Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dawa za maadui wa kongo ni kuungana na tz na kuwa na serikali tatu, ya muungano na 2 za nchi husika, hivyo part of our army ina base huko nao wana leta kwetu, hapo sisimizi hawezi pita, wizara za muungano zitakuwa 1 ulinzi na usalama, zingine kama nchii husika zitakavyo ona.
Kwanini Congo na Burundi zisiungane na TZ na kuunda taifa kubwa lenye nguvu Afrika nzima? inawezekana watawala wakiacha tamaa.
kagame aliwahi kupigana na nchi 8 iweje congo ikiwa moja wapo na akawashinda just a year after capturing kigali...iweje leo hii kuweni na akili....RWANDA bana ni nchi ndogo ila achana nayo kabisa zungumzeni mambo mengine
kagame aliwahi kupigana na nchi 8 iweje congo ikiwa moja wapo na akawashinda just a year after capturing kigali...iweje leo hii kuweni na akili....RWANDA bana ni nchi ndogo ila achana nayo kabisa zungumzeni mambo mengine
hivi walio watoa m23 congo ni nchi ngapi (fib)sa, tz na malawi, sasa ukiwaweka zim nAngola na Namibia si ndio mtu atatorokea mbararakagame aliwahi kupigana na nchi 8 iweje congo ikiwa moja wapo na akawashinda just a year after capturing kigali...iweje leo hii kuweni na akili....RWANDA bana ni nchi ndogo ila achana nayo kabisa zungumzeni mambo mengine
Vijana wa kikongo DRC wapewa mafunzo ya kijeshi TMA - Monduli kwaajili ya kuilinda nchi yao wenyewe.Wiki mbili zilizopita mji wa Arusha umeshuhudia vijana toka taifa kubwa barani Afrika wakifurika katika vitongoji mbali mbali jijini Arusha siku za jumamosi na jumapili.
Tanzania ambayo iliongoza kikosi cha UN dhidi ya kikundi cha M23 kinachoungwa mkono na Rwanda na Uganda imebaini pasipo shaka yoyote mkakati wa kuilinda Congo wa muda mrefu dhidi ya serekali ya Kagame na Museveni ni lazima uongozwe na waCongo wenyewe.
Nakala jMali Ruzibiza Happy Feet Bongolander MGOSI132 JokaKuu murutongore Koba kabavamwo Remote TZ kwanza mpiga domo Ndahani
hahaha....kwa kuongea tu. Nyie ni nambari wani
dawa za maadui wa kongo ni kuungana na tz na kuwa na serikali tatu, ya muungano na 2 za nchi husika, hivyo part of our army ina base huko nao wana leta kwetu, hapo sisimizi hawezi pita, wizara za muungano zitakuwa 1 ulinzi na usalama, zingine kama nchii husika zitakavyo ona.
hahaha....kwa kuongea tu. Nyie ni nambari wani
Pk na M7 hawana hamu na Tz! wanaifahamu sana, nadhani salam wamezipata
hahaha....kwa kuongea tu. Nyie ni nambari wani
Unanikumbusha wenzio wa M23 walivyokuwa wanapiga mikwara twitter, sijui wameishilizia wapi, ....ooh wait a minute, i believe the UN saw them recruiting in Rwanda....