Never say never,wachina wameunda train yenye speed ya jet na inabeba mizigo...wewe utakua ata physics uliishia nayo level ya chini sana...eti never[emoji16][emoji16]Hujui lolote wewe,kwa speed hiyo mabehewa 100 NI NEVER.
Hahahahahah,mnazijua high speed train au mnazikia?mabehewa mia moja with that speed,mnaota nyie
Daah wewe unachanganya madesa sasa,dart kinachofanya iwe ya haraka2ni sababu inabarabara zake maalumu...mlitegemea ifyatyke kama risasi ndio mseme ni kasi? Angalia popote kwenye dart dunianiMaana serukali ya ccm kwa usanii wa maneno ni noma..hata DART project tuliambiwa utakuwa usafiri wa kasi hasa na mengineyo lakini ukaja kuwa wa kawaida tu.
Labda assumption yako ni kwa treni za cargo, vipi za abiria, hazitafikia 160km/hr?Hujui lolote wewe,kwa speed hiyo mabehewa 100 NI NEVER.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Viashiria vya ufisadi hivi.....Reli ya Dar-moro ya nn wkt tayari kuna reli nyingine na kuna usafiri wa uhakikwa kwa njia ya barabara?
Kwa nn asifufue mashamba ya mkonge pale moro na kujenga kiwanda kwanza?
KWA NN HII SERIKALI NA VIONGOZI KUANZIA KIONGOZI MKUU HAWAJUI PRINCIPLE HATA MOJA YA UCHUMI? TUMEROGWA NA NANI?
Tuelekeze kwani mwiaho ni behewa ngapi mkuuHahahahahah,mnazijua high speed train au mnazikia?mabehewa mia moja with that speed,mnaota nyie
Viashiria vya ufisadi hivi.....Reli ya Dar-moro ya nn wkt tayari kuna reli nyingine na kuna usafiri wa uhakikwa kwa njia ya barabara?
Kwa nn asifufue mashamba ya mkonge pale moro na kujenga kiwanda kwanza?
KWA NN HII SERIKALI NA VIONGOZI KUANZIA KIONGOZI MKUU HAWAJUI PRINCIPLE HATA MOJA YA UCHUMI? TUMEROGWA NA NANI?
Train ya kubeba mizigo huwa inaenda na mwendo wa kiwango cha chini kidogo ukilinganisha na ya kubeba abiria.
Naanza kwa kutoa hongera, maana mkifanikiwa kuna baadhi yetu tunaovuka mipaka ya EAC tutanufaika kiaina. Lakini naomba makada wa Tanzania watumie muda mwingi kuelimisha Watanzania umuhimu wa reli hii kiuchumi badala ya wanachokifanya sasa kufungua nyuzi nyingi wakilinganisha gharama za ujenzi wa reli ya Kenya. Nina uhakika Watanzania wengi wanahitaji kujua watakavyonufaika zaidi ya kujua gharama baina ya Kenya na Tanzania.
Kufikia hapo bado hamjafanya hata design, hamjabaini idadi ya madaraja, na kama kutakua na kupitia kwenye mahandaki, vituo vyenyewe hamjajadili vitakua vipi na vyenye design ipi, treni na mabehewa bado hamjaonyesha, na tafiti nyingine nyingi sana ambazo zinaambatana na ujenzi wa reli. Sasa leo mumejazana kwenye mitandao mnajadili kulinganisha na Kenya shilingi kwa shilingi.
Halafu wengine mnadanganya eti treni yenu itasafiri kwa kasi ya 160km/h au 120km/h ikiwa na mabehewa 100, mnafaa kuelewa trains and ratio of Wagons/Locomotives, ingia kwenye Google kabla hujaanza uongo.
Kuna treni mbili tofauti zutatumia hiyo reli, ya abiria top speed 160km/h ya mizigo top speed 80km/h.Hujui lolote wewe,kwa speed hiyo mabehewa 100 NI NEVER.
Kuna treni mbili tofauti zutatumia hiyo reli, ya abiria top speed 160km/h ya mizigo top speed 80km/h.
Shukrani mkuu, nadhani wenzetu bado wana hangover ya issue ya reli. Hawataki kuaminiTreni ya mizigo mwendo ni km 120/ saa.
Nisaidie kushangaa...kama siyo kututoa kafala ni niniMabehewa mia moja high speed train?
Kama umesoma vizuri nafikiri treni ya abiria ndio itakua high speed na hio ya mabehewa 100 ni ya mizigo ambayo nadhani haitatumia umeme bali diesel na itasafiri kwa speed ya kawaida ila itakuwa kubwa ukiringanisha na hii ya treni za sasa za mizigo.Hahahahahah,mnazijua high speed train au mnazikia?mabehewa mia moja with that speed,mnaota nyie