Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
- Thread starter
- #121
Jerry Silaa anafoka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi vituo vitajifunga vyenyewe baada ya ujenzi wa highway (Dar-Moro).Aisee ni kweli nimeona Chalinze dar kuna vitua vipya vinajengwa vingi sana ni kama walisubiriana kuja kuvijenga
VITUO vya MAFUTA ni ENEO MUHIMU la kuficha FEDHA ZA WIZI MKUU watumishi wa UMMA wameficha fedha za wizi huko kupitia WafanyabiasharaBila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu!
Sheria inataka ujenzi wa kituo cha mafuta uwe mita 500 kutoka kimoja hadi kingine lakini sheria hii haifuatwi tena. Kuanzia mwaka 2021 vituo vya mafuta vinaota kama uyoga kwenye nchi yetu. Swali la kujiuliza kimetokea nini?
Mkoa wa Pwani ulikuwa unaongoza kwa ujenzi wa viwanda vingi sana lakini sasa hivi wakifanya utafiti upya watakuta unaongoza kwa ujenzi holela wa vituo vya mafuta.
VITUO vya MAFUTA ni ENEO MUHIMU la kuficha FEDHA ZA WIZI MKUU watumishi wa UMMA wameficha fedha za wizi huko kupitia Wafanyabiashara
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Mkipata kazi kwenye hivyo vituo hamuongei wakipata wenzenu mnakuja kubwabwaja mitandaoni.Tunahitaji wawekezaji zaidi kwenye sekta ya mafuta ili kurahisisha upatikanaji wa mafuta.
acha kuspin maada.Viwanda unavyozungumzia ni vile vya "vyerehani vitatu" " Brenda za kukamulia juisi" na "mashine za kukaanga bisi"?
Barabara ya Tandale Uzuri vituo vipo baada ya mita 100.Bila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu!
Sheria inataka ujenzi wa kituo cha mafuta uwe mita 500 kutoka kimoja hadi kingine lakini sheria hii haifuatwi tena. Kuanzia mwaka 2021 vituo vya mafuta vinaota kama uyoga kwenye nchi yetu. Swali la kujiuliza kimetokea nini?
Mkoa wa Pwani ulikuwa unaongoza kwa ujenzi wa viwanda vingi sana lakini sasa hivi wakifanya utafiti upya watakuta unaongoza kwa ujenzi holela wa vituo vya mafuta.