Tanzania yafundisha wanajeshi wa DRC TMA - Monduli

Tanzania yafundisha wanajeshi wa DRC TMA - Monduli

waje tu tuwafundishe na rwanda nao waje nasema waje tu .tumechokaaa
 
Kwa kutojua Jeshi la Tanzania wakajidai mwanajeshu wetu kabaka wakasahau kuwa jeshi letu limekuwa imara kwa ajili ya nidhamu ,oh tumemteka mwanajeshi wa Tanzania na sijui iliishiwa wapi.Tanzania haina uzoefu na vita vya msituni tukawakumbusha vita vya Msumbiji, sijui tulikuwa tunapigana mijini.
Nilikuwa nacheka tu propaganda zao.

ha haha, unakumbuka walitengeneza mpaka passport, eti mwanajeshi wetu kaenda front-line na passport! sometimes huwa wanachekesha sijui machizi hawa?
 
Vijana wa kikongo DRC wapewa mafunzo ya kijeshi TMA - Monduli kwaajili ya kuilinda nchi yao wenyewe.Wiki mbili zilizopita mji wa Arusha umeshuhudia vijana toka taifa kubwa barani Afrika wakifurika katika vitongoji mbali mbali jijini Arusha siku za jumamosi na jumapili.Kwa kawaida siku za weekend wanafunzi wanaochukua mafunzo ya uofisa wa jeshi wanapewa ruhusa ya kutakasa macho jijini Arusha kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa kumi na moja jioni wanarejea chuoni Monduli.Ni rahisi sana kuwatambua wanafunzi wa TMA hasa uvaaji unaoambata na suti na tai pia upenda kutembea kwa vikundi vikundi.

Tanzania ambayo iliongoza kikosi cha UN dhidi ya kikundi cha M23 kinachoungwa mkono na Rwanda na Uganda imebaini pasipo shaka yoyote mkakati wa kuilinda Congo wa muda mrefu dhidi ya serekali ya Kagame na Museveni ni lazima uongozwe na waCongo wenyewe.

Nakala jMali Ruzibiza Happy Feet Bongolander MGOSI132 JokaKuu murutongore Koba kabavamwo Remote TZ kwanza mpiga domo Ndahani

kagame mwenyewe ametokea hapo hapo
 
kagame aliwahi kupigana na nchi 8 iweje congo ikiwa moja wapo na akawashinda just a year after capturing kigali...iweje leo hii kuweni na akili....RWANDA bana ni nchi ndogo ila achana nayo kabisa zungumzeni mambo mengine

kweli kabisa kagame nuksi, alishawahi kugongwa na treni, treni ikapinduka lakini ye mzimaaa, ndiyo, kagame anaweza kuchumpa kwenye maji ya kijiko akazama usimuone! kagame noma, akiuangalia moto moto unajizima wenyewe. Kagame alishawahi kugegeda mademu 13 kwa wakati mmoja peke yake kwa siku tatu! unafanya mchezo nini? naam, kagame shozniga, kagame jekicheni, kagame ni nabii sema tu hana kanisa, actually ni mtume...una habari ushu.zi wa kagame ni pafyumu? Long live kagame...hahaha.🙂
 
Mkuu it is very clear that hali imeanza kuwa wazi kabisa kuwa hatua zisipochukuliwa kutakuwa na tatizo kubwa. We did it before, there is no reaso why not. I do agree that Museveni has become a problem in East Africa, he has become a cancer that is not dealt with kutakuwa na matatizo sana.

I do not see Kagame as a big problem, lakini ninachoona ni kuwa he is cooking a second genocide, anaweza kuvuruga kila kitu ambacho yeye na wanyaarwanda wamejenga. Na matokea yake, which in my view hayako mbali, yatakuwa mabaya sana, kuliko yaliyopita. Jamaa naona anawapa kichwa sana machinjachinja (interhamwe), anawapa mdomo, na anawawekea mazingira ya kujustify ushenzi wao, even worse inasikitiosha sana kuona hata watusi hawako united tena kama walivyokuwa wanaingia Rwanda. I really wish Rwigema na Kanyarengwe wangekuwepo, maya be sasa ujinga huu wa uhutu na utusi, ambao hauzungumzwi Rwanda, lakini unaimbwa kila kukicha nje ya mipaka ya Rwanda usingekuwepo. It is very unfortunate hata hapa kwetu sasa umeanza.
 

Mkuu Jmali hawa jamaa hawanaga source za habari zao zaidi ya New Times.Maana hlo gazeti lina wanapropaganda ambao hawajui jiografia na historia kusema mama Kikwete muhutu bora wangemsingizia mtu wa Tanga au Morogoro maana kule kulikuwa na manamba kwenye mashamba ya mikonge.
Kwahyo New Times ikitoa habari watu hawajiongezi huko.
 
kagame aliwahi kupigana na
nchi 8 iweje congo ikiwa moja wapo na akawashinda just a year after
capturing kigali...iweje leo hii kuweni na akili....RWANDA bana ni nchi
ndogo ila achana nayo kabisa zungumzeni mambo mengine
acha kupiga domo wewe njoo na fact with evidence hiyo Rwanda c chochote si lolote imewagharimu miaka zaidi ya 10 kutokomemeza magaid wa FDLR na wamejijenga wanakuja kumng'oa slim boy
 
Unanikumbusha wenzio wa M23 walivyokuwa wanapiga mikwara twitter, sijui wameishilizia wapi, ....ooh wait a minute, i believe the UN saw them recruiting in Rwanda....

Hahahaha! they can see even see them in kagame's bedroom for all i care...so what have they done? Nothing. Can't do jack shit...let me give you a little secret. Sisi tunaagalia mbali sana...like i told you before..you might think that you have won the battle with M23 but WE will win the war. Now what?
 
ha haha, unakumbuka walitengeneza mpaka passport, eti mwanajeshi wetu kaenda front-line na passport! sometimes huwa wanachekesha sijui machizi hawa?

Ha ha ha ile twetter account yao siku hizi siioni kabisa.Sijui aliekuwa anaandika alikamatwa mateka na jw au!?
 
Hahahaha! they can see even see them in kagame's bedroom for all i care...so what have they done? Nothing. Can't do jack shit...let me give you a little secret. Sisi tunaagalia mbali sana...like i told you before..you might think that you have won the battle with M23 but WE will win the war. Now what?

At least umekubali kuwa M23=Rwanda.
 
At least umekubali kuwa M23=Rwanda.

Take it the way you take it. The bottom line is like i told you, in the scheme of things you people can't and will never determine our future. So i suggest chukueni jembe mkalime
 
kagame aliwahi kupigana na nchi 8 iweje congo ikiwa moja wapo na akawashinda just a year after capturing kigali...iweje leo hii kuweni na akili....RWANDA bana ni nchi ndogo ila achana nayo kabisa zungumzeni mambo mengine

Aisee hii mpya kwangu nchi nane zipi alizopigana nazo kagame mkuu ?
 
acha kupiga domo wewe njoo na fact with evidence hiyo Rwanda c chochote si lolote imewagharimu miaka zaidi ya 10 kutokomemeza magaid wa FDLR na wamejijenga wanakuja kumng'oa slim boy

ya rwanda mwachie ngoswe...
 
kagame aliwahi kupigana na nchi 8 iweje congo ikiwa moja wapo na akawashinda just a year after capturing kigali...iweje leo hii kuweni na akili....RWANDA bana ni nchi ndogo ila achana nayo kabisa zungumzeni mambo mengine

Nilishasema huko Nyuma lakini Nikabezwa ila Wewe leo Umenisaidia na Nasema tena Rwanda Sivyo Kama Mnavyoifikiria na Falsafa Yao ni Kama Ya Wayahudi ( Israel ) na Bahati Nzuri Nimeishi Nao na Baadhi Ya Maafisa Wao Nawajua na Nisiwafiche Watanzania Wenzangu Jamaa Wapo Vizuri Kijeshi na Kuna Mengine Siwezi Kuyasema hapa ila Tusijidanganye Kwa Kuwadharau na Kuona Udogo wa Nchi Yao na Msisahau Kuwa Ukubwa wa Nchi na Kwa Idadi Yake Siyo Kigezo cha Kuwa Mbabe na Mshindi ktk Battle. Israel ni Nchi Ndogo Sana ila Nchi Zote za Kiarabu Zinasalimu Amri na Wanapigwa Vizuri Sana. Naliheshimu Sana Jeshi Letu Kwa Uimara na Uwezo Wake ila Tusiingie Kichwa Kichwa Kutaka Kupigana na Rwanda na Badala Yake Diplomacy Itawale. Naipenda Tanzania, Rwanda na Afrika Kwa Ujumla.
 
Nilishasema huko Nyuma lakini Nikabezwa ila Wewe leo Umenisaidia na Nasema tena Rwanda Sivyo Kama Mnavyoifikiria na Falsafa Yao ni Kama Ya Wayahudi ( Israel ) na Bahati Nzuri Nimeishi Nao na Baadhi Ya Maafisa Wao Nawajua na Nisiwafiche Watanzania Wenzangu Jamaa Wapo Vizuri Kijeshi na Kuna Mengine Siwezi Kuyasema hapa ila Tusijidanganye Kwa Kuwadharau na Kuona Udogo wa Nchi Yao na Msisahau Kuwa Ukubwa wa Nchi na Kwa Idadi Yake Siyo Kigezo cha Kuwa Mbabe na Mshindi ktk Battle. Israel ni Nchi Ndogo Sana ila Nchi Zote za Kiarabu Zinasalimu Amri na Wanapigwa Vizuri Sana. Naliheshimu Sana Jeshi Letu Kwa Uimara na Uwezo Wake ila Tusiingie Kichwa Kichwa Kutaka Kupigana na Rwanda na Badala Yake Diplomacy Itawale. Naipenda Tanzania, Rwanda na Afrika Kwa Ujumla.

TANZANIA nchi ndogo kijeshi?

Unajua tpdf imefanya nini bara la afrika?

Tanzania ni nchi pekee iliyoshinda total war subsaharan africa

Tuliweza kupambana na mkaburu,tuliitawala uganda,seychelles na commoro!

Na kwa case ya Israel, ilishinda vita na waarabu kutokana na airlifts za supplies kutoka marekani

Without america there is no israel

Kuna kanali mmoja wa jeshi pale ruvu alisema ikitokea vita tz na rwanda tpdf haitochukua masaa yasiyozidi 100 kufika kigali.Makamanda washapanga war plans kumhusu rwanda
 
TANZANIA nchi ndogo kijeshi?

Unajua tpdf imefanya nini bara la afrika?

Tanzania ni nchi pekee iliyoshinda total war subsaharan africa

Tuliweza kupambana na mkaburu,tuliitawala uganda,seychelles na commoro!

Na kwa case ya Israel, ilishinda vita na waarabu kutokana na airlifts za supplies kutoka marekani

Without america there is no israel

Kuna kanali mmoja wa jeshi pale ruvu alisema ikitokea vita tz na rwanda tpdf haitochukua masaa yasiyozidi 100 kufika kigali.Makamanda washapanga war plans kumhusu rwanda

Sasa si Mwambie Awashawishi Makanda Wenzake Waanze Kuichapa Rwanda!!!!!!!!!!!!!!!! TUSIJIDANGANYE KWA PROPAGANDA YA KIJINGA, KISHAMBA NA YA KITOTO. Hivi Wewe Unadhani Hao Rwanda na Wao hawana Majasusi Wao Tanzania? Kwa Taarifa Yako tu Hata huko TPDF, Serikalini Kwenyewe, ktk Taasisi Binafsi na Hata Kwa Wafanyabishara Rwanda Imepenyeza Watu Wake wa Kutosha na Kila Siku Taarifa Zinapelekwa Kigali. Unapojipanga Kwa Rwanda na Wao Pia Wanajipanga Vilivyo Kwa Tanzania na Tukithubutu tu TUTAUMBUKA. Bado Nasisitiza Tuache Diplomasia Itawale na Tusifike huko ktk Kutaka Kupigana Kwani bado Tunahangaika Mno Kujenga Uchumi wa Nchi Yetu Uliyoharibika Sana Wakati wa Vita Vya Nduli Amin 1978 - 1979. Sisi Sote ni Afrika Kwanini Tugombane? Na Tunagombania Nini? Tunamuenzi Vipi Hayati Baba wa Taifa ambaye Ndiyo Mlezi Mkubwa wa Kikwete, Kagame, Museveni, Kabila Kupitia Kwa Marehemu Baba Yake na Wengineo Wengi. Wao Wametuolea na Sisi Pia Tumeoa Kwao Je Leo Tukionyeshana Ubabe tutakuwa Tunamfaidisha Nani? Hebu Tubadilishe Mindset Zetu Jamani.
 
Back
Top Bottom