao ndio watakuja kuwa wafanyakazi, meneja na wakurugenzi wa baadae wa kampuni ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA.

f24194dda9bd86e5eac3f55783617445.png

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani SIMBA wanaajiri WATU wao kwa sababu ya HALI YA KISIASA inayoendelea kufanyika nchini TANZANIA.
 
Wakudadavuwa MFUMO WA ELIMU kwa upande wa TANZANIA haufanyi vizuri kwenye SOKO LA USHINDANI iwe ni KITAIFA au KIMATAIFA, kwa sababu huu MFUMO WA ELIMU unazalisha WAHITIMU ambao wengi wao wanakuwa hawana SIFA na UWEZO.

Hali hii inasababishwa na WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI kupitia IDARA ya BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani NECTA na wamekuwa wakitoa TAARIFA ZA UONGO kipindi cha kutangaza MATOKEO ya WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI.

Ngoja nikupe MIFANO HALISI, hili ni PAMPHLET LA PHYSICS lililoandaliwa na aliyekuwa anajiita TANZANIA ONE kwa KIDATO CHA SITA [2006].

Alikuwa anaitwa ELIAS KIHOMBO [marehemu] na kwenye UTAMBULISHO WA CHAPISHO lake ni kama unavyoona kwenye picha hapo juu, aliandika hivi - "Elias Kihombo was born at Njombe district in Iringa region, he attended different schools in his O-level studies, finally he completed his O-level studies at Tosamaganga secondary school, he joined his A-level studies taking PCM and again he completed his A-level studies at Tosamaganga secondary school and he achieved to be a best student in the country (2006). Now he is pursuing Bsc of science in TELECOMMUNICATION Engineering at University of Dar-es-salaam". Kwahiyo alikuwa anapita kwenye SHULE ZA SEKONDARI na kufundisha MASOMO YA CHEMISTRY, PHYSICS NA MATHEMATICS kwa madai ya kwamba yeye alikuwa ni TANZANIA ONE wa KIDATO CHA SITA [2006].

Lakini ukisoma ORODHA YA WANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA SITA [2006], jina lake halipo! Na alikuwa anaandaa MACHAPISHO YA MASOMO YA PHYSICS, CHEMISTRY NA MATHEMATICS kwa KIDATO CHA TANO NA SITA kwa kujinasibu kuwa yeye ni TANZANIA ONE [2006].

MFANO mwingine ni MARTIN JULIUS CHEGERE, huyu anajinasibu kuwa yeye ni MWANAFUNZI aliyeongoza DARASA LA SABA [2001], KIDATO CHA NNE [2005] na KIDATO CHA SITA [2007].

Jaribu kusikiliza MAHOJIANO yake akiwa anahojiwa na KITUO CHA TELEVISHENI CHA CHANNEL 5.



Jaribu kusikiliza tena MAHOJIANO yake kwa mara ya pili.



Hii ni MIFANO ya WANAFUNZI ambao walijinasibu kuwa ni VINARA kwa upande wa SHULE YA MSINGI na SHULE YA SEKONDARI kwa nyakati tofauti tofauti.

Sasa maswali yanakuja! Haya MAMBO yote yalikuwa yanafanyika kwa ruhusa ya nani? Kwanini mamlaka husika haikuwahi kuchukua hatua yoyote kwa WANAFUNZI wa aina hii?

Kwa LUGHA nyingine ina maana WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI kupitia IDARA ya BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani NECTA wanahusika.

Na hii ni kwa wale WANAFUNZI wachache waliojinasibu kwa nyakati tofauti tofauti kuwa ni VINARA, wakati sio kweli! Bado kuna maelfu ya WANAFUNZI wanaopata madaraja tofauti na UFAULU wao.

Sasa kwa kutumia ORODHA YA WANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA NNE, jaribu kuangalia na kupitia TAARIFA ZA KITAALUMA kwa SHULE YA SEKONDARI YA UHURU kwa mwaka 2005, 2006, 2007, 2008, 2012, 2014 na 2015.

Hii SHULE huwa inafanya vizuri sana kwenye MITIHANI YA KITAIFA YA KIDATO CHA NNE na kwa umakini zaidi mwaka 2007 ilifanikiwa kutoa MWANAFUNZI BORA KITAIFA.

Aliyeongoza KIDATO CHA NNE kwa mwaka 2007, ni yule mwanafunzi aliyesimama wa pili kutoka kushoto kama unavyoona kwenye picha hapo juu.

Lakini ukijaribu kuangalia MATOKEO YA 2007 yaliyotumwa SHULENI kwa kutumia ANUANI YA WIZARA NECTA | Home ni tofauti kabisa na UHALISIA. Hiyo ndio GHARAMA YA UONGOZI au kwa jina lingine wanaita ni THE COST OF LEADERSHIP.

Na WAALIMU wanafahamu kabisa kinachofanyika BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani NECTA, kwa sababu wao wanaandaa MITAALA YA ELIMU, wao wanafundisha WANAFUNZI, wao wanaandaa MITIHANI na wao wanasahihisha na kupanga MATOKEO YA WANAFUNZI. Kwahiyo WAALIMU wanafahamu kabisa kinachofanyika pale BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani NECTA.

Sasa hiyo ndio SIASA invyofanyika kwa upande wa WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI kupitia IDARA ya BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani NECTA.

Kufuatia yale yaliyokuwa yanafanyika kwa miaka ya nyuma na jinsi mambo yanavyoendelea, hao WANAFUNZI WA SHULE YA UHURU ndio SIMBA na hao ndio watakuja kuwa wafanyakazi, meneja na wakurugenzi wa baadae wa kampuni ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA.

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani SIMBA wanaajiri WATU wao kwa sababu ya HALI YA KISIASA inayoendelea kufanyika nchini TANZANIA.

Wakudadavuwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA ni WATU makini na wanafuatilia MAMBO ya TANZANIA kwa undani sana.

Kwahiyo wanafahamu kila kitu kinachoendelea kufanyika nchini TANZANIA, ndio maana wanatoa vipaumbele kwa WATU wao.

Yaani waliakisi utamaduni wa KIINGEREZA na wakafanikiwa na mara nyingi WAINGEREZA huwa wanawaita ni "The ELITE with WESTERN VALUES but not WESTERN LOYALTIES".

Kwahiyo SIASA inayoendelea kufanyika chini ya UTAWALA wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM wanaifahamu, ndio maana waliamua kutulia.

a8baed7a8062e84a2abf7af14764784b.png

Na wanaendelea kukitumia CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kujijenga KIUCHUMI na KISIASA kwa kuheshimu MAKUBALIANO ya AZIMIO LA TABORA.

ff560748dd8f2b51f83581e9ca39bb8b.png

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wapo mbali sana KIUCHUMI na wamefanikiwa kuwekeza nje ya TANZANIA ili kuwa na UHAKIKA wa BIASHARA zao.

Lakini uhusika wa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM utategemea kizazi kitakachofuata baada ya watangulizi wao.

Kwani uhusiano ulishaingia DOSARI kwa watoto wao waliosoma TANZANIA, kwa sababu ELIMU iligeuka VITA. VITIMBI na MATUKIO ya ajabu ajabu yaliyogubikwa na SINTOFAHAMU isiyoelezeka. Ile ilikuwa ni DALILI MBAYA kwa siku za usoni.

uhuru.jpg

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wamefanikiwa KISIASA na KIUCHUMI na tunaweza kusema kuwa ni miongoni mwa WATANZANIA walionufaika pakubwa na UTAWALA WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.
 
Wakudadavuwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA ni WATU makini na wanafuatilia MAMBO ya TANZANIA kwa undani sana.

Kwahiyo wanafahamu kila kitu kinachoendelea kufanyika nchini TANZANIA, ndio maana wanatoa vipaumbele kwa WATU wao.

Yaani waliakisi utamaduni wa KIINGEREZA na wakafanikiwa na mara nyingi WAINGEREZA huwa wanawaita ni "The ELITE with WESTERN VALUES but not WESTERN LOYALTIES".

Kwahiyo SIASA inayoendelea kufanyika chini ya UTAWALA wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM wanaifahamu, ndio maana waliamua kutulia.

Na wanaendelea kukitumia CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kujijenga KIUCHUMI na KISIASA kwa kuheshimu MAKUBALIANO ya AZIMIO LA TABORA.

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wapo mbali sana KIUCHUMI na wamefanikiwa kuwekeza nje ya TANZANIA ili kuwa na UHAKIKA wa BIASHARA zao.

Lakini uhusika wa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM utategemea kizazi kitakachofuata baada ya watangulizi wao.

Kwani uhusiano ulishaingia DOSARI kwa watoto wao waliosoma TANZANIA, kwa sababu ELIMU iligeuka VITA. VITIMBI na MATUKIO ya ajabu ajabu yaliyogubikwa na SINTOFAHAMU isiyoelezeka. Ile ilikuwa ni DALILI MBAYA kwa siku za usoni.

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wamefanikiwa KISIASA na KIUCHUMI na tunaweza kusema kuwa ni miongoni mwa WATANZANIA walionufaika pakubwa na UTAWALA WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.
Wakudadavuwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walifanikiwa kuakisi utamaduni wa KIINGEREZA na WAINGEREZA huwa wanawaita ni The ELITE with WESTERN VALUES but not WESTERN LOYALTIES. Hao ndio MWASHITA yaani SIMBA.

fd976c157c7a86375c210c6d919d445e.png

Hao MWASHITA yaani SIMBA wana hadhi ya KIUCHUMI inayofanana na VIONGOZI WA MATAIFA YA AFRIKA YA MASHARIKI kwa upande wa KENYA na UGANDA.

Lakini kwa upande wa TANZANIA wana hadhi inayofanana na HAYATI MWALIMU, MZEE RUKSA na MISTER CLEAN. MISTER CLEAN anaingia kwenye hili KUNDI kwa sababu kipindi cha UHAI wake alikuwa anafanya BIASHARA ya pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHINYANGA] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walifanikiwa kupenya hadi ITALIA kwa kuwekeza BIASHARA pamoja na kumiliki TIMU ZA MPIRA WA MIGUU kama AS ROMA, SSC NAPOLI na PARMA CALCIO.

Hizi TIMU ZA SSC NAPOLI na PARMA CALCIO zina mahusiano ya moja kwa moja kama ilivyo kwa TIMU ZA COASTAL UNION FC na SIMBA SC, zote za TANZANIA.

0fb674204bdf3198f61ffe6fb9a8f7d4.png

Hali hiyo ilipelekea hawa MWASHITA yaani SIMBA kuwa na mahusiano ya moja kwa moja na VATIKANI yaani KANISA KATOLIKI na huwa kuna namna yake ambavyo huwa inafanyika.

Sasa cha ajabu na cha kushangaza - hao MWASHITA yaani SIMBA pamoja na kunufaika pakubwa na UTAWALA WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM, bado hawapokei MAKADA WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM wala WAFANYAKAZI WA UMMA kwenye KAMPUNI zao za KIBIASHARA na wala hawachangii FEDHA ZA KAMPENI kipindi cha UCHAGUZI MKUU kwa upande wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

1bb86dbba51b7cac8877df7e0b417958.png

Lakini wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA kwa upande wa NCHI ZA KENYA na UGANDA wanapokea WAFANYAKAZI WA UMMA ikiwemo POLISI kwenye KAMPUNI zao za KIBIASHARA ikiwa na malengo ya kuimarisha ULINZI SHIRIKISHI.

0c534c02dcbb0cfee9ad8faedae4d182.png

Lakini kwa upande wa TANZANIA hamna! Hii inatokana na sababu za KISIASA zinazoendelea kufanyika nchini TANZANIA.

uhuru.jpg

Na kile kitendo kilichofanyika katika SHULE YA SEKONDARI YA UHURU kwenye MATOKEO YA KIDATO CHA NNE [2007] ndio kiliwaondoa MWASHITA yaani SIMBA ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Vile vile wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wanaendelea kusaidia WATU wao kwenye KAMPUNI ZA KIBIASHARA ambazo wanamiliki wao wenyewe.

a730a50d097feffb16fb594d4bf3a501.png

Hii inafanyika kwa makusudi kabisa ili kuhimili SOKO LA USHINDANI yaani COMPETITIVE MARKETS katika nyanja na sekta mbali mbali.

e1abff589b01032a6f527d4bd34511d8.png

Na hivi karibuni wataanza kuajiri WATU wenye ASILI YA ULAYA YA MAGHARIBI pamoja na AMERIKA ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mahusiano ya KIBIASHARA na KIUCHUMI.

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walifanikiwa na wanaendelea kufanikiwa pakubwa sana kwenye BIASHARA, UCHUMI na SIASA kwa kuakisi na kuiga utamaduni wa KIINGEREZA.
 
Wakudadavuwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walifanikiwa kuakisi utamaduni wa KIINGEREZA na WAINGEREZA huwa wanawaita ni The ELITE with WESTERN VALUES but not WESTERN LOYALTIES. Hao ndio MWASHITA yaani SIMBA.

Hao MWASHITA yaani SIMBA wana hadhi ya KIUCHUMI inayofanana na VIONGOZI WA MATAIFA YA AFRIKA YA MASHARIKI kwa upande wa KENYA na UGANDA.

Lakini kwa upande wa TANZANIA wana hadhi inayofanana na HAYATI MWALIMU, MZEE RUKSA na MISTER CLEAN. MISTER CLEAN anaingia kwenye hili KUNDI kwa sababu kipindi cha UHAI wake alikuwa anafanya BIASHARA ya pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHINYANGA] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walifanikiwa kupenya hadi ITALIA kwa kuwekeza BIASHARA pamoja na kumiliki TIMU ZA MPIRA WA MIGUU kama AS ROMA, SSC NAPOLI na PARMA CALCIO.

Hizi TIMU ZA SSC NAPOLI na PARMA CALCIO zina mahusiano ya moja kwa moja kama ilivyo kwa TIMU ZA COASTAL UNION FC na SIMBA SC, zote za TANZANIA.


Hali hiyo ilipelekea hawa MWASHITA yaani SIMBA kuwa na mahusiano ya moja kwa moja na VATIKANI yaani KANISA KATOLIKI na huwa kuna namna yake ambavyo huwa inafanyika.

Sasa cha ajabu na cha kushangaza - hao MWASHITA yaani SIMBA pamoja na kunufaika pakubwa na UTAWALA WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM, bado hawapokei MAKADA WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM wala WAFANYAKAZI WA UMMA kwenye KAMPUNI zao za KIBIASHARA na wala hawachangii FEDHA ZA KAMPENI kipindi cha UCHAGUZI MKUU kwa upande wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Lakini wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA kwa upande wa NCHI ZA KENYA na UGANDA wanapokea WAFANYAKAZI WA UMMA ikiwemo POLISI kwenye KAMPUNI zao za KIBIASHARA ikiwa na malengo ya kuimarisha ULINZI SHIRIKISHI.

Lakini kwa upande wa TANZANIA hamna! Hii inatokana na sababu za KISIASA zinazoendelea kufanyika nchini TANZANIA.

Na kile kitendo kilichofanyika katika SHULE YA SEKONDARI YA UHURU kwenye MATOKEO YA KIDATO CHA NNE [2007] ndio kiliwaondoa MWASHITA yaani SIMBA ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Vile vile wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wanaendelea kusaidia WATU wao kwenye KAMPUNI ZA KIBIASHARA ambazo wanamiliki wao wenyewe.

Hii inafanyika kwa makusudi kabisa ili kuhimili SOKO LA USHINDANI yaani COMPETITIVE MARKETS katika nyanja na sekta mbali mbali.

Na hivi karibuni wataanza kuajiri WATU wenye ASILI YA ULAYA YA MAGHARIBI pamoja na AMERIKA ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mahusiano ya KIBIASHARA na KIUCHUMI.

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walifanikiwa na wanaendelea kufanikiwa pakubwa sana kwenye BIASHARA, UCHUMI na SIASA kwa kuakisi na kuiga utamaduni wa KIINGEREZA.
Wakudadavuwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA kwenye KAMPUNI zao za KIBIASHARA hakuna WATOTO wa VIONGOZI WA SERIKALI wala hakuna WATOTO wa MAKADA WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Yaani hawa MWASHITA yaani SIMBA wanapambana na MFUMO!! Kwenye KAMPUNI zao za KIBIASHARA hakuna WAHITIMU wa zile SHULE zetu pendwa na KANISA KATOLIKI wanafahamu hilo na MADHEHEBU MENGINE YA DINI wanafahamu pia.

f5c838a9c80c7db5a8dc479d3881cd7c.png

Na hii inatokana na REPRESSION AND FALSIFICATION OF PUPILS AND STUDENTS ACADEMIC RESULTS ambayo inaendelea kufanyika pale WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI kwenye IDARA ya BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani NECTA.

Vilevile wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA hawana muingiliano wa MATABAKA yoyote yaani - They are no longer entitled to any SUPREMACY, they are well EQUIPPED and INDEPENDENT.

Ndio maana wanamiliki VYAMA VYA KISIASA! Wanamiliki TAASISI ZA KIDINI! Wanamiliki VIWANDA pamoja na KAMPUNI ZA KIBIASHARA! Wanamiliki SHULE pamoja na VYUO VIKUU! Wanamiliki VITUO VYA TELEVISHENI, MAGAZETI pamoja na RADIO! Wanamiliki TIMU ZA MPIRA WA MIGUU pamoja na SHULE ZA MICHEZO na wana mahusiano mazuri ya KIJAMII kwa upande wa KITAIFA na KIMATAIFA.

ec8f7b181a36cb3f2d635615d646234f.png

Kwahiyo, hawa MWASHITA yaani SIMBA wanafahamu wanachokifanya na wamefanikiwa kwa zaidi ya asilimia mia moja [ 100% ].
 
Wakudadavuwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA kwenye KAMPUNI zao za KIBIASHARA hakuna WATOTO wa VIONGOZI WA SERIKALI wala hakuna WATOTO wa MAKADA WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Yaani hawa MWASHITA yaani SIMBA wanapambana na MFUMO!! Kwenye KAMPUNI zao za KIBIASHARA hakuna WAHITIMU wa zile SHULE zetu pendwa na KANISA KATOLIKI wanafahamu hilo na MADHEHEBU MENGINE YA DINI wanafahamu pia.

Na hii inatokana na REPRESSION AND FALSIFICATION OF PUPILS AND STUDENTS ACADEMIC RESULTS ambayo inaendelea kufanyika pale WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI kwenye IDARA ya BARAZA LA MITIHANI TANZANIA yaani NECTA.

Vilevile wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA hawana muingiliano wa MATABAKA yoyote yaani - They are no longer entitled to any SUPREMACY, they are well EQUIPPED and INDEPENDENT.

Ndio maana wanamiliki VYAMA VYA KISIASA! Wanamiliki TAASISI ZA KIDINI! Wanamiliki VIWANDA pamoja na KAMPUNI ZA KIBIASHARA! Wanamiliki SHULE pamoja na VYUO VIKUU! Wanamiliki VITUO VYA TELEVISHENI, MAGAZETI pamoja na RADIO! Wanamiliki TIMU ZA MPIRA WA MIGUU pamoja na SHULE ZA MICHEZO na wana mahusiano mazuri ya KIJAMII kwa upande wa KITAIFA na KIMATAIFA.


Kwahiyo, hawa MWASHITA yaani SIMBA wanafahamu wanachokifanya na wamefanikiwa kwa zaidi ya asilimia mia moja [ 100% ].
Kwahiyo HAYATI MWALIMU alikuwa anakosea sana, lakini OSCAR SALATHIEL KAMBONA hakupaswa kuchukua hatua au kufanya maamuzi kama yale - kwa sababu HAYATI MWALIMU alikuwa ameshika DOLA na ilikuwa ni vigumu kwenda kinyume na SERIKALI aliyokuwa akiongoza kwa nyakati zile.

-5824375558237171493_120.jpg

HAYATI MWALIMU alipewa UHURU WA TANGANYIKA kwa masharti na makubaliano ya MATAIFA MAKUBWA YA ULAYA. Hayo makubaliano yanaegemea MASILAHI ya MATAIFA MAKUBWA ya ITALIA, UJERUMANI na UINGEREZA.

Ilikuwa ni vigumu kwa KIONGOZI mmoja kuvunja masharti na makubaliano hayo, hata kama HAYATI MWALIMU alikuwa ana makosa - kwa sababu MATAIFA MAKUBWA huwa yanaangalia MASILAHI yao kwanza na tayari hayo MATAIFA MAKUBWA yalikuwa yanaamini MASILAHI yao katika usimamizi wa HAYATI MWALIMU.

Kwahiyo makosa waliyoyafanya wakina OSCAR SALATHIEL KAMBONA na ADAM SAPI MKWAWA ni makosa ambayo yalifananishwa na UHAINI ambao utagharimu vizazi na vizazi vyao.

Hali hiyo ilitaka kufanyika kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA, lakini walijifunza kutokana na makosa ya OSCAR KAMBONA na ADAM SAPI MKWAWA.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliamua kuwa wavumilivu na kujikita zaidi kwenye kujijenga KIUCHUMI na kuwajengea uwezo WATU wao yaani BUILDING CAPACITY TO OUR OWN PEOPLE .

BlackWhite_2022-09-10_22-44-01-034.jpg

Na walifanikiwa pakubwa sana kwa upande wa TANZANIA na AFRIKA YA MASHARIKI kwa ujumla, kwa sababu muda waliotumia kujijenga KIUCHUMI na KISIASA unakadiriwa kuwa ni zaidi ya miongo mitatu, yaani tangu mwaka 1984.

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [ WETCU] yaani MWASHITA wapo mbali sana KIUCHUMI na walipata muda mwingi wa kuandaa WATOTO wao ili kuja kuendeleza pale walipoishia wao.

BlackWhite_2022-09-10_22-49-03-193.jpg

Huyo wa pili kushoto kwa waliosimama ndio kizazi cha MWASHITA yaani SIMBA ambaye ndiye aliyekuja kuwa KINARA wa MTIHANI WA TAIFA WA KIDATO CHA NNE [2007].

Huyo aliyekuwa KINARA wa MTIHANI WA TAIFA WA KIDATO CHA NNE [2007] pia alifanikiwa kuwa RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA DODOMA [UDOM], CoHSS [2012/13].

BlackWhite_2022-09-10_22-47-23-202.jpg

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] wanajaribu kuiga UTAMADUNI wa KIINGEREZA, lakini kuna vitu fulani vinawashinda kama kutengeza "FAMILY TREE" ya KIFALME ndio maana wanaitwa ni The ELITE with WESTERN VALUES but not WESTERN LOYALTIES.

BlackWhite_2022-09-10_23-03-38-478~2.jpg

Lakini MWASHITA yaani SIMBA wamejitahidi kwa kiasi chake! Hali hiyo ni tofauti kabisa na wakina OSCAR SALATHIEL KAMBONA na ADAM SAPI MKWAWA, kwani VIZAZI vyao vinaishi tofauti na watangulizi wao na sio TASWIRA nzuri ya KIUCHUMI kwa sababu ya MAISHA kuwa DUNI.

Labda tutegemee uwepo mpya wa UONGOZI WA KIFALME wa UINGEREZA kwa MATAIFA YA JUMUIYA YA MADOLA, pengine inaweza kuchochea mabadiliko ya KISIASA kwa MATAIFA yaliyotawaliwa na UINGEREZA.

BlackWhite_2022-09-10_23-02-42-513.jpg

Hususani kwa upande wa TANZANIA, kwani GHARAMA ZA UONGOZI zimeonekana kuwa juu sana chini ya UTAWALA wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM. Hali hiyo imepelekea kuwa na uvunjifu mkubwa wa HAKI ZA BINADAMU.
 
flank - Profesa IBRAHIM LIPUMBA anaingia kwenye huu uzi wa miongoni mwa WATANZANIA walionufaika na UTAWALA wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

-5856220915375910565_121.jpg

Kipindi Profesa IBRAHIM LIPUMBA alivyokuwa anarudi TANZANIA kwenye miaka ya tisini [1990's] aliwakuta MWASHITA yaani SIMBA yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] tayari wanamiliki VYAMA VYA KISIASA na Profesa IBRAHIM LIPUMBA alionekana ni TUNU kwa CHAMA CHA WANANCHI - CUF, baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa CHAMA hicho - Ndugu JAMES MAPALALA kustaafu SIASA.

Baada ya Profesa IBRAHIM LIPUMBA kuchukua hatamu ndani ya CHAMA CHA WANANCHI - CUF, alileta mabadiliko makubwa sana ndani ya CHAMA CHA WANANCHI - CUF na kufanikisha kuwa CHAMA KIKUU CHA UPINZANI kwa mwaka 2000 hadi mwaka 2010.

Vilevile, Profesa IBRAHIM LIPUMBA alifanikiwa kuwa WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA kipindi cha MISTER CLEAN na alifanikiwa pakubwa KIUCHUMI BINAFSI.

Kwahiyo Profesa IBRAHIM LIPUMBA na yeye si haba!! Kwani anamiliki BILIONI zake kadhaa na ni tofauti kabisa na Profesa wengine aliowaacha VYUO VIKUU.

Kwani kipindi ambapo wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHINYANGA] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walipoamua kusimama na MISTER CLEAN kwenye SIASA za CHAMA na kufanikiwa kumsimamisha MISTER CLEAN kugombea URAIS kwa tiketi ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM, Profesa IBRAHIM LIPUMBA alikuwa mgombea URAIS kwa tiketi ya CHAMA CHA WANANCHI - CUF.

Hili kundi lilikuwa limejipanga na lilikuwa limetumia GHARAMA kubwa sana za UCHAGUZI WA MWAKA 1995, kiasi ambacho WANASIASA wengine walishindwa kufua dafu na GHARAMA hizo walizirudisha baada ya MISTER CLEAN kuingia IKULU.
 
flank - Profesa IBRAHIM LIPUMBA anaingia kwenye huu uzi wa miongoni mwa WATANZANIA walionufaika na UTAWALA wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Kipindi Profesa IBRAHIM LIPUMBA alivyokuwa anarudi TANZANIA kwenye miaka ya tisini [1990's] aliwakuta MWASHITA yaani SIMBA yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] tayari wanamiliki VYAMA VYA KISIASA na Profesa IBRAHIM LIPUMBA alionekana ni TUNU kwa CHAMA CHA WANANCHI - CUF, baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa CHAMA hicho - Ndugu JAMES MAPALALA kustaafu SIASA.

Baada ya Profesa IBRAHIM LIPUMBA kuchukua hatamu ndani ya CHAMA CHA WANANCHI - CUF, alileta mabadiliko makubwa sana ndani ya CHAMA CHA WANANCHI - CUF na kufanikisha kuwa CHAMA KIKUU CHA UPINZANI kwa mwaka 2000 hadi mwaka 2010.

Vilevile, Profesa IBRAHIM LIPUMBA alifanikiwa kuwa WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA kipindi cha MISTER CLEAN na alifanikiwa pakubwa KIUCHUMI BINAFSI.

Kwahiyo Profesa IBRAHIM LIPUMBA na yeye si haba!! Kwani anamiliki BILIONI zake kadhaa na ni tofauti kabisa na Profesa wengine aliowaacha VYUO VIKUU.

Kwani kipindi ambapo wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHINYANGA] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walipoamua kusimama na MISTER CLEAN kwenye SIASA za CHAMA na kufanikiwa kumsimamisha MISTER CLEAN kugombea URAIS kwa tiketi ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM, Profesa IBRAHIM LIPUMBA alikuwa mgombea URAIS kwa tiketi ya CHAMA CHA WANANCHI - CUF.

Hili kundi lilikuwa limejipanga na lilikuwa limetumia GHARAMA kubwa sana za UCHAGUZI WA MWAKA 1995, kiasi ambacho WANASIASA wengine walishindwa kufua dafu na GHARAMA hizo walizirudisha baada ya MISTER CLEAN kuingia IKULU.
out of point...twaongelea mengine weye unaleta mr clean!! Anatuhusu nini sisi?.......sijui lipumba alikuja...kwahiyo tulie au.....yaani division zero hamjifichagi kabisa popote mnajulikana.
 
out of point...twaongelea mengine weye unaleta mr clean!! Anatuhusu nini sisi?.......sijui lipumba alikuja...kwahiyo tulie au.....yaani division zero hamjifichagi kabisa popote mnajulikana.
Mimi ni ONE iliyo KALI!! Na kama hiyo haitoshi nenda NECTA kaulize eti BEST STUDENT - 2007 kwa KIDATO CHA NNE ni nani?? Watakupa majibu kwa maswali yako 😁😁

Hiyo posti namba 1236 nilikuwa namjibu flank kwenye posti namba 79 - uzi wa Hivi wanafunzi wengi wanaopata ufaulu mkubwa, huwa wanakwenda wapi?.
Akina Lipumba ndo mfano wao. 🏃🏃🏃
Profesa IBRAHIM LIPUMBA alikuwa ni miongoni mwa wasomi wachache walioingia kwenye SIASA ZA TANZANIA kwa kuangalia madhaifu yaliyotokea kipindi cha nyuma dhidi ya HAYATI MWALIMU na wakina OSCAR SALATHIEL KAMBONA pamoja na ADAM SAPI MKWAWA.

Kwahiyo, wale WANASIASA waliyoyatambua hayo mapema walijikita kwenye SIASA wakiwa na malengo ya kujijenga KIUCHUMI na wakafanikiwa pakubwa sana.

Leo Profesa IBRAHIM LIPUMBA hauwezi ukamfananisha na Profesa wengine aliowaacha VYUO VIKUU, kwani amewaacha mbali sana KIUCHUMI.

Hata wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] wapo mbali sana KIUCHUMI. Hilo ndio kundi lililofanikisha kumuweka MISTER CLEAN madarakani kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Kwenye hilo kundi kuna mmoja wao kutoka CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA [WETCU] anamiliki UKWASI unaokadiliwa kuwa na kiasi cha takribani FEDHA ZA KITANZANIA - TRILIONI NANE. Hao ndio wakina SABENA za TABORA na wanamiliki VIWANDA ndani na nje ya TANZANIA kupitia WATU wenye ASILI YA ASIA NA ULAYA. Hawa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA TABORA [WETCU] ndio wanakimbizana kiuchumi na HAYATI MWALIMU.

MTU mwingine ambaye tunaweza kusema, ni yule aliyekuwa anaitwa MISTER ABILITY - huyu alikuwa anatoka CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] na anamiliki UKWASI unaokadiliwa kuwa na kiasi cha takribani FEDHA ZA KITANZANIA - TRILIONI TANO. Hao ndio wakina SIMBA MTOTO za TANGA - kipindi cha miaka ya tisini [1990's] kabla ya kuhamia MOMBASA na kuanzisha kampuni mpya iliyokuwa inaitwa SIMBA COACH ambayo inapatikana KENYA mpaka hivi leo. Hawa ndio wamiliki wa vilabu vikongwe vya mpira wa miguu nchini TANZANIA vya SIMBA SC na DAR YOUNG AFRICANS SC zote za DAR ES SALAAM.

Kwahiyo kufuatia ile HALI YA KISIASA iliyokuwa inaendelea kwa kipindi hicho, WATU wengi waliamua kujikita katika kujijenga KIUCHUMI na wengi wao walifanikiwa akiwemo Profesa IBRAHIM HARUNA LIPUMBA.
 
Uwa napitia uzi huu lakini leo nimeona niulize jambo kwanini uwa unapenda kuhamisha na kupindisha mada? Ao kina Prof.Lipumba na Simba walikuwa sehemu ya mtoa mada? Uoni unaleta uchawa! Rudi kwenye mada au anzisha uzi wako.
 
Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu Nyerere, au story yake ingekua "short lived". Mmoja wa hao watu ni OSCAR KAMBONA.

Nimezaliwa hapa Tanzania miaka ya 90 mpaka nimekua mtu mzima kila kitu ni Nyerere tu. Kambona nilimsikia baadae sana baada ya kusikia kisa cha huyu mtu nikawa interested sana kufuatilia stories zake.

kwa mujibu wa maandiko Kambona alikuwa bega kwa bega na mwalimu ktk kudai uhuru yaani ilikuwa akitoka mwalimu anaefuata ni Kambona lakini huwezi sikia hichi kitu kinasemwa waziwazi na pengine bila mawazo na support ya Kambona mwalimu "angefeli vibaya mno".

Kambona ndio mtu aliezima mapinduzi yalioilenga serikali ya Nyerere kutoka kwa askari waliotaka kuasi, yaani kwa ufupi ni kwamba Nyerere asingeendelea kuwa mtawala wa nchi hii kama sio Kambona.

Kambona aliona mbali kuliko mwalimu Tanzania ya sasa ndio aliyoiona Kambona lakini mwalimu alipinga, Kambona aliona ubepari ndio utafanya kazi lakini mwalimu aliona ujamaa ndio unafaa, mwalimu "failed miserably" akatupeleka chaka mpaka leo we still pay for his "grave mistake".

Mwalimu alikuwa mbishi na aliamini kwamba yeye ndio ana maono bora kuliko wengine, chochote kile ambacho kilikuwa hakiendani na sera zake alikipinga hata kama kilikuwa "viable".

Fikiria mtu mmoja tu kaenda Urusi akafurahishwa na mfumo wa ujamaa akaja kuufanyia "experiment" hapa nchini na ukafeli kwa sababu alikataa kusikiliza maoni ya watu wengine, kwa wakati huo mwalimu ndio alikuwa "kila kitu".

Kambona akatofautiana na mwalimu , yeye alitaka ubepari mwalimu alitaka ujamaa. Kutokana na ushawishi mwalimu alishinda japo Kambona ndie aliyekua sahihi lakini hawakumskiliza.

Baadae mwalimu alijua amekosea akaturudisha kwenye Ubepari na bado akaonekana ni "hero" . Kitu ambacho Oscar alikiona miaka kadhaa kabla wakati huo mwalimu alikuwa "blind" almost everyone was blind except the very few including Kambona.

Haya leo 2021, TZ hii ya leo ndio Kambona aliyoiona na tumechelewa sana, kwa mtazamo wangu bado tupo nyuma kwa miaka 15 kutokana na sera mbovu Mwalimu nyerere.

Wote ni marehemu wapumzike kwa amani lakini, mwisho wa siku Oscar Kambona ndio AMESHINDA!!!!! Kwangu mimi shujaa wa kweli nchi hii ni OSCAR KAMBONA na sio mwalimu! Na ndio mtu muhimu sana sawa na mwalimu lakini ndio aliesahaulikia kuliko wote nchi hii

Natamani Watanzania wengi tuliozaliwa miaka ya 90 tujue habari za huyu shujaa ambaye ni co-founder wa hii nchi kwangu mimi alichangia 50% ktk kutengeneza taifa hili sawasawa na mwalimu, yaani ni kama vile "stive wozniak na stive jobs", steve jobs alitumia akili za stive wozniak na credit akajiapa yeye mwenyewe

Aliyeweka Nyerere day kama public holiday alitumia vigezo gani ilihali si kweli kwamba Nyerere ndie mtu pekee aliepigania uhuru wa nchi hii

Ukiniambia nichague kati ya Nyerere na Kambona itakua ni Kambona always

UPDATE:
Watu wengi kwenye comments wanasema kwamba ujamaa ulituleta karibu, lakini ujamaa huohuo ndio uliotuletea umaskini, kwa hiyo logic yake ni kwamba mwalimu alichagua umaskini na umoja dhidi ya maendeleo ambayo hatuna uhakika kama yangetugawa, lakini kabla ya yote Kambona alimshauri kwamba kabla ya ku adopt ujamaa tuufanyie kwanza majaribio , tutengeneze vijiji vichache ambavyo vitaishi kijamaa ili tuone hii system itafanya kazi lakini mwalimu alikataa akaiingiza moja kwa moja bila kujua risks zake ni nini kitu ambacho kambona alishakiona


"Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had"
refence:

====

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!!

Christopher Makwaia

WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.10.jpeg

1. Usuli
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwà na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo, Rev. DAVID KAMBONA na Bi. MARIAM KAMBONA, wakampa mtoto huyo jina la OSCAR SATHIEL DAVID KAMBONA. Mvua na radi hiyo, kwa mujibu wa mila za kijijini hapo, "nyumbi hii, bombi hii", ilikuwa ni baraka na ishara kuwa mtoto huyo atakujakuwa wa kipekee.

2. Elimu Chini ya Mwembe
KAMBONA, tofauti na watoto wengine, hakusomea shuleni elimu ya awali bali alifundishwa na wazazi wake pamoja na mjomba wake ambao wote walikuwa walimu. Mafunzo hayo ya awali yalikuwa yakifanyika chini ya mwembe huku chai na mihogo vikiwa pembeni.

3. Elimu ya "Middle School"
Baadae KAMBONA alipelekwa shule ya Kati ya Mt. Barnabas, Liuli. Akiwa shuleni hapo, KAMBONA alikuwa kipanga na "aliwatimulia vumbi" wanafunzi wote kwa miaka yote alipokuwa shuleni hapo.

4. Alliance Sec. School
KAMBONA alifaulu vizuri mitihani yake na akachaguliwa kujiunga na "Alliance Sec. School", Idodomia ambayo baadae ikajaitwa Mazengo Sec. School. Almanusra KAMBONA asiendelee na masomo kwani baba yake hakuwa na uwezo wa kulipa £ 30 kwa mwaka. Uwezo wa KAMBONA "kutema yai" ndio uliomponya kwani alifanikiwa kumshawishi Askofu kumlipia ada hiyo baada ya kusali Sala ya Baba Yetu kwa Kiingereza!.

5. Tabora Boyz Sec. School
KAMBONA alisoma shule hii pamoja na J. Lusinde, E. Mzena, B. Ngwilulupi, A. Nsekela, A. Nyirenda na K. Chiume. Ni akiwa shuleni hapo ndipo kwa mara ya kwanza, KAMBONA alionana na NYERERE aliyekuwa akifundisha St. Marys, Tabora.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25281%2529.jpeg

6. Ualimu Alliance Sec. School
Baadae, KAMBONA alienda kufundisha shule hii na akakutana na J. Lusinde na K. Chiume na baadae akawa "Schoolmaster".

7. KAMBONA akutana na NYERERE tena
KAMBONA alikutana na NYERERE kwa mara ya 2 kwenye Mkutano wa taifa wa waalimu mwaka 1954.

8. KAMBONA Ajiunga TANU
Mwaka 1955, KAMBONA alijiunga na TANU iliyozaliwa tarehe 7.7.1954 na akaonesha bidii kubwa huku akifanya kazi kwa kujitolea kwani TANU haikuwa na fedha. Bidii yake ilipelekea kuwa Katibu Mkuu wa TANU.

9. KAMBONA Awaingiza TANU Watanganyika 100,000
KAMBONA alitembea nchi nzima kwa miezi 6 akionana na Machifu na wanavijiji na kufanikiwa kuingiza wanachama 10,000. Baadae akiendelea na harakati hizo na baada ya miezi 12 akawa ameingiza wanachama 100,000. Viongozi wenzake wa TANU walimpongeza sana kwani TANU ikawa inaenea kwa kasi sana.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25282%2529.jpeg

10. KAMBONA Afungua Akaunti ya Kwanza ya TANU
KAMBONA alikuwa na mawazo ya kimaendeleo kwani kutokana na michango ya wanachama aliweza kufungua akaunti ya kwanza ya TANU. Kwa hakika, hili lilikuwa ni jambo la kihistoria.

11. KAMBONA afuma "Governor's Scholarship" kusomea Sheria, UK
Mwaka 1957, KAMBONA alipata fursa ya kwenda UK kusomea LLB kwa miaka 3 na hivyo akaenda huko.

12. KAMBONA Awa Mtangazaji wa 1 wa Kiswahili BBC 1957
Tarehe 27.6.1957, KAMBONA aliweka historia kwa kutangaza Kiswahili BBC kwa mara ya 1 akisema-: "Hapa ni London, kwa mara ya kwanza BBC inawaletea habari kwa Kiswahili wananchi wa Afrika Mashariki. Asalaam Aleikhum".

13. KAMBONA awa Mwenyekiti wa TANU London
Kutokana na talanta yake kubwa ya uongozi, KAMBONA alichaguliwa kuwa Kiongozi wa wanafunzi chuoni na Mwenyekiti wa Tawi la TANU, London.

14. KAMBONA na NYERERE Washeachumba Chuoni London
Kati ya tarehe 26.6.1959 na 7.8.1959, NYERERE alikwenda UK kwa matayarisho ya uhuru wa Tanganyika na akalala chumba kimoja na KAMBONA ambaye walikuwa "wameshibana" sana. Katika "Press Conference" ya 1991 KAMBONA alisema- "TANU haikuwa na hela hivyo ili kubana matumizi, nikakaa na NYERERE room yangu chuoni na hii ilisaidia tuwe na muda mwingi wa majadiliano".

15. KAMBONA Amuoa MISS Tanganyika
Tarehe 19.11.1960, KAMBONA alimuoa Miss Tanganyika mrembo, Bi. FLORA MORIYO toka Kilimanjaro. Harusi hiyo ya kukata na shoka ilifanyika St. Paul Cathedral, London na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 400. NYERERE alikuwa ndiye msimamizi aliyemsindikiza Bi. FLORA altareni. Ilikuwa ni harusi ya kwanza ya watu weusi kanisani hapo na ilitoka kwenye magazeti mbalimbali ya Ulaya.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.12.jpeg

16. KAMBONA Arejea Bongo
KAMBONA alirejea Bongo kuendelea na harakati za uhuru akihudumu kama Waziri wa Elimu na Katibu Mkuu wa TANU.

17. KAMBONA Awa Waziri wa 1 wa Mambo ya Nje
Katika Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika, KAMBONA aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi.

18. KAMBONA Kipenzi cha 2 cha Wananchi baada ya NYERERE
KAMBONA alipendwa sana nchini kwani alikuwa msomi, mwanasiasa hodari, mtanashati na vijana wengi walimuiga staili yake ya nywele "KAMBONA Style". Kwa hakika, KAMBONA alipendwa sana.

19. KAMBONA- Kiongozi PEKEE Aliyewakabili Waasi, 1964
Usiku wa tarehe 19.1.1964, askari wa kambi ya Colito(Lugalo) waliasi wakidai marupurupu na nafasi za juu za vyeo kwa Waafrika. Rais NYERERE na Mh. RASHID MFAUME KAWAWA walitoroshwa na mlinzi wao, PETER BWIMBWO usiku wa manani hadi Kigamboni na kufichwa kwenye nyumbaya Mzee KIZWEZWE.

Mawaziri wote walibanisha makwao baada ya kupigiwa simu na Mh. J. LUSINDE, Waziri wa Mambo ya Ndani, kuhofia usalama wao. KAMBONA ndiye pekee aliyeingia "fronti" kwani si tu raia waliokuwa wakimpenda bali pia askari. Waasi walionekana kutulia baada ya mambo yao kuwekwa sawa lakini baada ya Rais NYERERE kuibukia Ikulu toka mafichoni baada ya siku 3, waasi "wakalianzisha" tena hivyo ikabidi maasi hayo yalizimwe kwa msaada wa Waingereza na baadae Wanaijeria.

20. KAMBONA Ashuhudia mchakato wa Muungano 1964
KAMBONA alikuwa ni mmoja wa mawaziri wachache sana waliokuwa wakijua mchakato wote wa muungano kwa undani na pia alishuhudia utiaji saini hati za muungano huko Zenji, tarehe 22.4.1964 kati ya Rais NYERERE na Rais wa Zanzibar, Mh. ABEID AMAN KARUME.

21. KAMBONA Atofautiana na NYERERE Mfumo wa Chama Kimoja
Baada ya ziara ya China 1965, NYERERE alivutiwa na "alikuwaameoza" kwa siasa za China na mfumo wao wa siasa hivyo akaunda Tume tarehe 28.1.1964 ili ipendekeze mfumo gani unaifaa nchi yetu. Tume hiyo ilikuwa chini ya Mh. KAWAWA ikapendekeza mfumo wa chama kimoja. KAMBONA, ambaye daima alikuwa hapepesi macho wala hayumbishwi, aliweka kunji na kutosaini ripoti hiyo na badala yake akatayarisha ripoti yake ya kutaka mfumo wa vyama vingi na NYERERE akahuzunishwa sana na msimamo huo wa KAMBONA.

Kipindi hiki NYERERE aliishamuondoa KAMBONA kwenye wizara zile nyeti.

22. NYERERE "Amchana" kiaina KAMBONA 77 ya 1966
Tarehe 7.7.1966, NYERERE, akihutubia Taifa katika sherehe za 77, NYERERE alitumia mafumbo "kumpa za uso" KAMBONA ambapo alisema viongozi wanaonekana kujipatia mali nyingi kiajabu hawafai hata kidogo.

23. KAMBONA Ajiuzulu u-Waziri na U-Katibu Mkuu TANU 1967
Tarehe 9.6.1967, KAMBONA alibwaga manyanga kwa kujiuzulu U-Katibu Mkuu wa TANU na Uwaziri wa Serikali za Mitaa na Maendeleo Vijijini ambapo alitaja sababu za kiafya kuwa ndizo zilipelekea achukue uamuzi huo.

24. KAMBONA Atorokea Kenya, 1967 ki-James Bond !!
Kwakuwa KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mjini, alitonywa kwamba kuna mpango wa kumkamata na kumsweka kizuizini.
Hivyo, usiku wa kuamkia tarehe 26.7.1967, KAMBONA, mkewe, watoto wake 2 na msaidizi wa kazi walifunga virago na ku-drive hadi Kenya kwa staili ya "James Bond"! Watu wengi walipigwa butwaa ni kwq vipi aliweza kutoroka bila kubambwa!.

Usiku wa siku hiyo jijini Nairobi, KAMBONA na familia yake walikwea "pipa" East African Airways Flight 720 kwenda "Kwa Mama, huku, huku nyuma ikadaiwa alitoroka na mamilioni ya fedha!.

25. NYERERE Aelezea "Kusepa" kwa KAMBONA
Siku chache baada ya KAMBONA "kula kona", NYERERE, akiongea na viongozi wa TANU Morogoro, alisema : "Itachukua muda mrefu kufahamu sababu za Bw. KAMBONA kujiuzulu, lakini jambo moja ni dhahiri; KAMBONA amenidanganya mimi, TANU, TZ na Afrika".

26. KAMBONA Ajitetea UK
Baada ya kusikia vijineno kwamba amesepa na mamilioni, tarehe 6.9.1967, KAMBONA alikanusha vikali na kuitaka serikali ya Tanzania iwasiliane na ya Kenya kupata uthibitisho kitu ambacho serikali ya TZ hakikufanyika.

27. OTTIN na MATTIYA KAMBONA "Wasukumiziwa Ndani",1967
Hawa wadogo zake KAMBONA walionja "joto ya jiwe" kwani walinyakwa usiku tarehe 30.12.1967 na kuwekwa kizuizini, Ukonga.
Familia zao zikasambaratika vibaya sana kufuatia kukamatwa kwao. OTTIN alikuwa ni "Journalist" na MATTIYA alikuwa mfanyakazi Wizara ya Kilimo. OTTIN alikuwa amemuoa raia wa Martinique na walikuwa na watoto 2 wadogo na MATTIYA alikuwa amemuoa Mgambia wakiwa na mtoto wa miezi 3 tu. Wanawake hao walifukuziliwa mbali na kurudishwa makwao pamoja na watoto wao!.

28. KAWAWA "Amchana" KAMBONA Bungeni, 1968
Jumanne ya tarehe 23.1.1968, KAWAWA, 2nd VP, alilitaarifu Bunge:
"Wote mnajua kwamba Bw. KAMBONA aliikimbia nchi mwaka jana, 1967. Kabla hajaondoka, tarehe 6.12.1966, TZS 500.000/= ziliingizwa kwenye akaunti yake toka benki moja ya Uingereza. Uchunguzi wa BOT toka KAMBONA atoroke umeonesha kuwa tangu Juni 1965 na Desemba 1966, KAMBONA aliingiza katika akaunti yake jijini Dsm TZS 896,800/=. Kambona pia alikuwa anamiliki majumba mengi (Nyumba Magomeni-Plot No. 21,39 31), (Kunduchi bichi-Plot No.28), (Msasani bichi -Plot No. 92), (Morogoro-Plot No. 89) ns (Songea-Plot No.21)".

29. KAMBONA Amchana NYERERE nchini Nigeria, 1968
Baada ya TZ kuitambua Biafra, serikali ya Rais YAKUB GOWON ilikasirishwa sana hivyo ilimwalika KAMBONA aichafue TZ . Kwahakika, "jipu likawa limepata mkunaji" Hivyo, KAMBONA akaenda na kutoa muadhara Lagos tarehe 14.6.1968 ambapo "alimchana" vilivyo Rais NYERERE na kumwita dikteta. KAMBONA akaonesha kukosa uzalendo kwa taifa lake pale alipozomoka, bila ushahidi, kwamba TZ imepeleka vifaa vya kijeshi Biafra badala ya Zimbabwe!.

30. TANU "Yamfyekelea mbali" KAMBONA
NEC ya TANU iliyokuwa ikiketi Tanga, tarehe 19.10.1968, ilimvua uanachama KAMBONA pamoja na wabunge wengine 8 "Vichwa-maji" waliohoji uhalali wa TANU kuwa juu ya Bunge. Wabunge hao ni W. Mwakitwange, M. Choga, S. Kibuga, J. Bakampenja, E. Anangisye, G. Kaneno na Dr. F. Masha.

31. NYERERE "Amchana" tena KAMBONA, 1969
Tarehe 12.1.1969 kwenye sherehe za Mapinduzi Znz, NYERERE "alimuwakia" KAMBONA na kusema- "KAMBONA ni mwizi na mhuni kisiasa.

32. KAMBONA Akejeliwa Mashuleni na Majeshini
Nyimbo nyingi za kumkejeli KAMBONA zilitungwa majeshini na mashuleni lakini zilizokuwa maarufu ni hizi 2:
1. KAOMBONA Kaolewa wapi....? Kwa Wazungu...Kisa nini?...Tamaa ya Mali!

2. Alimselema ...alija, akija KAMBONA chinja... chinjilia mbali..!!.

33. KAMBONA Adaiwa ni _"Mastermind"_wa Uhaini, 1969
Mwaka 1969, KAMBONA alidaiwa kuwa "Mastermind" wa uhaini. Mashitaka yalikuwa kwamba washtakiwa 7 wakishirikiana na KAMBONA kati ya Machi 1968 na Octoba 1969, walitaka kumuua Rais NYERERE na kuipindua serikali. Washtakiwa hao 7 ni (Bibi Titi Mohamed , Michael Kamaliza, Gray Mattaka, John na Eliya Chipaka, Capt A. Milinga na W. Chacha).

Kesi ilianza kurindima Jumatatu tarehe 6.6.1970 na ilisikilizwa na Jaji Mkuu Georges na iliendeshwa na AG Mark Bomani. Wanafunzi wa Sekondari Tambaza(F.V Arts akiwepo Othman Chande, Jaji Mkuu wa 7) walikuwa wakijongo vipindi kwenda kortin kushuhudia kesi hii iliyokuwa na mvuto wa aina yake.

Washtakiwa wote walitiwa hatiani kasoro A. Milinga na KAMBONA ambaye hakuwepo. M. Kamaliza na mwenzake walipigwa "mvua" 10 na wengine walifungwa maisha na Bibi Titi akapata msamaha 1972.

34. OTTIN MATTIYA Waachiwa 1978
Tarehe 5.2.1978, katika kusheherekea mwaka 1 wa kuzaliwa CCM, NYERERE, akitumia ibaracya 45 ya Katiba, aliwaachia huru OTTIN na MATTIYA pamoja na JOSEPH KASELABANTU( Mwasisi wa TANU).
OTTIN na MATTIYA, baada ya kugundua familia zao hazipo, wakaona Bongo hamna ishu nao wakaamua pia kusepa. Walivuka mpaka wa TZ na Kenya usiku Kininja kwani mpaka huo ulikuwa umefungwa kutokana na uhasama bainavya TZ na Kenya na wakaelekea UK.

35. NYERERE NA KAMBONA walikuwa majirani Msasani
Baada ya KAMBONA kuondoka nchini 1967, nyumba yake ikawa inakaliwa na Rais MILTON OBOTE kwa takribani miaka 10 baada ya kupinduliwa na Nduli IDD AMIN, 1971.

36. Vyama Vingi vyaanzishwa Bongo, KAMBONA ataka kurejea
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa mwaka 1992, KAMBONA akiwa London alisema, ije mvua, lije jua, anarejea kwenye Taifa lake. Serikali ikamuonya kuwa asithubutu na akijifanya fyatu au kichwa-maji akatia pua yake tu Bongo, "hakuna rangi ataacha kuiona".

37. KAMBONA Aitunishia msuli serikali, Atinga Bongo
KAMBONA aliamua kuwa kama "Mbwai, mbwai tu" hivyo akaonesha "Shoo za kibabe" na kurejea nchini akisafiria nyaraka za Umoja wa Mataifa zilizotolewa na serikali ya UK. Aliporejea hakukamatwa na badala yake, tarehe 4.9.1992, serikali ilimpa miezi 3 aweke sawa uraia wake kwakuwa ni Mmalawi! Miezi hiyo iliisha tarehe 4.12.1992 na serikali "ikaufyata" kwani haikumfanya kitu chochote!.

38. KAMBONA aeleza sababu za kutoroka, 1967:
Baada ya kurejea nchini, KAMBONA alikata kiu ya wote waliotaka kujua kilichopelekea asepe "Kwa Mama" ni nini ambapo alitiririka:
"Mimi na NYERERE tumetoka mbali. Sisi ndio tuliokuwa Viongozi wakuu wa TANU; Yeye Mwenyekiti, mimi Katibu Mkuu. NYERERE aliporudi toka China 1965 alitaka kuleta sera za China na mfumo wa chama kimoja. Nikapingana nae.."

39. KAMBONA Aeleza alichokuwa akifanya UK
Wiki 2 baada ya kurejea nchini, KAMBONA alitiririka kitu alichokuwa akifanya nchini Uingereza kwa miaka 25 aliyoishi huko ambapo alisema- "I did business. I used to go to the Arab countries but this did not last. I then depended on income support from Britain. Every Tuesday You take your book to the Post office...

40. KAMBONA atishia "Kumwaga ugali na mboga" kuhusu NYERERE
Badala ya kushugulikia uraia, KAMBONA akaendeleza bifu lake na NYERERE ambapo alisema anataka kufanya mkutano mkubwa viwanja vya Jangwani ili aeleze ufisadi wa NYERERE. Mapadri na masheikh walimsihi sana lakini akashikilia msimamo wake.

41. KAMBONA Ambwelambwela Jangwani,1992
Tarehe 21.11.1992, viwanja vya Jangwani viliweka rekodi kutokana na umati mkubwa wa "wapenda ubuyu" uliojitokeza toka mida ya mchana kulisikia Jabali hilo litaeleza nini kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu NYERERERE.

KAMBONA aliwaboa sana 90% ya waliohudhuria kwani alidai, bila ushahidi, kuwa NYERERE, AMIR JAMAL na KAWAWA wameficha mamilioni ya fedha mabenki ya Ulaya. KAMBONA akaenda mbali na kudai NYERERE ni Mtutsi, KAWAWA na MKAPA ni watu wa Msumbiji na MALECELA ni Mcongoman!. Ikaonekana ni hekaya za Abunuwasi na hadithi za Esopo tu!.

42. NYERERE Amjibu KAMBONA
NYERERE, siku chache baadaye akiwa Msasani, aling'aka- "Mimi ni lofa. I dont have a single penny abroad, I can assure you. Kama RASHID na AMIR hawawekwi kundi la watu waaminifu duniani, labda neno uaminifu ni neno tu, halina maana. Hawa ni waaminifu sana. Pia, mimi sipendi kuhusishwa na mambo ya kijingajinga. Ni makosa kushindana na kundi la wapumbavu. Kambona alete ushahidi maana "any blessed fool could stand up there" na kusema chochote".

43. MAWAKILI wamchimba Mkwara-Mbuzi KAMBONA
Baada ya KAMBONA kutoa kashfa dhidi ya viongozi hao mashuhuri nchini, mawakili wa Viongozi hao walimpa siku 14 toka tarehe 8.12.1992 kuomba radhi au kutoa ushahidi.

KAMBONA aliwajibu kuwa _"Mtu mzima hatishiwi nyau"_na akachekesha watu pale alipodai _"Nondo" zake kuhusu "bank accounts" za viongozi hao amezisahau UK!.

44. KAMBONA Aunda TADEA
KAMBONA aliunda chama cha TADEA ambacho hakikuleta upinzani wowote wa maana.

45. KAMBONA afariki London, 1997
KAMBONA alifariki jijini London mwaka 1997 na mwili wake kuletwa nchini na kupokelewa na ndugu zake na kiongozi wa serikali, Mh. J.M. KIKWETE, Waziri wa Mambo ya Nje. Rafiki yake NYERERE hawakuwahi kuonana toka atoroke mwaka 1967 na wala hakwenda kwenye mazishi yake.

46. RAIS KIKWETE Akutana na Mke wa KAMBONA, 2007
Tarehe 28.6.2007 katika hotel ya Kilimanjaro Kempisk, Rais wa awamu ya nne, Mh. JK alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 50 ya BBC KISWAHILI. Mh. JK, akiwa na mcheshi na mwenye bashasha kama kawaida yake, alikutana na kusalimiana na Bi. FLORA KAMBONA ambaye alikuwa mgeni mahsusi kwani mmewe, KAMBONA ndiye aliyekuwa Mtangazaji wa 1 wa BBC Kiswahili, 1957.

46. MWISHO:
Huyu ndiye OSCAR SATIEL DAVID KAMBONA aliyekuwa chanda na pete na Mwalimu NYERERE lakini mwisho wakawa maadui wasio na mfanowe!.

Tafakuri Tunduizi:
ATIKALI HII YA KUKATA NA SHOKA ina Tafakuri Tunduizi 100!!!

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!! - MICHUZI BLOG (issamichuzi.blogspot.com)

Oscar Kambona - Wikipedia
View attachment 1983785
Hii mada huwa nasoma kichwa cha habari tu, sijawahi kupata muda mzuri wa kuisoma kwa utulivu.

Na inaonekana huwa kuna mpango maalum wa kuwa inasogezwa mara kwa mara ili iendelee kuwepo jukwaani.

Nadhani kuna umuhimu kwangu kutumia muda wa kuisoma nione kilichomo, lakini kwa kutumia kichwa cha habari pekee, tayari naona kuna matatizo na mada yenyewe. kwa mambo kadhaa:
Mosi - Kwani Tanzania ya leo ikoje aliyoiona Kambona. Huu ni mfano mzuri wa kuutumia katika kujenga hoja?

Pili - Kuna ushahidi wowote wa kimaandishi, hotuba yanayothibitisha maono ya Kambona?

Ninavyo, hii ni mada ya ku'promote' sifa zisizokuwepo ili mtu aonekane kuwa na uwezo ambao hauna ushahidi juu yake.

Nitaondoa uvivu moja ya siku hizi za karibuni nizame kwenye mada.
 
Back
Top Bottom