Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Umeingia kwenye gusa unate
Kuanzia sasa atakukwoti mwezi na hio hio posti yako moja
37fef51e5e1e36a27d52e28a99c3a8ea.png

Staili anayotumia TRISH ADUDU kutangaza vipindi vya radio na televisheni, alifanikiwa kuiga na kukopi mtangazaji mmoja wa kutoka katika moja ya kituo cha televisheni kinachopatikana nchini TANZANIA.
 
Umeingia kwenye gusa unate
Kuanzia sasa atakukwoti mwezi na hio hio posti yako moja
Hawa JAMII YA MWASHITA wapo juu sana, baada ya kina TRISH ADUDU walikuja wakina DENISE LEWIS OBE.

bf5aa69ae29f77f8d7a64d38cd83b6f6.png

Huyu DENISE LEWIS OBE ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na alishawahi kushinda medali ya dhahabu katika michuano ya OLIMPIKI iliyofanyika mwaka 2000 katika JIJI LA SYDNEY, nchini AUSTRALIA.

c293a617c7e101fa5c55693499cdbe97.png

Hawa ndiyo wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA kutoka katika ile WILAYA YA KISHAPU.

28236e9adc14f78fb9df446809d0b38f.png

Kuna wengine kama wakina JUSTIN GATLIN ambao waliweza kushiriki michuano ya OLIMPIKI katika kipindi cha miaka ya nyuma na walikuwa wanakilisha TAIFA LA MAREKANI.

bc9ad5d49b22b1fe3d9cf2d941d2ee81.png

Hawa wote wanapatikana katika MAJESHI YA ULINZI na USALAMA kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA. Ndiyo maana tunasema kuna umuhimu wa kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA!

Huyu JUSTIN GATLIN alishawahi kuweka rekodi ya dunia kwa kukimbia kwa spidi kubwa kuliko wote. Rekodi hiyo ilikuja kuvunjwa na USAIN BOLT kwenye miaka ya elfu mbili na kumi [2010's].

7a8e5d2b8c6067baa660a5db0653050a.png

Huyu USAIN BOLT alivunja rekodi ya JUSTIN GATLIN akiwa anawakilisha TAIFA LA JAMAIKA katika michuano ya OLIMPIKI, ijapokuwa yeye ni MKONGOMANI kwa asili.

b153cf69e4982b63d0436acb0ecacc85.png

Kwahiyo hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA, hasa MKOA WA SHINYANGA wanamiliki UCHUMI wao na wanaifahamu SIASA YA TANZANIA tangu siku nyingi na ndiyo waliofanikiwa kumuweka DR ALI MOHAMED SHEIN kuwa RAIS WA AWAMU YA SABA WA BARAZA LA MAPINDUZI YA ZANZIBARI.

ad65e337681a5c8fd1fd2715742de89d.png

DR ALI MOHAMED SHEIN ni mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU na alizaliwa katika hospitali ya MWADUI, sehemu ambayo unapatikana MGODI WA ALMASI.

23a51cfb1cba07e81d92e8b65e7099a4.png

Pasingelikuwepo na utamaduni wa kupokezana vijiti ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na TANZANIA kwa ujumla, DR ALI MOHAMED SHEIN alikuwa anafaa kuwa RAIS WA AWAMU YA TANO kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.
 

Pia kipindi fulani cha miaka ya nyuma, kulikuwa kuna MSANII WA TAARABU aliyekuwa anaitwa ISSA MATONA [the late] na yeye alikuwa miongoni mwa MAJESHI YA ULINZI na USALAMA kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.

NYIMBO na TUNGO alizokuwa anaimba zilikuwa zimetawaliwa na MAFUMBO yanayohusu SERIKALI YA TANZANIA. Mfano ni ile nyimbo ya KIMASOMASO, MKE KUMPA TALAKA na ULONAE 👏🏽
 
Umeingia kwenye gusa unate
Kuanzia sasa atakukwoti mwezi na hio hio posti yako moja
Kuna FILAMU nyingine inayoitwa OPPENHEIMER ambayo ilitoka mwanzoni mwa mwaka 2024. Hii FILAMU YA OPPENHEIMER inaeleza namna ambavyo MAJESHI YA ULINZI na USALAMA yanavyotakiwa kuwa katika namna ya kuajiri WATU na kufanya tafiti mbalimbali.


Ile namna ya kutumia 6WH1, wameweza kueleza na kutumia vizuri katika hiyo FILAMU YA OPPENHEIMER.

IMG_20240824_083815.jpg

Sasa ukitumia ile kanuni ya 6WH1, kama walivyokuwa wanatumia kwenye FILAMU YA OPPENHEIMER ndiyo utaelewa vizuri SIASA ZA TANZANIA, VYAMA VYA SIASA pamoja na watu wake.

IMG_20240824_112738.jpg

Ule MKOA WA SHINYANGA umetoa VIONGOZI WA KITAIFA wengi sana kwa upande wa TANZANIA BARA na hata VISIWANI, kuanzia NAFASI YA URAIS, MAKAMU WA URAIS, WAZIRI MKUU na hata NAFASI YA KIONGOZI WA BUNGE.

_20240824_113621.JPG

Na ukijaribu kuangalia ni kweli HAYATI MWALIMU alikosea sana na OSCAR KAMBONA alikuwa sahihi. Lakini ni nani aliyekuwa nyuma ya uongozi wa HAYATI MWALIMU na nani aliyekuwa nyuma ya kufadhili na kudhamini shughuli za kisiasa kwa upande wa CHAMA CHA TANU na hatimaye CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

_20240824_113317.JPG

Haya maswali yote, majibu yake yanapatikana baada ya kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA - kwa sababu masuala mengine hauwezi kayapata URAIANI.
 
Kuna FILAMU nyingine inayoitwa OPPENHEIMER ambayo ilitoka mwanzoni mwa mwaka 2024. Hii FILAMU YA OPPENHEIMER inaeleza namna ambavyo MAJESHI YA ULINZI na USALAMA yanavyotakiwa kuwa katika namna ya kuajiri WATU na kufanya tafiti mbalimbali.


Ile namna ya kutumia 6WH1, wameweza kueleza na kutumia vizuri katika hiyo FILAMU YA OPPENHEIMER.

Sasa ukitumia ile kanuni ya 6WH1, kama walivyokuwa wanatumia kwenye FILAMU YA OPPENHEIMER ndiyo utaelewa vizuri SIASA ZA TANZANIA, VYAMA VYA SIASA pamoja na watu wake.


Ule MKOA WA SHINYANGA umetoa VIONGOZI WA KITAIFA wengi sana kwa upande wa TANZANIA BARA na hata VISIWANI, kuanzia NAFASI YA URAIS, MAKAMU WA URAIS, WAZIRI MKUU na hata NAFASI YA KIONGOZI WA BUNGE.


Na ukijaribu kuangalia ni kweli HAYATI MWALIMU alikosea sana na OSCAR KAMBONA alikuwa sahihi. Lakini ni nani aliyekuwa nyuma ya uongozi wa HAYATI MWALIMU na nani aliyekuwa nyuma ya kufadhili na kudhamini shughuli za kisiasa kwa upande wa CHAMA CHA TANU na hatimaye CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].


Haya maswali yote, majibu yake yanapatikana baada ya kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA - kwa sababu masuala mengine hauwezi kayapata URAIANI.

Wewe mwenyew huna majibu daaahhhh, bongo kila mtu msanii
 
Wewe mwenyew huna majibu daaahhhh, bongo kila mtu msanii
Mimi sifahamu, lakini kuna mengi ya kushangaza yaliyokuwa yakifanyika kipindi cha HAYATI MWALIMU.

1d584d111a792480d20e8fe12c722956(1).png

Hadi HAYATI KAWAWA ambaye alikuwa WAZIRI MKUU mara mbili - WAZIRI MKUU [1962] baada ya HAYATI MWALIMU kujiuzulu, akawa tena WAZIRI MKUU WA TANZANIA [1972 - 1977].

Pia aliwahi kuwa WAZIRI WA ULINZI [1977 - 1980]. Sasa kwa kutumia 6WH1, kuna nini katika MKOA WA SHINYANGA?

abd922f3464e090acba94023e24827d1.png

Nani aliyekuwa nyuma ya kufadhili na kudhamini shughuli za kisiasa katika CHAMA CHA TANU na hatimaye CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]?

8c45721775a18ee633a99f4db1e39009.png

Haya maswali yote, majibu yake yanapatikana baada ya kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA - kwa sababu masuala mengine hauwezi kuyapata URAIANI.
 
Wewe mwenyew huna majibu daaahhhh, bongo kila mtu msanii
Ukiwa upande wa MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, halafu ukaanza kufanya tafiti - majibu yote utayapata!

Maana kuna taarifa ambazo siyo rasmi zinazoonesha HAYATI KAWAWA alikuwa anatoka SHINYANGA MJINI, maeneo ya KATA YA NGOKOLO akiwa anasoma SHULE YA SEKONDARI, mkoani TABORA na alifanikiwa kuhamia RUVUMA baada ya kujiunga na JESHI LA KIKOLONI.

d50ec3ef24413a6e0f4fccc3a21bccfd(1).png

Hawa wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA, hususani WILAYA YA KISHAPU kuna mambo fulani ambayo waliingia makubaliano na UINGEREZA tangu kipindi cha UKOLONI.


Hata wale waliokuwa viongozi wa CHAMA CHA TAA, kabla ya HAYATI MWALIMU walikuwa ni wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA, kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.

55b1d3cd0a9453af39c46d68e36f7bc3.png

Kipindi kile ndani ya CHAMA CHA TAA kulikuwa kuna wakina ABDUL SYSKES ambao kipindi fulani waliwahi kuwa viongozi wa CHAMA CHA TAA.

IMG_20240826_084301.jpg

Huyo aliyesimama katika picha ya pamoja na HAYATI MWALIMU ndiyo ABDUL SYSKES, pamoja na wengine kuanzia kulia ni LAWI SIJAONA na DOSSA AZIZ katika hafla ya kumuaga HAYATI MWALIMU kwenye ukumbi wa ARNAUTOGLO - safari ya pili ya UNO [1957].

Sasa kwa kutumia 6WH1, utagundua kuwa hata ABDUL SYSKES ni mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU na viongozi wengi wa CHAMA CHA TAA walikuwa ni wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA.

IMG_20240826_084601.jpg

Hata hao waliowazunguka VIONGOZI WA CHAMA CHA TANU na silaha za jadi ni kikundi kilichokuwa kinaitwa BANTU GROUP, kundi la vijana wa CHAMA CHA TANU lililokuwa linatoa ULINZI kwa viongozi wa CHAMA CHA TANU [1955].

BANTU GROUP ni kikundi cha ulinzi wa jadi kilichoundwa na vijana ambao walikuwa ni wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA, kutoka WILAYA YA KAHAMA.

IMG_20240826_084614.jpg

Kutoka kushoto - hawa wakina SHEIKH SULEIMAN TAKADIR [mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA], MBUTTA MILANDO, JOHN RUPIA pamoja na HAYATI MWALIMU wote wakionekana katika picha ya pamoja.

IMG_20240826_084608.jpg

Hili ni BARAZA LA WAZEE wa TANU, SHEIKH SULEIMAN TAKADIR wa pili chini kutoka kulia, wa pili waliosimama ni DOSSA AZIZ, wa sita ni HAYATI MWALIMU, wa saba ni JOHN RUPIA, wa tisa ni SAID CHAMWENYEWE na wanaofuatia ni JUMBE TAMBAZA na MSHUME KIYATE.

Hilo BARAZA LA WAZEE WA TANU, baadae kwenye miaka ya elfu mbili [2000's] ndiyo lilikuja kuwa BARAZA LA WAZEE WA DAR ES SALAAM.

Ukiwa pale DAR ES SALAAM, hao wazee ndiyo wenye mji wao! Wale wakina AZIZ ALLY [mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA] hadi akapewa jina la mtaa pale MBAGALA! Wakina ABDUL SYSKES [mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA]! Wakina SHEIKH SULEIMAN TAKADIR [mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA]! Na wengine wengi ambao waliongezeka baada ya TANGANYIKA kupata UHURU kutoka kwa MUINGEREZA, kama wakina MZEE MTEMVU. Ndiyo mmoja wa watoto wake aliyekuwa anaitwa ABBAS MTEMVU ambaye pia alikuja kuwa MBUNGE kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] akiwakilisha moja ya MAJIMBO YA MKOA WA DAR ES SALAAM.

bf916aa3cd377b9b40c92d025a90df13.png

Kwahiyo kuna mambo mengine mengi ambayo huwa hayajadaliwi hadharani, kwa sababu ni lazima kutakuwa na mkono ambao ulikuwa unafadhili shughuli za kisiasa katika CHAMA CHA TAA, hatimaye CHAMA CHA TANU na baadae CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].
 
Ukiwa upande wa MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, halafu ukaanza kufanya tafiti - majibu yote utayapata!

Maana kuna taarifa ambazo siyo rasmi zinazoonesha HAYATI KAWAWA alikuwa anatoka SHINYANGA MJINI, maeneo ya KATA YA NGOKOLO akiwa anasoma SHULE YA SEKONDARI, mkoani TABORA na alifanikiwa kuhamia RUVUMA baada ya kujiunga na JESHI LA KIKOLONI.

Hawa wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA, hususani WILAYA YA KISHAPU kuna mambo fulani ambayo waliingia makubaliano na UINGEREZA tangu kipindi cha UKOLONI.


Hata wale waliokuwa viongozi wa CHAMA CHA TAA, kabla ya HAYATI MWALIMU walikuwa ni wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA, kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.

Kipindi kile ndani ya CHAMA CHA TAA kulikuwa kuna wakina ABDUL SYSKES ambao kipindi fulani waliwahi kuwa viongozi wa CHAMA CHA TAA.

Huyo aliyesimama katika picha ya pamoja na HAYATI MWALIMU ndiyo ABDUL SYSKES, pamoja na wengine kuanzia kulia ni LAWI SIJAONA na DOSSA AZIZ katika hafla ya kumuaga HAYATI MWALIMU kwenye ukumbi wa ARNAUTOGLO - safari ya pili ya UNO [1957].

Sasa kwa kutumia 6WH1, utagundua kuwa hata ABDUL SYSKES ni mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU na viongozi wengi wa CHAMA CHA TAA walikuwa ni wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA.

Hata hao waliowazunguka VIONGOZI WA CHAMA CHA TANU na silaha za jadi ni kikundi kilichokuwa kinaitwa BANTU GROUP, kundi la vijana wa CHAMA CHA TANU lililokuwa linatoa ULINZI kwa viongozi wa CHAMA CHA TANU [1955].

BANTU GROUP ni kikundi cha ulinzi wa jadi kilichoundwa na vijana ambao walikuwa ni wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA, kutoka WILAYA YA KAHAMA.

Kutoka kushoto - hawa wakina SHEIKH SULEIMAN TAKADIR [mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA], MBUTTA MILANDO, JOHN RUPIA pamoja na HAYATI MWALIMU wote wakionekana katika picha ya pamoja.

Hili ni BARAZA LA WAZEE wa TANU, SHEIKH SULEIMAN TAKADIR wa pili chini kutoka kulia, wa pili waliosimama ni DOSSA AZIZ, wa sita ni HAYATI MWALIMU, wa saba ni JOHN RUPIA, wa tisa ni SAID CHAMWENYEWE na wanaofuatia ni JUMBE TAMBAZA na MSHUME KIYATE.

Hilo BARAZA LA WAZEE WA TANU, baadae kwenye miaka ya elfu mbili [2000's] ndiyo lilikuja kuwa BARAZA LA WAZEE WA DAR ES SALAAM.

Ukiwa pale DAR ES SALAAM, hao wazee ndiyo wenye mji wao! Wale wakina AZIZ ALLY [mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA] hadi akapewa jina la mtaa pale MBAGALA! Wakina ABDUL SYSKES [mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA]! Wakina SHEIKH SULEIMAN TAKADIR [mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA]! Na wengine wengi ambao waliongezeka baada ya TANGANYIKA kupata UHURU kutoka kwa MUINGEREZA, kama wakina MZEE MTEMVU. Ndiyo mmoja wa watoto wake aliyekuwa anaitwa ABBAS MTEMVU ambaye pia alikuja kuwa MBUNGE kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] akiwakilisha moja ya MAJIMBO YA MKOA WA DAR ES SALAAM.


Kwahiyo kuna mambo mengine mengi ambayo huwa hayajadaliwi hadharani, kwa sababu ni lazima kutakuwa na mkono ambao ulikuwa unafadhili shughuli za kisiasa katika CHAMA CHA TAA, hatimaye CHAMA CHA TANU na baadae CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Wew mwenyew unadhni....bongo bna
Kam hayarugusiw FUNGA PAGE ukalime mpunga.
 
Wew mwenyew unadhni....bongo bna
Kam hayarugusiw FUNGA PAGE ukalime mpunga.
Ukitumia ile kanuni ya 6WH1, utagundua kuwa hata hao wote waliopiga picha ya pamoja na HAYATI MWALIMU walikuwa ni wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA.

IMG_20240826_084301.jpg

Yaani wote! Kuanzia kulia ni LAWI SIJAONA [ambaye baadae alihamia MTWARA na kujijenga KISIASA hadi kupelekea jina la uwanja wa mpira wa miguu kupewa jina lake, la NAGWANDA SIJAONA] alikuwa ni mwenyeji wa asili wa WILAYA YA SHINYANGA MJINI, ABDUL SYSKES alikuwa ni mwenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU na DOSSA AZIZ alikuwa ni mwenyeji wa asili wa WILAYA YA KAHAMA.

HAYATI MWALIMU alifanyika kupokelewa tu katika SIASA ZA KUDAI UHURU, lakini walikuwepo watangulizi wake.

Sasa hao watangulizi ndiyo watakuwa na majibu sahihi ya nani aliyekuwa anadhamini na kusimamia shughuli za kisiasa kwa kipindi kile ambacho wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walikuwa tayari wameshaanza kusambaa na kuenea TANGANYIKA nzima na hata kwa upande wa VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA.

IMG_20240904_114012.jpg

Who was behind the scene?. Maana hata ukijaribu kufuatilia na kuangalia MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBARI, utamuona JOHN GEDION OKELLO ambaye kwa taarifa za wasifu wake inasemekana alikuwa ni raia wa kutoka katika TAIFA LA UGANDA.

IMG_20240904_114138.jpg

Lakini inawezekana vipi kwa raia wa kigeni kuwa na uwezo wa kufanya mapinduzi ya kijeshi katika TAIFA LA KIGENI, ilhali wenyeji wa asili walikuwepo?

IMG_20240904_114155.jpg

JOHN OKELLO ni nani? Nani alikuwa nyuma yake katika kufanya MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBARI?

IMG_20240904_114049.jpg

Sasa ukitumia 6WH1 utagundua kuwa hata JOHN GEDION OKELLO alibadilisha majina na alitokea TANGANYIKA na kwenda ZANZIBARI kwa kuzunguka kupitia MATAIFA YA UGANDA na KENYA.

Hata baada ya MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBARI, JOHN GEDION OKELLO alirudi UGANDA na familia yake ipo hadi leo, sema mke wake alifariki mwanzoni mwa miaka ya 2020's.

IMG_20240904_113930.jpg

Wale waliokuwa nyuma ya wanamapinduzi JOHN OKELLO, ndiyo wenye SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI hadi leo.
 
Ukitumia ile kanuni ya 6WH1, utagundua kuwa hata hao wote waliopiga picha ya pamoja na HAYATI MWALIMU walikuwa ni wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA.

Yaani wote! Kuanzia kulia ni LAWI SIJAONA [ambaye baadae alihamia MTWARA na kujijenga KISIASA hadi kupelekea jina la uwanja wa mpira wa miguu kupewa jina lake, la NAGWANDA SIJAONA], ABDUL SYSKES na DOSSA AZIZ.

HAYATI MWALIMU alifanyika kupokelewa tu katika SIASA ZA KUDAI UHURU, lakini walikuwepo watangulizi wake.

Sasa hao watangulizi ndiyo watakuwa na majibu sahihi ya nani aliyekuwa anadhamini na kusimamia shughuli za kisiasa kwa kipindi kile ambacho wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walikuwa tayari wameshaanza kusambaa na kuenea TANGANYIKA nzima na hata kwa upande wa VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA.

Who was behind the scene?. Maana hata ukijaribu kufuatilia na kuangalia MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBARI, utamuona JOHN GEDION OKELLO ambaye kwa taarifa za wasifu wake inasemekana alikuwa ni raia wa kutoka katika TAIFA LA UGANDA.

Lakini inawezekana vipi kwa raia wa kigeni kuwa na uwezo wa kufanya mapinduzi ya kijeshi katika TAIFA LA KIGENI, ilhali wenyeji wa asili walikuwepo?

JOHN OKELLO ni nani? Nani alikuwa nyuma yake katika kufanya MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBARI?

Sasa ukitumia 6WH1 utagundua kuwa hata JOHN GEDION OKELLO alibadilisha majina na alitokea TANGANYIKA na kwenda ZANZIBARI kwa kuzunguka kupitia MATAIFA YA UGANDA na KENYA.

Hata baada ya MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBARI, JOHN GEDION OKELLO alirudi UGANDA na familia yake ipo hadi leo, sema mke wake alifariki mwanzoni mwa miaka ya 2020's.


Wale waliokuwa nyuma ya wanamapinduzi JOHN OKELLO, ndiyo wenye SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI hadi leo.
Ndo kina nani hao??? Fungukaaa mzee baba achana na 6WH1
 
Ndo kina nani hao??? Fungukaaa mzee baba achana na 6WH1
0e514afac961500b700265a297396447.png

Wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA, hususani WILAYA YA KISHAPU ndiyo waliokuwa nyuma ya MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBARI.

9e30197d9b4ca23dff59aa26ded2df83.png

JOHN GEDION OKELLO [the late] alikuwa ametumwa na alivyokamilisha kazi yake, ilimpasa kuondoka ZANZIBARI na kurudi UGANDA.

f3ef69d89acc0f1a35aeb32d4db46279.png

Hata HAYATI KARUME aliongoza ZANZIBARI kwa makubaliano ya wale watu waliokuwa nyuma ya MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBARI. Yaani ni kama HAYATI MWALIMU alivyokuwa kipindi TANGANYIKA inapata UHURU wake kutoka katika UKOLONI WA KIINGEREZA.

b14b4b5a5dad9643c50ac72bee7b6973.png

HAYATI KARUME hakuwahi kuwa MWANAMAPINDUZI [A REVOLUTIONARY], MWANAMAPINDUZI kwa upande wa SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI ambaye aliongoza mapinduzi ya kuwaondoa WAARABU alikuwa ni JOHN OKELLO [the late] ambaye baadae aliondoka VISIWA VYA ZANZIBARI bila ya kuwa na sababu za msingi.

bee2dc9b851e51b3779c23e791d91de1.png

Kwahiyo pamoja na sintofahamu yote iliyokuwa imetanda kipindi kile cha kupata UHURU [1960's], bado wale wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA [ile SHINYANGA iliyokuwa na wilaya saba za BARIADI, MEATU, MASWA, KISHAPU, SHINYANGA MJINI, SHINYANGA VIJIJINI pamoja na KAHAMA] kwa kivuli cha UBARA wameendelea kuongoza SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI hadi leo.
 
Wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA, hususani WILAYA YA KISHAPU ndiyo waliokuwa nyuma ya MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBARI.

JOHN GEDION OKELLO [the late] alikuwa ametumwa na alivyokamilisha kazi yake, ilimpasa kuondoka ZANZIBARI na kurudi UGANDA.

Hata HAYATI KARUME aliongoza ZANZIBARI kwa makubaliano ya wale watu waliokuwa nyuma ya MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBARI. Yaani ni kama HAYATI MWALIMU alivyokuwa kipindi TANGANYIKA inapata UHURU wake kutoka katika UKOLONI WA KIINGEREZA.


HAYATI KARUME hakuwahi kuwa MWANAMAPINDUZI [A REVOLUTIONARY], MWANAMAPINDUZI kwa upande wa SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI ambaye aliongoza mapinduzi ya kuwaondoa WAARABU alikuwa ni JOHN OKELLO [the late] ambaye baadae aliondoka VISIWA VYA ZANZIBARI bila ya kuwa na sababu za msingi.


Kwahiyo pamoja na sintofahamu yote iliyokuwa imetanda kipindi kile cha kupata UHURU [1960's], bado wale wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA [ile SHINYANGA iliyokuwa na wilaya saba za BARIADI, MEATU, MASWA, KISHAPU, SHINYANGA MJINI, SHINYANGA VIJIJINI pamoja na KAHAMA] kwa kivuli cha UBARA wameendelea kuongoza SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI hadi leo.
Wenyewe wakikusikia watakusomea dua.
 
Wenyewe wakikusikia watakusomea dua.
d84dfbc046cf88588ebc23ba346bccbb.png

Unajua haya maneno yaliyoandikwa "PLEASE LEAVE NOTHING BUT YOUR 👣👣" ilikuwa na maana ya kirefu cha maneno ya "PLEASE LEAVE, NOTHING LEFT BUT YOUR FOOT STEPS".

c3f4e367e3ef133e036db96547a25a7e.png

Hayo maneno yanapatikana sehemu moja ya kujivinjali inayoitwa KENDWA ROCKS inayopatikana ZANZIBARI na aliambiwa JOHN GEDION OKELLO [the late] baada ya kukamilisha shughuli ya kuwaondoa WAARABU katika VISIWA VYA KARAFUU.

52b6651c9858592d7c8128a360970b4c.png

Yaani alifukuzwa! Na baadae alitangazwa HAYATI KARUME kama BABA WA TAIFA kwa upande wa VISIWA VYA UNGUJA na PEMBA.

7af6fc46a69a69b1daa60480186778e2.png

Hali kadhalika, ukiondoa FAMILIA YA HAYATI KARUME - VIONGOZI WA BARAZA LA MAPINDUZI YA ZANZIBARI waliosalia wote ni WATANZANIA wenye asili ya bara kutoka katika ule MKOA WA SHINYANGA [ile SHINYANGA iliyokuwa na wilaya saba za BARIADI, MEATU, MASWA, KISHAPU, SHINYANGA MJINI, SHINYANGA VIJIJINI pamoja na KAHAMA] waliofanikiwa kuhamia ZANZIBARI na kufanikiwa kuakisi TAMADUNI za wenyeji wa asili wa VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA.
 
Wenyewe wakikusikia watakusomea dua.
Wenzenu wale wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA walianza kusambaa tangu siku nyingi.

c83520544a1f7facb0d54a307af06239.png

Huyu ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika wilaya ya KISHAPU, anaitwa STEFFLON DON.


Hawa ndiyo SIMBA LUNYASI! Yaani wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walikuwa na mahusiano mazuri na TAIFA LA UINGEREZA kabla hata ya kupatikana kwa uhuru wa TANGANYIKA.

c4df10e0a1733145572d98726f727639.png

Uhusiano ule ulitokana na aliyekuwa CHIFU WA BUSIA kuwa na mahusiano mazuri na WAKOLONI WA KIINGEREZA, hali iliyopekea UTAWALA WA BUSIA kuwa na nguvu na kuenea sehemu mbalimbali za USUKUMANI.

4f9c13373f2208baace5aa97fd94850c.png

Na katika harakati za kudai UHURU WA TANGANYIKA, WAKOLONI WA KIINGEREZA waliwatumia WAJUMBE WA CHIFU WA BUSIA katika kuanzisha VYAMA VYA UKOMBOZI kwa upande wa TAIFA LA TANGANYIKA.

Wale wote wakina MZEE MTEMVU, AZIZ ALLY, MSHUME KIYATE, JUMBE TAMBAZA, SAID CHAMWENYEWE, JOHN RUPIA, MBUTTA MILANDO, SHEIKH SULEIMAN TAKADIR, DOSSA AZIZ, LAWI SIJAONA na wengine wengi pamoja na kundi la BANTU GROUP walikuwa chini ya UTAWALA WA KICHIFU WA BUSIA.

Kwahiyo UTAWALA WA KICHIFU WA BUSIA waliendelea kuwa na UKWASI MKUBWA na hata kipindi TANGANYIKA inapata UHURU wake kutoka katika UKOLONI WA KIINGEREZA [1961], yule CHIFU WA BUSIA alikuwa tayari ana elimu ya kiwango cha MASTER'S kutoka katika TAIFA LA UINGEREZA.
 
Wenzenu wale wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA walianza kusambaa tangu siku nyingi.

Huyu ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika wilaya ya KISHAPU, anaitwa STEFFLON DON.


Hawa ndiyo SIMBA LUNYASI! Yaani wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walikuwa na mahusiano mazuri na TAIFA LA UINGEREZA kabla hata ya kupatikana kwa uhuru wa TANGANYIKA.

Uhusiano ule ulitokana na aliyekuwa CHIFU WA BUSIA kuwa na mahusiano mazuri na WAKOLONI WA KIINGEREZA, hali iliyopekea UTAWALA WA BUSIA kuwa na nguvu na kuenea sehemu mbalimbali za USUKUMANI.

Na katika harakati za kudai UHURU WA TANGANYIKA, WAKOLONI WA KIINGEREZA waliwatumia WAJUMBE WA CHIFU WA BUSIA katika kuanzisha VYAMA VYA UKOMBOZI kwa upande wa TAIFA LA TANGANYIKA.

Wale wote wakina MZEE MTEMVU, AZIZ ALLY, MSHUME KIYATE, JUMBE TAMBAZA, SAID CHAMWENYEWE, JOHN RUPIA, MBUTTA MILANDO, SHEIKH SULEIMAN TAKADIR, DOSSA AZIZ, LAWI SIJAONA na wengine wengi pamoja na kundi la BANTU GROUP walikuwa chini ya UTAWALA WA KICHIFU WA BUSIA.

Kwahiyo UTAWALA WA KICHIFU WA BUSIA waliendelea kuwa na UKWASI MKUBWA na hata kipindi TANGANYIKA inapata UHURU wake kutoka katika UKOLONI WA KIINGEREZA [1961], yule CHIFU WA BUSIA alikuwa tayari ana elimu ya kiwango cha MASTER'S kutoka katika TAIFA LA UINGEREZA.

Ebwwnaa, kinangosha kumbe ndo wazanzibar???
Mama yetu nae kumbe ni kutoka kishapu????
 
Wenzenu wale wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA walianza kusambaa tangu siku nyingi.

Huyu ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika wilaya ya KISHAPU, anaitwa STEFFLON DON.


Hawa ndiyo SIMBA LUNYASI! Yaani wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walikuwa na mahusiano mazuri na TAIFA LA UINGEREZA kabla hata ya kupatikana kwa uhuru wa TANGANYIKA.

Uhusiano ule ulitokana na aliyekuwa CHIFU WA BUSIA kuwa na mahusiano mazuri na WAKOLONI WA KIINGEREZA, hali iliyopekea UTAWALA WA BUSIA kuwa na nguvu na kuenea sehemu mbalimbali za USUKUMANI.

Na katika harakati za kudai UHURU WA TANGANYIKA, WAKOLONI WA KIINGEREZA waliwatumia WAJUMBE WA CHIFU WA BUSIA katika kuanzisha VYAMA VYA UKOMBOZI kwa upande wa TAIFA LA TANGANYIKA.

Wale wote wakina MZEE MTEMVU, AZIZ ALLY, MSHUME KIYATE, JUMBE TAMBAZA, SAID CHAMWENYEWE, JOHN RUPIA, MBUTTA MILANDO, SHEIKH SULEIMAN TAKADIR, DOSSA AZIZ, LAWI SIJAONA na wengine wengi pamoja na kundi la BANTU GROUP walikuwa chini ya UTAWALA WA KICHIFU WA BUSIA.

Kwahiyo UTAWALA WA KICHIFU WA BUSIA waliendelea kuwa na UKWASI MKUBWA na hata kipindi TANGANYIKA inapata UHURU wake kutoka katika UKOLONI WA KIINGEREZA [1961], yule CHIFU WA BUSIA alikuwa tayari ana elimu ya kiwango cha MASTER'S kutoka katika TAIFA LA UINGEREZA.

Hongeraa Sana,unakitu kikubwa Sana ila Ndo hivyo hiki kizazi hakitaki kujua lolote Toka kwako.

Hiyo 6w1 ni Nini?
FB_IMG_1654103401853.jpg
 
Ebwwnaa, kinangosha kumbe ndo wazanzibar???
Mama yetu nae kumbe ni kutoka kishapu????
Wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walianza kusambaa tangu siku nyingi sana na waliobaki pale KISHAPU walikuwa ni zile FAMILIA ZA KICHIFU.

mindshyne_20240909_131506_0.jpg

Wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU ndiyo waliokuwa wanaunda KUNDI LA HIP HOP linaloitwa DA FAT CAT CLIQUE linalopatikana GERMANTOWN, PENNSYLVANIA nchini MAREKANI.

4cmadson_20240909_131354_0.jpg

Hili kundi la DA FAT CAT CLIQUE ni askari wa JESHI LA WANANCHI [JWTZ] kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA na lilianzishwa mwaka 1994, nchini MAREKANI.


Hawa wenyeji wa asili wa KISHAPU walifanikiwa kusambaa na kuenea sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi na walikuwa wanabadilisha majina na kufanikiwa kuakisi tamaduni za jamii mbalimbali.


WILAYA YA KISHAPU ilifanikiwa kuwa na mahusiano mazuri na WAKOLONI WA KIINGEREZA hata kabla ya kupatikana kwa uhuru wa TANGANYIKA kutokana na mgodi wa ALMASI WA MWADUI.

IMG_20240909_131035.jpg

Kwahiyo wapo mbali sana katika masuala yanayohusu UCHUMI NA SIASA. Hawa ndiyo chimbuko la maendeleo na mabadiliko kwa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.
 
Ebwwnaa, kinangosha kumbe ndo wazanzibar???
Mama yetu nae kumbe ni kutoka kishapu????
Baada ya kufanikiwa kuanzisha kundi la HIP HOP linaloitwa DA FAT CAT CLIQUE [1994], wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walifanikiwa kuanzisha kundi lingine la HIP HOP lililoitwa BIG CAT.


Hili kundi la HIP HOP linaloitwa BIG CAT walikuwa chini ya BIG CAT RECORDS [1995/96] na ndiyo wamiliki halali wa kundi la HIP HOP linaloitwa THE TRIBE AND BIG CATS linalopatikana nchini MAREKANI 🇺🇲 hadi leo.
 
Hongeraa Sana,unakitu kikubwa Sana ila Ndo hivyo hiki kizazi hakitaki kujua lolote Toka kwako.

Hiyo 6w1 ni Nini?View attachment 3090145
Baada ya kufanikiwa kuwa na kundi la DA FAT CAT CLIQUE hatimaye kundi la THE TRIBE AND BIG CATS, pia walifanikiwa kuandaa na kupata WASANII wengine.


WASANII hao ni kama MEEK MILL pamoja na CARDI B. Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA, kutoka katika ile WILAYA YA KISHAPU.
 
Back
Top Bottom