Tanzania ya viwanda yageuka kuwa Tanzania ya vituo vya mafuta

Aisee ni kweli nimeona Chalinze dar kuna vitua vipya vinajengwa vingi sana ni kama walisubiriana kuja kuvijenga
Hivi vituo vitajifunga vyenyewe baada ya ujenzi wa highway (Dar-Moro).
Magari mengi yatatumia hiyo bara bara ambayo itakuwa na vituo vyake maalum vya mafuta).
 
VITUO vya MAFUTA ni ENEO MUHIMU la kuficha FEDHA ZA WIZI MKUU watumishi wa UMMA wameficha fedha za wizi huko kupitia Wafanyabiashara

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Mkipata kazi kwenye hivyo vituo hamuongei wakipata wenzenu mnakuja kubwabwaja mitandaoni.Tunahitaji wawekezaji zaidi kwenye sekta ya mafuta ili kurahisisha upatikanaji wa mafuta.
 
Mkipata kazi kwenye hivyo vituo hamuongei wakipata wenzenu mnakuja kubwabwaja mitandaoni.Tunahitaji wawekezaji zaidi kwenye sekta ya mafuta ili kurahisisha upatikanaji wa mafuta.

Viwanda vinaajiri watu wengi na kuifanya nchi kujitegemea kwa bidhaa na zingine kuuza nje ya nchi

Kituo cha mafuta kinaajiri watu wasiozidi 10 na kinaifanya nchi kuwa tegemezi milele
 
Barabara ya Tandale Uzuri vituo vipo baada ya mita 100.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…