Tanzania ya viwanda yageuka kuwa Tanzania ya vituo vya mafuta

Tanzania ya viwanda yageuka kuwa Tanzania ya vituo vya mafuta

Huwa nawaza sana hivi gharama ya uendeshaji wa biashara ya sheli kwa sasa niseme imepungua sana au watu wana hela sana ? Na kwa nini kadiri mafuta yanavyozidi kupanda bei ndivyo ùwekezaji kwenye biashara hii unaongezeka . Huku kwetu Sheli zinafunguliwa kasi sana lkn kuomba ajira kipaombele ni wadada.
 
Mlalakuwa opp na jkt kuna sheli
Maringo pale sheli
Studio sheli,
Kuelekea moroco kuna vituo 2 kabla ya kukutana total
Pita njia ya tandale,goba mwendo wa vituo vya mafuta
Sahvi ukiwekeza kwenye kituo cha mafuta hujakosea

Ova
Mkabala na Tanganyika Packers Lake Oil
Kabla ya Kanisani kuna Oilcom

Njia ya Beach

Total
Oilcom
GBP
Darpco

Goba zipo 12 hadi juzi
 
Bila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu!

Sheria inataka ujenzi wa kituo cha mafuta uwe mita 500 kutoka kimoja hadi kingine lakini sheria hii haifuatwi tena. Kuanzia mwaka 2021 vituo vya mafuta vinaota kama uyoga kwenye nchi yetu. Swali la kujiuliza kimetokea nini?

Mkoa wa Pwani ulikuwa unaongoza kwa ujenzi wa viwanda vingi sana lakini sasa hivi wakifanya utafiti upya watakuta unaongoza kwa ujenzi holela wa vituo vya mafuta.
Vituo vya mafuta vinatumika kusafisha pesa chafu, money laundering
 
Mlalakuwa opp na jkt kuna sheli
Maringo pale sheli
Studio sheli,
Kuelekea moroco kuna vituo 2 kabla ya kukutana total
Pita njia ya tandale,goba mwendo wa vituo vya mafuta
Sahvi ukiwekeza kwenye kituo cha mafuta hujakosea

Ova
Kiufupi watu wanahela balaa kuanzia (300m-800m) na hawana wazo lolote jipya kwa wanaona wawaigize wenzao. Hapo wataishia kufanyiana fitina tu.



Ila inasemekana ukiwa na sheli unakopesheka hela nyingi benki.
 
Huwa nawaza sana hivi gharama ya uendeshaji wa biashara ya sheli kwa sasa niseme imepungua sana au watu wana hela sana ? Na kwa nini kadiri mafuta yanavyozidi kupanda bei ndivyo ùwekezaji kwenye biashara hii unaongezeka . Huku kwetu Sheli zinafunguliwa kasi sana lkn kuomba ajira kipaombele ni wadada.
Kiufupi watu wanahela nyingi sana. Na hizo hela sijui wanazipata wapi kwa kweli au wanatakatisha hela?. Ila kujenga sheli na kuiendesha sio jambo la mchezo. Kuanzia kununua kiwanja, kujenga sheli, kuleta mafuta na kodi hapo si chini ya 200m. Na kama sheli ina pump nyingi na kiwanja kikubwa unakuta imetumika 400m mpaka 900m
Ila sheli za mikoani wanasema ni bei ndogo na ardhi ni bei nafuu kwa kuwa huku mikoani hakuna madalali 😂😂



Ila kwenye ajira hata mimi naona wadada wanapata sana. Nahisi ni mbinu ya kuvutia wateja. Tena kuna kampuni fulani inaajiri wadada weupe wenye tako pekee 😂😂😂.
 
Bila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu!

Sheria inataka ujenzi wa kituo cha mafuta uwe mita 500 kutoka kimoja hadi kingine lakini sheria hii haifuatwi tena. Kuanzia mwaka 2021 vituo vya mafuta vinaota kama uyoga kwenye nchi yetu. Swali la kujiuliza kimetokea nini?

Mkoa wa Pwani ulikuwa unaongoza kwa ujenzi wa viwanda vingi sana lakini sasa hivi wakifanya utafiti upya watakuta unaongoza kwa ujenzi holela wa vituo vya mafuta.
Viongozi wanaotokea Pwani ndio waliohujumu na kugeuza fursa ya viwanda kuwa vituo vya mafuta ambavyo kuna shaka kama wanalipa kodi stahiki kwa manufaa ya nchi. Kuanzia Chalinze hadi maili moja kuna vituo vya mafuta sio chini ya sitini maana yake kila baada ya kilomita mbili kuna kituo cha mafuta. Chalinze pekee mpaka porini kuna vituo vya mafuta ambavyo inavyoonesha viongozi wanaotokea maeneo hayo wana conflict of interest katika biashara hiyo sio bure.
Kuanzia Bagamoyo hadi Mapinga na penyewe kuna vituo utitiri wa vituo vya mafuta usio na mantiki yoyote.
Kuanzia Maili moja Kibaha hadi unaingia wilaya ya Ubungo utititiri usio kuwa na mpango wa vituo vya mafuta haupo.
Kuanzia Mwandege hadi Mkuranga na kwenyewe kuna utitiri wa vituo vya mafuta visivyoendana na idadi ya magari

Serikali ichuke kodi stahiki kutoka kwenye vituo hivi kuwapunguzia wananchi mzigo wa kubebeshwa gharama kupitia TOZO
 
Acheni watu wajenge vituo kuna mda tz tunaweka sheria za ajabu, kama zile kuwe kuna umbali wa hospital ya serikali na duka la madawa
Yaani mgonjwa anasumbuliwa kufuata dawa mbali. Huu ni ujuha mwingine wa watu wanaotumia tumbo kufikiria.
 
Bila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu!

Sheria inataka ujenzi wa kituo cha mafuta uwe mita 500 kutoka kimoja hadi kingine lakini sheria hii haifuatwi tena. Kuanzia mwaka 2021 vituo vya mafuta vinaota kama uyoga kwenye nchi yetu. Swali la kujiuliza kimetokea nini?

Mkoa wa Pwani ulikuwa unaongoza kwa ujenzi wa viwanda vingi sana lakini sasa hivi wakifanya utafiti upya watakuta unaongoza kwa ujenzi holela wa vituo vya mafuta.
waliopeawa dhamana bado hawajakuwa seriouz kabisa ... alf sio vituo vya mafuta tu hata maduka ya madawa now yapo mengi sana
 
unajua siri za vituo vya mafuta kujengwa kama utitiri? je ni kwa nini awamu ya makufuli vituo vingi havikujengwa? je unajua show room za magari used kuogezeka? awamu ya jpm zilipungua. je unajua vituo vya mafuta vingi vilianza kujengwa enzi za awamu ya 4? nakupa sababu 1 tu zingine tafuta wewe. mafuta yanayosafirishwa transit nje ya nchi huuzwa hapa nchini huwa haina ushuru
 
Kiufupi watu wanahela balaa kuanzia (300m-800m) na hawana wazo lolote jipya kwa wanaona wawaigize wenzao. Hapo wataishia kufanyiana fitina tu.



Ila inasemekana ukiwa na sheli unakopesheka hela nyingi benki.
Sana biashara ya mafuta ina hela sana....ina hela sana
Kuna boss wangu mmj alikuwa anamiliki vituo kadhaa vya total hapa mjini.....ila kwa sasa Amesimama hiyo biashara a/c zake si masihara
Na vituo hivi vingi vinamikono ya wakubwa

Ova
 
Viongozi wanaotokea Pwani ndio waliohujumu na kugeuza fursa ya viwanda kuwa vituo vya mafuta ambavyo kuna shaka kama wanalipa kodi stahiki kwa manufaa ya nchi. Kuanzia Chalinze hadi maili moja kuna vituo vya mafuta sio chini ya sitini maana yake kila baada ya kilomita mbili kuna kituo cha mafuta. Chalinze pekee mpaka porini kuna vituo vya mafuta ambavyo inavyoonesha viongozi wanaotokea maeneo hayo wana conflict of interest katika biashara hiyo sio bure.
Kuanzia Bagamoyo hadi Mapinga na penyewe kuna vituo utitiri wa vituo vya mafuta usio na mantiki yoyote.
Kuanzia Maili moja Kibaha hadi unaingia wilaya ya Ubungo utititiri usio kuwa na mpango wa vituo vya mafuta haupo.
Kuanzia Mwandege hadi Mkuranga na kwenyewe kuna utitiri wa vituo vya mafuta visivyoendana na idadi ya magari

Serikali ichuke kodi stahiki kutoka kwenye vituo hivi kuwapunguzia wananchi mzigo wa kubebeshwa gharama kupitia TOZO
Vituo vingi vya njia kuelekea moro
Viliwekwa kimkakati tu
Mafuta ya transit yalikuwa yanaishia huko....border znavuka makaratasi tu

Ova
 
Bila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu!

Sheria inataka ujenzi wa kituo cha mafuta uwe mita 500 kutoka kimoja hadi kingine lakini sheria hii haifuatwi tena. Kuanzia mwaka 2021 vituo vya mafuta vinaota kama uyoga kwenye nchi yetu. Swali la kujiuliza kimetokea nini?

Mkoa wa Pwani ulikuwa unaongoza kwa ujenzi wa viwanda vingi sana lakini sasa hivi wakifanya utafiti upya watakuta unaongoza kwa ujenzi holela wa vituo vya mafuta.
Kuna kimoja kimelazimishwa pale stand ya kawe mpaka kikakamilika. Lake oil ni nyoko. Vituo vinaota kama uyoga. Msoga sio poa
 
Bila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu!

Sheria inataka ujenzi wa kituo cha mafuta uwe mita 500 kutoka kimoja hadi kingine lakini sheria hii haifuatwi tena. Kuanzia mwaka 2021 vituo vya mafuta vinaota kama uyoga kwenye nchi yetu. Swali la kujiuliza kimetokea nini?

Mkoa wa Pwani ulikuwa unaongoza kwa ujenzi wa viwanda vingi sana lakini sasa hivi wakifanya utafiti upya watakuta unaongoza kwa ujenzi holela wa vituo vya mafuta.
Nchi inasonga mbele kiuwekezaji kwa kila secta, Hakuna secta inayokuwa kwa kuisimamisha nyingine, pia serikali ya mh Rais wetu inakuza secta zote na kuzisaidia secta zote kukua pasipo kuua zingine, Kama wewe unawekeza viwandani nenda kachukue vibali utapewa kufanya hivyo baada ya kukamilisha taratibu zote za kisheria, hata Sasa Kuna viwanda vingi tu vinaendelea kujengwa

Lakini pia Kama ukiona Kuna mahali fulani kuna ukiukwaji wa Sheria Ni jukumu lako Kama raia mwema kutoa taarifa kwa mamlaka husika ili zifanye uchunguzi
 
Bila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu!

Sheria inataka ujenzi wa kituo cha mafuta uwe mita 500 kutoka kimoja hadi kingine lakini sheria hii haifuatwi tena. Kuanzia mwaka 2021 vituo vya mafuta vinaota kama uyoga kwenye nchi yetu. Swali la kujiuliza kimetokea nini?

Mkoa wa Pwani ulikuwa unaongoza kwa ujenzi wa viwanda vingi sana lakini sasa hivi wakifanya utafiti upya watakuta unaongoza kwa ujenzi holela wa vituo vya mafuta.
Nchi inasonga mbele kiuwekezaji kwa kila secta, Hakuna secta inayokuwa kwa kuisimamisha nyingine, pia serikya mh Rais wetu inakuza secta zote na kuzisaidia secta zote kukua pasipo kuua zingine, Kama wewe unawekeza viwandani nenda kachukue vibali utapewa kufanya hivyo baada ya kukamilisha taratibu zote za kisheria, hata Sasa Kuna viwanda vingi tu vinaendelea kujengwa

Lakini pia Kama ukiona Kuna mahali fulani kuna ukiukwaji wa Sheria Ni jukumu lako Kama raia mwema kutoa taarifa kwa mamlaka husika ili zifanye uchunguzi
 
unajua siri za vituo vya mafuta kujengwa kama utitiri? je ni kwa nini awamu ya makufuli vituo vingi havikujengwa? je unajua show room za magari used kuogezeka? awamu ya jpm zilipungua. je unajua vituo vya mafuta vingi vilianza kujengwa enzi za awamu ya 4? nakupa sababu 1 tu zingine tafuta wewe. mafuta yanayosafirishwa transit nje ya nchi huuzwa hapa nchini huwa haina ushuru
Mafuta ya transit ukiyapiga petrol colour kwisha mchezo

Ova
 
Back
Top Bottom