Tanzania ya viwanda yageuka kuwa Tanzania ya vituo vya mafuta

Tanzania ya viwanda yageuka kuwa Tanzania ya vituo vya mafuta

Bila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu!

Sheria inataka ujenzi wa kituo cha mafuta uwe mita 500 kutoka kimoja hadi kingine lakini sheria hii haifuatwi tena. Kuanzia mwaka 2021 vituo vya mafuta vinaota kama uyoga kwenye nchi yetu. Swali la kujiuliza kimetokea nini?

Mkoa wa Pwani ulikuwa unaongoza kwa ujenzi wa viwanda vingi sana lakini sasa hivi wakifanya utafiti upya watakuta unaongoza kwa ujenzi holela wa vituo vya mafuta.
yaani vingine vinajengwa njia hazina magari kuna bodaboda tu. au ndiyo mifumo ya kutakatisha pesa chafu
 
Bila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu!

Sheria inataka ujenzi wa kituo cha mafuta uwe mita 500 kutoka kimoja hadi kingine lakini sheria hii haifuatwi tena. Kuanzia mwaka 2021 vituo vya mafuta vinaota kama uyoga kwenye nchi yetu. Swali la kujiuliza kimetokea nini?

Mkoa wa Pwani ulikuwa unaongoza kwa ujenzi wa viwanda vingi sana lakini sasa hivi wakifanya utafiti upya watakuta unaongoza kwa ujenzi holela wa vituo vya mafuta.
Kwani kuna tatizo gani vikiota kama uyoga?

Kwani umeona ni vituo vya mafuta tuu? Takribani kila kitu kuanzia magorofa hadi uwekezaji wa biashara..

Hiyo ni ishara uchumi unakua,watu wnanunua magari ,wanajenga nk ndio maana huwezi sikia maduka yakifungwa..
 
Je, ni kweli sheria inataka umbali uwe mita 500..?
Sijawahi kuisikia au imefutwa,vituo vingi vinarahisisha shughuli za usafiri hakuna tena haja ya kujaza fulu tanki na yale mambo ya zamani ya kuhangaika usiku kutafuta vituo sasa hivi vituo vingi ni 24hrs wafanyakazi ni shifti mbili hadi tatu.

Siasa za majungu na kijipendekeza zilienda na Mwendozake.
 
Bila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu!

Sheria inataka ujenzi wa kituo cha mafuta uwe mita 500 kutoka kimoja hadi kingine lakini sheria hii haifuatwi tena. Kuanzia mwaka 2021 vituo vya mafuta vinaota kama uyoga kwenye nchi yetu. Swali la kujiuliza kimetokea nini?

Mkoa wa Pwani ulikuwa unaongoza kwa ujenzi wa viwanda vingi sana lakini sasa hivi wakifanya utafiti upya watakuta unaongoza kwa ujenzi holela wa vituo vya mafuta.
Swali moja kuu je kodi inalipwa TRA kama inavyotakiwa. ??
 
Bila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu!

Sheria inataka ujenzi wa kituo cha mafuta uwe mita 500 kutoka kimoja hadi kingine lakini sheria hii haifuatwi tena. Kuanzia mwaka 2021 vituo vya mafuta vinaota kama uyoga kwenye nchi yetu. Swali la kujiuliza kimetokea nini?

Mkoa wa Pwani ulikuwa unaongoza kwa ujenzi wa viwanda vingi sana lakini sasa hivi wakifanya utafiti upya watakuta unaongoza kwa ujenzi holela wa vituo vya mafuta.
Watu wana vibali vya ujenzi halafu unaita holela?
 
yaani vingine vinajengwa njia hazina magari kuna bodaboda tu. au ndiyo mifumo ya kutakatisha pesa chafu
Yaa naona ka utakatishaji kameanza kurudi kwa kasi kutokana na walamba asali kupewa rungu.
 
Bila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu!

Sheria inataka ujenzi wa kituo cha mafuta uwe mita 500 kutoka kimoja hadi kingine lakini sheria hii haifuatwi tena. Kuanzia mwaka 2021 vituo vya mafuta vinaota kama uyoga kwenye nchi yetu. Swali la kujiuliza kimetokea nini?

Mkoa wa Pwani ulikuwa unaongoza kwa ujenzi wa viwanda vingi sana lakini sasa hivi wakifanya utafiti upya watakuta unaongoza kwa ujenzi holela wa vituo vya mafuta.
Eti Tanzania iliyokuwa inameremeta!Hivi huu ujinga mnautoaga wapi??Hivyo viwanda vyenu viko wapi?Kweli viwanda kama vilikuwepo vinaweza kufilisika kwa muda wa miaka miwili kama vilikuwa vinajiendesha kwa njia halali?
 
Haya mamilioni ya Bodaboda lazima yagemwe.😁

Watu wenye mawazo ya Kikomunisti tupa kule.
 
Bila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu!

Sheria inataka ujenzi wa kituo cha mafuta uwe mita 500 kutoka kimoja hadi kingine lakini sheria hii haifuatwi tena. Kuanzia mwaka 2021 vituo vya mafuta vinaota kama uyoga kwenye nchi yetu. Swali la kujiuliza kimetokea nini?

Mkoa wa Pwani ulikuwa unaongoza kwa ujenzi wa viwanda vingi sana lakini sasa hivi wakifanya utafiti upya watakuta unaongoza kwa ujenzi holela wa vituo vya mafuta.
nadhani ni nchi ya tozo.
 
Back
Top Bottom