Tanzania ya viwanda yageuka kuwa Tanzania ya vituo vya mafuta

Tanzania ya viwanda yageuka kuwa Tanzania ya vituo vya mafuta

Unafikiri Rizmoko yupo wizarani anatoa tu vibali
 
Mapoyoyoyo: "Vituo vya Mafuta ni wapigaji hawafai wataifishwe..."


Mimi: "Cheki yangu iko wapi Boss?...and then👇
giphy (1).gif


westbrookswag.png

Ajira tamu bana.
 
Kituo hakiwezi jengwa bila Ardhi, EWURA, Manispaa kuhusishwa...
Ukiona kimejengwa jua kinefata taratibu zote
Yanaropoka tuu,wangejua pesa ambazo serikali inapata kupitia hivyo vituo Wala wasingeongea ujinga wao..

Kuanzia service levy za Halmashauri,Kodi hadi leseni ni.pesa kubwa mno..
 
It is an open secret mkuu.

Watu wanafahamu kinachoendelea bandarini ila hakuna tu mwenye guts za kuyaweka hadharani.

Unafanyika ukwepaji mkubwa wa kodi hapo bandarini na watu wanakaa kimya kwa sababu mbali mbali.

Hao wezi ndio tunaowaita matajiri na wafadhili wetu.
Kipi kinaendelea ikiwa bandari kwa sasa inakusanya pesa nyingi kuliko miaka yote ya Mwendazake.
 
Kiufupi watu wanahela nyingi sana. Na hizo hela sijui wanazipata wapi kwa kweli au wanatakatisha hela?. Ila kujenga sheli na kuiendesha sio jambo la mchezo. Kuanzia kununua kiwanja, kujenga sheli, kuleta mafuta na kodi hapo si chini ya 200m. Na kama sheli ina pump nyingi na kiwanja kikubwa unakuta imetumika 400m mpaka 900m
Ila sheli za mikoani wanasema ni bei ndogo na ardhi ni bei nafuu kwa kuwa huku mikoani hakuna madalali 😂😂



Ila kwenye ajira hata mimi naona wadada wanapata sana. Nahisi ni mbinu ya kuvutia wateja. Tena kuna kampuni fulani inaajiri wadada weupe wenye tako pekee 😂😂😂.
Na wewe tafuta afu takatisha,shida iko wapi?

Hivi unategemea watu wasiwe na pesa wakati jambo dogo tuu la NGO kwa mwaka huu watatumia zaidi ya Til.6 kwenye Uchumi,haziingii Serikalini na Wala haziko tracked na Serikali.
 
Tako tena???hebu nitajie hyo mkuu ili niende nikajibebee
Kiufupi watu wanahela nyingi sana. Na hizo hela sijui wanazipata wapi kwa kweli au wanatakatisha hela?. Ila kujenga sheli na kuiendesha sio jambo la mchezo. Kuanzia kununua kiwanja, kujenga sheli, kuleta mafuta na kodi hapo si chini ya 200m. Na kama sheli ina pump nyingi na kiwanja kikubwa unakuta imetumika 400m mpaka 900m
Ila sheli za mikoani wanasema ni bei ndogo na ardhi ni bei nafuu kwa kuwa huku mikoani hakuna madalali [emoji23][emoji23]



Ila kwenye ajira hata mimi naona wadada wanapata sana. Nahisi ni mbinu ya kuvutia wateja. Tena kuna kampuni fulani inaajiri wadada weupe wenye tako pekee [emoji23][emoji23][emoji23].
 
unajua siri za vituo vya mafuta kujengwa kama utitiri? je ni kwa nini awamu ya makufuli vituo vingi havikujengwa? je unajua show room za magari used kuogezeka? awamu ya jpm zilipungua. je unajua vituo vya mafuta vingi vilianza kujengwa enzi za awamu ya 4? nakupa sababu 1 tu zingine tafuta wewe. mafuta yanayosafirishwa transit nje ya nchi huuzwa hapa nchini huwa haina ushuru
Ukoko sahihi 100% na pale Chalinze ukitoka Msolwa na Mdaula kuna yadi magari ya mafuta ya transit huwa yaingia humo.........kinachoendelea......tafuta na wewe
 
Nafikiri huu utaratibu wa kuondoa ushindani kwenye biashara ya mafuta unatuharibia miji
Nilishapendekeza kuwa serikali ingeweka bei ya juu tu (kikomo) huku chini watu washindane
Akija ingia kiongozi akawa na msimamo tofauti kuhusu utitiri wa vituo vya mafuta mijini hata sijui watavifanya supermarket? yaahi vingine vimejengwa chini ya maghorofa....Mipango miji ni zero kabisa!
 
Back
Top Bottom