Tanzania tuna changamoto sana kwenye suala la kuamua innovative and sustainable development goals, ndio maana kila mtu akijenga nyumba anafikiria kutengeneza frame mbele ya nyumba, the same hata watu wenye pesa kadhaa siku hizi wanadhani ukiwa na millioni 200 the only thing to do ni kuweka vituo vya mafuta wakati the fact is in next 20 to 30 years, matumizi ya mafuta na fossils fuel yatapungua sana hasa kwenye kuendeshea mitambo na engine.
Pia ndio maana serikali bado inaweka tozo na kodi kwenye miamala ya simu na benki alafu mwisho wa mwezi waaanza kukimbizana na watu kuhusu kodi, endapo watu wengi wangekuwa wanalipia kwa njia za mitandao ingewasaidia wao kwenye kujua na pesa kiasi ngapi ambazo watu wana trade tena kwa taarifa sahihi kabisa.