zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
uhuru una mipaka mkuu, kama wadhani uhuru hauna mipaka bado una safari ndefuKwani Zanzibar itakapoamua kujitenga na bara nakutaka kujiunga na Kenya wataonekana wamewakosea bara? Kwa vipi kwani Zanzibar si nchi huru?.Urusi waharibu miundombinu ya ukrein na kuua raia halafu Manashabikia ?
Na kwa kua huyo nyoka anaelelea kushindwa macho yake yanatazama silaha za nuklia,Ulimwengu unaelekea wapi?
kawashawishi wajiunge kenya ndo utajua uhuru unao zungumza ni wa kwenye makaratasi tu