Tanzania ya tano kwa idadi ya watu wengi Afrika. Nchi 10 zenye watu wengi zaidi barani Afrika

Tanzania ya tano kwa idadi ya watu wengi Afrika. Nchi 10 zenye watu wengi zaidi barani Afrika

Kessy jr

New Member
Joined
Jun 11, 2024
Posts
4
Reaction score
30

Nchi 10 zenye watu wengi zaidi barani Afrika​

Nigeria inaongoza kwa takriban watu 223,804,6322 ikifuatwana na Ethiopia ikiwa na watu 126,527,060​

• Kenya ni ya saba kwa watu 55,100, 58755,001 huku Tanzania wakiwa mbelekatika nafasi ya tano.

wpbo3WMN4KsuCvUNaZbsPW4NIeks101b_65TDLl5dhLqNYyE-RKmkEL6Xb2MXM9bRsZ301ZLrOIheaRpNflp_Do0T578U...jpeg
 
Hii Ni ajabu sana. Kuna wakati South Africa walikuwa na idadi kubwa ya watu kuliko Tanzania. Inaonekana Tanzania matatizo yetu yote tunayamalizia kwenye kuzaa - starehe ya mtu masikini na mwenye frustration ya maisha!
 
Hii Ni ajabu sana. Kuna wakato South Africa walikuwa na idadi kubwa ya watu kuliko Tanzania. Inaonekana Tanzania matatizo yetu yote tunayamalizia kwenye kuzaa - starehe ya mtu masikini na mwenye frustration ya maisha!
Ujenzi wa mahospitali na mashule hautakaa utoshe hii inamaanisha safari yetu ya maendeleo ni ndefu sana.
 
Back
Top Bottom