Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vituo havilipuki kirahisi hivyoKama vile umeona mji ninaoishi ukitoka nyumbani Hadi ufike sokon mjini sehem ya nusu saa unazipita sheli za mafuta 7 zipo kwenye makazi ya watu zimekaribiana hua nawaza siku moja ikilipuka sijui itakuaje.
Atakuwa ndio walewaleeeeViwanda unavyozungumzia ni vile vya "vyerehani vitatu" na "mashine za kukaaanga bisi"?
HakikaSioni tatizo,wewe jali kulisha familia yako.
Hizo ni ajira.
Wamebadili ni 200m upande mmoja.Je, ni kweli sheria inataka umbali uwe mita 500..?
Una point kubwa sana, ila kwa upande mwingine kibiashara anaweza kuwa anajua usemacho ila baada ya hio miaka 20/30 atakuwa kashantengeneza pesa ya kutosha na hali ikilazimisha atahamia huko kwenye nishati mpya.Tanzania tuna changamoto sana kwenye suala la kuamua innovative and sustainable development goals, ndio maana kila mtu akijenga nyumba anafikiria kutengeneza frame mbele ya nyumba, the same hata watu wenye pesa kadhaa siku hizi wanadhani ukiwa na millioni 200 the only thing to do ni kuweka vituo vya mafuta wakati the fact is in next 20 to 30 years, matumizi ya mafuta na fossils fuel yatapungua sana hasa kwenye kuendeshea mitambo na engine.
Pia ndio maana serikali bado inaweka tozo na kodi kwenye miamala ya simu na benki alafu mwisho wa mwezi waaanza kukimbizana na watu kuhusu kodi, endapo watu wengi wangekuwa wanalipia kwa njia za mitandao ingewasaidia wao kwenye kujua na pesa kiasi ngapi ambazo watu wana trade tena kwa taarifa sahihi kabisa.
Hata 200m hawafuatiWamebadili ni 200m upande mmoja.
Ndio Tz hii. Umenikumbusha njia ya kutoka daraja la kigamboni kuna vituo viwili vimeshikana!Hata 200m hawafuati
Kweli kabisaNa Serikali inagema chake kwelikweli, sema matumizi ya V8 ndio yakula pesa kote kote.
Bila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu!
Sheria inataka ujenzi wa kituo cha mafuta uwe mita 500 kutoka kimoja hadi kingine lakini sheria hii haifuatwi tena. Kuanzia mwaka 2021 vituo vya mafuta vinaota kama uyoga kwenye nchi yetu. Swali la kujiuliza kimetokea nini?
Mkoa wa Pwani ulikuwa unaongoza kwa ujenzi wa viwanda vingi sana lakini sasa hivi wakifanya utafiti upya watakuta unaongoza kwa ujenzi holela wa vituo vya mafuta.
Acha kubwabwaja, kama unao ushahidi weka hapa.Hayo ndio mafisadi yenyewe mkuu yanayotufanya tuhenyeshwe na tozo.
Yenyewe hayalipi kodi tunabanwa sisi vidagaa.
Mafuta ni kimimika cha Dhahabu.Mafuta yanahela sana mkuu
Ova
Utalia sana, utalalamika sana, si ndio chama chako kinayabarikiHayo ndio mafisadi yenyewe mkuu yanayotufanya tuhenyeshwe na tozo.
Yenyewe hayalipi kodi tunabanwa sisi vidagaa.