Tanzania yagoma kupiga kura ya kuunga mkono Mipaka ya nchi ya Ukraine(Territorial Integrity) huko UN

Tanzania yagoma kupiga kura ya kuunga mkono Mipaka ya nchi ya Ukraine(Territorial Integrity) huko UN

Mingine ni misimamo ya kimkakati sio kufuata upepo unavovuma, Ukraine ina uhuru wake ( kujiunga NATO) lakini huo isiutumie kuvuruga amani ya wengine.
 
Nchi 135 zimepiga kura kuunga mkono na kutetea mipaka ya kinchi ya Ukraine, isipokuwa nchi 5 zimepiga kura kupinga . Na nchi 35 hazikupiga kura ya kuunga mkono au kukataa. Miongoni mwa nchi hizo ni Tanzania.

Inashangaza sana nchi yetu ambayo imewahi kupigana vita kulinda Territorial Integrity ya nchi yetu leo inashindwa kusimama na kuiambia dunia kuwa mipaka ya nchi nyingine iheshimiwe.

Sisi tuna ugomvi wa mpaka kati yetu na Malawi, iwapo Dunia hasa Mataifa makubwa nayo wataamua kutugeuka na kuwa upande wa Malawi tusianze kulialia.

Angalia upigaji kura ulivyownda

View attachment 2385453
Hivi ni vi-nchi masikini, vina umalaya malaya; kutaka kuwaridhisha mabwana wengi!
 
Hata kwenye jambo hili yani nchi yetu imeshindwa kuwa na msimamo kwenye jambo hili ambalo liko wazi kabisa tena linakwenda kinyume na haki za binadamu na utawala bora!

Urusi imevamia Ukraine bila kuchikozwa ,urusi inaendelea kushambulia ukraine! Kuna mambo kweli tusifungamane na upande wowote lakini kwenye swala kama hili liko wazi ni wazi Tanzania ni nchi ya waoga na ya ajabu sana ambayo haiwezi simamia chochote!

Hii shida inaanzia kwa kiongozi wajuu! Shida ya Rais Samia anataka kuonekana mwema kwa kila mtu huku anataka aonekane mtenda haki wakati hapo hapo anapinga haki!

Nchi yetu inashida ya uoga!
Mzee wangu, kichwa kitakuuma sana unapogundua kuwa Tanzania leo hii ni nchi isiyokuwa na masimamo wowote. Amini alipojimgea kipande chetu cha Kagarea tulipigana lakini leo tunaona urusi kumega pande kubwa la Ukraine ni sawa tu.
 
nani kakuambia hakuchokozwa? Unafikiri ni rahisi tu mtu kuamka na kuvamia nchi ingine? Soma historia na usisikilize chanzo kimoja cha habari.

Unaijua NAM (Non Alignment Movement) Unajua maana ya Ukraine kujiunga na NATO, unajua Minsk Agreement?? Unajua historia ya Cold War? Vyote hivi vinahusika, usipovifahamu basi upepo wa magharibi utakupeleka kila unapoenda!!
Mrusi wa Manzese anajua kila kitu kuhusu uhalali wa Urusi kushambulia raia wa Ukraine na kujimegea ardhi ya Ukraine. Utasikia anakupigia kelele NAM (ya Cold war Era), NATO (fear from the cold war era), na Minski Agreement (iliyopangwa na Urusi) lakini hatambui Budapest Memorandum (iliyohusisha Urusi, Ukraine, USA na UK kuhusu usalama wa Ukraine) na Article 2(4) ya UN kuhusu kuhesimu mipaka ya nchi nyingine.

Yaani Mrusi wa manzese anajua sana uhalali wa vita hiyo kuliko hata warusi wa ndani ya Urusi wakiwemo hata wale waliokuwa mawaziri na mabalozi kwenye serikali hiyo hiyo ya urusi. Manzese kuna warusi wanaoijua urusi vizuri sana
 
Hata kwenye jambo hili yani nchi yetu imeshindwa kuwa na msimamo kwenye jambo hili ambalo liko wazi kabisa tena linakwenda kinyume na haki za binadamu na utawala bora!

Urusi imevamia Ukraine bila kuchikozwa ,urusi inaendelea kushambulia ukraine! Kuna mambo kweli tusifungamane na upande wowote lakini kwenye swala kama hili liko wazi ni wazi Tanzania ni nchi ya waoga na ya ajabu sana ambayo haiwezi simamia chochote!

Hii shida inaanzia kwa kiongozi wajuu! Shida ya Rais Samia anataka kuonekana mwema kwa kila mtu huku anataka aonekane mtenda haki wakati hapo hapo anapinga haki!

Nchi yetu inashida ya uoga!
Kukaa kimya kwenye vitu usivyo vijua ni Jambo la busara pia
 
Kama unaelewa kitu kinaitwa Geopolitics utajua kwanini Russia aliamua kushambulia. Technically it's RUSSIA against USA. na hao ndio watakao amua Vita iishe au iendelee.
 
Tanzania sio kwamba haifungamani na upande wowote bali ni uoga wa uhuru wa kutoa maoni ndio unaowaongoza mpaka Sasa..... kimsingi nchi yetu Iko njia panda maana hii vita imewaunganisha mabwana zetu wawili ambao ni upande wa magharibi na marekani pamoja Uchina.....na wote tunawahitaji......Sasa kwenye kubalance mambo ndio tunajikuta tuna haribu na kuwa wanafiki Moja Kwa Moja.......
 
Hata kwenye jambo hili yani nchi yetu imeshindwa kuwa na msimamo kwenye jambo hili ambalo liko wazi kabisa tena linakwenda kinyume na haki za binadamu na utawala bora!

Urusi imevamia Ukraine bila kuchikozwa ,urusi inaendelea kushambulia ukraine! Kuna mambo kweli tusifungamane na upande wowote lakini kwenye swala kama hili liko wazi ni wazi Tanzania ni nchi ya waoga na ya ajabu sana ambayo haiwezi simamia chochote!

Hii shida inaanzia kwa kiongozi wajuu! Shida ya Rais Samia anataka kuonekana mwema kwa kila mtu huku anataka aonekane mtenda haki wakati hapo hapo anapinga haki!

Nchi yetu inashida ya uoga!
Ndio shida ya ombaomba! Hana msimamo anaangalia upepo aegemee wapi kimaslahi.
Huyu wa kwetu ajue hakuna mtu aliyeondoka madarakani kwa heshima kama hakuwa na tabia ya kusimama imara katika msimamo anaoamini.
Nchi iseme NDIO au HAPANA

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Bongo kamekuwa ka nchi kasikojua kanasimamia nini!

Wewe ni member wa UN, Unajua UN charter inasimamia nini kwenye issue ya kila mmoja kuheshimu mipaka ya mwingine, halafu Unajivutavuta kuitetea kwa kura yako.

Pathetic!
Njaa kitu kibaya sana
 
Siyo Tanzania tu, SEMA Tanzania na marafiki zake,, kama Congo, Burundi, Uganda, South Africa, Namibia etc
 
Bongo kamekuwa ka nchi kasikojua kanasimamia nini!

Wewe ni member wa UN, Unajua UN charter inasimamia nini kwenye issue ya kila mmoja kuheshimu mipaka ya mwingine, halafu Unajivutavuta kuitetea kwa kura yako.

Pathetic!
Njaa kitu kibaya sana
Vipi angekuwa Magufuli reaction yake ingekuwa si ya nchi hii!
 
Hata polisi akikuliza swali, kisheria usipojibu hana haki ya kukulazimisha kujibu. Sasa kwanini iwe jinai Tanzania Kuto kupiga kura ya upande wowote.
 
Hivi huko mashuleni miaka hii hawafundishi kwamba Tanzania inapokuja siasa za nje haswa zinazohusisha mashariki na magharibi huwa haifungamani na upande wowote...
 
Back
Top Bottom